Majibizano bungeni yanaendelea na sasa Lissu anapewa shule na Mwanasheria Mkuu kuhusu mamlaka ya Rais kushughulikia Wabadhirifu Lakini Lissu nae anatunisha misuli ya kutetea hoja.
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
Tuanzie apo pa wangine wako umu umu ni wezi😂😂Apo lazima walikuwa razima wakupige Risa's ila kunavitu umesema mafuguri alitimiza Mzee watu walifuzwa na walifungwa apo ndio sijui Kwann hamkupendana au ndio kwasababu mlikuwa sawa 🙏rip mafuguri 🙏🙏🙏😥😥😥😥
Tulioiona 2024 gonga like
Mpaka Leo cjamuona mrithi wa lisu❤
Mrith wa bwege je umemwona??
Lissu anasema mawaziri waliohusika wawajibishwe sio majaji, mwanasheria mkuu anajibu utumbo kuhusu majaji. Mawaziri walihusika, bunge halina uwezo juu ya majaji lakini linauwezo juu ya mawaziri.
Big Up lisu mungu akupe afya njema
Ndiyo mahana wamekupiga risas ulikuwa ulikuwa una simamia ukweli ndiyo wameshindwa kukuhuwa mungu amesimama juu yko,
kweli wewe upo kwa Ajili ya watu mungu yupo Pamoja nawe
Hiki kichwa cha lisu nisawa na wabunge wa ccm 2000,
😆😆
CCM hamna kitu
Ni zaidi ya 2000
Kichwa kimoja cha Lisu nisawa na vichwa 1000 vya ccm,na huyu ndiye mwenye uchungu na nchi wengine ni wachumia tumbo tu...tunao itazama hii video 2020 augost like
Tamaa ya uongozi inamsumbua lissu. Huwezi jua mpaka akipata uongozi. Twiga walikuwa wanakunjwa shingo kwenye makontena wanaenda nje
@@kpetres2872 kilaza wew
Lisu ni kicwa kimoja ni sawa Na wa bunge wote wa ccm
2023 still watching him 🤣
Zaidi ya 1,000
I wish siku moja huyu MH.awe Rais wa nchi hii.
#Lissu Baba Laooo
Huyo Mzee wangu mwingine ni dhaifu Sana. Sjui hiyo kazi walizingatia nini kumpa
Lissu bwana!! Yuo will be remembered in this era!!
InstaBlaster.
😭😭😭😭😭😭 huyu JEMBE
Ndiyo maana walitaka kukuondoa mfalume huyu
fanyeni kazi kwa uweledi, ahsanteni Lisu
Lisu ana material mengi sana kichwani kwake
laws of Succes
lisu uko vizuri baba
Mungu akulinde Mwamba. We love you brother
my commando tundu lisu big up to you you are the one who creating me to like something we call law congratulation to you my tundu Antipas lisu god bless you.
Yani ni kichwa kimoja utasema ni vichwa vyote Vya ccm
Kaa chini wewe pimbi wewe utalaumi wakinafiki watu wanakufa Na njaa theni unakuja kuongea ushiri wako hapo unatetea mijizi kama wewe nyungunyungu wewe ndiyo maana kichwa kimeka kama yandika hiyo katiba Niaya nani labda ya kikwenu
he was too good for bunge la tanzania
Huyu tundu lisu siku akiwa rais wa tanzania, na nibamini ataku, kwani unabii ulishaonekana kwake bàada ya kumiminiwa marisasi mengi na hakufa akafa alieratibu huo mpango, saaa huyu jamaa akiwa rais, aisee wanawake watakua wanazaa mapacha mapacha mapacha tu baaraka Zitashushwa kwenye taifa hili na kila mtu atashangaa kweli,
lissu heshima yako.
Hio nihazina yataifa
Mungu akubariki risu ukoveeeem
Lissu mtaalamu wa katiba na sheria mtamwelewa si bunge tu,hata wananchi tunamwelewa na taifa linamwelewa
Duh!! Amahakika kwa changamoto hzo ,,,, ukweli na uwazi utakuwepo,,,, ukawa mbele,,,, lisu shikamoo
Sheria imezidiwa na tundu lissu
Jamaa hatar uy7
Nimemkumbuka Kwa kweli
Lisu mungu akubarik akupe nguvu
KWA MARA YA KWANZA NAKUPA HI TUNDU
Hivi tumbuatumbua lisu alishauli
Enzi zile kuvunjwa kwa katiba ilikua ni hoja lkn siku hizi ni jambo la kawaida tu.
Lissu unaongeang pont sanaa lkn nchi imekuw ovyoo
katiba yetu imeeleza wazi kanuni na taratibu za nchi, ila kheri ya yule anae dirikki kuvunja sheria na taratíbu za nchi, Pongezi kwa lisu
hakuna kama lisu tanzania wewe ni.tanzania one. ananikuna sana .
mrithi wa fedrick wa walema
"Kumbe huyu jamaa ni moto tangu thamani.
Ulikuwa wapiiii ww
Lisu kiboko Yao
safi brother.
Huyu mwanasheria ndo maana hakuna anayemkumbuka. He is a small man. Unajali mabosi zaidi ya wananchi. Viva Lissu akili kubwa
Safi Sana Lisu
Duuu get Will soon,,Mic u xn Kamanda bora kabsa
Uhuru wa vyombo mbalimbali hongera kikwete
Lisu wew ni mtu muhim sana
Mm nashaur juu ya serikali kuhusu Mheshimiwa tundu lisu kwani nikichwa chenye elimu mtu ktk,watu.
Huyu mwamba ndo maaana walimpiga risasi anaongea point tu
Hapindashagi
Ni miaka mitano iliopita lisu alizungumza haya na kuonesha uzalendo kwa taifa hili,lakini siku zote miaka yote ccm wamekua wakibebana kwa ukada,na wanataka kila wakati wateteane,na hapa inadhihirisha ule ujinga wao na unafiki wao,mbona kwa sasa magu anawatengua tu kila siku.
😅😅 nakuelewa xana mze bb
maghuli inaonekana hajaifahamu UKAWA vizuri ningemshauri atumie she ria zaidi kuliko maamuzi binafsi kama sivyo ugomvi na ukawa hautaisha
kati Ya wanasheria lisu namkubari xna good kamanda
ukawa oyeeeeeeee power
lisu safi sana,..
Much love from kenya... mheshimiwa lissu ni mtetezi wa wananchi
AMINA
sema kamanda kwan nchi imefika pabaya saaana
Nchi limefilisiwa Na wahuni wa ccm
good lisu
Lisu forever ♥
saf sana
Watu kama Lissu ni neema kwa nchi.
Mwamba wangu.
MH.Lissu Rais wng wa Moyo.
huyu mwanasheria kwa kipindi cha MAghufuli sidhani kama angesema hivyo "rais atawawajibishaje majaji" mbona anauwezo wa kuteua jaji mkuu anashindwa vipi kuwawajibisha. huyu jamaa huyu
😆😆😆
Anavyoongea tu kama zezeta ,anachoongea mwenyewe hajui
Lissu we nisheeeda
Otuba za king msukuma
kichwa
hivi kwanini tundu lisu asiwe mwanasheria wa serikali?
LASDOPLUS TOURS LIMITED BLOG links yametimia Sasa yeye ni raisi
duuuuuuuuuuuuuuh ww balaaaa
Asante sana muheshimiwa tundu lisu chunga mdomo wako eee tumia busara usijifanye unajuwa kusema
Tundulisu anafaa kuwa Rais
ajui kueka moyon kitu, anachana moja kwa moja. safi sana
Wakae Chini waangalie na MNA ya kufanya kujiepusha na fitna inayo endelea nje ya nchi na si kuendeleza marumbano
ATAZAMSINGI HAMUZIFUWATI WAPUMBAVU WA CCM AU MCC HUYU NDIO HERO TUNDULISU ANAWASOMESHA VICHWA VIGUMU MADIKTETA CCM AU MCC 👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹🇮🇱🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿👹😇🇹🇿
Wauwe lisu hao mafisa umo ndani,
safi lisu
tuwekeeni kilichotokea leo tarehe 01/4/2015 bungeni
Big up Lisu
mwenyezi mungu ukupe guvu lisu kwajili ya kulitetea Taifa letu la TANZANIA. Sisi tunaogozwa na kulindwa na buge ⏰⏰
Ata mwenye kiti kaipigwa na butwaa!😂😂hivi hawaja soma au uongozi wa kukariri
Bona alikula mda wa mwezake bila sababu
Lissu for life
Genus!!!
Hili ndilo bunge
Mwamba wangu lissu nakukubali saana
Lissu ever brave, competent, not lying
LISSU
yataniwati Dawa yakumnyamazisha Lisu nilimpa uwaziri mkuu basi
Oct. 2022..... Lissu still being Lissu!
Hazina yatanzania ii ngoja wamtumie wazungu mana watz tumeshindwa kumtumia lissu katupa mungu ila ndo ivyo mungu hakupe afya lissu namaisha narefu naamini ipo siku mwaka mwezi utakuja shika ii nchi
Lisu mzalendo, mkweli, Mungu angetupa 7 tu kama yeye nchi ingeng'ara!
Wengine wamejaa usanii mtupu !! Eti watetezi wa wanyonge kumbe lengo ni kutufanya tuwe wanyonge zaidi!!!!
lissu cha mtoto,mwanasheria wa mateja na madada powa
Huyu Lisu ni msomi mzuri na hoja zake waga zina mashiko ila hana nidhamu Tangu zamani ana maneno ya shombo sana
Nizamu ya kuibia hera maana ambao wanaonekana wako kimya ndio wanafuja pesa za nchi
Bunge lakitoto aliwez kujenga nchi
uyu jamaa nikichwa sana anafaa kuwa raisi na kura yangu mm na mpa mapema sana
Wapigaji ni wengi katiba mbovu
Aaaaaah huyu Mzee sikuwahi kumuelewa kabisa
God bless lisu for ever and never
Lisu oyeeee
tanzania aituhusu sisi raia wa kawaida ni tanzania ya viongozi tu
Mwenyekiti akikuwa mtulivu
Mbona kipindi cha magufuli hamkufanya hayo hiyo kstiba kipindi cha magu au katiba ilikuwa likizo
Lisu tunakusubiri urudi dah
Huyu mtu asema ukweli
Kama lisu angekuwa mzalendo kwa aina hii mpaka Leo hakika angeaminika na wananchi kwa asilimia Mia moja
Lisu kweli jamani tasama Kwa jicho ya tatu ngorongor na Miata yote ya Tanzania
Hahaaaa!! Mrithi!!!!!??!!
Ali kuwepo bungen wana nchi tuli ona uzur wa bunge Sasa bandali ime uzwa nasubili ikulu iuzwe ili nipate mgawo wangu
Tuanzie apo pa wangine wako umu umu ni wezi😂😂Apo lazima walikuwa razima wakupige Risa's ila kunavitu umesema mafuguri alitimiza Mzee watu walifuzwa na walifungwa apo ndio sijui Kwann hamkupendana au ndio kwasababu mlikuwa sawa 🙏rip mafuguri 🙏🙏🙏😥😥😥😥
Sasa anachoeleza huyu waziri mbona hicho hicho kaeleza Lissu. Mwanasheria mkuu mshauriiiiiii Raisi na siyo kulishauri bunge
Lisu hatari
Huyu ni haraa
Huyu jamaa Ni fire Yuko vzr