Tumebarikiwa sisi tunasikiya ushuuda uyu !Don't take it for granted !Mungu anatuita tuwe INTERCESSORS !pole sana Wamayo ❤Bwana Yesu alitaka utujulishe mambo inafanywa gizani ..❤Davista you are a great evangelist in our generation ❤nakupendamo😂, aksanti sana na kazi ,you are the sent one in this generation ,Mungu akuwezeshwe kwa yote utafanya !Ushuuda iyi must be translate in english , in french ! Wasemaswahili mumebarikiwa ! I insist don't take it for granted ! As christians WE MUST REPENT ! And Pray like never before watu wamujuwe Christo😢
Yani Mimi nimejifunza kitu kikubwa sana Gizan malipo yake ni makubwa mno jmn kateseka snaa kisa pesa..na nimejifunza kua na kias kaua mpka mama uyu lkn wapi tumtegemeae zaidi Mungu
@@happsamwita7381 🤔kuna kitu kingine nafikiria kwa iyi shuuda🤔inaonesha kwamba wa Christu tunasinzia sana ,tungekuwa moto sana kwa maombi wachawi awezi fanya kazi ile ndani ya vile vijiji kwenye Wamayo alikwa napita ! WAKE UP CHURCH ! WE MUST REPENT realy 😢
WAMOYO WW MUNGU ANAKUPENDA SANA. UMESHAFIKA HADI KUZIMU.UKIWA HAI. HALAFU BADO UPO DUNIANI JAPO BADO UNA KAZI YA ZIADA MAANA MAMA YAKO ULIMUUA KWA PANGA
Mpaka nmeamua kwenda kanisani kabisaa,maana yawezekana nkapitiwa na hawa majamaa, aaah yawezekana moto wa jehenamu ukawa haya mateso ya shetani mungu ataacha watu wateswe hivi, twendeni kanisan jaman tumtii mungu nami nmeokoka from this minute
😂kumbe zumaridi uko ndo kwao ni jiji kuna maghorofa majumba makubwa😅😅😅 ila wamayo pole sana kaka hakina najifunza kitu kutoka kwako inshallah allah akuongoze😢🙏
I really like tz kiswahili but I don't understand words like kupiga mwano,aliachama, anasiginwa , msukule etc but bro you need to publish a book for generations to read.Government should not ignore or waste people like you
Wakwanza ,my likes
Tumebarikiwa sisi tunasikiya ushuuda uyu !Don't take it for granted !Mungu anatuita tuwe INTERCESSORS !pole sana Wamayo ❤Bwana Yesu alitaka utujulishe mambo inafanywa gizani ..❤Davista you are a great evangelist in our generation ❤nakupendamo😂, aksanti sana na kazi ,you are the sent one in this generation ,Mungu akuwezeshwe kwa yote utafanya !Ushuuda iyi must be translate in english , in french ! Wasemaswahili mumebarikiwa ! I insist don't take it for granted ! As christians WE MUST REPENT ! And Pray like never before watu wamujuwe Christo😢
Yani Mimi nimejifunza kitu kikubwa sana Gizan malipo yake ni makubwa mno jmn kateseka snaa kisa pesa..na nimejifunza kua na kias kaua mpka mama uyu lkn wapi tumtegemeae zaidi Mungu
@@happsamwita7381 🤔kuna kitu kingine nafikiria kwa iyi shuuda🤔inaonesha kwamba wa Christu tunasinzia sana ,tungekuwa moto sana kwa maombi wachawi awezi fanya kazi ile ndani ya vile vijiji kwenye Wamayo alikwa napita ! WAKE UP CHURCH ! WE MUST REPENT realy 😢
😂😢 nimechelewamo leo wamayo umefika kuzimu nakurud mshukuru mungu
Duniani kuna mambo makubwa jamni wakati cc tunaishi vzr na watoto wetu kumbe Kuna watoto wengine wanatumika kuwa dawa we mungu tusaidie inauma sana
Mungu ni mwema alikutetea
Hilo Jiji au ndo alikoenda Zumaridi akadhani ni Mbinguni
Ni mimi nimetokea kenya...kenya kama kenya🇰🇪🇰🇪 ivi...nimependezwa... Naaa weeewe...ndio maana nimo humu nakufwatilia....unanielewa vizuri braza
Wakenya tupo.Hii inabamba kuliko Shakahola
Davista si urushe full video jombaaa hii story mbona tamu😢
WAMOYO WW MUNGU ANAKUPENDA SANA. UMESHAFIKA HADI KUZIMU.UKIWA HAI. HALAFU BADO UPO DUNIANI JAPO BADO UNA KAZI YA ZIADA MAANA MAMA YAKO ULIMUUA KWA PANGA
Tukomo na wamayomo😂😂😂
Story kali
1.Zabron Mwita
2.Edwin Jambazi Sugu
3.Mbavu wa Dar
4.Mussa Chesa
5.Wamayo
6.Bakora za Kimkakati
Ohoo Ndo Jiji Alilopelekwa zumaridii😮
Wamayo anasitahili tunzo jamani ya hii story yake
Andika kitabu wamayo uta change life ya watu wengi sanaaaaa
Mzee wamayo Mungu akupenda sana❤❤
Nimekukumbuka Sana anko kasauti mwanee, nakuonbea napo na mie na pitia changamoto zangu. Nikuombeana tuu
🤕🤕🤕 yaaan mim leo nashika namba ya mkian... 🥺 Sijapendaa kabisaa me ni dada yenu tafadhal muwe na nidhamu.... Sweetie wamayo Asante .. ❤️❤️❤️🔋
😢😢💔💔💔 Nimeumia sana kuhusu hao watoto wachawi mfe kwa jina la Yesu kristo hamfai kuishi 😢😢
Rehema polee dada
@@Teacher_01 Asante sana
Nimechelewamo kukusikilizamo nilikuwapo kazinimo, tukopo pamojamo
Mmmmmmmh, wewe mtata
HIZI NDOSIMULIZI 6 KALI ZAIDI NA ZAKUTISHA
1.WAMAYO
2.ZABRON C MWITA
3.YULE JAMAA ALIFUATA UTAJIR ZIWA TANGANYIKA
4.J4
5.MAKOFIA
6.MBAVU WA DAR
Duh ila wachawi 😢 wana muudhi sana MUNGU
Yani ukikaa huku dunian kama hayajakukuta hiwezi amani ila uchawi upo sana nahawakumbuki kua kunakufa
@@kalssambaboo9932 adhabu za MUNGU nikubwa mno kuliko zao shauri yao.
Mungu kawaruhusu
Wamayo kumbe umefikamo mpaka kwa kina Zumaridi! duuh hapo imebakiamo kumuonamo mungu wa Mfalme Zumaridi 😂😂😂😂
😂😂😂 amefikamo
Nilikuwa nachunguliamo 😁😁😁🔥🔥
Mpaka ume ikutamo
Hongeramo
Nimekuwahimo 🤳✍️
Jamani watu wanampenda wamayo mumchangiemo basi
Tumesubiriamo mpk
Wewe fatma😂😂😂 mchangieno basi
Nakufuatiliamo wamayoooo hadi mwisho😅😅😅
Asante kwa usimlizi
Nimeanzamo mie wa mwisho.
😳😳🔥🔥🔥
Hongera Kwa ushujaaa wamayo
Kumbe imeanzamo😮
Part 43 pls tunaomba
Kabisa,kachelewa kuweka.
Haya Leo wakwanza like zenu
😂😂😂
👍🤣🤣🤣🤣
@@AminaLujendo-ci5om 🥰🥰🥰
Umeona hiyo? Mungu ni mwema
Mnunuliemooo chakulamooo alemooo kidogomoo bhanaa
Wamayo alienda gamboshi,,,maana kila cku tunaambiwa gamboshi ucku ni mji nzuri kama ulaya,,magorofa treen barabara nzuri vyote vipo huko
tuko apaaa chap kwa haraka
Gamboshiiii😮😮😮
Mpaka nmeamua kwenda kanisani kabisaa,maana yawezekana nkapitiwa na hawa majamaa, aaah yawezekana moto wa jehenamu ukawa haya mateso ya shetani mungu ataacha watu wateswe hivi, twendeni kanisan jaman tumtii mungu nami nmeokoka from this minute
Tuma number ya wamayo tumchangie❤
Nimeipatamo hahahahaha
Hatariiiiii
Story tamu hii
Tumengojeamo mno saana❤❤❤❤
😂😂😂😂
Hatimaye jamaa yangu ameiwekapo
Wamayo ndg yetu umepata chagamoto
Wamayo Anafanana na mti mkavu
Wamayo tayari hata Mimi umeshanipeleka Gambushi yaan nimeona matukio yooote nimeona lile jiji la Gambushi yaan kila kitu nimeona 🔥🔥🔥
Ni msimuliaji mzuri sana, haachi detail
Ulienda kufanyaj jmn
@@joivon3038 yaan story tu nimeshafika Gambushi😂😂😂😂
Kumb uliend mpka gamboxhi unatxha xan 😅😅😅😅😅😅
Mr DM
Davista jamani mbona ya jini najira na shemsa kimyaaaa😢😢😢
Wee jini gani huyo ahojiwe kiraisi raisi tuuh nabinadam mmh ujie jini wakiuongo uongo
Jini shamsa
@@munaahkiogakioga7330 haiwezekani jini kama jini
Huko gamboshi Siwezi kuleta watalii wangu kutoka Germany jaman nipige pesa wanapenda kutalii kuona vitu kama hvyo
Labda wawe wale wale waukae
Likaniangaliaaaa.. likaniangaliaa... likaniangakiaaaaa.🤣🤣🤣🤣
😀😀
Gamboshi nakumbuka zabron dah sante😂wamayo gamboshi kama gamboshi
😂kumbe zumaridi uko ndo kwao ni jiji kuna maghorofa majumba makubwa😅😅😅 ila wamayo pole sana kaka hakina najifunza kitu kutoka kwako inshallah allah akuongoze😢🙏
Asiiiiiii kushitukizia nimomo
Tupomo pamojamo wamayo
Sema angekuchapamo kamoja ungetusimuliamo
Topia chuma kingine cha wamayo
Jmn habari natafuta rafiki anaye ishi ujerumani 😂 bitte 🙏
Mie mwenyewe natafuta hata jirani sijawahi pata😂😂
@@cheiknamouna2058 🤣🤣
Jamaa yangu wamayo tuko pamoja
Alimuona alikua anakaa mji gan mbona humuulizi jmn
WAMAYO. NJOO. KWETU. SHINYANGA. NIKUOZESHE. DADAANGU. NIMEKUKUBALI. SANA. WAMAYO
Nitakuja mm namtaka msukuma
Naomba namba ya wamayo
Hilo Jiji ni Gamboshi Pana ghorofa 140,Pana treni toka Gamboshi hadi Bermuda triangle
Wamayo hadi gamboshi we kiboko
Wakwanzaaaaaas😂😂😂😂🎉
Nilicho gundua wachawi wana strong administration, hawana urasimu , na kupindisha mambo
No je suis vraiment choqué 😮j suis en retard 😢ça fait longtemps que j’attends mon épisode 😢
yaani ni jiji!
Kama laiza😂😂😂 twendeleee
Hii story nayo ni kama Isidingo
Uko ni gamboshi sasa niseemu atari sana kama ikifika uki kuludi utiani
UMEONA HIYO! 😂😂😂😂😂
watatu
What if that place the prisoners were headed was hell?
Wamayo
Kama laizaa 🤣
Mafuta ya upako ya mitume na manabii ndo hayo
🙏👊.
Nihatarimo
mwendelezoo please
Lakini nauliza hii sayansi ya wachawi si nikali mno..isipokuwa tu inaukatili wa kishetani ..lakini inatisha
Ukute ndo makata huyo
😅😅😅😅😅
Tupe 43 Davistar
Wa nne 😂
I really like tz kiswahili but I don't understand words like kupiga mwano,aliachama, anasiginwa , msukule etc but bro you need to publish a book for generations to read.Government should not ignore or waste people like you
Wakwanzaaaa 😂😂😂😂
😂😂😂😂