#kivumbi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

ความคิดเห็น • 164

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o หลายเดือนก่อน +1

    Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 หลายเดือนก่อน +26

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน

      Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 หลายเดือนก่อน

      Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 หลายเดือนก่อน

      Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu หลายเดือนก่อน +4

      ​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 หลายเดือนก่อน

      Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu

  • @allyalijai7143
    @allyalijai7143 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf หลายเดือนก่อน +5

    #TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti หลายเดือนก่อน

      Oyeeeeeeeeeeeeeeee

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 หลายเดือนก่อน

      Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @Anordgration
    @Anordgration หลายเดือนก่อน +3

    Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 หลายเดือนก่อน +10

    Point god bless lema

  • @shikuhata
    @shikuhata หลายเดือนก่อน +1

    Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz หลายเดือนก่อน +7

    Mashaaalah lema,huna baya,

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 หลายเดือนก่อน

    Msingwa kuhamia ccmu kama anaroho wa mungu atajihikumu mwenyewe ametukosea watanzania sanaaa tulimpenda Sasa mmmmm

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t หลายเดือนก่อน +2

    Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili

    • @talentshow2024
      @talentshow2024 หลายเดือนก่อน

      Mh

    • @user-vr1ly3rw4h
      @user-vr1ly3rw4h หลายเดือนก่อน

      Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 หลายเดือนก่อน +5

    Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!

    • @ShamteMaganga
      @ShamteMaganga หลายเดือนก่อน

      Subiri kampeni zianze

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 หลายเดือนก่อน

      Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
      Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 หลายเดือนก่อน +6

    Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf หลายเดือนก่อน +3

    mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika

    • @JoshuaSabu-r2p
      @JoshuaSabu-r2p หลายเดือนก่อน

      Unamfaham vzr alipokuwa bungeni

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari หลายเดือนก่อน +10

    Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 หลายเดือนก่อน +9

    Nenda ccm lema,chadema utafulia sana

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuzaliwa hivo

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 หลายเดือนก่อน

      Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 หลายเดือนก่อน

      @@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 หลายเดือนก่อน

      Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน +10

    ila hawa wapinzani wameteseka kweli

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini หลายเดือนก่อน +2

    LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?

    • @ericlowasa3097
      @ericlowasa3097 หลายเดือนก่อน

      Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 หลายเดือนก่อน +7

    Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน

      Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮

    • @MnubiMm
      @MnubiMm หลายเดือนก่อน

      Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya

  • @user-kc6hg1se7b
    @user-kc6hg1se7b หลายเดือนก่อน

    Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 หลายเดือนก่อน +1

    Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb หลายเดือนก่อน +17

    Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb หลายเดือนก่อน +7

    Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu

    • @DanisNwita-il8zg
      @DanisNwita-il8zg หลายเดือนก่อน +1

      Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?

  • @azizimangara9024
    @azizimangara9024 หลายเดือนก่อน +4

    Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b หลายเดือนก่อน

      Viongozi

    • @noelyhaule5695
      @noelyhaule5695 หลายเดือนก่อน +2

      wew n hasara kwa taifa

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 หลายเดือนก่อน +1

      Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 หลายเดือนก่อน

      Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 หลายเดือนก่อน

    Ki ukweli waliopo upinzani wanastaili pongezi , watanzania wengi ni wanafiki na ndiyo hatuaminiki nchi za nje.

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni หลายเดือนก่อน +3

    Hogera sana kiongozi makini

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 หลายเดือนก่อน +2

    Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti หลายเดือนก่อน

      Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld หลายเดือนก่อน +1

    Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo

  • @heriethmsambili5711
    @heriethmsambili5711 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅

  • @carloschikawe3244
    @carloschikawe3244 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee Mungu atusaidie

  • @user-od1pl6ox5m
    @user-od1pl6ox5m หลายเดือนก่อน

    Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k หลายเดือนก่อน +3

    Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i หลายเดือนก่อน +1

    Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 หลายเดือนก่อน +2

    Mbalikiwe Mungu ndugu zangu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb หลายเดือนก่อน +4

    Leo wanasema Tanzania ya viwanda

  • @godhelpmassam3480
    @godhelpmassam3480 หลายเดือนก่อน +1

    Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc หลายเดือนก่อน +2

    Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh หลายเดือนก่อน +4

    Hongera kwa mawazo mazur

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv หลายเดือนก่อน +2

    Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi หลายเดือนก่อน +10

    Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir หลายเดือนก่อน +3

      Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?

  • @UmmyDaud
    @UmmyDaud หลายเดือนก่อน

    Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct หลายเดือนก่อน +8

    Nakukubali Mwamba

  • @MeshackKaboja
    @MeshackKaboja หลายเดือนก่อน +2

    Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 หลายเดือนก่อน +4

    Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 หลายเดือนก่อน

      PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf หลายเดือนก่อน +2

      Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz หลายเดือนก่อน +13

    Lema umeongea jambo sahihi sana

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik หลายเดือนก่อน +1

    Lema zuri gani umewafanyia watanzani?

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 หลายเดือนก่อน +1

    Upo sawa

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa hiyo tukudaidie.nini

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 หลายเดือนก่อน +1

    Napita tu...ila njaa mbaya

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki หลายเดือนก่อน +1

    Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 หลายเดือนก่อน +1

    kweli chadema mnazidiwa na mwamposa

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa hiyo

  • @sarikielimbise447
    @sarikielimbise447 หลายเดือนก่อน +1

    Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi

  • @user-qh5lq7gx2b
    @user-qh5lq7gx2b หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kamanda lema

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 หลายเดือนก่อน

    Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana หลายเดือนก่อน

      Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 หลายเดือนก่อน +1

    umesahau na kesi ya mkeo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 หลายเดือนก่อน +3

    Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 หลายเดือนก่อน +1

      chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 หลายเดือนก่อน +1

    Mnatoa wap pesa

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani8362 หลายเดือนก่อน

    Iko sawa mkuu wangu

  • @ProsperMsemwa-g8n
    @ProsperMsemwa-g8n หลายเดือนก่อน

    Chadema ndio chama sahihi kinaonekana

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 หลายเดือนก่อน +1

    Unasikika mwanaume

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 หลายเดือนก่อน

    Chadema ni wehu lema na chadema walishika alimashauli ya arusha miaka 5 hakuna alichokifana tofauti na kujiongezea ela ya vikao

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf หลายเดือนก่อน +1

    mbona ujawai kuongelea bungeni

  • @mwaramimbuya5443
    @mwaramimbuya5443 หลายเดือนก่อน

    amina ccm mwamba

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py หลายเดือนก่อน +2

    kichwa san mwamba

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 หลายเดือนก่อน

    Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 หลายเดือนก่อน +4

    Great visionary

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 หลายเดือนก่อน

    Water table yake ni maji.

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 หลายเดือนก่อน +3

    Nisuala la muda tu

  • @edsonmoris
    @edsonmoris หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa lema

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 หลายเดือนก่อน +3

    Hiyo kauli ya magufuli umeiba

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu หลายเดือนก่อน

      Kauli Gani? Au Kauli zikigongana ni kosa? Acheni Ushamba nyie ma Ccm

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l หลายเดือนก่อน

    nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi

  • @user-bj9nb1yh3o
    @user-bj9nb1yh3o หลายเดือนก่อน

    Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 หลายเดือนก่อน

    Wazazi wako walitoka machame au

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w หลายเดือนก่อน +2

    Unachongea tu

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 หลายเดือนก่อน

    Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu mbariki Makonda

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu หลายเดือนก่อน

      Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 หลายเดือนก่อน

    Upon sawa

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน

    Kenya demokrasia sasa inawatesa.

  • @user-kv8sq6qz7g
    @user-kv8sq6qz7g หลายเดือนก่อน +4

    Lema tunakutamani sana

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 หลายเดือนก่อน +1

    Eti hamna pesa?? Ruzuku mnaxipewa na Serikali mnaxiweka wapi?? Nchi zinawapa pesa mnaxiweka wapi?? Mnatafuta huruma Kwa watu?? Wezi kama wengine .
    Majambazi kama majambazi wengine
    M

  • @athumanmtunguja4412
    @athumanmtunguja4412 หลายเดือนก่อน

    tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw หลายเดือนก่อน +1

    Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm

    • @hanujoseph8809
      @hanujoseph8809 หลายเดือนก่อน

      We ndo hamna k2

    • @Flaviosafari
      @Flaviosafari หลายเดือนก่อน

      @@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi

  • @NusraMwalyawa
    @NusraMwalyawa หลายเดือนก่อน

    Wachane hao

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 หลายเดือนก่อน

    Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
    Au ndo kusema mpaka serikali

  • @MajaliwaTalali
    @MajaliwaTalali หลายเดือนก่อน

    ❤⁹ooo😊

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 หลายเดือนก่อน

    Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa

  • @DanielManumbo
    @DanielManumbo หลายเดือนก่อน

    😅😅

  • @MichaelEliasmwampamba
    @MichaelEliasmwampamba หลายเดือนก่อน

    Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 29 วันที่ผ่านมา

    Mpumbavu mkubwa weee

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 หลายเดือนก่อน

    Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 หลายเดือนก่อน

    ✌️✌️✌️

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 หลายเดือนก่อน

    Tunawaomba Karagwe jamani

  • @TonyTrans-xw3bb
    @TonyTrans-xw3bb หลายเดือนก่อน

    Hapa wapi?

  • @lorubaadvocates
    @lorubaadvocates หลายเดือนก่อน +1

    Business

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 หลายเดือนก่อน +1

    Lema wewe ni mzalendo

    • @kiyabolnjemu9646
      @kiyabolnjemu9646 หลายเดือนก่อน +2

      Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?

    • @YassinRajabu
      @YassinRajabu หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko หลายเดือนก่อน

    Chadema mna Kura nyingi

  • @MosesKamba-tk3lp
    @MosesKamba-tk3lp หลายเดือนก่อน +3

    Una lolote mchumia tumbo