Ni kweli kabisa Kesi za Ardhi zinatakiwa kuundiwa mahakama yake maalum tofauti kabisa na mahakama za kawaida na ziundwe kwa mfumo ambao hauwezi kutumika kwa hizo janja janja za kisheria. Mabaraza mengi ni chanzo cha migogoro yamejaa watu wasiojua sheria hongera sana kaka Jerry .Mungu akulinde daima
Mh waziri MUNGU hame kufunulia hili mawaziri wengi wa ardhi wali feli kujua hili sababu hawakuwa wafutiliaji migogoro ya ardhi kuhipeleka mahakamani sio kutatua tatizo Bali kuhongeza matatizo maana wao Wana hangalia vie lelezo bila hata ya kufika site vielelezo vinagushiwa mashahidi wa kununuliwa. Humeshindwa kujieleza hata kama haki ni Yako hunakosa. Mahakama zipe kipa humbele mashahidi wanao zunguka eneo la mgogoro Kwa kwenda. Kuliko hushahidi wa makaratasi watu wanagushi. Hayo mahoni yangu
Nashauri utengezwe mfumo unaosimamiwa na wizara ya ardhi wa maauziano ya ardhi rasmi na isiyo rasmi ili kuondoa double sales. Nadhan itaondoa kabisa hili tatizo.
Ardhi Temeke ni wasumbufu haijawahi kutokea. Ukifuatilia hatipale utajua hujui. Kwa ujumla watendaji wa Ardhi hasa mkoa wa Dar es salaam ni Miungu watu.
Yote unayo ongea mbona hukutenda haki km ulivyo kula kiapo kwa mh Raic na Wana nchi kuwatendea haki Ila pale MTAA WA manyema no4 kariakoo kwenye nyumba ya wasia na waqfu kile ndio kiapo chako, watu kudhulumiwa naww hufanyi kitu, ss serikali na mwenye pesa nguvu anayo Nani, fanya kazi yko kwa uadilifu ili mama wa nchi ajivunie ww insh
Ni kweli kabisa Kesi za Ardhi zinatakiwa kuundiwa mahakama yake maalum tofauti kabisa na mahakama za kawaida na ziundwe kwa mfumo ambao hauwezi kutumika kwa hizo janja janja za kisheria. Mabaraza mengi ni chanzo cha migogoro yamejaa watu wasiojua sheria hongera sana kaka Jerry .Mungu akulinde daima
Mama akistaafu upewe Kijiti uendeleze kazi.. Uko vizuri jamaa Mh waziri chapa kazi 👍
Asante Sana Mh Jerry Silaa kwa kazi mzuri unayo fanya
Balua azijibiwi katika ofisi Yako waziri kwa wakati shugulikia ilotatizo watuwengi wanalalamika sana
Msg nzuri sana😊
Nimekuelewa.
Mh waziri MUNGU hame kufunulia hili mawaziri wengi wa ardhi wali feli kujua hili sababu hawakuwa wafutiliaji migogoro ya ardhi kuhipeleka mahakamani sio kutatua tatizo Bali kuhongeza matatizo maana wao Wana hangalia vie lelezo bila hata ya kufika site vielelezo vinagushiwa mashahidi wa kununuliwa. Humeshindwa kujieleza hata kama haki ni Yako hunakosa. Mahakama zipe kipa humbele mashahidi wanao zunguka eneo la mgogoro Kwa kwenda. Kuliko hushahidi wa makaratasi watu wanagushi. Hayo mahoni yangu
Nikirudi bongo yule mzee wa kichaga lazima abomoe nyumba yake kwani amejenga kwe kiwanja chetu .
Mchapa kazi
Nashauri utengezwe mfumo unaosimamiwa na wizara ya ardhi wa maauziano ya ardhi rasmi na isiyo rasmi ili kuondoa double sales. Nadhan itaondoa kabisa hili tatizo.
Ardhi Temeke ni wasumbufu haijawahi kutokea. Ukifuatilia hatipale utajua hujui. Kwa ujumla watendaji wa Ardhi hasa mkoa wa Dar es salaam ni Miungu watu.
Yote unayo ongea mbona hukutenda haki km ulivyo kula kiapo kwa mh Raic na Wana nchi kuwatendea haki
Ila pale MTAA WA manyema no4 kariakoo kwenye nyumba ya wasia na waqfu kile ndio kiapo chako, watu kudhulumiwa naww hufanyi kitu, ss serikali na mwenye pesa nguvu anayo Nani, fanya kazi yko kwa uadilifu ili mama wa nchi ajivunie ww insh
Kwani wewe una mgogoro wa halisi jamani mbona mbona anafanya kazi nzuri
Jerry nakuombea dua mama asikuondoe ardhi
Mchapa kazi