Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Dah mama zubery pole sana dada yangu mungu awape uponyaji na awape nguvu ya kuyapokea yaliyotokea mungu ailanze roho za marehemu mahali pema peponi amina
Dah mimi nashindwa hata niandike nini ila mwenyezi mungu warehemu, pia pole sana kwa familia, mke wa marehemu sijui niandike nini cha kuweza kukufariji katika kipindi hiki kigumu mwenyezi mungu awe faraja yako kwa kipindi hiki
Kama inawezekana tuwe na kitu kama alarm ambayo inapiga kelele kama kuna moto au gas inavuja, wezetu watu wa ulaya wanazo, kiasi kwamba hata jirani yako anasikia wana kuja kuku saidia, zinaitwa fire alarm, poleni sana wafiwa.
Mi naomba tanesco wajitaid xn kupolesha ukataji wao wa umeme make mara nying me naona kwangu umeme unavyokatika kama vita yani unaweza ukashitua hadi mara 3 ndo unakata sasa hii ni hatari xn endapo mtu ajafunga stable wareling make mara nyngi me taa zinaungua kbx ko Tunaomba sana idara husika na Mama yetu rais ma samia mliangalie ili swala la ukatikaji umeme kwa kina
Ni uchungu Sana Mungu amtie nguvu mama huyo najua hakuna kitakachompa faraja ila Mungu pekee. Mwenyezi Mungu awapumzishe Kwa Amani wote waliotangulia😢😢💔🕊️🙏
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Dah mama zubery pole sana dada yangu mungu awape uponyaji na awape nguvu ya kuyapokea yaliyotokea mungu ailanze roho za marehemu mahali pema peponi amina
Kiatu cha huyu mama hakuna wakuweza kukivaa 😢😢😢😢 Mwenyezi Mungu ampe subira na uvumilivu huu ni uchungu wa namna yake
Ammina ya rabbill allamin
Kqbs wee mung hqmpe nguvu lkn kiatu chake kizito
Jamani ni mungu tu kuwaokoa hata hao walio baki mungu aendelee kumpigania huyo mama maanadaa inauma ampe moyo wa uvumilivu
Dah!
Poleni sana familia, Mungu azidi kuwatia nguvu mama wa marehemu mkewe na wote mlioguswa..
Hakika duniani tunapita.😢
Poleni sana. Ni muhimu nyumba hizi ziwe na milango zaidi ya moja
Duh!!!!!! So pain jaman...... Mwenyenz Mungu amtie nguvu mama Mariam ......
Mi sina la kuandika Mungu awape pumziko la amani.
Poleni wafiwa wote mungu awatie nguvu kwa kipindi kigumu hiki
Pole sana kwa familia.
Inalilaahi wainalilah rajighun polen jaman wanafamilia pamoja na jamaa zake
Mungu azilaze roho za marehemu wote mahali pema peponi🙏
Allah azilaze roho za marehemu mahali pema peroni.Amiin.
Poleni sana wafiwa Mungu awafariji
RIP Zuberi Msemo na wanao hakika ni pigo zito Mungu mpe uponyaji mke ambaye amebaki mkiwa na wanafamilia wengine waliopo hospital 🏥
Ningumu hatamtu kuleza mwenyez mungu. Wapesubira ndg zetu watoto waliofarik. Uwatiengufu
Poleni sana ndgu zetu kwa msiba mzito mungu awatie nguvu
R.I.P uncle Zuberi na wadogo zangu Mungu awatie ngv Mama Mariam 😢
Aisee M/MUNGU Ilaze roho yamarehem mahali pema peponi pole kwa familia
So sad. Ee Mungu awapumzishe kwa amani. Ni ngumu sana . Mungu awatie nguvu
Poleni wafiwa
Pole yao
Poleni Sana ndugu zetu
Inalillahi.wainailahi rajuun . .poleni wanafamilia. Allah awape.subra. kweli kilakifo kinasababu..Allah atujaalie mwisho mwema. ....mtihani jamani moto unauma jamani.Allahu.akibarr
Allah awape subra famillia
Allah awape subra familia 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Allah sw amuhfadh mm mjane na kitoto pia Allah awalaze sehem pema marehem
It so Saad, Allah awape subira wafiwa
Dah hakuna anaeijua kesho yake jmn chaji tu ndo imezia yote jmn 😭😭 wapumzike kwa aman marehem wote 🙏
😭😭😭
UNAIJUWA BETRI YA LAP TOP IKILIPUKA NI KAMA BOMU TUNAKATAZWA KABISA KUTUMIA BETRI FEKI INAWEZA KULIPUKA USONI MWAKO BILA KUWA KWENYE CHAJA
Inauma sana
Subhanallah Allah atampa huyo mama subra 😢umauti ni haki lakini ya umiza kama hauna dini utakufuru 😢😢😢😢
Ee mungu ifariji hii familia
Pole sana jirani zangu
Subhanallah
Dah mimi nashindwa hata niandike nini ila mwenyezi mungu warehemu, pia pole sana kwa familia, mke wa marehemu sijui niandike nini cha kuweza kukufariji katika kipindi hiki kigumu mwenyezi mungu awe faraja yako kwa kipindi hiki
Innalillah wainailayh rajiun. Poleni Sana wafiwa.
Nimelia sana nimeishiwa la kusema
😢😢inalillah
Inna lillah wainahyllah rajioun poleni wafiwa
Poleni sana jamani
😭😭😭😭Dah! Family Mungu awape faraja CNA hata chakusema 😭😭🫂
Ee Mungu mshike yule mama na faraja yako ipitayo faham zetu imfariji
Mwanahabali mtu ameshasema toka mwanzo wagen wapo kwa ajili ya mzaz tena bado unauliza tena
Kolumba hakuna mwandishi bora kama wewe wengine wote watasubiri
Umejuaje kaka shaaban huyu mwamba kolumba ni hatari kwa Tanzania 🇹🇿
Poleni wafiwa ... Mungu akutie nguvu mjane😢😢😢
Mungu wape rehema
Pumzika kwa amani bro Zuber College Mate wangu 😭😭😭😭
Poleni
Poleni sana ndugu na jamaa
Poleni wafiwa dah naumeme wa sasa unawaka na kuzima jamani mungu atunusuru 😢😢
Poleeni
Inna lillah wainna illah rajioun M mungu awalaze mahala pema peponi
Inna lilaahi waina ilasyhi rajiuun
Allaah awarehemu
Duh Pumzika Kwa Amani ndugu yetu. Sote ni wa muumba na kwake tutarejea. R.I.P😭
Amen
😢😢😢😢mungu watie nguvu familia hii baba 😢😢😢🧎♀️🧎♀️🧎♀️😭😭😭😭🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Polen sana,
Poleni sana ni msiba mzito sana
Kama inawezekana tuwe na kitu kama alarm ambayo inapiga kelele kama kuna moto au gas inavuja, wezetu watu wa ulaya wanazo, kiasi kwamba hata jirani yako anasikia wana kuja kuku saidia, zinaitwa fire alarm, poleni sana wafiwa.
So sad😢😢😢
Innalillah wainna ilayh rajiun😢
Duuu 🤔 jamanii poleni wafiwa kwa msiba huo mkubwa 😢😢
jamani imeniuma.
huu msiba mzito sana
Dah maskin mfiwa hataliaje sjui mwenzenu mume watot watatu dah😢😢
Mi naomba tanesco wajitaid xn kupolesha ukataji wao wa umeme make mara nying me naona kwangu umeme unavyokatika kama vita yani unaweza ukashitua hadi mara 3 ndo unakata sasa hii ni hatari xn endapo mtu ajafunga stable wareling make mara nyngi me taa zinaungua kbx ko Tunaomba sana idara husika na Mama yetu rais ma samia mliangalie ili swala la ukatikaji umeme kwa kina
Tena usiku Sana wanafanya hiz Mambo jaman huwa naogopaga mm
Ni uchungu Sana Mungu amtie nguvu mama huyo najua hakuna kitakachompa faraja ila Mungu pekee. Mwenyezi Mungu awapumzishe Kwa Amani wote waliotangulia😢😢💔🕊️🙏
Mungu mkubwa jamani ajali yote ila ako kachanga akaja zulika kweli kuondoka ahadi jamani daah poleni wana family
Polen sana
Muhimu pia kujenga nyumba iwe na mpango zaidi ya mmoja ili ikitokea ajali kuwe na mbadala wa kutoka
Kabisa ndugu muhimu kue na exit za kufikika kirahisi
Duh Mungu wangu,kichanga vipi kimepona?😢😢😢😢
Diwani anajua kunyoosha maneno kweli
Innallillah wainnaillaihi rajioon! Mungu awasamehe madhambi yao😢😢
Innalilah rajiun dah😢 Allah amtie nguvu huyu mama
Innalilah wainailaih rajuun
Inaalillahi wainnailaihiraajiuuna allahumaghfirahum waruhamuhum
Mmmmm 😢😢😢
Innalilahi waina illahi rajiwn poleni 😭😭😭😭
Allah awepe subra
Inalillah wainaillaih rajiuun Allah awape kauli thabity wote huyo Mama najaribu kuvaa kiatu chake naona hakinitoshi dah maumivu yake hayana mfano😢😢😢
duh uyu baba namfahamu
Innalillah waina ilayhi rajiun
Daaah inaumiza sanaa aseee
Poleni sana wezetu😢😢😢
inalilahi wainalilah rajiuni 😭
Jaman ugeni mkubwa hivyo
Daaah!!!
R.i.p ndugu zetuu dah so sad
Dah R.I.P Wote. Hapa ndo umuhimu wa emergency window unapokuja kwa kwel
Polen san
Daah watu hatuaminii kabsaaaa kabsa aisee kwelii kifo Ni fumboo 😢😢
Jamani mwenyenz mungu walaze mahala pema peponi pia mungu watie nguvu walibaki jamani na mke aliebaki mtie nguvu ni vigumu kuelezea inaumiza
So sad.May their souls rest in peace
Jaman huruma sn sn hakuna wa kuvaa kiatu cha hy mama
Inna lilah wainna ilayhi rajiun poleni ndugu zangu kwa mswiba huu kullu nafsi thaikatul mauti
Inna Lilah wanna ilayh rajiun poleni sana mungu awape nguvu katk kipindi hiki kigumu
Inalilah wainalilah rajuuni
R.I.P poleni sana wafiwa 😭😭😭
Duh
Tununue smoke detector tufunge kwenye nyumba
Hiyo inasaidia moto kuzima au upoje
@@majutomusegukukiwa na Moshi inapiga kelele
😢
Tuombe mungu
Jameni ni kipi kinaikumba Tanzania kwa Sasa Kwani Vifo vinakuwa vingi kwakweli naskiya huzuni
Ata sasa bado najiuliza maisha ya sasa hivi watu 11 wanaenda kusalimie mzazi mmh hatari
Mwenyewe sijaelewa kabisa,tena mzazi ambaye kasharuhusiwa na yupo vizuri,kujazana hivyo ,hata aibu hakuna?😢
Yaani sijui hao ni kabila gani
@@NEEMANdembwe Asilimia 80%ni wahaya