BILLNASS AFICHUA NANDY ALIVYOKUBALI KUWA MCHEPUKO WAKATI AKIWA NA MPENZI MWINGINE "NILIMCHAGUA YEYE"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 189

  • @sashoright8213
    @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว +8

    Haha kajua kung'ang'ania uyu dada😂😂😂

    • @daimondelfina5689
      @daimondelfina5689 2 ปีที่แล้ว

      Kwakweli,afu anasema kabisa eti akapigiwa akaambiwa it's over duh!!

  • @liliangood388
    @liliangood388 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana ndany

  • @suejohn9135
    @suejohn9135 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyo mwijaku😂😂🙌jmn

  • @الوردالورد-ز4غ
    @الوردالورد-ز4غ 2 ปีที่แล้ว +18

    Hata pia Billnass umevumilia kumpata Nandi hongera

  • @نجمةموبيبي
    @نجمةموبيبي 2 ปีที่แล้ว +18

    Mi niwapongeze sana , kwakweli huu ni upendo wa hali ya juu, Na mungu awabariki Na kuwatangulia kwenye ndoa yenu , naamin mtadumu milele Na mtajenga familia ilobora zaidi kwenu nyinyi na kwa jamii kwa ujumla

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 2 ปีที่แล้ว +13

    Nandy she looks soo beautiful 😍❤️💕💕💕👍🏿🔥🔥❤️💕👍🏿

  • @MagrethEvarist
    @MagrethEvarist 4 หลายเดือนก่อน

    Bilnas sio umnyanyase mwenzako Lisa kukubali kuwachepuko

  • @ngwasikilulu2590
    @ngwasikilulu2590 2 ปีที่แล้ว +1

    Background music inafanya tusisikie vizuri jamani, miwe mnapunguza kidogo

  • @Msafiri-sl8bq
    @Msafiri-sl8bq 20 วันที่ผ่านมา

    Mashaala hongereni nyote pia nawapenda sana

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 2 ปีที่แล้ว +7

    Nili juwa ni nandy kapenda sana ila sio issue , tuna watakia mema 🙏

  • @dariuskasitu5594
    @dariuskasitu5594 2 ปีที่แล้ว +5

    Kama umesikia sumbawanga piga kelele

  • @sazanahussen6715
    @sazanahussen6715 2 ปีที่แล้ว +15

    Kila mtu anapangiwa mtu wake hongeraaa sana bill na mandy❤️❤️❤️❤️🥰

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 2 ปีที่แล้ว +3

    Wewe nandy umemuiba mwanaume wa watu, yatakutokea puani Mfyuuuuuueee

    • @anethgodwin3224
      @anethgodwin3224 2 ปีที่แล้ว +1

      hajamuiba sababu hakua ameoa

    • @barakaalecnathaniel3716
      @barakaalecnathaniel3716 2 ปีที่แล้ว

      Yani girlfriend tu ndio iwe kesi..Tena ukiona mtu kaweza kuondoka maanake hakukuwa na cha ajabu hapo kati ya hao wawili so Nandy hana kosa lolote..Billnas aliamua kutokana na kupima situation iliyokuwepo

  • @missmwemba6094
    @missmwemba6094 2 ปีที่แล้ว +7

    Harusi bci mambo mengi kweli paka mnaboo haya heri nawaombea muoane mkadumu s vimambo kibao alafu mwisho muachane nyote MA artist sioni ndoa hapa mume ywakaa ameboeka

    • @johnngongi4810
      @johnngongi4810 2 ปีที่แล้ว

      Umetoaaa mchango 😂😂

    • @maikokaseke6146
      @maikokaseke6146 2 ปีที่แล้ว +2

      Acha wivu Taft mume uolew uon km itaboa🥴

  • @johnnytravo
    @johnnytravo 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwanamke amebeba dhamana ya uhai wetu kabla hatujaja rasmi Duniani 🙏 th-cam.com/video/iYjijfV-YRw/w-d-xo.html

  • @estersilvester423
    @estersilvester423 2 ปีที่แล้ว +5

    jamani sura nandy imejaa hadi kabadilika ila atarudi sawa

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein8430 2 ปีที่แล้ว +4

    Nawapendaaaa nawapenda nawapendaaa tena ......jaah awabless na kuwaepusha na vijini kisiran

  • @bahatijuma1626
    @bahatijuma1626 2 ปีที่แล้ว +6

    Allah awabariki lnshaallah

  • @LizzyMadangi-zq2dc
    @LizzyMadangi-zq2dc 6 หลายเดือนก่อน

    Me wakwanza jaman

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 ปีที่แล้ว +3

    th-cam.com/video/QN5ACFcSBIE/w-d-xo.html
    DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM,
    HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*

  • @heriaskyakimwa9372
    @heriaskyakimwa9372 2 ปีที่แล้ว +2

    Nawapongeza sana kwakuvumiliana mpaka hapo mumefikia

  • @ritahenry9756
    @ritahenry9756 ปีที่แล้ว

    Kwalugha fupi jamaa ali cheat, interesting and ridiculous.

  • @immaboy8153
    @immaboy8153 2 ปีที่แล้ว +7

    Ila hili lijamaa linapendwa dah😂😂😂kmmae

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 2 ปีที่แล้ว

      Hadi wivu 😀😀😀

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂

    • @aminanuru2022
      @aminanuru2022 2 ปีที่แล้ว +1

      hahah na pesa iwepo.ikikosekana yanapungua

    • @Hamidkaran
      @Hamidkaran 2 ปีที่แล้ว

      @@princekarani7836 🤣🤣🤣 you

  • @hellenpaul2149
    @hellenpaul2149 2 ปีที่แล้ว +9

    Nawapenda sanaaa

  • @ngwanasongowelero7153
    @ngwanasongowelero7153 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmh kweli mumetoka bari

  • @azizamtoi3468
    @azizamtoi3468 2 ปีที่แล้ว +6

    Huyu mwanaume kichwa kimetulia

  • @barakakephasi4741
    @barakakephasi4741 2 ปีที่แล้ว +8

    Mm nachukia mwijaku hayuko professional anauliza maswali ovyo tu jamani swala la uandishi wa habari serikal iweke msimamo anawezaje kumuambia mtu msanii kwa kucomand toa sauti basi hii ni ya wapi @millard Ayo

    • @princekarani7836
      @princekarani7836 2 ปีที่แล้ว +2

      Tatizo anauliza kimbea mbea

    • @vinnahjasson5546
      @vinnahjasson5546 2 ปีที่แล้ว +1

      @@princekarani7836 kama alivokua mmbea

    • @mayqueen6798
      @mayqueen6798 2 ปีที่แล้ว

      Mwijaku is a disappointment to the manhood

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwahiyo ni kama nandy aliiba mwanaume wa mtu?? Maana kilichosababisha bilnass akagombana na mdada (ex wake) ni huyo nandy. Mmmhhhh😵😵😵💔

  • @georgehaule158
    @georgehaule158 2 ปีที่แล้ว +3

    Congrats Bilnas and Nandy you guys you love each other

  • @Hosspert
    @Hosspert 2 ปีที่แล้ว +10

    Hongera yenu bhnaa..🙌🏽

  • @elredanthony1245
    @elredanthony1245 หลายเดือนก่อน

    Ni nomaaaaa😅

  • @nightwishisthegreatestband6355
    @nightwishisthegreatestband6355 2 ปีที่แล้ว +16

    Bora ungekaa kimya kuhusu hilo. Sio kila kitu ni cha kutuambia. Unamshusha hadhi nandy.

    • @phinaswai4718
      @phinaswai4718 2 ปีที่แล้ว +5

      Hadhi gani anamshusha?? Hakuna jipya chini ya Jua

    • @pamanyango8917
      @pamanyango8917 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabisa hakuna kitu jipya

    • @goldengirltanzania.458
      @goldengirltanzania.458 2 ปีที่แล้ว +3

      Mwanamke hashuki hadhi ata siku moja ni mwanaume mwenyewe ndio anajushusha akiongelea vibaya kuhusu wanawake anajionyesha mwenyewe kwenye jamii jinsi anavyowaangalia wanawake kwasababu hata yeye ametoka kwa Mwanamke.Kama Mwanamke anajitegemea hakuna cha ziada unachoweza kumpa ni ameamua tuu kukuchagua amna cha hadhi hapa.

    • @mwanaidsalehe1109
      @mwanaidsalehe1109 2 ปีที่แล้ว +2

      Hakuna binadamu aliyemkamilifu anamshusha hadhi gani yote yaliyotokea imebidi yatokee huo ni mpango wa Mungu.

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 2 ปีที่แล้ว +1

      @@goldengirltanzania.458 weeeh weeeh weeeh futa kauli yako mweeh! Mwanamke akikazwa na kufirwa sawa sawa! Basi no mtumwa tuuu! Weee vipi? Unajifanya hujui? Mbona unatombwa gari??? Tena junanyonyeshwa mbooo nyau wewe!!!

  • @reginamluviji9405
    @reginamluviji9405 2 ปีที่แล้ว +1

    steve akheee anatetemek kiuongo hapo😅😅😅😅😅

  • @jfineisaac6219
    @jfineisaac6219 2 ปีที่แล้ว +6

    MUNGU nisaidie nisitumie nguvu kuielezea ndoa 🙏🏾

  • @lilianestephanie7881
    @lilianestephanie7881 2 ปีที่แล้ว +1

    Badala ya nandy kumsaidia bilnass adumishe mahusiano yake yeye anamuiba Mfyuuuuuueee umenikwaza

  • @sakinanaftali7929
    @sakinanaftali7929 2 ปีที่แล้ว

    WIMBO WA MAJIRA YOTE.. KARIBU KUTAZAMA. #TUNAMWAMINI
    th-cam.com/video/ZhY-T8wk4Do/w-d-xo.html

  • @kibeyomuhongo8451
    @kibeyomuhongo8451 10 หลายเดือนก่อน

    Napenda sana kusikiliza story zinazumuhusu dadaangu Nand

  • @irenemtema4302
    @irenemtema4302 2 ปีที่แล้ว +6

    Napenda hii couple jmn Mungu azid kueasimamia katika familia mtakayoanIsha

  • @shaneshane4175
    @shaneshane4175 2 ปีที่แล้ว

    Bas kudakia muacheni mtu ajibu anachoulizwa🤣🤣

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 2 ปีที่แล้ว +2

    Mbeya oyeee

  • @sarahlimbu9305
    @sarahlimbu9305 ปีที่แล้ว

    Tutafute hela tuoelewe na agemate wetu😂

  • @tousihhhh6765
    @tousihhhh6765 2 ปีที่แล้ว +2

    huyo chizi mwijaku anafanya nn huyo chizi

  • @matembo2145
    @matembo2145 2 ปีที่แล้ว +10

    Waliandikiwa kuwa p 1

  • @calveenykevoo5399
    @calveenykevoo5399 2 ปีที่แล้ว +13

    Duuh kwan bill nenga umempa nin uyu dada na me ntumie kwa mtu wang

    • @gracesilayo7670
      @gracesilayo7670 2 ปีที่แล้ว

      Haha ili akugande au

    • @mamunaves7717
      @mamunaves7717 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂sa apo ncheke kwanza

    • @yasnaghump5763
      @yasnaghump5763 2 ปีที่แล้ว

      Anampelekea Moto wa kiukwel

    • @rezegerezege691
      @rezegerezege691 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu 2 ปีที่แล้ว

      Tigo tuuu ndo mambo yooote! Tena akiharisha unakula pia!

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 2 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/QN5ACFcSBIE/w-d-xo.html
    DAWA YA KUSAFISHA MFUMO WOTE WA DAM,
    HUTIBU NA MAJIPU SUGU#*

  • @muzikiprofile
    @muzikiprofile 2 ปีที่แล้ว +1

    Wangapi waliskia hii 👇👇
    th-cam.com/video/KgvKJ0gI_Js/w-d-xo.html

  • @nyamwinukankwera3749
    @nyamwinukankwera3749 2 ปีที่แล้ว +3

    Hongereni sana 😘

  • @neemaalex6404
    @neemaalex6404 2 ปีที่แล้ว

    DADA NANDY NAOMBA UR DIALS

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 2 ปีที่แล้ว +17

    Axa Kama alikubari kuwa mchepuko wako kipindi una mtu mwingine Basi tambuwa kuwa bado anaweza kuwa na mchepuko mwingine pia akiwa naww, pia usisahau yule mzee wa mabolingo alivyo fanya ndivyo hivyo hivyo itakuwa na nikama szon inaendelea Kaka 😅😅😅 afu utakuja kutusimlia Tena

  • @yusrasalum
    @yusrasalum 2 ปีที่แล้ว

    Nandy na billsnas hongerani sana mwijaku anapiga maswali 😀😀nawapenda husda zipite mbali

  • @danielgozibert-ve3kw
    @danielgozibert-ve3kw ปีที่แล้ว

    Nawatakia maisha marefu

  • @poshiah
    @poshiah 2 ปีที่แล้ว +4

    Heheee billnass nakupenda sana na pia Nandy my African princess hehee nifanye na mm mke wa pili jmni 🤣

    • @sashoright8213
      @sashoright8213 2 ปีที่แล้ว

      Nmexhekaa😂😂😂

    • @poshiah
      @poshiah 2 ปีที่แล้ว

      @@sashoright8213 🤣😅

  • @silvanusjames8984
    @silvanusjames8984 2 ปีที่แล้ว

    Billnas nakumbali

  • @miriamalute1540
    @miriamalute1540 2 ปีที่แล้ว +7

    Nimejifunza kuto kukata tamaaa

  • @aminaomary5656
    @aminaomary5656 2 ปีที่แล้ว

    Nawapend sana

  • @agnesshonga7570
    @agnesshonga7570 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamani billinas mbona kama hayupo

  • @rehemahigilo943
    @rehemahigilo943 2 ปีที่แล้ว

    Nawapenda mungu awalinde

  • @kasianatarusis7438
    @kasianatarusis7438 2 ปีที่แล้ว

    Ongeleni sana

  • @adbellar338
    @adbellar338 2 ปีที่แล้ว +39

    A women's tears can never be another women's happiness.

    • @dianamdaku9802
      @dianamdaku9802 2 ปีที่แล้ว +1

      True

    • @puritysiror
      @puritysiror 2 ปีที่แล้ว +12

      Unakosea sio lazima unayempenda akupende

    • @misschagga8042
      @misschagga8042 2 ปีที่แล้ว +3

      Kuna huu usemi unasema kufa kufaana.ukiuelewa basi jibu ndio hilo.

    • @rajabdibwa6415
      @rajabdibwa6415 2 ปีที่แล้ว +2

      One mistake one goal

    • @rebecaerick7887
      @rebecaerick7887 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwani amemuiba?

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu anaechagua kamati ni nani yaani mpk akachaguliwa Mwijaku Si angechaguliwa mrisho tu🤣🤣

  • @bentez911
    @bentez911 ปีที่แล้ว

    😳😆😆😆😆😆

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 2 ปีที่แล้ว +1

    Msituchoshe

  • @Nikita_8017
    @Nikita_8017 2 ปีที่แล้ว

    Nancy looks very beautiful

  • @rymax7790
    @rymax7790 2 ปีที่แล้ว +3

    Very genius bill nass💪🤞

  • @fatmaramadhan762
    @fatmaramadhan762 2 ปีที่แล้ว

    Huyu muha mwijaku jaman 🤣🤣

  • @salmaedwin9845
    @salmaedwin9845 2 ปีที่แล้ว

    Hongereni

  • @marianbakeske6830
    @marianbakeske6830 2 ปีที่แล้ว

    Have realized today kuna nandy na Nadia mukami

  • @estherkajiru5830
    @estherkajiru5830 2 ปีที่แล้ว +1

    Mimi more

  • @dorothyannan8184
    @dorothyannan8184 2 ปีที่แล้ว +2

    Nice one

  • @ericahenock1867
    @ericahenock1867 2 ปีที่แล้ว

    Pongezi Kwenu Mwenyezi Mungu awatangulie

    • @davidmbwilo4954
      @davidmbwilo4954 2 ปีที่แล้ว

      Ericah hili jina namtafuta huyu sijui alipotelea wap or ni wew

  • @godwinaloyce7342
    @godwinaloyce7342 2 ปีที่แล้ว

    Hongeren sana

  • @ladymoretaboraprincess6190
    @ladymoretaboraprincess6190 2 ปีที่แล้ว

    Nandy superiority WOMEN

  • @zimbwerajabu1894
    @zimbwerajabu1894 2 ปีที่แล้ว +2

    Saw nengaaa

  • @maryaika9645
    @maryaika9645 2 ปีที่แล้ว +5

    we must respect the undefined
    Presence in the creation…

  • @niselascarion9489
    @niselascarion9489 2 ปีที่แล้ว +1

    Inshort mwanaume ajatulia

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 2 ปีที่แล้ว +1

    Basi ni vile tu Gigi Money alikua anasema huyu bilnas hakupenda nandy bila pesa ya nandy bilnas atachomoka.

  • @kissesmariesydney1523
    @kissesmariesydney1523 2 ปีที่แล้ว

    Nawapenda sanaaa

  • @emmanuelngomale889
    @emmanuelngomale889 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu aibariki ndoa yenu

  • @bronzehke
    @bronzehke 2 ปีที่แล้ว +2

    Hekima ya Hali ya juu sana..salute you guys

  • @serafinamalecela4728
    @serafinamalecela4728 2 ปีที่แล้ว

    ❤️❤️❤️❤️

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 2 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmmmh

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 2 ปีที่แล้ว

    Triomphe de l'amour❤😍😘

  • @urumakafwijya3388
    @urumakafwijya3388 2 ปีที่แล้ว +2

    Umenifuraisha sana

  • @agnessisack7147
    @agnessisack7147 2 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤❤❤❤😂

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 2 ปีที่แล้ว +2

    Ndoa takatifu ni ile watu wanafunga harusi wakiwa weupe Kama pamba

    • @czechzyamwaga1088
      @czechzyamwaga1088 2 ปีที่แล้ว +2

      Acha wivu, wamesha tubu kwa mungu ndiyo maana wamepata kibal cha kufunga ndoa

    • @mwajumamilanzi9440
      @mwajumamilanzi9440 2 ปีที่แล้ว +2

      Kwaiyo ulitaka waitoe ili Sisi tuwaone weupe hapana mungu anajua kila kitu na amewaseh pia

    • @neemanyimbi2355
      @neemanyimbi2355 2 ปีที่แล้ว

      Wewe ulivyofunga yako ulikuwa mweupe hakuna binadamu asie na dhambi Acha uboya wewe wivu tu nyie Ndo mnatakiwa mrogwe watu Wenye wivu

    • @lifeinmiddleeast8179
      @lifeinmiddleeast8179 2 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂Kwanza nichek na watu watakatifu hawapo you tube wajua hilo

  • @fredymasawe2862
    @fredymasawe2862 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera bro karibu wf yang

  • @tumpeernest9690
    @tumpeernest9690 2 ปีที่แล้ว +1

    Geah kua mtulivu basii

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 2 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe hizo fiesta ni kufanya uhuni

  • @atanaskafwimb8955
    @atanaskafwimb8955 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU awayunze siku zote

  • @camilahazal7119
    @camilahazal7119 2 ปีที่แล้ว

    Billnass karate Ugali wa Foustina

  • @felistamashinga123
    @felistamashinga123 2 ปีที่แล้ว +1

    mimba ileeeee

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว

    😑😑

  • @ewaldambrose6136
    @ewaldambrose6136 2 ปีที่แล้ว +2

    Too much acting..sioni future hapo