Tundu Lissu Vs Mwana Sheria Mkuu Bungeni

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ม.ค. 2015
  • Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.

ความคิดเห็น • 290

  • @juliusmagunila6308
    @juliusmagunila6308 4 หลายเดือนก่อน +42

    Tulioiona 2024 gonga like

  • @amisamaurid1882
    @amisamaurid1882 4 หลายเดือนก่อน +15

    Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤

    • @personpeter2221
      @personpeter2221 4 หลายเดือนก่อน

      Mrith wa bwege je umemwona??

  • @ken-ul2jg
    @ken-ul2jg 6 หลายเดือนก่อน +5

    Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.

  • @makimbiliotvtv2644
    @makimbiliotvtv2644 7 ปีที่แล้ว +48

    Big Up lisu mungu akupe afya njema

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 ปีที่แล้ว +22

    Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,

  • @sadikisalumu5253
    @sadikisalumu5253 5 ปีที่แล้ว +23

    kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 ปีที่แล้ว +56

    Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,

  • @ernestmwanalinze2612
    @ernestmwanalinze2612 3 ปีที่แล้ว +58

    Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like

    • @kpetres2872
      @kpetres2872 3 ปีที่แล้ว

      Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje

    • @priscusaugust7251
      @priscusaugust7251 2 ปีที่แล้ว

      @@kpetres2872 kilaza wew

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 ปีที่แล้ว

      Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm

    • @ismailyusuf3543
      @ismailyusuf3543 ปีที่แล้ว

      2023 still watching him 🤣

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 ปีที่แล้ว

      Zaidi ya 1,000

  • @chiefkaitaba8293
    @chiefkaitaba8293 ปีที่แล้ว +7

    I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
    #Lissu Baba Laooo

  • @eliamkamba6899
    @eliamkamba6899 3 ปีที่แล้ว +13

    Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 ปีที่แล้ว +43

    Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!

    • @adenjordan3659
      @adenjordan3659 2 ปีที่แล้ว

      InstaBlaster.

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 2 ปีที่แล้ว

      😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 ปีที่แล้ว

      Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu

  • @frankkabombo8439
    @frankkabombo8439 8 ปีที่แล้ว +21

    fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu

  • @lawsofsucces5784
    @lawsofsucces5784 7 ปีที่แล้ว +44

    Lisu ana material mengi sana kichwani kwake

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 7 ปีที่แล้ว +37

    lisu uko vizuri baba

  • @ernestmatimba9964
    @ernestmatimba9964 2 ปีที่แล้ว +7

    Mungu akulinde Mwamba. We love you brother

  • @kelvinmbena4562
    @kelvinmbena4562 7 ปีที่แล้ว +29

    my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 ปีที่แล้ว

      Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 ปีที่แล้ว

      Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 3 ปีที่แล้ว +9

    he was too good for bunge la tanzania

  • @zawadimbwambo1091
    @zawadimbwambo1091 ปีที่แล้ว +3

    Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,

  • @shimmysima1311
    @shimmysima1311 8 ปีที่แล้ว +42

    lissu heshima yako.

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 ปีที่แล้ว +4

    Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa

  • @betramkapinga795
    @betramkapinga795 8 ปีที่แล้ว +15

    Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo

  • @twayibmood7319
    @twayibmood7319 4 ปีที่แล้ว +7

    Sheria imezidiwa na tundu lissu
    Jamaa hatar uy7

  • @yohanaswalo4716
    @yohanaswalo4716 4 หลายเดือนก่อน +4

    Nimemkumbuka Kwa kweli

  • @danielsinkamba3719
    @danielsinkamba3719 5 ปีที่แล้ว +9

    Lisu mungu akubarik akupe nguvu

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm8270 7 ปีที่แล้ว +13

    KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU

  • @sharifunchimbi785
    @sharifunchimbi785 4 ปีที่แล้ว +6

    Hivi tumbuatumbua lisu alishauli

  • @mooking7913
    @mooking7913 6 ปีที่แล้ว +9

    Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 ปีที่แล้ว +4

    Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo

  • @festussichula8866
    @festussichula8866 5 ปีที่แล้ว +17

    katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu

  • @isaali9630
    @isaali9630 7 ปีที่แล้ว +23

    hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .

  • @markomoter3190
    @markomoter3190 9 ปีที่แล้ว +11

    mrithi wa fedrick wa walema

  • @msemakwelimdhalendo7782
    @msemakwelimdhalendo7782 3 ปีที่แล้ว +12

    "Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.

  • @datiusgabriel8277
    @datiusgabriel8277 8 ปีที่แล้ว +24

    Lisu kiboko Yao

  • @htmmusic9240
    @htmmusic9240 7 ปีที่แล้ว +18

    safi brother.

  • @MadeliTV
    @MadeliTV 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa

  • @petermwasipu1778
    @petermwasipu1778 8 ปีที่แล้ว +20

    Safi Sana Lisu

  • @mragahpallangyo6261
    @mragahpallangyo6261 4 ปีที่แล้ว +7

    Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa

  • @xaveryngonyani-nb1nx
    @xaveryngonyani-nb1nx ปีที่แล้ว +1

    Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 3 ปีที่แล้ว +8

    Lisu wew ni mtu muhim sana

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 ปีที่แล้ว +3

    Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.

  • @ashirafubesta1018
    @ashirafubesta1018 ปีที่แล้ว +10

    Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda3099 4 ปีที่แล้ว +5

    Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.

  • @user-ws6dq3vq7t
    @user-ws6dq3vq7t 10 หลายเดือนก่อน +2

    😅😅 nakuelewa xana mze bb

  • @liberatimasawe9520
    @liberatimasawe9520 7 ปีที่แล้ว +5

    maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha

    • @emmanuelyusto6240
      @emmanuelyusto6240 7 ปีที่แล้ว

      kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda

  • @paulothomas7270
    @paulothomas7270 8 ปีที่แล้ว +19

    ukawa oyeeeeeeee power

  • @innocentnkya2770
    @innocentnkya2770 8 ปีที่แล้ว +14

    lisu safi sana,..

  • @greenmedia002
    @greenmedia002 2 ปีที่แล้ว +4

    Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi

  • @francissalamba8112
    @francissalamba8112 7 ปีที่แล้ว +22

    sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana

    • @calebcaleb3193
      @calebcaleb3193 ปีที่แล้ว

      Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm

  • @issaibuni5747
    @issaibuni5747 7 ปีที่แล้ว +13

    good lisu

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 2 ปีที่แล้ว +5

    Lisu forever ♥

  • @sadickgugud2556
    @sadickgugud2556 7 ปีที่แล้ว +10

    saf sana

  • @beberurafiki1273
    @beberurafiki1273 2 ปีที่แล้ว +2

    Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 ปีที่แล้ว +3

    Mwamba wangu.
    MH.Lissu Rais wng wa Moyo.

  • @emmanuelngadaya1412
    @emmanuelngadaya1412 8 ปีที่แล้ว +6

    huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu

    • @Bruno-ed1ps
      @Bruno-ed1ps 2 ปีที่แล้ว

      😆😆😆

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 ปีที่แล้ว

      Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui

  • @othumanmassanja1472
    @othumanmassanja1472 8 ปีที่แล้ว +12

    Lissu we nisheeeda

  • @mosesmpeta3241
    @mosesmpeta3241 8 ปีที่แล้ว +14

    kichwa

  • @MAJALATV485
    @MAJALATV485 7 ปีที่แล้ว +23

    hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 5 ปีที่แล้ว +4

    Tundulisu anafaa kuwa Rais

  • @liontvonline951
    @liontvonline951 5 ปีที่แล้ว +2

    ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana

  • @iliyasamanzi5667
    @iliyasamanzi5667 5 ปีที่แล้ว +2

    Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 ปีที่แล้ว +1

    ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿

  • @victormollel3246
    @victormollel3246 6 ปีที่แล้ว +2

    Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,

  • @hajinyange4522
    @hajinyange4522 7 ปีที่แล้ว +7

    safi lisu

  • @clementcharles5687
    @clementcharles5687 9 ปีที่แล้ว +6

    tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni

  • @abdillahichicha8035
    @abdillahichicha8035 6 ปีที่แล้ว +5

    Big up Lisu

  • @FrankFrankmapanacom-eh1xy
    @FrankFrankmapanacom-eh1xy ปีที่แล้ว

    mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰

  • @abisaiamos1245
    @abisaiamos1245 6 ปีที่แล้ว +2

    Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 3 หลายเดือนก่อน

    Bona alikula mda wa mwezake bila sababu

  • @abdallahyasin6829
    @abdallahyasin6829 3 ปีที่แล้ว +8

    Lissu for life

  • @kassimnasseb4845
    @kassimnasseb4845 4 ปีที่แล้ว +4

    Genus!!!

  • @MelkizedekUrio-xl1jp
    @MelkizedekUrio-xl1jp 12 วันที่ผ่านมา

    Hili ndilo bunge

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 ปีที่แล้ว +3

    Mwamba wangu lissu nakukubali saana

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 3 ปีที่แล้ว +33

    Lissu ever brave, competent, not lying

  • @emmanuelngollej6415
    @emmanuelngollej6415 5 ปีที่แล้ว +1

    yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi

  • @ayendamethusela3310
    @ayendamethusela3310 ปีที่แล้ว +5

    Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 ปีที่แล้ว

    Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi

  • @tecnof1232
    @tecnof1232 5 ปีที่แล้ว +2

    Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!

    • @raphaelsamwel2640
      @raphaelsamwel2640 5 ปีที่แล้ว

      Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!

  • @allyally6529
    @allyally6529 7 ปีที่แล้ว +7

    lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa

  • @samsonmagesa3959
    @samsonmagesa3959 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Lisu ni msomi mzuri na hoja zake waga zina mashiko ila hana nidhamu Tangu zamani ana maneno ya shombo sana

    • @francissimwinga-gb2vd
      @francissimwinga-gb2vd ปีที่แล้ว

      Nizamu ya kuibia hera maana ambao wanaonekana wako kimya ndio wanafuja pesa za nchi

  • @husseinngurumo9384
    @husseinngurumo9384 8 ปีที่แล้ว +7

    Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi

  • @saidybhokey5744
    @saidybhokey5744 ปีที่แล้ว

    uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 4 หลายเดือนก่อน

    Wapigaji ni wengi katiba mbovu

  • @edwardkasubi1495
    @edwardkasubi1495 6 ปีที่แล้ว +1

    Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa

  • @anoldstephano6301
    @anoldstephano6301 ปีที่แล้ว +1

    God bless lisu for ever and never

  • @emmiliananasri7726
    @emmiliananasri7726 3 ปีที่แล้ว +2

    Lisu oyeeee

  • @godyemily-fx4md
    @godyemily-fx4md 11 หลายเดือนก่อน

    tanzania aituhusu sisi raia wa kawaida ni tanzania ya viongozi tu

  • @nak3477
    @nak3477 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyekiti akikuwa mtulivu

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona kipindi cha magufuli hamkufanya hayo hiyo kstiba kipindi cha magu au katiba ilikuwa likizo

  • @neybenson7881
    @neybenson7881 4 ปีที่แล้ว +2

    Lisu tunakusubiri urudi dah

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 2 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mtu asema ukweli

  • @theuniversetv2870
    @theuniversetv2870 ปีที่แล้ว

    Kama lisu angekuwa mzalendo kwa aina hii mpaka Leo hakika angeaminika na wananchi kwa asilimia Mia moja

  • @olendumbekiseya4583
    @olendumbekiseya4583 ปีที่แล้ว +1

    Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania

  • @trgphonegeorge3832
    @trgphonegeorge3832 6 ปีที่แล้ว +3

    Hahaaaa!! Mrithi!!!!!??!!

  • @daudichirstopher6173
    @daudichirstopher6173 ปีที่แล้ว

    Ali kuwepo bungen wana nchi tuli ona uzur wa bunge Sasa bandali ime uzwa nasubili ikulu iuzwe ili nipate mgawo wangu

  • @saidngwema1981
    @saidngwema1981 ปีที่แล้ว

    Tuanzie apo pa wangine wako umu umu ni wezi😂😂Apo lazima walikuwa razima wakupige Risa's ila kunavitu umesema mafuguri alitimiza Mzee watu walifuzwa na walifungwa apo ndio sijui Kwann hamkupendana au ndio kwasababu mlikuwa sawa 🙏rip mafuguri 🙏🙏🙏😥😥😥😥

  • @manyakuulaompondelo4419
    @manyakuulaompondelo4419 ปีที่แล้ว

    Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge

  • @deogratiousmchau8162
    @deogratiousmchau8162 7 ปีที่แล้ว +4

    Lisu hatari

  • @charlessiwale3858
    @charlessiwale3858 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu ni haraa

  • @eliusponde8564
    @eliusponde8564 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr