MAPYA YAIBUKA MSIBANI /HALIMA KWENDA CCM CHADEMA WAJIBU/SPIKA TULIA ATHIBITISHA WOTE NI WABUNGE...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►TH-cam: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Dr Tulia Umegeuza Bibilia. Mungu Akubariki.
Ni Ufunuo 14:13 Sio 13;14. Hongera Saaana Kwa Busara Zako Mama
Hongera speaker wetu kwa mahubiri mazuri umenifariji neno imetugusa sana tumejifunza wewe ni Mwalimu nzuri.
Hiyo ni kazi ya Mungu kuhusu maisha yake mazuri au mabaya anajuwa yeye muumba
Spika Tulia ana hekima fulani ktk mambo makubwa.Hongera Sasa Dada Tulia
Mr speaker , you have alot of wisdom
Alima pole😂 Bosi tulia msibani umeongea maneno mazuri, na ni yakujenga sn tena ume tumia hekima, Mungu akupe maisha marefu🤝
Narudia mama huyu bora sana yaani kichwa anacho namkubali sana huyu Spika kwa kweli.atakaekwazika anisamehe
Huyu ukimpa nafasi anaweza kuongea hata mchana wote na watu wakakubali na wakamsukiliza na waka enjoy.kama Mwalimu vile.huwa hatembei na Notebook wala kalamu.dunia imemkubali cc ambao hamkubali ni chaguo lenu.
Nawapongeza sana kwa kuweka vyama vya siasa pembeni na kukaa kama ndugu katika tukio hili la kumuaga mama Halima🙏
Poleni sana wafiwa, na halima mdee mungu akutetee,
Pole sana mde
Mungu akutunze mama yangu kwA hekima yko mungu akuzidishie
Wanasiasa wanachekesha . Sio watu wa kuwachukia.. tuwapendee jamani❤❤❤❤❤❤
Mliomtesa mwanae mkae mkijua amekwenda kumtafutia mwanae haki yake kwa Mungu. Mlimfunga na kumpigapiga na mama yake alimfariji sana.
Embu mambo ya siasa wekeni sana huyu ni chadema mama na mwanae bc baba nae ni ccm hivyo tupendane ni km Simba na yanga Cha msingi tumwangalie mungu ili tufike kwake mbinguni
Siasa.kwenye.msiba.raisi.ni.kwa.watu.wote.kazi.kwenu.viongozi.fanya.kwa.wote.raia.watanzani.vizuri.sana
Punguza nukta kwenye uandishi wako
Spika huyu ana hekima nje yabunge rakini nae ni nyoka
Salim mwalimu uko vizuri
Mheshimiwa tulia ubarikiwe sana una hekima busara na uchamungu sana, mungu akutunze na kukubariki sana.
Nikosa kubwa sana kuongea mambo ya vyama nayo kua hutuba seemu ya msiba
Ahahahahah mazishi ya tz yanaanza kua kama ya wakenya sasa
Ziara ya rais mkoani morogoro
Nimefurahi kuona wabunge bila kujali vyama vyenu mpo pamoja lakini nyie wabunge wa ccm mlimtenga muheshimiwa Tundu lisu alivyolazwa hosp Nairobi
Kwani halima bado ni chadema?
Polen sana 😢😢😢
Achenii ujinga fanyenii kazini si kaz Za siyasa zaa ufisadi hadi kwenye makaburi mugeni turia basii
SIKUHIZI HAKUNA MISIBA TENAA, NI SIASA TUU MPAKA NDANI YA KUBURI. HAMNA HATA AIBU. MMEGEUKA KAMA ......
Tulia tu nataka bandari yetu.
Yaan jaman hata msiban ni siasaa😢😢😢😢😢😢!!!
Ni huzuni sana kwenye msiba mnaingiza siasa huyo aliyeanzisha tuliepuke sana kwanza vyama siyo ndugu mtu aweza kuhama chama LAKINI undugu hauhamwi hivyo tukifiwa Watanzania tunashirikiana tunafarijiana bila kujali kabila dini na itikadi za kisiasa kuja kutafuta wanachama msibani mi kiutweza utu na kuleta uchungu kwa wafiwa kwani wanaona kifo cha ndugu yao kimefanywa mtaji
Ccm bhan wana roho ngumu kama Herode unaweza sehemu gani nchi hii ukaongelea chadema ?
Wewe Tulia sisi unatufundisha nini😅
Wapi tunaelekea😢😢
Kuhamia ccm ni mbinguni mnachekesha sana bila aibu ccm
Spika Kwan yeye ni mwakilish wa serikali au bunge..?? Kwann serikali isitumwe mwakilish wake kupita waziri au maibu wazir..??? Na kwann spika anasemea kazi ya serikali badala kazi ya bunge..???
Wanasiasa mbinguni hamuendi kwa sababu mnakampeni msibani. Muheshimu msiba.
Huyo sio paroko...ni managed siasa
Yaani hadi misiba inageuka kuwa uwanja wa kampeni (SIASA)😢..
Jamani kampeni? Au msibani
Siasa msibani ya Nini mmeliangusha taifa
Tulia anaakili nyingi ila Hilo jamaan liloleta siasa hapo halina akili kabisa
Acha maneno spika ondoka bhanaa hapo sio bungeni ni msibani
Bado mmekuja kuwatonesha hata msibani?
Hayo mambo ya mm chama flan huyu chama flani mlsiban achaneni nayo zikeni mtu mambo ya siasa ni jukwaaani huko
WABUNGE WA CCM WOTE HAO USITUINJOI ...unasubiriwa kwenye chaguzi umbea na umbea utaisha
Kifupi nyote ni ccm kuanzia dr.silaa wote ni chawa wa ccm hatuna chama ila kitaeleweka huko mbele ya safali
Huwezi kuhalalisha kitu haramu kisaka tuu ni msiba
Msiba kila kitu siasa jamaan Acheni basi
Kwenye.msibani.maombolezo.yatosha
Siasa mpaka misibani
Upuuzi mtupu na ujinga tu, sasa hapo masuala ya siasa yanakujaje hapo masuala ya ccm yanatokea wapi yaani ni ujinga tu, huyo aliyefariki anahitaji walio hai wamuombee ili apate amani huko lkn unakuta mijitu mijinga isiyojitambua wala haijui inafanya nini inaleta mambo ya siasa, msiba sio jambo la mchezo mchezo
Si mumpige huyo mjinga mama mama
Na utalala kweli
Ni Ufunuo 14: 13 Sio 13 :14 Ubarikiwe
Ukiwaza kucomment unawaza kukosoa, hakuna zuri au lolote lililokubariki?
Focus kwenye strength part ya mtu kuna mengi ya kupata sio kuangalia weak part ya mtu
Ana PhD ya sheria lakini hajui sheria. Spika hapaswi kujidhalilisha kwa kumwakilisha rais wakati wote ni wakuu wa mihimili ya dola. Sikutegemea awe chawa japo kwa Tanzania, hili ni jambo la kawaida kutokana na kujaa wajinga wengi wawe wenye elimu au la.
jinga sana hili, utafikiri bwabwa
Ujinga siasa msibani mbaya sana.
Ni wewe utajibu mbele ya mugu siku za mwisho
Magu ndio nani wewe pumba??
Mjinga wa. Mwisho zaidi