SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds
Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!
❤ kabisaa kapumzika
Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G
Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.
Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema
Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .
Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.
Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele
Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔
Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G.
Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde.
Msalimie Ruge.
Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu.
Jahazi itakumis muda wote
Huko hakuna kuonana
Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina
Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha
Msalimie swaiba wako kibonde
Wew @@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊
Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...
daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.
Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana
Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.
Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa..
Rest easy 💔 😢 🙏
Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!
Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi
huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama
Anayehoji yuko vizuri pia
Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends
May his soul rest peacefully
R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢
Rest in peace 😢 broo
Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu
mbele yako nyuma yetu kalale salam
inauma sana ila nenda kaka, mwendo ume umaliza vzr
Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭
Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.
Rip mlipa Kodi mwenzangu
Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭
Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi
Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢
Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭
Pumzika kwa Amani Legend.
Mungu akupumzishe amen kaka
Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.
Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi
mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu
RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde
Mungu ampumzishe pema
Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.
Mungu ampuzishe kwa Aman
Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P
Rest in peace Gardner
Inasikitusha sana hii
Rest in peace Gardner tutaonana baadae
Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema
He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏
Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.
Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh
Yah kasema ""Si chin ya 10""
Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤
Lazma Kuna kitu c bule
achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢
Captain G habash 🕊️
Real man
You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!
Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain
Hatuko sawa kabisa wabongo
@@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.
Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama
@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.
Apumzike kwa aman
RIp legend
Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini
RIP Captain 😢
Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi
29,000,000
@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu
Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""
@@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa
Ni kweli
😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.
Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi
Pumzika salama kamanda wangu..😭
Daaa maisha ya mwanadamu yamejaa taabu nauzuni tumkumbuke mungu siku za ujana wetu sisi ni wapitaji pumzka bro
MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??
R.i.p captain
Daaah Gadnerrrr oooh jamniii
Huyu jamaa aliwahi kukaa mza wakati akitokea Kampala akitangaza kiss FM,kama sikosei..
Pumzika Kwa Amani bro
Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu
Really I'm speechless 😢
Dada j dee ndio kampa mwenzi magonjwa ya moyo angekuwa anampa mwenzie busy asubui angejisikia faraja
Daah! May his soul rest in peace 💔
Pumzika kwaamani Captain
Jamaa peace sana. RIP Kamanda
Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢
Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka
Ni kweli waache kabisa kutuita walevi watuite walipa kodi, walevi ni wale wanaokunywa hawataki kufanya kazi, pumzika kwa amani
Innallillah wainna illah rajiun
Rip Gardner we love u
Huo mshahara amengata maneno sijasikia vizuri
Wameedit aisee
Wameedit saut kipande Iko ila nmeangalia mdomo ni million 10
Amesema SI chin ya 10
R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭
Rest in peace LEGEND
Nimekuja baada ya msiba wake😢😢
Dunia 😢😢
Lala salama babu G
HUKUWA MLEVI BASI TU. KAZI TUNAFANYA WASITUPANGIE MAJUKUMU. ILIMRADI TUNATIMIZA MAJUKUMU YETU YETU
Pumzika kwa amani mwamba
Pumzika kwa amani..captain
Moja Kati ya watangazi ninayempenda May your so rest in internal peace
Rest in peace gadner g🙏
Inna lillah waina Illah rajiun
Rup capten
Poleni sana😢😢😢😢
Woi woi woi kweli hii ndo tz mtu akifa ndo video au mahojiano yake yanaachiwa huru
Rest in peace G h bshi
RIP Legendary
Lala Mangi lala.
Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢
Namimi ni hinyohinyo. Gardner
Mbele yako nyuma yetu tangulia tunakuja
Mbele yake nyuma yetu pumzika kwa Aman
Pumzika kwa amani bro!😭😭
Dhuuu ulale salama ulikua mtu poa sanaaa
r.i.p captain wanajahazi tutakukumbuka daima
Inalilah wainaillah rajiuun 😢😢
Aiseeeee😢😢😢
Pumzika kwa aman captain
Polen wanahabari
Tumesoma wote CHANGA PRIMARY SCHOOL TANGA. Innah Lillah Wainah Illahi Rajiun, Amiin.
Apumzike kwa amani