JUMBA LA KIFAHARI LA RAZALEE WANALOFIKIA MASTAA WAKUBWA /PAMOJA NA MARAIS

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 เม.ย. 2024
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 124

  • @zuliomar8866
    @zuliomar8866 หลายเดือนก่อน +2

    Mimi mwalimu wako Mr Muha wa Laureate. Nakupongeza sana kwa hatua uliopiga na ALLAH azidi kukuongoza katika njia njema anayoiridhia.

  • @AmosjonhmsusaNengajohn
    @AmosjonhmsusaNengajohn 2 หลายเดือนก่อน +10

    Jamaa yuko humble sana ,, neno brother na karibu tena kalisema zaid ya 100 kwenye haya mahojiano

    • @user-dv5zg7ru9c
      @user-dv5zg7ru9c 6 วันที่ผ่านมา

      Sio kama taufiq kamwambia akihojihojiwa na uyu mwandishi, mwandishi atakua star 😂😂

  • @amirkhamis8250
    @amirkhamis8250 3 วันที่ผ่านมา

    Kuna watu wana hela halafu ni very humble. Angezipata Doto magari/Mwinjaku ingekua hatulali

  • @hafidhisamata634
    @hafidhisamata634 หลายเดือนก่อน +2

    Nachompendea razaleeee pesaaa kajaza ila kuvimba hajui very humble

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mr Razalii umezungumza kwa hisia saan kwenye suala la kuiletea maendeleo Zanzibar allah aakuwafilishe

  • @Udindigwa
    @Udindigwa 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nimependa Jamaa Anavyo Jibu Maswali Hekima Ndo Kitu Bora SANA Katika Maisha Yetu Mungu Anisaidie Aniongoze Vyema Katika Safali Ya Maisha Yangu

  • @khadijamansoor7415
    @khadijamansoor7415 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndugu mtangazaji pole ,umepambana na matajiri wakubwa wenye imani zao za Dini Mashaallah

  • @RayaAmeir
    @RayaAmeir 2 หลายเดือนก่อน +2

    Razaleeeeeee sema tenaaaaaaa......hongera saleh

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safi bro ❤

  • @hassanabazar9411
    @hassanabazar9411 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu Mr Sematena ni mtu poa sana yani hana majivuno kabisa Mungu akuzidishie kheri

  • @sabrinasabrina8395
    @sabrinasabrina8395 2 หลายเดือนก่อน +1

    Rich young man but very humble

  • @Juke995
    @Juke995 2 หลายเดือนก่อน +7

    Wengine tumeishia tu kumjua jina na lijumba lake ila hatujui ni nan na imekuwaje hadi kahojiwa 😢bora millad ayo anauliza maswali muhimu

  • @mrsab303
    @mrsab303 2 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah MashaAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 2 หลายเดือนก่อน

    daaah haya bhna

  • @RehemaAlly-rn7cb
    @RehemaAlly-rn7cb หลายเดือนก่อน

    eeeeenh kwa mara ya kwanza kuliona hili jumba ndanii nilikuwa napita tu kwenda beach😁😁😁

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah anampenda kusema karibu Sanaa half nitajir huyu

  • @Kevworx
    @Kevworx 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nilichopenda jamaa ni mshabiki mwenzangu wa Chelsea

    • @MoLabia
      @MoLabia หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy หลายเดือนก่อน +1

    Mwisho wasiku namimi nimeangalia kipindi 👍

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 2 หลายเดือนก่อน +1

    Vipindi vingi wakigonga wanjfanya kwenda kuu Liza Kwan hajui km anafwata😅😅

  • @user-ic1is1cn6y
    @user-ic1is1cn6y 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mmeona watu na maswahiba zao😀😀

  • @alexkayombo2725
    @alexkayombo2725 หลายเดือนก่อน

    Form 4 2012 duh ?? Mdogo wangu kabisa pesa sasa😂😂😂

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 หลายเดือนก่อน

    Pazuri sana🎉

  • @tembatembele5332
    @tembatembele5332 2 หลายเดือนก่อน

    Nyumba nzuri aweke pazia za umeme

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 2 หลายเดือนก่อน +1

    Iknw is nice house m father is contractions doing this big bangaloo

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wazanzibar wanaishi bwana

    • @khamismohammed1650
      @khamismohammed1650 หลายเดือนก่อน

      Sio wote

    • @user-lj7mu1tk2b
      @user-lj7mu1tk2b หลายเดือนก่อน +1

      Wemuongo 😂😂 njoo zanzibar uone jualitavokuwakia

    • @mithlaabdulrahim8566
      @mithlaabdulrahim8566 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-lj7mu1tk2b
      Akaribie 2 mbona 😂😂😂

  • @stephanomagembe4140
    @stephanomagembe4140 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kipindi kizuri lakini kuna maswali yanakosa kuulizwa ..maana huyu ni kijana amefikaje hapo ? Au amerithi Mali au namna gani..

    • @Alburtukal
      @Alburtukal 2 หลายเดือนก่อน +1

      Utajiri ni wa kurithi tu

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kipindi kizuri Ila ungekifanya mchana ingependeza zaidi

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 2 หลายเดือนก่อน

    camera man movement zako zipo slow,unachelewa kufika eneo husika wakat inaanza kuelezewa,fanyia kazi hilo

  • @yusrasalum
    @yusrasalum หลายเดือนก่อน

    Si michezo ❤

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 2 หลายเดือนก่อน +2

    TATIZO HUJUI KUPANGILIA MASWALI, MTIRIRIKO NI MBOVU.

  • @Iptysamkihiyo
    @Iptysamkihiyo 2 หลายเดือนก่อน

    huyo ni mr. mwisho wa siku sio mr sema tena

  • @ShedrackSylvester-yl6be
    @ShedrackSylvester-yl6be 2 หลายเดือนก่อน

    Mpeni mashavu castor Dickson atauwa San kwenye hichi kipind izuri sema mwana unyama

  • @saidseif1860
    @saidseif1860 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bado mtangazaji hajaiva yaan km mtalii vile

  • @ujenziwanyumbakisasatanzan6343
    @ujenziwanyumbakisasatanzan6343 หลายเดือนก่อน

    Kwanini msitafute watangazaji wenye uwezo. Na mtu wa editing pia aongeze uwezo.
    Ila mtangazaji big NO

  • @saidkhalifa34
    @saidkhalifa34 2 หลายเดือนก่อน

    Hao ndio wazanzibari halisiii

  • @redtk2971
    @redtk2971 หลายเดือนก่อน

    Kijana kwa maneno yako hayo ya watu wanaingia kimya kimya na yatch chonde usije mfufua jiwe huko alipo😂

  • @user-rk9cy8gc8g
    @user-rk9cy8gc8g 2 หลายเดือนก่อน

    Nimecheka salehe kwenye tenesi

  • @hafidhisamata634
    @hafidhisamata634 หลายเดือนก่อน

    Tungekuwa wabongo kama huyo haongei na mtu

  • @Sisterjemi1
    @Sisterjemi1 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu si muarabu rangi tu mbona wapo wachanga weupe nao utasema waarabu

  • @machintangachibwena5922
    @machintangachibwena5922 2 หลายเดือนก่อน

    Kitaaaa hapo Bush Doctor kibweni Mshelishelini Wapi Msouth,

    • @kahilissa1862
      @kahilissa1862 2 หลายเดือนก่อน

      hahha msouth yupo

  • @sebeneka6290
    @sebeneka6290 2 หลายเดือนก่อน

    Mdogo angu kabisa 😂😂😂

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน +18

    Kipindi kizuri ila Da Zama huyu mtangazaji Bado hajaiva, hamjuwi kumuhoji mtu. Kwani mtazamaji hajuwi huyu ni nani?? Kwani mtu anataka amjuwe huyu jamaa ni nani?? Na jina lake ni nani?? Na Kwa Nini ni Raza Lee?? Ana husiana vipi na kina Marehem Moh'd Raza au Ibrahim Raza. Hayo yote yalitakiwa yajulikane!!

    • @Ciyara248
      @Ciyara248 2 หลายเดือนก่อน +16

      Omba ajira uende wewe ukawe mtangazaji wa kipind

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน +2

      @@Ciyara248 ahaaa. Haya

    • @salehcllassic2325
      @salehcllassic2325 2 หลายเดือนก่อน +26

      NAKUJIBU MIMI NDIO MTANGAZAJI SALEH SIO KILA KITU MTU ANATAKA KUKIWEKA HADHARANI NA AKISHASEMA HATAKI VITU VYENGINR VIENDE HEWANI UNATAKIWA UMUHESHIMU KWAIYO KILA AMBACHO UMEKIONA HAKIJAENSA HEWANI MWENYEWE HAKUPENDA…. Sada kama
      Bado sijaiva karibu ulete CV upate ajiraa….. saleh classc hapa IDD MUBARAQ

    • @salehcllassic2325
      @salehcllassic2325 2 หลายเดือนก่อน +7

      Unataka ujue nini zaidi na nishasema mfanyabiashara mkubwa zanzibar unataka ujue nini wakati keshatoa historia yake alipozaliwa mpk aliposomaa mpaka
      Akamaliza ndugu yng🙏🏻

    • @Ciyara248
      @Ciyara248 2 หลายเดือนก่อน +11

      Salehe baba pumzk mwaya ....Sisi tunao fatilia kipind chako kila siku Ndo tunao jua ubora wako katika kazi achana na izi ng'e🤬

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj หลายเดือนก่อน

    Wanaume wa zanzibar hawana vichogo

    • @djhajiztz
      @djhajiztz หลายเดือนก่อน

      hata komwe awana

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 5 วันที่ผ่านมา

      salehe mbona anacho??

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 หลายเดือนก่อน

    Sale hataki kaondoka naona mwenyeji anasimama kukuaga wewe umekaa bado 😂😂

  • @Alburtukal
    @Alburtukal 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nlikua nashindana nae kuenda mbio na mavespa maeneo ya chukwani

  • @swahilkid3128
    @swahilkid3128 2 หลายเดือนก่อน +1

    Matajiri wote znz ni warabu au wahindi waznz weusi zao chuki na umasikini umewajaa,walalamikia muungano eti ukivunjika watakua matajiri kimiujiza kama hao waarabu

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke 2 หลายเดือนก่อน

      Sema huwajui zipo gapiz zanzibar zina pesa wala hazina papara ya kujisifu

    • @kingkendrickk
      @kingkendrickk 2 หลายเดือนก่อน

      Aisee

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz 2 หลายเดือนก่อน

      Mpumbvu sn ww huku Zanzibar kuna wa2 weusi wenye pesa kuliko warabu na wahindi hatupendi sifa na kujulikana ukitaka kujua ilo nijb comment hii nikupe data za wa2 weusi wenye pesa kuliko waarabu

    • @masoudrashidmohammed4124
      @masoudrashidmohammed4124 หลายเดือนก่อน

      Ww ni pimbi sana unachuki na wazanzibar na huwajui wazanzibar stupid kabisa kumbe ww yaani wazanzibar wanapesa hatari sana. Na huko kwenu Tanganyika munatumwa ba hao hao wazanzibar ndio wanaokutumeni

    • @Muhamed_mo
      @Muhamed_mo หลายเดือนก่อน

      Mliwauwa ili mrithi majumba na mali zao je vipi hamjafaidikaaaa, na nyie mkatajirikaaaasss, msicheze na mgao wa Allah mmeadhirikaaaa na mmakufa dhaliliiiiii

  • @zahormohd
    @zahormohd 2 หลายเดือนก่อน +6

    Hilo jumba alijenga baba yake tangia mwishoni mwa miaka ya tisiini na mwanzo lilikua limeandikwa baadhi ya aya za qur'an kwenye kuta zake na likapata umaarufu kwa raza na kipindi chote cha uhai wa baba yake hatukuwahi kuona akitembelewa na mapaparazi kuhojiwa kwenye nyumba hiyo.

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 2 หลายเดือนก่อน +3

      Na baba yako mbona hakujenga mpaka leo hii bado maskini?

    • @icclcharters3389
      @icclcharters3389 2 หลายเดือนก่อน +1

      Acha hasira😂

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน

      Sio kwamba hatumpendi au hatupen di kipindi ila mfumo wake wa kuhoji. Anakwambia jumba la kifahari la Raza Lee kumbe ni sehemu yake ya biashara sipo anapoishi. Na ukipima yy anasema 2012 kaenda china kusoma hapo kamaliza form 4 ,je china alisoma kipindi Gani?? Chuo alimaliza lini?? Na level yake ya elimu ikoje?? Kwa sababu ukimuangalia huyo,Mali nyingi amezikuta na yy anaendeleza tuu. Kama ilivyokuwa Kwa tawfiq ila tawfiq kidogo yupo tafauti na huyu lkn wanafanana.

    • @princesaha3262
      @princesaha3262 2 หลายเดือนก่อน

      @@nickalreadyknows Hana.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 2 หลายเดือนก่อน

      We ulitaka ajengewe na baba yako nini? We mbona baba yako kakuachia masufuria hamna anaeshangaa

  • @abdulrahmanmohammed4449
    @abdulrahmanmohammed4449 2 หลายเดือนก่อน +1

    Msimlaumu mwenzetu amekutana na vitu vya ajabu vimemtoa mchezoni amebaki anashangaa maswali hamna..ila amejikaza hata hivyo

    • @HamisiChipotele-fl8xo
      @HamisiChipotele-fl8xo หลายเดือนก่อน

      Kweli kbs. Masikini ukikutana na tajiri mtetemo lazima😂