ANAPOISHI CHIDY BENZ/ MAJIRANI WANAMKUBALI/ ANAISHI MWENYEWE/UTACHEKA VITUKO VYAKE.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2025
  • Usisahau ku"SUBSCRIBE" TH-cam channel yetu kwa videos nyinginezo
    #zamaraditv #mambonimengi

ความคิดเห็น • 505

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 11 หลายเดือนก่อน +62

    Watu wanamuona chidi hayupo sawa....but yupo sawa na namkubali sana❤❤❤😊😊😊

    • @MrsKhalid-683
      @MrsKhalid-683 11 หลายเดือนก่อน +2

      Kwakua sawa hayupo sawa😅maskini chidi jaman sio chidi wazamani

    • @edgerkanyele3910
      @edgerkanyele3910 10 หลายเดือนก่อน +2

      Jamaa ana talent basi tu maisha ya makundi ni mabaya sana
      Ila mungu atamrudisha alipokuwa mwanzo...namkubali sana huyu jamaa

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto 11 หลายเดือนก่อน +29

    Mguu mmoja wa chidbenz hauko sawa but mungu kamwezesha kiasi flani yuko sawa kwa afya ya mguu amina!!!.

    • @rashidkatundu9674
      @rashidkatundu9674 11 หลายเดือนก่อน +2

      Dah walah bila nguv ya serikal tutampoteza jamaa unga n atar aisee😢 kidonda cha teja n kipengel kupona

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr 11 หลายเดือนก่อน +27

    ila chidi kamuelimisha vizuri sana uyo dd na ana busara sana Mungu amsaidie alipo kwama amfungue🙏

  • @kennysportnews
    @kennysportnews 11 หลายเดือนก่อน +26

    Chidi ana akili sana. napenda sana interview zake👍👍

  • @Maas-d5d
    @Maas-d5d 11 หลายเดือนก่อน +11

    imani nikitu muhimu sana haijalishi umlevi ama umtumia madawa ama vp lakini imani unaweza mshinda shehe ama mchungaji mashallah kaka chid mungu akulinde katika hizo njia ambazo sio nzuri masha Allah wewe unamungu

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 11 หลายเดือนก่อน +16

    Chidi benz love you❤❤❤❤❤❤ Mungu atakuenua tu 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Pole brother, thank God always. Dunia ni majaribio🇬🇧🇰🇪

  • @FeisalBinfeisal
    @FeisalBinfeisal 11 หลายเดือนก่อน +23

    Chidy mkubwa sema apati respect yake🎉🎉

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 11 หลายเดือนก่อน +25

    Kusema kweli sikuwahi kupenda hip hop ila chid alinifanya nikapenda huu mziki.wauza madawa walaaniwe kwa Jina la Yesu.very painful.

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo 11 หลายเดือนก่อน +13

    Dah maisha kweli hayana rafsiri kamili,chid ambaye nilimuona akihojiwa na salama kwenye mkasi,chid alikuwa ameshine kinoma leo hii ndio huyu ninayemuona hivi ama kweli maisha ni fumbo km kilivyo kifo,usijione umemaliza wala usimcheke anayepitia kipind kigum,allah amfanyie wepes chid

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 11 หลายเดือนก่อน +1

      Kwenye mkasi pale ndio tayari alishaanza kujiingiza kwenye madawa kama unakumbuka hata salama alimuuliza swali kuwa kuna tetesi ya yeye kuwa anatumia madawa ila chidi mwenyewe alikanusha

  • @EdithaEditha-z3s
    @EdithaEditha-z3s 2 หลายเดือนก่อน +1

    Chid auko sawa ila Kuna pointi nimechukua kutoka kwako mwenyezi mungu akufanyie wepesi uludi kwenye afya yako uko vizur bhana

  • @LaddyChimiy
    @LaddyChimiy 11 หลายเดือนก่อน +29

    Saleh unahoji vizur sana mashallah ubarikiwe sana❤

  • @casablancastudioarusha775
    @casablancastudioarusha775 11 หลายเดือนก่อน +15

    Dakika ya 23:20 Chidi amezungumza ukweli kabisa "Mtu mshirikina huwa hapendi ukaribu na mtu muomba Mungu huwa wanakuwa wabinafsi sana 💪💪

  • @Richiewakitaa
    @Richiewakitaa 11 หลายเดือนก่อน +2

    Chid benzi mwanangu sana sema nimtu mmoja peace kinoma pia credt ziende kwa mwandishi wa habari kaendanae sawa

  • @DEEJAYBUFFKE
    @DEEJAYBUFFKE 11 หลายเดือนก่อน +12

    CHIDI IS A CRITICAL THINKER SMALL MINDS WILL NEVER UNDERSTAND HIM

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 10 หลายเดือนก่อน

      Umesema ukweli mtupu

    • @bittersweet1683
      @bittersweet1683 10 หลายเดือนก่อน

      I'm from Rwanda but I started following tanzanian hip hop juu ya chid Benz he is phenomenon hakuna msani wa hop kuzidi chuma balani Africa I swear

    • @ndambuki
      @ndambuki 2 หลายเดือนก่อน

      Hes a real genius

  • @Mshuta
    @Mshuta 11 หลายเดือนก่อน +121

    Kama mmeona huyu kinyozi wa pili ni mshamba nipeni like zangu

    • @kirajlovely8115
      @kirajlovely8115 11 หลายเดือนก่อน +5

      Mshamba sana😂😂😂😂

    • @idrissaabubakari859
      @idrissaabubakari859 11 หลายเดือนก่อน +2

      Sio mshamba msenge tu😂

    • @digital-d2t
      @digital-d2t 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@kirajlovely8115 unaumia nn sasa

    • @digital-d2t
      @digital-d2t 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@idrissaabubakari859acha matusi

    • @badifundi6089
      @badifundi6089 11 หลายเดือนก่อน +3

      Uyu kinyozi wa pili ni kama ndo anaona camera leo kashazoea vioo vyake vya saloon apo😂😂😂

  • @Maryc2G
    @Maryc2G 11 หลายเดือนก่อน +9

    Nyumba nzuri chid benzi 👍🏽

    • @westcijosh
      @westcijosh 11 หลายเดือนก่อน +1

      Yakwakwe kwani?

  • @angelinaomare3055
    @angelinaomare3055 11 หลายเดือนก่อน +3

    Chidi’s is a nice and Humble person ❤️
    Mbona kama mguu wa Kushoto kafura c poa jamani.

  • @mejakimaro2773
    @mejakimaro2773 11 หลายเดือนก่อน +6

    Kinyozi mshamba....Ila Chidy amekuwa na subra kinoma huyo demu kazingua ila Jamaa kanywa maji hasira zikashuka😂😂

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 11 หลายเดือนก่อน +15

    Sema chidy kaongea sana point hum

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 11 หลายเดือนก่อน +12

    Siyo vzr kuingia ndani kwa watu na viatu😊

  • @HamisSaidi-h3u
    @HamisSaidi-h3u 11 หลายเดือนก่อน +8

    Chini kweli Mchanaji yani ameanza kujieleza kwa kuchana kabla ya kuhojiwa😂😂😂😂

  • @mcharomshana2167
    @mcharomshana2167 11 หลายเดือนก่อน +5

    Maisha haya. We need to learn from these guys. Chidi alishika pesa sana na umaharufu alikua nao sana chidi. Mungu kumshika sana Imani kuzishika sana. Pia marafiki, makundi, ndugu, spendings zetu na muda ni muhimu kuwa navyo makini.

  • @qimlaw6723
    @qimlaw6723 11 หลายเดือนก่อน +7

    Pole kwachangamoto ya mguu Kaka.

  • @paulmwandoe3959
    @paulmwandoe3959 11 หลายเดือนก่อน +7

    Leo mara yangu ya kwanza kumuona mie husikia Chidy Benz tu kwa musiki

  • @Kaida_Cut254
    @Kaida_Cut254 11 หลายเดือนก่อน +13

    Interview za chid ni nzuri kuskiza zaidi ya nyimbo za diamond

    • @ElizabethMushi-ff9bw
      @ElizabethMushi-ff9bw 11 หลายเดือนก่อน +1

      Unakera sana ww sasa unalinganisha nini hapo kwa chidi na Diamond wacha izo jieshimu kama unapenda chidi bac penda yeye tuu na sio kukosoa mwingine sasa hapo diamond kaingililia hapo nini

    • @gilmangeorge366
      @gilmangeorge366 11 หลายเดือนก่อน

      Unataka uolewe na diamond au sahau ndugu😅​@@ElizabethMushi-ff9bw

  • @JumaMartin-e4v
    @JumaMartin-e4v 4 หลายเดือนก่อน

    Chid benz anajielewa alhamdulilah ndio majaaliwa nyumba aliyo jaaliwa.chiz au mtu asiejielewa Hawez kumiliki mjengo kama huu Big up chid

  • @Mghaza-m16
    @Mghaza-m16 11 หลายเดือนก่อน +2

    I gotta respect for you.❤❤❤❤❤.mob love chidi.❤

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 11 หลายเดือนก่อน +32

    huyu ni kwake,, alijenga miaka hiyo sema sahii kidogo ameyumba❤❤

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 11 หลายเดือนก่อน +6

      Mama yake chid alikua mfanya kazi wa TRA Babayake Lama sikosei alikua mwasibu shirika la nyumba kwahiyo tafakari

    • @edwardrigha6782
      @edwardrigha6782 9 หลายเดือนก่อน

      @@kwisa4899 😀

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk 11 หลายเดือนก่อน +13

    Çhidi una sweat sana bro,toa vitu vikali bro

    • @djhajiztz
      @djhajiztz 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @saidizuberiissa7286
    @saidizuberiissa7286 11 หลายเดือนก่อน +12

    Dah! nataman chidi angekuwa mzima kama zaman na angekuwa ana shusha mangoma akiwa kwenyehali yake ya kawaida

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto 11 หลายเดือนก่อน +9

    Pindi interview inaanza niliona kama chid anazingua hivi sema sio kesi imekuja kua fresh tuuu

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule 10 หลายเดือนก่อน +4

    Mbongo bwana kafika nyumbani kwangu kakuta geti limefungwa kalifungua kaingia ndani cha ajabu kaliacha wazi kashindwa kulifunga tena..kiukweli watanzania bado sana.

  • @Timoclement
    @Timoclement 11 หลายเดือนก่อน +12

    Unajua chidi Yuko happy maana amekubali Hali yake na anaongea ukweli I wish Iko cku ataheshimika Tena

    • @bittersweet1683
      @bittersweet1683 10 หลายเดือนก่อน

      Heshima ya chid is forever

  • @jacklinengowi4230
    @jacklinengowi4230 6 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupenda kinoma chidi ❤

  • @rayaabdul-gm3hc
    @rayaabdul-gm3hc 11 หลายเดือนก่อน +5

    Duuu .madawa sio mazuri daah huyu kaka napenda nyimbo zake .mungu atakupa unafuu .utarudi kwenye gemu

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 11 หลายเดือนก่อน +9

    hlo lidada na msura huo mbayaaaaa na mchogooo wake mdomo mrefuuuuu

  • @owinookello9358
    @owinookello9358 3 หลายเดือนก่อน

    My best from kenya big up chidi

  • @giztony2009
    @giztony2009 11 หลายเดือนก่อน +3

    Wonders will never end! Hii cyo kawaida huyu kinyozi wa pili ni mshamba halafu anaonekana ametoka kijijini

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 11 หลายเดือนก่อน +17

    Dada mzuri na watoto

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 11 หลายเดือนก่อน +4

    Kwel kabisa mshkaj upo frsh sana unahoji mtu anakua free na anafunguka mwenyewe tu

  • @ZeeyZeey-c9x
    @ZeeyZeey-c9x 10 หลายเดือนก่อน +1

    Kinyozi wa pili mshamba sana khaa 🙌😅

  • @hamadiselemani8665
    @hamadiselemani8665 10 หลายเดือนก่อน +3

    Uyo Jamaa Ana Akiri Sana, Ila Watu Wanamchukulia Pouwa Tu

    • @Maryc2G
      @Maryc2G 10 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa

  • @BintRasheed1999
    @BintRasheed1999 11 หลายเดือนก่อน +6

    Nyimbo za chid zltuburudsha sana enz za utoto wetu

  • @salumchuma7762
    @salumchuma7762 11 หลายเดือนก่อน +3

    Dah! kwanini CAMERA MAN hajamtuliza mapepe huyo kinyozi wa pili mshamba mshamba..!Selehe Anakitu kiukweli yupo COOL SANA..... HE IS LIKE THE NEXT MILLARD AYO

  • @abrahammustafa6162
    @abrahammustafa6162 6 หลายเดือนก่อน

    legendary 🥳, one of my favorite

  • @gwijitv
    @gwijitv 11 หลายเดือนก่อน +6

    Huyo kinyozi alishindwa kusema tu WE ZOMBI HAUJUI? 😂😂😂

  • @SaidIddy-k7f
    @SaidIddy-k7f 11 หลายเดือนก่อน +2

    SALEH UNA UVUMULIVU SANA HUYU KINYOZI WA PILI MI NIMEBAKI HOI MNOO WEE NDIO ULIKUA UNA MUONA ILA KUMZUIA HAMNA WALA KUCHEKA HAMNA 😊

  • @PacohMedia
    @PacohMedia 11 หลายเดือนก่อน

    Moja Kati ya Rapper ambaye hana wa kuziba pengo lake haswa (Voice yake) Namkubali sana.

  • @ashurajuma4837
    @ashurajuma4837 11 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo demu msenge sanaaa

  • @LizzieNimo
    @LizzieNimo 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba kazi ya usoja priss 😊

  • @edwardfaraji1133
    @edwardfaraji1133 11 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu amlinde mwanangu Chid...

  • @HaulSidney
    @HaulSidney 11 หลายเดือนก่อน +1

    Chid nakuelewa sana, big up

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 11 หลายเดือนก่อน +1

    Swaleh ndio umeondolewa hvo kwa chidi hta hukuingia ndani 😂ila kwa jirani umeingia 😊

  • @johnngoyo5589
    @johnngoyo5589 11 หลายเดือนก่อน +4

    Uyo shoga anazingua kinoma yana sijui ni mshamba wawap

  • @dadychaps7527
    @dadychaps7527 11 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂Dah... Chidy kiboko🙌😂🇰🇪🙏

  • @ShafizohMaalufuh
    @ShafizohMaalufuh 3 หลายเดือนก่อน

    Nakabali san broo tunakatah unyonge

  • @PeterBaton
    @PeterBaton 7 หลายเดือนก่อน

    Najuwa Ungemuliza Chid kuusu hichokitambaa harichofunga Mguuni Mtangazaji Ungepigwa Maana hanambonge Wa Mdonda🤣👍

  • @timmztimam3990
    @timmztimam3990 9 หลายเดือนก่อน +1

    44:33 😂😂😂😂 🔥🔥🔥🔥
    CHIDI NI MWISHO WA MATATIZO 🔥🔥🔥

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 11 หลายเดือนก่อน +29

    Madawa sio mazuriii

  • @BenjaminSumaili
    @BenjaminSumaili 6 หลายเดือนก่อน

    Yoko fresh bro

  • @HussenJumanne-zv5px
    @HussenJumanne-zv5px 11 หลายเดือนก่อน +8

    Kinyozii msenge tuu uyo wa pili

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 11 หลายเดือนก่อน +12

    Hapo naweye siyo kwako😂😂😂ila interview zako kali wanaomkubali chidi gonga meza😂

    • @dyangwe
      @dyangwe 11 หลายเดือนก่อน

      King Kong.

    • @MarkHezron-oy6br
      @MarkHezron-oy6br 11 หลายเดือนก่อน +1

      Itakuwa kwa bibi yako

  • @godfreyelkarim2586
    @godfreyelkarim2586 11 หลายเดือนก่อน +1

    Msanii anaweza kufanya uduwanzi na ukimuuliza kwann...hizo point unakazopewa utakubali tu...😂

  • @esterdoriye8377
    @esterdoriye8377 11 หลายเดือนก่อน +12

    Chidi mjanja mjanja sana anapoteza mda asiulizwe maswali mengi 😅😅😅😅

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 11 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu ni muongo eti nyumba ni chafu...yaani maisha yamempelekesha

  • @thadei127
    @thadei127 11 หลายเดือนก่อน +3

    Uyo kinyozi mshamba sana

  • @digitalworld5577
    @digitalworld5577 10 หลายเดือนก่อน +1

    Gonga like kama umemsikia Chid akisema akuu! Huku anabetua kibega😂

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 11 หลายเดือนก่อน

    Benziiiiii chid auna baya enjoy bhana na maisha yako

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 11 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂ayo mapete uyo kinyozi wa pili na anavyojiringisha kwenye camera sasa km hizo camera zipo kwa ajili yke😂😂

  • @brownkira1332
    @brownkira1332 11 หลายเดือนก่อน +2

    Demu Mashamba sana mbayaa

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 11 หลายเดือนก่อน +21

    Mtangazaj umezngua ndani na viatu tena

    • @philemonmagesa5548
      @philemonmagesa5548 11 หลายเดือนก่อน +1

      Umeona ee ni dharau kubwa aisee hata namm amenikwaza huo sijui ustarabu Gani anaingia kwA watu na viatu vyake utadhani viatu vyake ni visafi mpuuzi wa kawaida ni dharau angeenda kwenye nyumba ya wasanii wengine tofauti na chid sidhani kama asingevua viatu kama alivyofanya hapo

  • @salumchuma7762
    @salumchuma7762 11 หลายเดือนก่อน +6

    STAY STRONG RASHID!!!!...

  • @margarethsaramaki3966
    @margarethsaramaki3966 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu Chid anahitaji msaada wa kutolewa kwenye kilevi cha hovyo
    Maneno yake ni ya kujikinga nk ila Mungu amsaidie kwa kila jambo

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 10 หลายเดือนก่อน

      Mfano maneno gani?

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia 11 หลายเดือนก่อน +2

    LEO jamaa kakuchosha maana anazunguka tu😊😊😊😅

  • @slovetanzania812
    @slovetanzania812 6 วันที่ผ่านมา

    Kama unakubali interview za chidy Gonga like tujuane for love

  • @Wizy_store
    @Wizy_store 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kinyozi😂 analinda brand

  • @ruu6592
    @ruu6592 11 หลายเดือนก่อน +1

    Amemanisha pesa za muziki nyingi ni za shetani ukimkataa anazichukua ela zake... uweeeeh...kwani the second kinyozi ana tatizo gani😂

  • @veronicah1357
    @veronicah1357 11 หลายเดือนก่อน +10

    Kwani kinyozi wa pili kaleft nn 😅😅mbna mbwembwe ivo

    • @ruu6592
      @ruu6592 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @AngelJoshua-my4gb
    @AngelJoshua-my4gb 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂😂😂ila kinyozi wa pili kheeeee

  • @pendombinga3584
    @pendombinga3584 11 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo. Dada jeuri yk angekutana na interview ya ney wa mitego amletee usenge angeona

  • @robertmwita4327
    @robertmwita4327 11 หลายเดือนก่อน +14

    Mguu wa chid 😢😢,unahitaji msaada jamani

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 11 หลายเดือนก่อน +1

    Chid anajua kuishi na watu vizuri

  • @hamdusimai7711
    @hamdusimai7711 10 หลายเดือนก่อน

    Hahahaha hiyo dawa naitaka alopakwa chidi 😂😂😂

  • @OllerDesononline6333
    @OllerDesononline6333 11 หลายเดือนก่อน +4

    Halafu huyu jamaa alimuimba jamaa ammalizie kumnyoa chidy ili auze sura. Boyaxana xana huyu Yani amepania mnooooo. MSHAMBAXANAAAAAAAAAA

  • @SammyBathoromeoroman
    @SammyBathoromeoroman 11 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂 huyo kinyonzi wa 2 bonge Moja la shamba

  • @ReginaUshaky
    @ReginaUshaky 4 หลายเดือนก่อน +1

    Chid tunampenda sana anavyoongea.vichekesho vyake kiukwel tunampenda

  • @SaidIddy-k7f
    @SaidIddy-k7f 11 หลายเดือนก่อน +7

    Saleh ameanza kuwa na mazoea MABAYA wakati hua ana nidhamu etii ndanii na VIATU daah wee jamaaa halaf kwa watu

  • @FeisalBinfeisal
    @FeisalBinfeisal 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kinyozi wapili mmemujua 😂😂 ni dj misondo

  • @fabianclato3101
    @fabianclato3101 10 หลายเดือนก่อน +2

    Dish bado Alison sawa

  • @MrsKhalid-683
    @MrsKhalid-683 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yani maisha hatari kakutwa na nini sijui chidi😢

  • @cobrachristian3685
    @cobrachristian3685 10 หลายเดือนก่อน +1

    Chid inaonekana anapenda watu sana kikubwa saidi ni mtoto wa mama anampenda sana mama yake ila ana akali kubwa sana kuliko tunavyo dhani

  • @shabanimgaya5621
    @shabanimgaya5621 10 หลายเดือนก่อน +3

    Kama unamkubali mwamba like apa tujuane😊

  • @HamisiUliza
    @HamisiUliza 12 วันที่ผ่านมา +1

    Sema huyu kinyoz amezgua sn km mtt choko kwr

  • @abuibra
    @abuibra 11 หลายเดือนก่อน +12

    Chidy hayuko sawa,lakini kijana mwema ana roho nzuri

    • @PiliSalehe-lt9ul
      @PiliSalehe-lt9ul 4 หลายเดือนก่อน

      Uyo nilimuona tp top shabik kapanda jukwaan acheze nae yy akamsukuma na kumtukana

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nilitaka kuangalia mpaka mwisho lakini kinyozi kanikera nimeacha 😂😂😂

    • @GoldenchipsChips
      @GoldenchipsChips 11 หลายเดือนก่อน

      Sialikua anaweka pozi kuna mtu alikua anampiga picha😆😆😆kila mtu anaushamba wake mvumilie tu

    • @ezron_official
      @ezron_official 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂pole

    • @RamblaMitumbi-c2u
      @RamblaMitumbi-c2u 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @Manuelwinfrida
    @Manuelwinfrida 6 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo kinyozi wapili😅😅😂

  • @Lashymreal96
    @Lashymreal96 11 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu kinyozi wa pili anajikuta juma jux au dotto magari😅😅

  • @prince.eric_msemwa1994
    @prince.eric_msemwa1994 11 หลายเดือนก่อน +1

    chid ni true star,

  • @ramxonforex772
    @ramxonforex772 11 หลายเดือนก่อน +1

    hahahahah nilikuwa nasubili namm nione huyo kinyozi wa pili atafanya nin jamaa kaanza kujiandaa kule ndani hahaha kweli mshamba wa camera

  • @AnnoyedDessert-xs5xo
    @AnnoyedDessert-xs5xo 11 หลายเดือนก่อน +4

    Chidi, TID, gigy money ni kazi kuwahoji