Story about relationships should be kept secret for your respect should not expose to the public because it will not help even if people knows about your love affairs so how many interviews will you make if you will going to chenge another relationship sheme on you.
Woyoooooooo relationship irejewe mnapendezana bahna kiukweli team Nandy na billnas tuugane bahna hawa watu warejeane km bado km unafurahia mahusiano ya Nandy na billnas like✔🙌🙌
Millard anastahil Grammy za utangazaj bora among presenter wa east Africa... Utangazaj unahitaj ustarabu na ueledi mwing san na kujipang vizur kabla ya kusema na hich ndo anacho Millard na weng weng katika clouds media kam kak yang masoud kipanya,🔥🔥 na dad yang babra nawaheshim sna
Nandy Umeshibaaaa hahaahaah i cant stop loughin yaani Millardayo nawapenda na interview zenu u guys are amazing i love Nandy she is too open 💖💖💖🥰🥰 keep it up @ Nandy @Millardayo
Nandy una mambo. ..kumbe ulikua unatafuta pesa kwa ruge ujifuraishe na Bilnass. ..mausiano yako na ruge ulikua unakataa lakini Bilnass unaitikia haraka kweli.
Millard Please I remember this was one of the best interview ever.As now they have accepted I would like to see you with them again.Because they refused and pretend.Now they have acted and the ring went to Nandy's hand.
Hawa wameziga tu ila maana yao sio pesa ni penzi sema wamehofia isije ikaonekana kama ni dis kwa ruge ila inavyoonekana ruge alilingilia hili penzi kupitia wadhfa wake ndomana bugana lao likavunjika japo walikiwa wawili hawa wanapendana bt today bugana(penzi) limerudi kwao kilichobaki ni vikao tu gonga like kama tuko pamoja
Nawakubali sana Nandy na billinas sema nimependa interview yenu maana haichoshi me nimejifunza kitu kwao jamani kuachana siyo vita oneni wanavyo furahi hapo ingekuwa kina mwajuma chokonoti hapo pangekuwa hapatoshi hongera yenu japo ninawasisi mtakuwa mmerudiana maana majibu yenu siyaelewi elewi 😂jamani ni me mwenyewe ambaye siwalewi au topo wengi like tujuane
Hapokwenye “block” 😂 there are so many of us doing it thinking dat we are protecting ourselves while on the contrary we destruct! Billnas learn man as u have made us learn the effects of blocking in relationships... Shout-out to Millard Ayo for the good interview as i am loving it and learn through it! Keep up the good spirit
Haya tulio rudia kutazama hii interview baada ya ndoa🤣🤣🤣gonga like😝😝😝
🤣🤣deal done
Yaani🤣❤️
Done😂😂
Umetisha
Yaan😂😂😂😂
Alie angalia hii baadaa ya harusi 💍💙 loves
Mimi pia
kuna siku NAYA ataona hii interview atalia kwa furaha.😍😍😍😍
Millard nakukubali sana bro💕💕💕👏👏 alafu maswali yako yakiustarabu na adabu tele👌unastahili pongezi kubwa sana
asante sana Shadia, shukrani kwa kutazama na kuniandikia
🙏💕
Story about relationships should be kept secret for your respect should not expose to the public because it will not help even if people knows about your love affairs so how many interviews will you make if you will going to chenge another relationship sheme on you.
@@millardayoTZA nakutambuwa na nakufatilia sana kazi mzuri sana thumps up 👍from 254 ,Andy ni kama mimi vle nikipenda nimependa
Uwingeneye Shadia nimekubaliana na ww kabisa
who is here to rewatch the interview after the wedding💚they vibe so well🎶💚happy marriage to them💚
Im here too ✅✅
Am here
Here too 😁
Niko hapaa a jamani nimefurahi hadi sijui najisikiyajeee
Nko hapa
Powerful couple finally wedding imeisha 16/7/2022 congratulations guys
Hatimae ni Mr and Mrs 😭❤️
Masha allah mbn unalia
True love never dies, now 2 days to your wedding.Wish you a happy married life
😂😂😂😂
Nimekuja kuangalia hii interview baada ya ndoa yao congrats to them😍
Here Iam
Hata mimi aisee.. True Love Never Die Wallah.
Tunaosubir ndoa ya billnas.....
Tujuanee🤗🤗🤗🤗
Me
Kyando Grace
Nawawi Online TV 😂😂😂
Ndoa tayari
Meeee
Nani yuko hapa baada ya engagement jamani... some likes tafadhali
Elizabeth Ndille haahahaa nimewahi iangalia interview wakati imetoka nimerudi hapa kuisikiliza upyaaaaa baada ya engagement
Tupoooooo
Good
Nandy na Bilnass kweli mpo Romantic sana😍😍
Me and u
Weka like kama unatamani kuona epsode no.2 ya kurudiana kwao! Af hawa bado wanakunjana.!
ha ha ha ha ha
😁😁😁
Josiah Charles hahahaha
⁰pp
Nandy is adorable. I love Nandy! She is so beautiful 😍😍😍
Go to her😛😂
Woyoooooooo relationship irejewe mnapendezana bahna kiukweli team Nandy na billnas tuugane bahna hawa watu warejeane km bado km unafurahia mahusiano ya Nandy na billnas like✔🙌🙌
Daaaa after engagement nimerud hapa wangap mmerud !! Nawapenda ❤️ wachaaa niedit after my powerful couple kufunga ndoa 16/7/2022 💃🏾❤️❤️🙌🏽
😁😁😁😁😁😁 mimi mmoja wao...!!!
Tupo wengi🤣🤣
Mimi pia nimerudi kwa kweli ,nawapenda
Tupo hapaaaa
Nawapenda sana hawa watu tena upendo umezidi baada ya ndoa. Mungu awarangulie❤❤❤❤❤❤
Mahusiano ya Aina hii huwa hayana mwisho "believe me"
Nawapenda sana hawa watu.... Ni couple ❤tamu sanaaaa❤❤❤❤
Billnas is blessed!Nandy anampenda sana huyu kichwa kama korosho 😆
Hii inaenda kuwa moja ya couple bomba sana hapa bongo!i wish them well
🤣🤣😂😂
Kichwa kama hahaaaa
😆😆😆
Ben Baden 😂😂😂😂😂😂mbona korosho
😂😂😄😄😄
Kama umeipenda kofia ya Millard gonga like hapa ❤️
The guy looks shy . But cool guy though... nady this is a good man wish you all the best. Beautiful
Kiukweli nimependa haya mahojiano
Nyie watu mpo real sana hakiii nime enjoy
Nimekupenda Zaidi Nandy uko So Really 💗
Millard anastahil Grammy za utangazaj bora among presenter wa east Africa... Utangazaj unahitaj ustarabu na ueledi mwing san na kujipang vizur kabla ya kusema na hich ndo anacho Millard na weng weng katika clouds media kam kak yang masoud kipanya,🔥🔥 na dad yang babra nawaheshim sna
Unajua maana ya Grammy? 😂😂
Bb
Billnas bana una bahati kapendwa na Nandy Sana Sana....!!! *(Blessed Billnas)*
Nakupenda sana #MILLARDAYO ILA NMECHEKA SANA😂😂🤣ila nmejifunza kila mwanamke lazima awe na wivu
Billy amesema anatamani kuowa badae ya mwaka 10 ilaa leo 2022 kaowa uwiii Mungu ni fundi sanaa😍🥰
Yan hapa unaon Kbxa nandy kapenda zaidi kuliko mwenzieee mweeee
ila baada ya ndoa Nenga kakolea zaidiiii
Finally you made it. Congratulations guys
Nimerud kutizam interview baada ya harusi ya hawa ndugu wawili…..mapenzi bana hongeren Nandy na bill
Hawa bado Wanapendana.. You were alwayz the best couple... Much love from 🇶🇦 🇶🇦
Nimeona interview nyingi ila sijawahi ikubali interview kiroho safi kama hii....safi sana watu wapo huru bila kukatishwa maongezi yao.👍👍👍
Kabsa mzee hujakkosea Interview za medea za wasafi unakuta kuna makelelee sipendi kuwaangalia wanakera ila hap unakuwa huru hadi raaha
@@issanaseeb7699 yani wanamakelele wale me mwenyewe wananitibua yani hawawap watu wanaowahoji nafasi yakujielezea
Nasser Abdal
@@issanaseeb7699 huo wivu
Nenga ni kama Whozu tu,mnafunguka sana, story nzuri
Billnas if you love Nandy go for it, why this hesitation?
Bilnass sema ukweli tu .....unampenda nandy she is cute ❤❤❤❤❤..mutahaba alikupenda sana nandy ila mungu akampenda zaidi.....
NANCY RUO RUO
Mmenifurahisha sana story zenu halafu nandy kumbe mcheshi fulani
This two are still in love.... The looks tells its all. Nandy bado anampenda xana billnass
True
Anaonekn sana anampenda anajichekesha tuu
Like Kama umependa heren za Nandy 😍😍
Domina Samwel kaaa jamn ww hahhhhh
@@dswaytz6145 nzur et
Ni nzuri mno
Hey
Kuna watu hawawezi kukutana na ma EX wao ni kweli au uongo 🤔😅 kama ni kweli.
Dondosha like yako hapa
Moja wapo mm
Kama mnakutana means bado mnakulana kinoma
Kwanza mm wala sitamni hata nikutane naye maana aliniumiza sanaaaa
Mmoja wapo mie
Mara nyingi EX wangu Wote ni marafiki na napiga nao story fresh
Kama umeskia nandy akisema chizi kweli weka like yako hapa
Yaani kama waandishi wa habari wangekuwa wanapewa tuzo basi Millard Ayo angewakimbiza sana tz
Alishawahi pewa tuzo huyu chalii 2015
Interview Mzuli Akuna Mazogo Kama Brok89
ELISHA KYAMBA na lilomy
ELISHA KYAMBA huyu sio muandish ni mtangazaji nawew
@@salummpala9256 we ndo unasema lkn block89 ndo pindi bora bongo tz
The gerl is so composed..the chemistry btn bill and nandy is so😙😙 inteview is on point big up millard....nandy anampenda billinas mara 👇👇👇
Nandy Umeshibaaaa hahaahaah i cant stop loughin yaani Millardayo nawapenda na interview zenu u guys are amazing i love Nandy she is too open 💖💖💖🥰🥰 keep it up @ Nandy @Millardayo
Beautiful interview. The real power couple. Forever William and Faustina.
like kama umependa this conversation am all the way from congo
Nandy una mambo. ..kumbe ulikua unatafuta pesa kwa ruge ujifuraishe na Bilnass. ..mausiano yako na ruge ulikua unakataa lakini Bilnass unaitikia haraka kweli.
Hi
Hawa watu toka zaman walikuwa wanapendana jamaniii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🧡🧡
Hawa watakuwa wanakulana bado kama unaikubali hii gonga like
Waaachane weeeeee!!!!!!!!!!!
@@zullaicamatola3431 kweli bn ila hawataki kuwa waz
Chris Mnicko mavi ya kale hayanuki
Chris Mnicko hahaha
@@chrismnicko9430 mkunaji😂😂😂😂😂
Hey hii interview poa sana nimekubali, keep it up billnas na nandy. Much respect to u two
Millard Big 👆 love you. Nakukubali sana kwa Interview mungu akukuzishie manjonjo
kwa maringo haya hawa wanagongana bado hawa km unakubaliana na mimi gonga like nyingi kwangu
Jamani ninyi wasanii mna laana kabisa, mnacheza na akili zetu
Arafu Nandy kamzidi jamaa ujanja Kama una Amini ilo gonga like apaa
Kabisaaaaaaaaaaaaaa nimeno like haitoshiiiz😆😆😆😆haswa huyu toz boy uwiii maringo hadii kwenye kucha akatii wakawaida tuuh
mme damshii
Umeonaee
Millard Ayo...nakupa hongera za dhati kwa uthubutu wako kama kjana ulo amua kujiwekeza ktk tasinia muhimu sana ya kimaendeleo ktk jamiii ya kdunia...
Millard Ayo na Nandy ni perfekt Match 👍👍👍👍👍👍👍 Ama Willy Paul Willy Poze 👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Gonga like kama billnasi alishukuru ruge alivyofariki
Bugana iko njema sana...
couple nzuri sana iko huru sana sana
Milard nimependa studio yako, sio studio zengine kila mtangszaji ataka kuongea na mic zabembea kama crane za port....big up milard
😂😂😂😂😂😂Wasafi
That is the true definition RELATIONSHIP 💞💕
Gonga like kama umeikubali bugana..
Imagine 😥 amm here just now Nandi always my favorite all way from wasikudanganye❤❤❤n billnass ❣️❣️❣️
Millard Ayo mm Nakupenda sana kaka angu lakn katika Kristo YESU,,I wish nikuone live cku moja!
Congratulations Mr Millardayo 💕
Millard Please I remember this was one of the best interview ever.As now they have accepted I would like to see you with them again.Because they refused and pretend.Now they have acted and the ring went to Nandy's hand.
Bonge moja LA ngoma B U G A N A
My Nandy keep fire burningggggg
Bonge moja la couple
AMBAYE YUKO HAPA LEO BAADA YA NDOA KM MIMI,SO LOVELY
Dah nimecheka thn nimelia hakuna kitu kizuri Kama mahusiano mazuri nakupenda my sister nandy
Hawa wameziga tu ila maana yao sio pesa ni penzi sema wamehofia isije ikaonekana kama ni dis kwa ruge ila inavyoonekana ruge alilingilia hili penzi kupitia wadhfa wake ndomana bugana lao likavunjika japo walikiwa wawili hawa wanapendana bt today bugana(penzi) limerudi kwao kilichobaki ni vikao tu gonga like kama tuko pamoja
Kumbe umeona
Hahahahaha
Aujapita mbali mzee , ivo ivoo🙉🙉
Fadhili Kigwama ndio maana hata lady kaamua kurudi kwa gadna G kweli yule jamaa alivuruga mapenzi ya watu
Fadhili Kigwama hawa madem tatzo c malaya
When I grow up I want to be a celebrity then millard ayo unifanyie interview sababu he sooo professional 😍😍😍😍😍😍
Mkiachana achaneni kabisakabisa jamni tunapata tabu sana sisi wambea wa mjini😆😆😆😆Bugana♨️♨️💥💥 Mashaallah Nandy umependeza mamy
Hahaha we hangaika na umbea we Nzako bugana
😅😅😅
Hahahaha wambea wa mjini
This interview its so awesome . nandy the way u fall in love and jealous like me 🤗
Nimeipenda sana hii interview mpk nimeamua kuisikiliza nyimbo ya kivuruge
Nyie mnao omba omba like kuna nn jmn kwan ni sadaka 😒😒😒😫🤗🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahahahahaha hawa wasenge wananiuzi kinyama wallah
😂😂😂😂😂😂hawanaga kazi
Wehu
Amiri Ramadhan umeona ee 😂😂😂😂😂😂🤤🤤🤤
Azza Mahamdu kweli wanabore 😫😫🥵🥵🤣🤣🤣
Nawakubali sana Nandy na billinas sema nimependa interview yenu maana haichoshi me nimejifunza kitu kwao jamani kuachana siyo vita oneni wanavyo furahi hapo ingekuwa kina mwajuma chokonoti hapo pangekuwa hapatoshi hongera yenu japo ninawasisi mtakuwa mmerudiana maana majibu yenu siyaelewi elewi 😂jamani ni me mwenyewe ambaye siwalewi au topo wengi like tujuane
Mudy Hamza hahahahahahaha
Nami siwa elewi awa asee kuna mapicha picha instar wenda wameludiana
@@antybabybintrashid2333 😂😂😂hawaeleweki hawa watakuwa wamechemsha kipolo chao
@@HightechTz me mwenyewe nimeona ila hata majibu yao hapa yanaonyesha dhahiri dalili za kurudiana
Mudy Hamza hahahhaahha bifu miaka mia na kila tukionana tunaanza upya hahha
Hapokwenye “block” 😂 there are so many of us doing it thinking dat we are protecting ourselves while on the contrary we destruct! Billnas learn man as u have made us learn the effects of blocking in relationships... Shout-out to Millard Ayo for the good interview as i am loving it and learn through it! Keep up the good spirit
Mapenzi y kwel yanakujaga mojakwamoja hta mkiachana mtajishtukia mpo pamoja
Kweli
Daaah kweli kabisa
Am here after wedding straight outta instagram
"Nilitaka huyu" wow wow. Th is guy is simply a player. Hamna kitu hapa, hana uwezo wa kuconnect na mwanamke emotionally
Nan yupo hapa baada ya do me😂😂🔥🔥nyimbo yao mpya..
Yani kuna watu wanatakiwa kujifunza hapa mond jifunze kuachana na mtu sio vita
Debora Mrema safi
Kweli
maana angeanza kumponda mtu yule
We umeona Mond tu
You can see love on there eyes my nandi love is a beautiful thing
I love u Bill & Nandy .... Millard I do the same good work . I appreciate u gyz
Walah nime enjoy balaa interviews yakibabe sana milard😍
Bill handsome 😍😘
Millard hakikisha Kuna part 2😋
Ebana inaonyesha Sana billnas na nandy mapenzi nikamayotee,mungu awajalie kabisa penzi liendelee
Two months ago now we need party 2 pls
Bado wanapendana and they can make a great couple
Kweli kabisa hawa bado wanapendana
Hawa hawajaachana
Nahisi wamesharudiana ila wanajiuliza watangazeje kurudiana kwao?????????.
Kuna kitu ruge alimzidi billnas ila nandy alimpenda bill
Coulpe leo imeweza! Imeweza tena
Nandy nimchangamfu adi rahaaaaa nampenda sanaa
This guys are so humble kweli.
Wangapi waliangalia akihojiwa bilnass akasema hawezi kuowa atasubiria sn.
Kweli!
I love Millard so much,Gosh!!!
Daaaaah kwa kweli mb zangu zinaenda kwa haki kabx
Nandy,
You are so cute in many ways. I hope you make the right decision please... . 🙏
Nancy you really look fine with billnass
Millad you good bor mungu akubarik kwa maswal ya busala
Interview 😙😙Millad part 2 basiiiiiii...usitufanyie km ya Zari mpk leo haijaisha..!
I loved this couple so much 😍 and i wish you guys mrudianee..
Warudiane mala ngap😅
Mapenzi nyie acheni yaitwe mapenzi
Hawa wanapendana kabisa.mahaba mazito kabisa.nyuso zinaonesha.bora mrudiane tu
Nawapenda sana...Bill na Nandy...Mungu aliandika muowane...mnapendana...mnaendana...Mungu awafikishe salama..
My best couple..my best interview ever
Napenda inteview yako Millard but apo kwa mbwa wameniuliza mungenipea izo pesa🤣🤣🤣🤣
Nandy is in love with billnass kama unakubali gonga like hapa twende Sawa.