Nimefurahi kukusikiliza mafundisho ya leo yananitoa mahali, naomba MUNGU anipe macho ya rohoni, nitoke niwe niwe na mali. Fundishana mafanikio tutokenwote utajiri ni hazina kwa wstoto.
Naomba maombi baba napenda sana ibada kila nikitaka kwenda kusali napata homa jumapili kila ikifika naumwa ikipita tu mzima naomba msaada maana najua mungu atanisaidia kupitia maombi yako mtumishi
Aaaaaa naomba MUNGU WA MBINGU NA NCHI AKULINDE WW NA FAMILIA YAKO HAYA MAHUBILI NI YA MHIMU MNO
Nimefurahi kukusikiliza mafundisho ya leo yananitoa mahali, naomba MUNGU anipe macho ya rohoni, nitoke niwe niwe na mali. Fundishana mafanikio tutokenwote utajiri ni hazina kwa wstoto.
Unasema kweli ya neno la mungu wa mbingu na Dunia na muunba vote ubarikewe na barikiwa mafundisho Yako amina❤
Wamebaki wachache katika ulimwengu wahubiri kama huyu ambaye anaye hubiri katika Roho na kweli. Muenyezi Mungu akubariki na akutunze.
Kweli mtumishi makanisani shetani amepanda magugu makanisani leo mikopo ya liba imejaa inamana wapo wengi sana wa giza ndani ya kanisa
Baba.munguakulinde...unyakuo..usikuache..namimi.tuuone.nakuurithi.ufalumewa..MUNGU.Amen
Mchungaji hii Roho niambukize na Mimi in Jesus name 💪
Kweli mchungaji kulola Aliacha Alama haya mahubiri ni yake kabisa
Naomba maombi baba napenda sana ibada kila nikitaka kwenda kusali napata homa jumapili kila ikifika naumwa ikipita tu mzima naomba msaada maana najua mungu atanisaidia kupitia maombi yako mtumishi
Mwenye namba ya mchungaji Abihudi misholi naomba anisaidie
I love your teaching man of God
Amen Mutumishi wa Mungu
Amen mutumishi
Barikiwa sana mtumishi
Amina mtumishi
Mungu akutunze shuhuda na mafundisho yako yananijenga
Nabarikiwa sana n'a maubiri ya mutumishi amen
amen pasta
Funzo nzuri sana hio pastor,be blessed so much na mungu azidi kukuongezea nguvu.
Barikiwe