Napenda Sana mafunzo yako Baba mchungaji,,,,swali langu ni hili,,,,huyo bathlemao aliyeteswa kweli kweli Hadi akichemshwa kwenye pipa la mafuta,,,,ni kitabu kipi kwenye bibilia
Mungu akubariki sana namshukuru sana mungu kwa ajiri yako kwa utumishi aliokupa naiona roho ya mzee k ndani yako. Mungu akulinde na akukinge na mashambulizi. Ya adui .nakuombea sana
Ahsante Yesu kwa umekuwa nuru kwangu
MUNGU Akubariki sana kwa mahubiri mazuri unayo tufundisha
Baba yanguu,Yesu akutunze na kukujali zaidii akupe maishaa marefu saaana ,wanao tunakuombea
Amen amen kweli kabisa
Mungu akupe maisha marefu mtumish was mungu kwa kazi kubwa uayoifanya ubarikiwe sanaaa
Napenda Sana mafunzo yako Baba mchungaji,,,,swali langu ni hili,,,,huyo bathlemao aliyeteswa kweli kweli Hadi akichemshwa kwenye pipa la mafuta,,,,ni kitabu kipi kwenye bibilia
Mambo yote hayakuandikwa kwene Biblia,yangeandikwa yote Biblia isingebebeka..
Amen
Mungu akubariki sana namshukuru sana mungu kwa ajiri yako kwa utumishi aliokupa naiona roho ya mzee k ndani yako. Mungu akulinde na akukinge na mashambulizi. Ya adui .nakuombea sana
Mzee k gani tena jamani
Baba, Mungu akutunze, akufiche kwa ajili ya kizazi hiki.
Amina mtumishi wa BWANA
Amen pastar
Ubarikiwe sana na Mungu wa mbinguni kwa kazi nzuri.
Baba asante sana
Shalom Mtumishi. Njoo Dar bb tunakupenda Santa.
Amina mtumishi
Amina
BABA BWANA YESU ASIFIWE NIMIMI MWANAO EDWIN MASAWE NINABARK WA SANA MKTANO WA INJILI UNAENDELEA NAMTUMISH WA MUNGU ABIUD MUNGU .AKUBARK SAANA BABA
I can see my baba somewhere, Abuid mtumishi wa Mungu I call you again!! Sure Mungu azidi kukutumia
Abiudi baba nakupenda sanaaa
God bless you pastor
❤❤❤
Abiudiiiiii nakuita tena
🎉
Na kwamini Baba
Amina
Amen
Amen