MBUNGE ATAKA DK SLAA AACHIWE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 14

  • @barnabasmsagamasi611
    @barnabasmsagamasi611 วันที่ผ่านมา +3

    Tusidanganyane kama kuna 4R

  • @NgendandumweAlouise
    @NgendandumweAlouise 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    Hakuna 4R ni usenge na uhuni

  • @nestor384
    @nestor384 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Kumbe uchumi huwa unapimwa hata kwa macho pia?!
    Watu mnazungukaa kumweleza ukweli anayemtesa Dr Slaa bila kosa!..

  • @NgendandumweAlouise
    @NgendandumweAlouise 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Unaangalia uchumi na macho kumbe wewe ni bwege

  • @Tumosafarini
    @Tumosafarini 7 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    We Mheshimiwa unaongea nini! Umesahau kuwa wasimamizi wa mhimili wa sheria ni wateule wa mtu fulani mwenye majeshi na Rostam Aziz alipata kusema huwa wanapewa maelekezo ya namna ya kuwashughulikia hasa wanaona kuwa hawako upande wao?

  • @laninjeje8290
    @laninjeje8290 วันที่ผ่านมา

    Dr.Slaa abaki jela huko huko anaeneza chuki kwenye jamii

    • @MadindaMnyashi-f5k
      @MadindaMnyashi-f5k วันที่ผ่านมา

      @@laninjeje8290 mjinga wewe pumbafu

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe siyo binadamu na huna utu je angekuwa Baba ubfwsema au ungeandika huo utumbo wako

    • @matalo0551
      @matalo0551 วันที่ผ่านมา

      Hakika, binadamu ni wanyama....unaweza support uvunjaji wa haki za raia za kujieleza na kukosoa watawala wanapoinyea katiba ya inchi! Hakika wahaini wa Taifa hili WAPO maofisini, na wazalendo tupo mtaani hatuna mbele Wala nyuma, ni vilio na kusaga meno

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Dk silaa ni shujaa hitoria itaandikwa time is tell. My friend

    • @EliyaPaulo-uf6hh
      @EliyaPaulo-uf6hh 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Ulicho andika kinanuka kama choo bwege chuki ipi aliyoeneza kama ww umeiona wasaidie hao waliomkamata coz hadi sasa hawana ushaidi