Ahijalishi kiasi gani we umepitia mengi sana ila ssi ndugu zako tumejifunza mengi sana kupitia aya maisha yako pesa muhimu sana ila Maisha yako yana na samani kubwa sana hapa duniani ukikosa amani ndani ya moyo utaangaika sana Mungu atuepushi na tamaha za dunia sote🙏
Shetani anakataza watu wasizini lengo nikum copy Mungu ila anakosea kwenye Kuua sijui kwanini mamlaka za giza zinapenda kuiga falme za Mungu kiutawala mpaka sheria.
Hii Habari ya mtu mnene , na watu wanaopewa adhabu ya kufanya mapenzi bila kikomo, pamoja na wasabii na watu maarufu huko kuzimu ziwa Tanganyika tulishawahi sikia toka kwa shuhuda moja huko mwanzo, nani anaikumbuka?
Wa kwanza Leo jameni😂
Maajabu Mambo ya Giza htr kwakweli
Tunakupenda na tunaikubali kazi yako, tumemmic na rwanda magere nakumbuka aliongelea huko ziwa tanganyika
Bwana Yesu asifiwe 💃kwa Yesu kunarahaaa..Miye nawapendamo❤❤
Ahijalishi kiasi gani we umepitia mengi sana ila ssi ndugu zako tumejifunza mengi sana kupitia aya maisha yako pesa muhimu sana ila Maisha yako yana na samani kubwa sana hapa duniani ukikosa amani ndani ya moyo utaangaika sana Mungu atuepushi na tamaha za dunia sote🙏
Tumacho tudogooooooooo.....!!! 🤣🤣🤣 Jamaa anapenda kukazia kitu..
Et mwingine anachezea uchi wangu😅😅😅 Wamayo unajua sana kusimulia
Wamayo aandike kitabu vitatoka vitatu na atapiga hela sanaa
Ungebakia hapo hungerudi duniani haki Mungu anakupenda sana
From Uganda
Anamacho tudogoooo na masikio tidogooo na kichwaa tudogooo kama ngumi hiviiii😂😂😂😂🤣🤣🤣wamayoo tukupe maua yakoo jamani unajua sana kisimulia hadithi aisee.. ❤❤🎉🎉
Asee hii dunia kweli noma
Nimemkumbuka Rwanda magere ziwa Tanganyika kuna Mambo Sana
Nani kama wamayo hakuna❤❤❤❤ top ya mwaka 2023 😅
Pole Sana kaka
No 1
Mrs wamayo nimefikamo jaman kidogo nisalitiwee jaman ofis yangu boss ni abdallah kichwa wazi...😂😂 Nawapendamo❤️❤️❤️❤️🔋
@@petermwaibofu7580 😌😌😌
Haaaa abdalla kichwa wazi unamjua nampendaga
Unasema kweli?
@@monicasilayo7015 🙈😛😛😛
@@Johansenbwakya-uq5zu haswaaaa... ❤️
Abdalah kichwa wazi😄😄😄😄
😀😀😀😀
😂😂😂😂😂
Sijuhi kwanini selemani Abdala na juma huwa wanatolewa sana mifano
Mmmhh hii dunia inamambo mengi tusiyoyajua kwakweli
Lakini kwa nguvu za ROHO MTAKATIFU tunaweza
Like wise story to lwanda magere
Wamayo kweli unasikitisha tena unafurahisha eti Abdullah kichwa wazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimejaribu leo kuwahi😅 nakuaga wa mwisho kila siku
😂😂😂😂 kweli umenifunza kitu wamayo
Jamani wamayooo Abdullah kichwa wazi tena
Abdallah kichw waz
MOTO. UMEKUTANGIZA. NDANI. (MOTO. UMEKUZINGIRA NDANI)
Wamayo bhana unafurahisha
From bukoba
Abdullah kichwa wazi
Leo wa kwanza na mm
Angaliamo
Ss kila mtu wa kwanza nani wa kwanza wa ukweli?
Kazi ipo
Angaliomo😂😂
🤗🚀
This time hakupiga show
Kweli tamaa Haifai
Mbn abdal kichwa waz
Abdallah kichwa wazi yan wamayo jmn
😂😂😂 wamayo. Wewe ni mcheshi sana tembea kenya
Jmn wamayo 🤣🤣,hao wadada walikuwa wanakuchukuliaje 🤣🤣 jamaa angu, hawakujui vizuri kama hata mafisi uliyalabua 🙆
😅😅😅😅😅
😀😀😀 ni kweli kidume kukaa na demu uchi asifanye kitu sijuhi labda kalogwa
😂😂😂😂 nimecheka Kama mazuri wamayo unampenda kupiga mechi sana .nimekupenda pamja na Abdallah kichwa wazi😂😂😂
😂😅😂
🙌🙌🙌
Nafikiri kichwa kidogo ilikuwa yenyewe, yaani "Abdallah kichwa wazi"
Abdullah kichwa wazi😂😂😂 huku Kenya tunamuita Johniiie ama kamau
Aaah tuko wengi huku kumbe 👏👏Hii Mjulus ya Wamayo ikiona mrembo haitulii 🤣🤣
Piga showdown
Atumiya mafuta yambrki kwejili yambaa
Kumbe ofisi n abdalla kichwa wazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Abdullah kichwa wazi😅😅😅
Kichwa kidogooooo na macho kidogoooo!
🤪🤪🤪🤪 Ofisi hoi!!!! Abdala kichwa wazi!
Abdallah kichwa wazi
Hati "ABDALLAH KICHWA WAZI" 🤣Nmemubania Humu🤣🤣walahi Io mtihani cwez pita,,,naeza wanyadua vbaya sanaa🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Wamayo 🔥
Wamayo tunakupenda pamoja na abdala kichwa waz🤣🤣🤣
Shetani anakataza watu wasizini lengo nikum copy Mungu ila anakosea kwenye Kuua sijui kwanini mamlaka za giza zinapenda kuiga falme za Mungu kiutawala mpaka sheria.
Uzinzi ni mbaya maana ukitumwa kufanya jambo huwezi utataka kuzini tuu
🔥🔥🔥🔥
Ungemuita bongeee wew n mbwaa
😂😂😂😂
13:24 "...ningetumbukia pale..."
😂🤣😂😁
Apo ata mim nimecheka sana😂😂😂😅
Abdallah Kichwa wazi😁😁😁😁😁
Kumbe shetan naye anamitihan ya kukuzuia usifanye uashelat
Jamn mungu hawezi kushusha ? Moto ziwa tanganyika ? Mbona watatumaliza kwakutaka damu zetu
Maombi yako yanaweza kuteketeza kabisa kuzimu, Ila gharama yake sasa
Piga jina la Yesu
@@bintalmasi2393 hakuna gharama tatizo imani ndio ndogo? Kuna watu wanaomba sana lakini baada ya muda unawakuta wanaenda kukanyaga mafuta ya upako😃😃😃😃
Vimacho vidoooogo 😂😂😂😂😂
Wamayo huyo hapa
People are faster
Hasa wamayo unaondoka naile hali yako unarud vipi au washaa kurudisha kwenye hali yako??
Jaaamaa amepitia mengi
Wamayo jaman Davis kesho ulizia Wamayo ka naeza mnunulia lunch kutoka kenya kwa hiyo numbers yake
Hicho kichwa au umeona kitenesi
Tuwekee vipengere vitatuhivi kwa siku
Ewaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Yulehulewamzee wabakor
Leo balaa😂😂😂
Sidhani kama tutakujaga kupata story kali kama hii tena leo ninairudia tena Mara ya tatu
Ofisi ikawa imekwishaa 😂😂😂
Kakichwa hivii kadogooooo Kama ngum tumacho tudogoooo
Hahaaa jmaaa amekomaa kweny kakichwa🤣
😊😊😊😊
Ndio wamayo
😂😂😂Abdallah kichwa wazi kabanwa wa mayo unanivunja mbavu
🙏👊✌️.
Abdalah kichwa wazi😂
Wamayooo Stori zako tunazirudia na hatuchoki.
Naona akina dada wako tu kwa abdallah kichwa wazi ata wamesahau story😂
Hahaha naenda kushikwa.ila n uchungu
Huyu jamaa wa kichwa kidogo niyule wakutoa mashunzi
Oyoooo
Davista mwambie wamayo atumie dawa ya ugonjwa wa ngozi kabla haujasambaa
Mpigie simu yake,
Inaitwaje hyo dawa
Wanawake ndo wanatufelishaga kwenye mafanikio
Ila mm naulizaswali je wamayo alipina kuhusu Yale mafuta alipyapata hapo mumetupoteza😊
Sialiambiwa aende huko kwa wakubwa hasa huko ndio watamrudisha hali yake
Kilete chuma
Na masikio tudogoooooo😂😂😂😂😂
Wamayo😂😂😂
Mbn kwenye uchi hapo jamaa anakazia sana 😃😃😃
Kichwa kidooogooo😂😂
Nimechelewa kiasi😢😅😅😅😅
Amdala kichwa wazi 😅😅😅
Abdala kichwa wazi😂😂😂😂
Ka soro mosheni Iv,
Hii Habari ya mtu mnene , na watu wanaopewa adhabu ya kufanya mapenzi bila kikomo, pamoja na wasabii na watu maarufu huko kuzimu ziwa Tanganyika tulishawahi sikia toka kwa shuhuda moja huko mwanzo, nani anaikumbuka?
Rwanda magere alisha wahi sema
Rwanda magere Mzee wa Bakola za kimkakati.
Jmn uy abdllah kichwaa waz 😂😂😂😂😂😂
Abdallah kichwa wazi aisee😂😂😂😂😂
Wamayo kwa kupenda mazuri balaaa
Wamayo,Musa chesa,Rwanda magere,zabroni na Mzee wa kula dawa,,hizi stori ni za moto sana😂😂
Mzee wa kula dawa ndio yupi
@@deusdeodavid5360 sinya mwizi wa mifugo
Uyu jamaa inabjdi awe mchungaji akyamungu nawaambia
😂😂😂 et Abdallah kichwa wazi😅