SEHEMU YA 1 : UKWELI KUHUSU MAISHA YA GADNER / NILIUMWA TB / NILIKOSA DAWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #r.i.pgadner #tutaonanatena #clouds

ความคิดเห็น • 188

  • @kibito8339
    @kibito8339 4 หลายเดือนก่อน +16

    Gadner lived his life to the fullest...ameondoka dunia haimdai na wala haidai dunia kitu!!

  • @user-bt6tl9hn5u
    @user-bt6tl9hn5u 4 หลายเดือนก่อน +6

    Yaani nimekuja apa , nilivyosikia msiba, Mungu amlaze mahala pepa G

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 4 หลายเดือนก่อน +20

    Kaka ulimpa heshima sana kufanya nae mazungumzo. Pumzika kwa amani captain G.

  • @DivinebabyDee
    @DivinebabyDee 3 หลายเดือนก่อน +4

    Gadna alikuwa msema kweli,.daaah Mungu ampe pumziko jema

  • @user-qd9vf6ud3f
    @user-qd9vf6ud3f 4 หลายเดือนก่อน +13

    Mungu Ailaze roho ya marehem pema peponi .

  • @rosegideon336
    @rosegideon336 4 หลายเดือนก่อน +6

    Captain G .Mungu aiweke wepesi katika safari yako aliyoianza.

  • @samsonmollel8147
    @samsonmollel8147 4 หลายเดือนก่อน +12

    Pumzika Kwa Amani captain Mungu akupe pumziko la milele

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 4 หลายเดือนก่อน +2

      Ameen 😭😭😭moyo waniumaaa 😭😭😭😭💔💔💔💔

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mmoja kati kati watangazaji wenye kuvutia kuwasikiliza wakiongea. RIP kamanda G.
    Nenda kaonane na mwamba mwenzio na rafiki Yako kipenzi Ephrahim kibonde.
    Msalimie Ruge.
    Zaidi Pole mkurugenzi Jo kusaga na pacha wake G bwana George Bantu.
    Jahazi itakumis muda wote

    • @8pistons194
      @8pistons194 4 หลายเดือนก่อน +1

      Huko hakuna kuonana

    • @beatricembunda6168
      @beatricembunda6168 4 หลายเดือนก่อน

      Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi amina

    • @stellaukovizurimtanku2744
      @stellaukovizurimtanku2744 4 หลายเดือนก่อน

      Poleni sana ndugu jamaa namarafiki nakukumbuka sana Gadner ulipo sherehesha harusi moja kubwa mnoo pale olasiti arusha

    • @edmundphilemon3054
      @edmundphilemon3054 4 หลายเดือนก่อน

      Msalimie swaiba wako kibonde

    • @yasintaamoskatemi2387
      @yasintaamoskatemi2387 4 หลายเดือนก่อน

      Wew ​@@8pistons194😅😅 umejuaje 😅😅😊

  • @HassanHassan-pe7kj
    @HassanHassan-pe7kj 4 หลายเดือนก่อน +3

    Innalillah wainna illah rajiun... Jamaa alikuwa anjua sana kazi yake...

  • @oscartalljembemgonya3528
    @oscartalljembemgonya3528 4 หลายเดือนก่อน +10

    daaah jahazi limezama nilipenda sana sauti yako km inamusisitizo frani hizi na mpangilio wako waneno br.R.I.P Gardiner G ha bash.

    • @Fadhilimwamlima
      @Fadhilimwamlima 4 หลายเดือนก่อน

      Jahazi limezama kweli Ephraim kibonde , gardiner, joj bantu hivi vinu vilikuwa vinafanya kazi alafu walikuwa wanasauti za adimu hupati radio nyingine aisee kifo bana

  • @salaita2829
    @salaita2829 4 หลายเดือนก่อน +7

    Jamaa anajuwa nini maana ya mahojiano,hakwepi swali wala hana jazba,hii ni maana halisi ya mahojiano.

  • @stellahwilfred5762
    @stellahwilfred5762 4 หลายเดือนก่อน +5

    Historia ya clouds Fm yote ni wewe Uncle ❤❤❤na wanamuziki wote wa bongo flavour wamepita kwako kisawasawa..
    Rest easy 💔 😢 🙏

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 4 หลายเดือนก่อน

      Basi huyu ndiye alikuwa mbanaji wa wasaniii chipukizi..!

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 4 หลายเดือนก่อน +2

    Careen Pole sana na msiba wapeni kina mama yako na Sr Ex Pide mamako mkuu . Pole jipeni moyo Mungu alimpenda zaidi tunamuombea kwa Mungu amuweke pahala pema peponi

  • @johnmuro9915
    @johnmuro9915 4 หลายเดือนก่อน +7

    huyu mwamba anaakili nyingi sana ,Mungu amuweke salama

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy 4 หลายเดือนก่อน +4

    Anayehoji yuko vizuri pia

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wa karibu na Karen wawe nae karibu sana kipindi hichi…My deepest condolences to her family and friends
    May his soul rest peacefully

  • @elizabethlukoo4662
    @elizabethlukoo4662 4 หลายเดือนก่อน +13

    R.I.P mwamba aiseee Jahazi litakumis sanaaaasanaa😢

    • @maryjoseph926
      @maryjoseph926 4 หลายเดือนก่อน +1

      Rest in peace 😢 broo

  • @fadhilmnyamwezi5037
    @fadhilmnyamwezi5037 4 หลายเดือนก่อน +23

    Nakukubali sana nilikutana na ww pamoja marehemu runge kwenye mazko y bi kidude znz dah yupo poa sana brother upumzikge kwa amani mbele yako nyuma yetu

  • @user-yb1mv2nx6m
    @user-yb1mv2nx6m 4 หลายเดือนก่อน +9

    Kama Kuna kuonana msalimie ruge kibonde na mke wake😭😭😭😭

  • @erickbarthazar9316
    @erickbarthazar9316 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ailaze roho yake katika makao yake ya milele.

  • @mmangaabas2416
    @mmangaabas2416 4 หลายเดือนก่อน +8

    Rip mlipa Kodi mwenzangu

  • @rehemaathhmani357
    @rehemaathhmani357 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulaze pema kwenye nyumba yako ya milele Dardner Habash🤲😭

  • @neemakiula8884
    @neemakiula8884 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wa mbinguni ailaze roho yake pema peponi

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 4 หลายเดือนก่อน +4

    Jahaz litapooza dahhh kibonde na garden walilinigesha😢😢😢😢😢

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q 4 หลายเดือนก่อน +4

    Duhhh pole sana Baba Calen jaman mm ni shabiki wako katika kipindi chako na kile kipindi cha Mihogo jaman ukiwa na George bantu tutakukumbuka sana daima pumzika Kwa aman 🙏😭😭😭😭😭

  • @lulumkongwe9987
    @lulumkongwe9987 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pumzika kwa Amani Legend.

  • @halimaallyazizi4443
    @halimaallyazizi4443 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu akupumzishe amen kaka

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 4 หลายเดือนก่อน +5

    Bwana atwaa bwana ametoa, jina lako libarikiwe. RIP Gardner Habash.

  • @enofrank1842
    @enofrank1842 4 หลายเดือนก่อน

    Ameuma Mungu aiweke roho yako mahali pema peponi

  • @abdulhassan6482
    @abdulhassan6482 4 หลายเดือนก่อน +2

    mungu akusamehe bro hakuna mkamilifu

  • @collinsrutenge6449
    @collinsrutenge6449 4 หลายเดือนก่อน +4

    RIEP Kaptein....Salimia Kaka Ruge& rafiki Kibonde

  • @beautymushi6164
    @beautymushi6164 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu ampumzishe pema

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 4 หลายเดือนก่อน +4

    Umemkuta.rafiki.yako KIBONDE. ,R.l P Gadna G..Habash.jahazi limezizima.

  • @silviaamos-pl5lk
    @silviaamos-pl5lk 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ampuzishe kwa Aman

  • @Wendy-kz6cy
    @Wendy-kz6cy 4 หลายเดือนก่อน +3

    Pumzika kaka Captain we will miss like nobody business Salute bro R.I.P

  • @Shadadihamis25
    @Shadadihamis25 4 หลายเดือนก่อน +8

    Rest in peace Gardner
    Inasikitusha sana hii

    • @alidamgeni7051
      @alidamgeni7051 4 หลายเดือนก่อน

      Rest in peace Gardner tutaonana baadae

  • @EvodiaMgunda
    @EvodiaMgunda 4 หลายเดือนก่อน

    Kila nafsi itaonja umauti mungu ailaze roho yake mahari pema

  • @DeTrinahx
    @DeTrinahx 4 หลายเดือนก่อน

    He lives in us daima ❤️❤️❤️❤️🙏

  • @eliamtani2840
    @eliamtani2840 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo kwenye mshahara nime angalia lips za Captain, Kasema Milioni 10. Prove Me Wrong, any one.

    • @emmanuelletema8385
      @emmanuelletema8385 4 หลายเดือนก่อน +1

      Yeah nimerudia kama mara 5 ni sahh

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yah kasema ""Si chin ya 10""

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 4 หลายเดือนก่อน

    Kama mtu anachangia kuwatupia magonjwa watangazaji Hawa wanakufa kama kuku Mungu aliyemtumbua Farao atawaumbua tu kiukweli sio kitu kizuri kumpa mtu magonjwa kufa bila kujitarajia rip roho ya jaydee poleni familia kiujumla jina la bwana libarikiwe milele ❤

    • @AdrianoStephen
      @AdrianoStephen 4 หลายเดือนก่อน +1

      Lazma Kuna kitu c bule

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 4 หลายเดือนก่อน

      achezi izo mungu anafanya mambo yake wanekufa mitume tukumbuke iloooo m...’G lala salama😢

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer 4 หลายเดือนก่อน +1

    Captain G habash 🕊️

  • @dulla9195
    @dulla9195 3 หลายเดือนก่อน

    Real man

  • @shillachiumbo4241
    @shillachiumbo4241 4 หลายเดือนก่อน

    You have gone very soon Gardner, Tutakumiss kwenye Jahazi, Na U-MC wa Sherehe mbalimbali!!

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hv uwa inakuaje interview inaachiliwa mtu akifa..anyways pumzika kwa aman captain

    • @audaxmlowa9953
      @audaxmlowa9953 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hatuko sawa kabisa wabongo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 หลายเดือนก่อน

      @@audaxmlowa9953 ujue mi sielewagi kabisa.

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 4 หลายเดือนก่อน

      Ya muda sana nyie tu ndio huwa mnakosa vifurushi vya kutazama

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 4 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@joycekalago532😂😂mi naona wew ndo unakosa kifurushi coz ina 4 days mpk leo na gadna toka afariki ana kama 5 to 6 days mpk leo.

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s 4 หลายเดือนก่อน +9

    Apumzike kwa aman

  • @Timoclement
    @Timoclement 3 หลายเดือนก่อน

    RIp legend

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa heri Captain pumzika salama, moja ya watu waliokuwa wanajiamini

  • @axmedcumar6196
    @axmedcumar6196 4 หลายเดือนก่อน +6

    RIP Captain 😢

  • @davidnyitambe3399
    @davidnyitambe3399 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mbona huo mshahara sijasikia vizuri..kama imekatwa hivi

    • @Bettingreviewtz
      @Bettingreviewtz 4 หลายเดือนก่อน

      29,000,000

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@Bettingreviewtzaisee, pesa ndefu

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 3 หลายเดือนก่อน

      Ila mm nmeangalia mdomo wake ni kama amesema ""si chini ya 10""

    • @Bettingreviewtz
      @Bettingreviewtz 3 หลายเดือนก่อน

      @@leedsoldat4189 Milion 10 wapo wanaolipwa hiyo pesa

  • @CharlesLymo
    @CharlesLymo 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ni kweli

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d 4 หลายเดือนก่อน +3

    😢😢😢Sasa MBN clouds majembe yote yaenaenda mbinguni.

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv 4 หลายเดือนก่อน

      Yatarudi yameenda kupalilia majani yamezidi

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pumzika salama kamanda wangu..😭

  • @Thomcainda
    @Thomcainda 4 หลายเดือนก่อน

    Daaa maisha ya mwanadamu yamejaa taabu nauzuni tumkumbuke mungu siku za ujana wetu sisi ni wapitaji pumzka bro

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 4 หลายเดือนก่อน +2

    MTANGAZAJI NDO UKAAMUA UTUPIGE PALE PALE KWENYE NYUZI??

  • @DavidDavidmaleko
    @DavidDavidmaleko 4 หลายเดือนก่อน +3

    R.i.p captain

  • @teddymutani856
    @teddymutani856 4 หลายเดือนก่อน

    Daaah Gadnerrrr oooh jamniii

  • @user-jl6uj4lf6q
    @user-jl6uj4lf6q 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa aliwahi kukaa mza wakati akitokea Kampala akitangaza kiss FM,kama sikosei..

  • @FaridaNassor-oj7tx
    @FaridaNassor-oj7tx 4 หลายเดือนก่อน

    Pumzika Kwa Amani bro

  • @FurahaNgomango-zr3bz
    @FurahaNgomango-zr3bz 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi Nakumbuka mwaka 2005 ananasifu

  • @junioremmanuel1695
    @junioremmanuel1695 4 หลายเดือนก่อน

    Really I'm speechless 😢

  • @lilianmagori4189
    @lilianmagori4189 4 หลายเดือนก่อน +3

    Dada j dee ndio kampa mwenzi magonjwa ya moyo angekuwa anampa mwenzie busy asubui angejisikia faraja

  • @janecolleter
    @janecolleter 3 หลายเดือนก่อน

    Daah! May his soul rest in peace 💔

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 4 หลายเดือนก่อน +2

    Pumzika kwaamani Captain

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 4 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa peace sana. RIP Kamanda

  • @davidsebastian661
    @davidsebastian661 4 หลายเดือนก่อน

    Nakumbuka msemo wa maisha ni nyumba jahazi😢😢😢

  • @user-gv6ij2zt2h
    @user-gv6ij2zt2h 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nashindwa kuzungumza ila mungu hakoseagi pumzika kwa amani kaka

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli waache kabisa kutuita walevi watuite walipa kodi, walevi ni wale wanaokunywa hawataki kufanya kazi, pumzika kwa amani

  • @alitoufik5477
    @alitoufik5477 4 หลายเดือนก่อน +2

    Innallillah wainna illah rajiun

  • @erickedward581
    @erickedward581 3 หลายเดือนก่อน

    Rip Gardner we love u

  • @AgripinaJosephMushi-hw2xw
    @AgripinaJosephMushi-hw2xw 4 หลายเดือนก่อน +4

    Huo mshahara amengata maneno sijasikia vizuri

    • @erastongussa2334
      @erastongussa2334 4 หลายเดือนก่อน

      Wameedit aisee

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 3 หลายเดือนก่อน

      Wameedit saut kipande Iko ila nmeangalia mdomo ni million 10

    • @leedsoldat4189
      @leedsoldat4189 3 หลายเดือนก่อน

      Amesema SI chin ya 10

  • @teodorypeter6677
    @teodorypeter6677 4 หลายเดือนก่อน

    R i p mkuu pumzika salama kaka nimaumivu makubwa ila hatuna jinsi 😭😭😭😭😭

  • @YousraNjokiMGHAZA-rq7wz
    @YousraNjokiMGHAZA-rq7wz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace LEGEND

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 4 หลายเดือนก่อน

    Nimekuja baada ya msiba wake😢😢

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 4 หลายเดือนก่อน +1

    Dunia 😢😢

  • @DivinebabyDee
    @DivinebabyDee 3 หลายเดือนก่อน

    Lala salama babu G

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 หลายเดือนก่อน

    HUKUWA MLEVI BASI TU. KAZI TUNAFANYA WASITUPANGIE MAJUKUMU. ILIMRADI TUNATIMIZA MAJUKUMU YETU YETU

  • @martinlulale3626
    @martinlulale3626 4 หลายเดือนก่อน +1

    Pumzika kwa amani mwamba

  • @patrokilgeofrey
    @patrokilgeofrey 3 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa amani..captain

  • @EVALINESILVIN-dp5kj
    @EVALINESILVIN-dp5kj 4 หลายเดือนก่อน

    Moja Kati ya watangazi ninayempenda May your so rest in internal peace

  • @mwasitimajid
    @mwasitimajid 4 หลายเดือนก่อน +1

    Rest in peace gadner g🙏

  • @hamisiussiku1151
    @hamisiussiku1151 4 หลายเดือนก่อน

    Inna lillah waina Illah rajiun

  • @levinabyamungu8453
    @levinabyamungu8453 4 หลายเดือนก่อน

    Rup capten

  • @kamulisamson896
    @kamulisamson896 4 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana😢😢😢😢

  • @JulithaGasper
    @JulithaGasper 4 หลายเดือนก่อน +1

    Woi woi woi kweli hii ndo tz mtu akifa ndo video au mahojiano yake yanaachiwa huru

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 3 หลายเดือนก่อน

    Rest in peace G h bshi

  • @fortunatafelician5625
    @fortunatafelician5625 4 หลายเดือนก่อน

    RIP Legendary

  • @makariosnkya
    @makariosnkya 3 หลายเดือนก่อน

    Lala Mangi lala.

  • @zulaikasalum3568
    @zulaikasalum3568 4 หลายเดือนก่อน

    Inna Lillah Wainna Ilayhi Raajiun 😢

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namimi ni hinyohinyo. Gardner

  • @NTANDUMAGWE
    @NTANDUMAGWE 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbele yako nyuma yetu tangulia tunakuja

  • @suzanmichael5793
    @suzanmichael5793 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mbele yake nyuma yetu pumzika kwa Aman

  • @joycebenjamin6017
    @joycebenjamin6017 4 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa amani bro!😭😭

  • @JacquelineMahumbe
    @JacquelineMahumbe 4 หลายเดือนก่อน

    Dhuuu ulale salama ulikua mtu poa sanaaa

  • @TizoMgaya-pd9nw
    @TizoMgaya-pd9nw 4 หลายเดือนก่อน

    r.i.p captain wanajahazi tutakukumbuka daima

  • @rehemadossa8154
    @rehemadossa8154 4 หลายเดือนก่อน +2

    Inalilah wainaillah rajiuun 😢😢

  • @annamakomele339
    @annamakomele339 4 หลายเดือนก่อน

    Aiseeeee😢😢😢

  • @momylaviel
    @momylaviel 4 หลายเดือนก่อน

    Pumzika kwa aman captain

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 4 หลายเดือนก่อน

    Polen wanahabari

  • @sophiesadick5510
    @sophiesadick5510 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tumesoma wote CHANGA PRIMARY SCHOOL TANGA. Innah Lillah Wainah Illahi Rajiun, Amiin.

  • @imanimwakinga4934
    @imanimwakinga4934 4 หลายเดือนก่อน

    Apumzike kwa amani