asee huyu jamaa, tangu nafatilia habar za davsta toka kwenye makala had sasa, hii ni namba moja asee hatar huyu jamaa kaptia changamot na kaona mengi asee
Hiiistory😂,kama ina isha kumbe haiishi,kama anapata msaada hiv kumbe anaongeza shida,kama anakata tamaa hv mara dalili za msaada zinaonekana, NISEME TU HIYO NGUVU ULIYO ONEKANA USIIACHE NDIYO NGUVU ZIPITAZO NGUVU ZOTE
Wa kwanza jaman like zenu
Mie wa mwisho leo nipe like zangu.
Unauza wapi like ??
kwa yesu kuna kila kitu wamayo mungu akulinde
Leo ulichelewesha jombaa am Salim currently staying at Algeria but me ni mkenya
Hiko kitt kilikua kihindi au kaafrica
Achangiwe aandike kitabu story safi sana na Mungu amsaidie
😂😂😂😂😂😂this man makes me happy May God bless you wamayu
Wamayo utaonekana lini jamanii😂😂😂
😂🤣🤣🤣😅🤣 ndo tunasubiri
Wamayo mzee wa (kushitukizia)
asee huyu jamaa, tangu nafatilia habar za davsta toka kwenye makala had sasa, hii ni namba moja asee hatar huyu jamaa kaptia changamot na kaona mengi asee
3 A.M still watching from kenya this life is very vey spiritual ....god information and job...JESUS MAY YOUR NAME BE GLORIFIED FOREVER
Hii ndo story kali 2023.
Kwakweli kaka wamayo umepitia mengi Sana pole ndgu yngu
Shetani amekusaka Sana wamayo bwana koma na yesu ndo solution
Ukistajabu ya musa utayaona ya wamayo😮
Huyu kaka nampenda sana
Chukua namba yke
Lkn sasa cha ajabu kingine nipeni like zangu
Jamn watu mko fasta hatar
Br story ako nzuri saan fanya mpango utengeneze movies.
Tanzania kuna mambo kweli!
Na hivo ndio hii story imefanya niogope ata watanzania wenyewe,hujui mbaya na mzuri ni yupi
Naombei like zangu
Wa kwanza leo mimi😂
Tuko pamoja sana hii story noma sana iko sawa sana 🔥🔥🔥🔥🔥
Jaman tukumbuke kumchangia kaka davista nazan tangazo tumeliona apo juu
Part 34 pls
Nimegusa na tako, kofuli ikafanya pacha
Pacha
Pacha
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Jaman inaonekana wengine hamfanyi kazi, macho yako kwa davistar tv muda wote kusuburi mzigo wa wamayo
Duuh! Hii story ni kiboko
Hahaaaa wamayo story nzur sana
Hii stori isiishe
Hii stori ni tamu sana
Wamayo yesu akulinde....leta namba yako tukupe hela za mtaji
❤
Mambo vip
Hii story ni tamu please muwe mnaleta part Nne Nne kila siku mbili mbili hazitoshi
Jamani wanakutesa kweli
Wa kwanza leo
Duuu watu wanatishaa team wamayoo
Twende kazi wamayooo
Waaa wamayo ulijionea maneno😢
Wamayo mi namba tu usinisahau
Dah wamayoooooo Nimefrahi tu 🎉
Twende kazi
Nice
Dah wamayo
wamayo mmungu anupenda kweli ulipitia haya yote lakini bado upo
Wamwisho
umetumikia sana watu nigekuwa ww sionekan ningeib pes nying SN na kuzifichaaa s kwasbb azionekani ..nikipona Naend kuchukua just for funny
Mm nimerudia story ya WOMAYO
Hatari Kweli waa
Nami nipo
Hiiistory😂,kama ina isha kumbe haiishi,kama anapata msaada hiv kumbe anaongeza shida,kama anakata tamaa hv mara dalili za msaada zinaonekana, NISEME TU HIYO NGUVU ULIYO ONEKANA USIIACHE NDIYO NGUVU ZIPITAZO NGUVU ZOTE
Duuuh uyo babu huenda n ndugu yke n uyo mwana marundi alikua tishio 😅
Hapa ndo nilisubili
Amlali
Tunataka kujua mwisho wa hii story
Wamayooo anajua kuhadithia..!!
Ila wamayo Wewe ndo Maana Ile ya kuishi kwingi ......😀😀😀😀,lakini pole omeona mambo ya maajab na ya kutisha
Tupa mzigo mzee
Wamayo ulivyopakwa iyo dawa uliona vitu gani vingi mbona hujavielezea
Hapo kwenye kujenga duka siku 5 ndo siamini labda kama walijenga duka la miti na udongo sio simenti
Acha ushambaphobia
Duka Sio nyumba,kwani linachukua ukubwa gani,
Dunia ina mambo jamani 😢
Watu wapo fasta
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
😊
Mimi nataka mununulie simu ya smart, na wewe tuongee naae
Mnunulie hta mm niongee naye😅
Storatamu natamani isiisha😂😂
👊✌️.
J.boys 1999
Toka unaanza mpaka sasa hvyo vyote vmetokea ndani ya mda gani?
Twende kazi na wamayo 😅
mm wa 40
Wakwanza😂
Wamayo khatar😅
Wamayo tume kombolewa Kwa damu ya yesu pia yeye siku yaja
Muoneee!!!! 😂😂😂
Kama kawaida tu naendelea
Wa tatu
Part 34 pls
Wa kwanza leo
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢