"sikuamimi kwenye Yesu kristo sababu hatukufunzwa kwenye misingi ya kidini" nmependa sana hili jibu coz lina tupa funzo kuwa kuna umuhim sana kuwalea watoto wetu chini ya mwamvuli wa Bwana wetu YESU ili Hata majarbu kama hy yakija yasitushinde
Sametimes ukiwa unaspirit ya kuwa tajiri mkubwa saaana lazima uwe mchawi Mana mama angu alinambia!! majumba ya kifahar na magar mazuri mengi yao n mali ya shetan
Davistar mm toka nianze kufatilia storia zako za Hawa watu,Daah yaani nimejua watu wengi wanao kufa sio kwa kutaka mungu,😢😢Ni shetani amechukua Nafsi zao, wallaih, mpaka nimekuwa muoga sanaaaa😥😥😥😥
Stor nzuri sana hebu nashauri uwe unawapa muda wanaanza kujielezea wenyewe kwanzia mwanzo wake mpaka alipo...nasema hiv sabab unapomuuliza maswari kuna vitu anaviruka
Neno la Mungu linasema fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, na andiko lingine linasema yy aliekuwa tajili alifanywa maskini ili sisi tuwe matajili . Yesu ndie aliekubali kufanywa masikini na alichukua tabu zetu pale msalabani Utajili unapatikana kwa Bwana shida ss niwavivu wa kuomba na sio watoaji na sio waanilifu ktk kumtolea Mungu sehem ya mapato yetu so utahili sio ushetani ni haki yetu kuupata
Na kazi ngumu kumbuka unapata pesa ya kula na maladhi hivyo vijana wengi wanataka mafanikio ya halaka na kumbuka pesa pesa ya halali inahitaji uvumilivu sana
Mbona ice zenu zatoa hela kidogo sana hela mtoto jamani Kwani hujafunzwaa ukiwa mdogo watu husalimia??ndomana mkapewa adhabu Bora mngepewa zaidi yahiyo ndokesho msalimiegee
Davistar wewe ni hatari sana, hauna mpinzani wengine wanaogopa kuhoji watu ila wewe umejitolea mungu akubariki kwa kazi nzuri,
"sikuamimi kwenye Yesu kristo sababu hatukufunzwa kwenye misingi ya kidini" nmependa sana hili jibu coz lina tupa funzo kuwa kuna umuhim sana kuwalea watoto wetu chini ya mwamvuli wa Bwana wetu YESU ili Hata majarbu kama hy yakija yasitushinde
Amen
Amen
Sametimes ukiwa unaspirit ya kuwa tajiri mkubwa saaana lazima uwe mchawi Mana mama angu alinambia!! majumba ya kifahar na magar mazuri mengi yao n mali ya shetan
hellen manzi kbsaa hujakosea mwenzangu
sure
Kweli kabisa
Yani.matajiri.wengi.wamefiwa.na.mamazao.kma.hawKufa.basi.wanashiriki.nao.tendo.la.ngono
Exactly👌
Duh pole sana brother ila nakusihi achana nahayo mambo okoka tunakukaribisha Jumamosi kanisani
Davista part 2 ije by 6: 00 pm bwana please stry tamuuu
Davistar mm toka nianze kufatilia storia zako za Hawa watu,Daah yaani nimejua watu wengi wanao kufa sio kwa kutaka mungu,😢😢Ni shetani amechukua Nafsi zao, wallaih, mpaka nimekuwa muoga sanaaaa😥😥😥😥
May God bring light where there is darkness...Asante Davistar...u brought light to the world bblessed,Change the world Mr Mata,I give you credit
Davistar, you're a preacher man , Change people, save them from darkness to light..JESUS CHRIST ..heaven is real.
Allah Atujalie kutuongoza kulea Vizazi vyetu kwenye Misingi Ya Kidini Ameen
Stor nzuri sana hebu nashauri uwe unawapa muda wanaanza kujielezea wenyewe kwanzia mwanzo wake mpaka alipo...nasema hiv sabab unapomuuliza maswari kuna vitu anaviruka
yah ni kweli kabisa
Kwel kabsa amuache ajieleze kama anavyo fanya salama jabir
Maswali yawe mwishon baada ya stori
Eeee MUNGU wasamehe vijana wako juu hawajui watendalo na uweke hofu ya kukuogopa ndani yao daaah 🙌🙌🙌🙌DUNIA hii 😭😭😭
Tuko pamoja davistar Kwa mastori yetu na mafunzo tuyapatayo ktk maisha yetu ya kila siku
Vip mr fact? Leta yale madude yako ya kiitelegensia.
1st one today to like& comment
Aisee itabid tuwafundishe watoto wetu kuzitii Imani na kuwa na hofu ya Mungu
Hapo umesema,
Ndomana hajali ninyingi sana
big up sana mr. facts
Ila nimegundua utajiri una siri kubwa sana Mungu tusaidie
Bigup bro for this unique information. Waiting for part 2,,big love 4u from 254city
Yeah . Umetisha Davistar
😘😘😘 Davi⭐⭐⭐MTU makini
Mr Facts Mungu akubariki Kazingua mikono yako amen 🙏
Mambo vp mtangazaji ndugu nakukubali sana
Davista nakukubali Sana aiseee
Heti Oyooo Tumefika🤣🤣🤣Aaaah hatari dooo
Asante kwa stor
Wewe Tatizo Pati2 Mbona Uweki Kwa Wakati Ili Tujue Stol Kamili Kwanini Unacherewesha Sana Ikiwa Watoa Stol Uko Nao Mwanzo Mwisho
Neno la Mungu linasema fedha na dhahabu ni mali ya Bwana, na andiko lingine linasema yy aliekuwa tajili alifanywa maskini ili sisi tuwe matajili . Yesu ndie aliekubali kufanywa masikini na alichukua tabu zetu pale msalabani Utajili unapatikana kwa Bwana shida ss niwavivu wa kuomba na sio watoaji na sio waanilifu ktk kumtolea Mungu sehem ya mapato yetu so utahili sio ushetani ni haki yetu kuupata
Jamani bora upambane tu mwenyewe izo pesa za kwawaganga Mmh hatar
Davistar mata mkasa was kijana alopofuka macho kwa mazingara ya Giza na huyu kaka nae ni nomaaaa sanaaa inaonekana kaua Sanaa arudi kanisani☠️🥃🍾🍷⛪⛪⛪
Nitaweka leo badae
Sa ngap tujuze mzee
@@DavistarMataMediaDM SAA ngapi
aloo itaendelea lini mbona kama bonge la stori
Uchu wa Mali na umaarafu umeponza wengi dunia hii....Kweli Ibilisi kateka wengi tu!
Dah waja tunamambo mengi
Mwache mtu ajieleze mwenyew maswal yako yanaaribu story...mpe mtu muongo ajieleze mwenyew
Davistar nakuzingatia sana bro..❤👌
kaka hongeraaa sanaaaa
Jamaa Maswali Yako Kwanini Yamebenzi Kunakotakiwa Tujue Mwisho Mtamu Unamludisha Nyuma Uku Pati 2 Aijulikani Unaeka Lini Unaboa Kidogo Kidogo Jamaa
Yani Allah atustiri jamani
tuache imani za kishirikina tuweke IMANI zeetu kwa mung.
Vijana wadogo hawapend kazi za kutumia nguvu wanapenda slope duh
Huko Tz mambo hayo ni mob sana,, Kenya hamna
@@jossmuigai5441 tamaa sio kitu kizur yan mtu haliziki na kipato chake halali mmmh
Na kazi ngumu kumbuka unapata pesa ya kula na maladhi hivyo vijana wengi wanataka mafanikio ya halaka na kumbuka pesa pesa ya halali inahitaji uvumilivu sana
prt 2 leo priss coast bus KE is has killed too many people i want to understand why
Pati On Zinakua Nyingi Sana Kuliko Pati Tu Sasa Hao Watu Awakusimuliaji Stol Yote We Jamaa Hau Vipi Tena Pati On Ninyingi Sana
Kitembezwa masaaa yotehayo jamani walijua kuwakomesha🤣🤣🤣
Mbona ice zenu zatoa hela kidogo sana hela mtoto jamani
Kwani hujafunzwaa ukiwa mdogo watu husalimia??ndomana mkapewa adhabu Bora mngepewa zaidi yahiyo ndokesho msalimiegee
🤣🤣🤣🤣🤣mutajua hamjui,,,,aliwapa kichapo Cha kihekma mlitembea mpaka mkajua hamjui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli Kabisa Allah Tunusuru In sha Allah
👊✌️
tuoneshe tuuu sura tuwajue maana wengine tumekoswakoswa huko mbeya😐
Home girl
Umenichekesha😁😁😁
254 locked
Iv ile ya kibofu imeisha???
Jameni hii dunia haikalika afathali kupaa kwa anga tukae huko yale nayasikia kwa hii Davister mata nimeogopa kila mtu dah!
Iko pouwa Sana mr mata mbeya mpaka chunya mjini NI kilometa 37 Part2
Chunya mbeya nauli Elfu 3.
Davistar mata tuko sambamba kabisa
Khaaaa hii dunia
Unamkatisha sana kwa maswali muache ajiachie
Ivi ikitokea siku msimulizi akisema ajawai kusoma shule yoyote ataluhusiwa kuendelea kusimulia?
Mwisho wa story 😊😁😀
Wewe davister duuuh unatembea mpaka mbeya duuuh
Duh ni hatari kwakeli
Jamani yaan Mbeya yetu ina mambo mengi sn km hya.
Davista muendelezo vipi
Duh
Mjooomba Ela haimilikiwii hivi hivi wanao miliki wana Siri zao
Part 2 plz
Pamoja mkuu
Dah part2 please
Wa 7
Kaka unamoyo ww jmn sa mlivokuwa mnauwa hizo roho za watu haziwalili jmn
Wawe wanashtakiwa jamani kwakweli wameua sana watu
Yan m mpk naogopa kulala na yy hana ht wasiwas anavyosimulia
Wongo mtupu. Wewe Davista una akili yakujuwauyu mtu anasema wongo. Angaliya miaka yake.ame nunuwa wapi, pesa ngapi.
Muache mtu aongee mwenyewe una wahoji sana kuna vitu wanaruka
Najua ninachokifanya
Ndio mana ukiingia kwenye haya magari au ukisafiri kila Mara ukiwa garini omba huku ukitaja jina la yesu,lina nguvu,linaokoa,linaponya
Kasome yeremia 17:5.
@@hamadshein498 sawa mkuu
Part 2 kk
Atari sana
nimewahi kidogo 111🤣
Nawasikiliza wazee wa kuwahi
Maryam said.kef haleshi.
Maswali mengi mpaka BAADHI ya maneno anayaruka ruka
davista wapi Part 2 ya hii story bro
Kuna Ile story ya kipofu Huja eka part two why 😥
Ipo angalia vizur
Leo unahoj vzur kaka mata
Nasubiria ya 2
hais ni nini?
Hawa jamaaa matajiri xio poa wanatatumalizaaaa
Itaendelea lini????
Davistar npe tuzo kila cku wakwanza mie
Hongera nitakupa
Hahahhahahaha jamani,sisi wengine hatuwahi kwasababu ya kazi,Ila siwwzi kosa kumuangalia davista npenda bure from Dubai
@@DavistarMataMediaDM love u💕
@@rahmasuweyd827 hata mi npo oman my ila davistar akituma wakwanza mie
@@DavistarMataMediaDM poa kaka yangu nakupenda bule
Mwendelezo uko wap
Wakumi leo
Uwe unaacha usenge unauliza maswali kidogo watu tufaidi mb zetu mnauz bana
🤣🤣🤣🤣anawatia adabu
Ungepitia nikununulie mi sugarcane hapa kwa road
Duh hatar
Alafu tuletee yule aliyegeuka shoga kisa mali, imekuwaje
Nimezaliwa Igurusi na nimesomea hapa, huyu jamaa mbona simjui? OK ngoja nimalize kumsikiliza
Story za kutunga hizi
Utamjuaje wakati sula yake ujaona mdau mbona watudanganya
@@patrickmgata7231 sawa ngoja nikuache
Duuuu majanga
Punguza kuuliza maswali
Mlikua mnalima mpunga na mchele.
pamoj
Duh wa 10 nawapa like wote mlio niwah siku nikiwa wa 1 mnipe like nyingi,😂🙄
Tutakupa
Davista, usicheleweshe bac part2
Waaaaa kumbe😳😳😳😳😳
Ulikuwa ujui kumbesa mlango wa makuti
Hatari
Naogopa za buree
Mwandishi boya kweli unauliza maswali ya kijinga ..
muendelezo
😂😂😂
Kwa mara ya kwanza na subscribe youtube chanel,hiki ni chuo cha mafunzo na hakika umekuja na idea nzuri sana!hongera