ITAKULIZA, DK ZA MWISHO MARKO ALIVO INGIA KWENYE OPARATION, MAMA MDOGO ASIMULIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 85

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu3565 19 วันที่ผ่านมา +7

    ❤wakati ukifika KILa mtu na njia yake ,nimekupenda mama umejibu kiroho na cyo kimwili ,,poleni sana KWa mcba huu

    • @Priscillamoses-qe5id
      @Priscillamoses-qe5id 14 วันที่ผ่านมา

      Wakati ukifika kila mmoja ananjia yake,hakika kila nafsi itaonja mauti,Bwana ametoa Bwana ametwaa jina Bwana litukuzwe,Amina.

  • @VionaMuthoni289
    @VionaMuthoni289 14 วันที่ผ่านมา +5

    Marko alikufia tu operation room sioni kama alikufia ICU ,waliona wamuweke ICU ndio wasigundue alikufaje juu mbona hakuna hata mtu moja alienda kumuona after operation??juu hiyo masaa yote mtu kuwa operation room ni ngumu mtu kuwa uhai juu dawa ya operation haidumu zaidi 3-4hrs na aliongezewa zaidi ya mara 3

  • @millyqtr895
    @millyqtr895 19 วันที่ผ่านมา +16

    Mama mdogo umeongea ukweli lakini inauma sana marco hayupo nasi tena ,mungu awajaze nguvu wana zebron kwa huu wakati mgumu ,jameni inauma sana hiyo sauti haipo tena .Marco ameniuma utadhani ni ndugu yangu wa damu.🕊️💔

    • @saimalunde4002
      @saimalunde4002 16 วันที่ผ่านมา

      Hta mimi nimeumia saaana😢

  • @PeninaMisana-v4o
    @PeninaMisana-v4o 19 วันที่ผ่านมา +5

    Mungu alitoa Mungu ametwaa jina la bwana lihimidiwe,pole sana ZABRON SINGERS

    • @berthabarozi
      @berthabarozi 18 วันที่ผ่านมา

      MUNGU akubariki mamamdogo kwa neno la faraja

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 19 วันที่ผ่านมา +7

    Shetani ni mbaya sana, Eee Yesu tujalie mwisho mwema

  • @LYDIAHNAIBEI-d5x
    @LYDIAHNAIBEI-d5x 18 วันที่ผ่านมา +4

    Poleni Kwa familia, 😭 ni pigo Dunia nzima

  • @user-ch3db9wq1i
    @user-ch3db9wq1i 14 วันที่ผ่านมา +2

    inaumiza san jamni mungu awatie nguvu

  • @tinajoe5487
    @tinajoe5487 19 วันที่ผ่านมา +6

    Mwandishi swali la uzembe wa madaktari umelikariri kweli yaani tafuta maswali tofauti bana.

  • @AnnastaziaElias-f1s
    @AnnastaziaElias-f1s 19 วันที่ผ่านมา +5

    Mama mdogo mungu akutie nguvu

  • @MacklinaWilliam
    @MacklinaWilliam 4 วันที่ผ่านมา

    Jamani mama mdogo poleni sana kwakutokewa na Marco alikua mtu wawatu

  • @MercyMugalitsa
    @MercyMugalitsa 19 วันที่ผ่านมา +2

    Rip Marco us Kenyans loved but God loved you more

  • @TausianaKilimtali
    @TausianaKilimtali 17 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu awatie nguvu kwa hiki kipindi kigum wanafamilia

  • @Namtumbo
    @Namtumbo 19 วันที่ผ่านมา

    AMINA ❤❤❤kila mtu ana safari yake ,marhemu aunt alimjibu mdogo wangu akipouua sana

  • @josephinemwacharo-gd2el
    @josephinemwacharo-gd2el 13 วันที่ผ่านมา

    Maneno ya busara sana,Mungu alifanya kazi yake, Mungu aendelee kuwapa faraja

  • @jamilahbilalisanalookssupe422
    @jamilahbilalisanalookssupe422 11 วันที่ผ่านมา

    May Almighty God rest Marco's Joseph soul in eternal peace. Mwenyezi Mungu awape nguvu

  • @Blessedfarida
    @Blessedfarida 18 วันที่ผ่านมา +1

    Sauti yake ya kipekee. BWANA alitoa, na BWANA ametwaa, jina la BWANA libarikiwe🙏.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 19 วันที่ผ่านมา +4

    Naama mama mdogo umeongea kitu sahihi kabisa wakat utakapo fika kila mtu ataondoka kwa njia yake 👏🏾👏🏾😥😥😥polen wafiwa 😢😢

  • @nancykemunto3893
    @nancykemunto3893 19 วันที่ผ่านมา +4

    Dàah kila mtu amepangiwa kifo yake pole

  • @Neemasamweli-gj6xj
    @Neemasamweli-gj6xj 18 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤polen saana jmn

  • @RebecaJustine
    @RebecaJustine 18 วันที่ผ่านมา

    Mama mdogo Mungu Akutiye nguvu umeongea vzur kihekima

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 18 วันที่ผ่านมา

    Mama mdogo wewe ni mama mnyenyekevu sana na una maiibu yasiyoumiza mtu yeyote.

  • @KhadijaJacob
    @KhadijaJacob 14 วันที่ผ่านมา

    Presha ya kushuka nimbaya Sana! Polen Sana wapendwa

  • @RizikiMakayaShabani
    @RizikiMakayaShabani 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu atusaidiye kabisa

  • @FloraOmollo
    @FloraOmollo 16 วันที่ผ่านมา

    😢😢poleni sana mungu awatie nguvu

  • @AgnessDaud-jk7ro
    @AgnessDaud-jk7ro 19 วันที่ผ่านมา +3

    mama nimelia san na mwishon umeongea nimepat faraj ahsant na polen san msib ni wawot

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 19 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana wanafamilia pole sana kwa mke nawatoto wa marehem

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 19 วันที่ผ่านมา +2

    Hapo kwenye kuwekewa chuma basi shida ilikuwa kubwa

  • @FaridaMkunga
    @FaridaMkunga 18 วันที่ผ่านมา +1

    Poleni wafiwa wote

  • @NellyKombe
    @NellyKombe 19 วันที่ผ่านมา +2

    Amen ubarikiwe mum

  • @VailethSwai-u1m
    @VailethSwai-u1m 19 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana kwa msiba mzito jamani mbele yetu sisi nyuma yake

  • @CeciliapiterWangwe
    @CeciliapiterWangwe 18 วันที่ผ่านมา

    Eee. Mungu wape faraja familia hii Maana wanawakati mgumu sana

  • @LeilaSaidi-rk2uk
    @LeilaSaidi-rk2uk 14 วันที่ผ่านมา

    daah inasikitsha san jmn polen san ndug walioguswa inaum san apumzk kwa amn 😭😭😭

  • @NovekaNovatus
    @NovekaNovatus 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana mungu awatie nguvu

  • @samsonmutuiu3171
    @samsonmutuiu3171 17 วันที่ผ่านมา

    I don't trust the particular hospital coz if indeed he ws serious why didn't they took him to Nairobi yet they were at kisumu a few kilometers to Nairobi...something it's not adding up there

  • @ChristinaStanley97-r9c
    @ChristinaStanley97-r9c 19 วันที่ผ่านมา

    Mungu awatie nguvu zaidi ndungu wote

  • @wariobamussa2462
    @wariobamussa2462 19 วันที่ผ่านมา

    Pole sana Mama Mdogo......

  • @marydaud6799
    @marydaud6799 15 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana wana Zabron wote

  • @JeniphaHillo
    @JeniphaHillo 19 วันที่ผ่านมา

    Daah mungu awatie nguvu poleni

  • @FlorenceAseru-rj1fv
    @FlorenceAseru-rj1fv 14 วันที่ผ่านมา

    Poleni jamani!!

  • @MelleJoshua
    @MelleJoshua 17 วันที่ผ่านมา

    Kaz ya mungu umefanya akupokee mungi mwenyew

  • @AdiliMkonge
    @AdiliMkonge 9 วันที่ผ่านมา

    umeumaliza mwendo imani umeilinda

  • @PerediaKisongora
    @PerediaKisongora 18 วันที่ผ่านมา

    Polen sana jaman kwakwer kwa msiba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 19 วันที่ผ่านมา +2

    NA NYIE C MNGEMWACHA KUMFANYIA OPARASHENI?MWEEE INAUMA SANA

    • @colethacharles548
      @colethacharles548 18 วันที่ผ่านมา

      Kama umemsikiliza Dr asingefanyiwa angekufa usingizini au popote ghafla,nami nimewaza asingefanyiwa huenda siku zingesogea lakini bado alikuwa anateseka hadi anashindwa kulala so operesheni ilikuwa ni lazima😢😢
      Mungu amlaze pema nasi tusubiri zamu yetu😢😢

  • @angelakalonzo9513
    @angelakalonzo9513 15 วันที่ผ่านมา

    Tangu lini chuma ikawekwa kwenye mshipa? Tzania hawasomangi . Mungeleta mgojwa kenya

  • @mwanaimamsangi971
    @mwanaimamsangi971 18 วันที่ผ่านมา +1

    Vizur avidumu 😢

  • @NicholausJoseph-y9c
    @NicholausJoseph-y9c 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mazishi marko

  • @VAILETHCHAULA-z3n
    @VAILETHCHAULA-z3n 19 วันที่ผ่านมา +1

    Pumzika kwa amani😢

  • @joycenyamwaka1884
    @joycenyamwaka1884 19 วันที่ผ่านมา

    Very true Mama pole

  • @user-gx3gl9tw7q
    @user-gx3gl9tw7q 19 วันที่ผ่านมา

    Pole kwa family

  • @MagdalenaZephania
    @MagdalenaZephania 18 วันที่ผ่านมา

    Daah? Marco 😭😭😭

  • @Roseline-ld8ed
    @Roseline-ld8ed 19 วันที่ผ่านมา

    Pumzika kwa Amani 😭😭😭

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 19 วันที่ผ่านมา +1

    🙏🙏🙏💔

  • @rachelrodgers5080
    @rachelrodgers5080 19 วันที่ผ่านมา +1

    mungu ampumzishe salama

  • @SeciliaHegeli
    @SeciliaHegeli 19 วันที่ผ่านมา

    Poleni jamani

  • @AmidaOmary-b9s
    @AmidaOmary-b9s 15 วันที่ผ่านมา

    Polenta sana

  • @MonicahMareri
    @MonicahMareri 8 วันที่ผ่านมา

    😢

  • @farajatete9762
    @farajatete9762 18 วันที่ผ่านมา

    Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

  • @florahdaud6018
    @florahdaud6018 19 วันที่ผ่านมา

    Mwendo amemaliza lmani ameilinda àpumzke kwa amani

  • @VailethSwai-u1m
    @VailethSwai-u1m 19 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂inaumiza sana jamani nimelia nimechoka

    • @emmys7085
      @emmys7085 19 วันที่ผ่านมา

      😢😢

  • @user-xb2xu3sp9x
    @user-xb2xu3sp9x 19 วันที่ผ่านมา

    Polen sana mungu amulaze mahali pema peponi

  • @PriscaJohn-y8s
    @PriscaJohn-y8s 18 วันที่ผ่านมา

    Kwanin marco joseph asihifadhiwe kwake kama nyumba ya milele na sio makaburin i mean azikwe kwake nyumban polen sana familia ya zabron singers

  • @AvityLuuta-z4y
    @AvityLuuta-z4y 6 วันที่ผ่านมา

    Avity Luuta

  • @josephineochieng3682
    @josephineochieng3682 17 วันที่ผ่านมา

    Yaani shetani akiua kila mtu anachanganyikiwa

  • @ElibarikiMashambo
    @ElibarikiMashambo 19 วันที่ผ่านมา +1

    Nanyie waandishi hamuoni huruma kuwachosha na maswali wafiwa?

  • @AdiliMkonge
    @AdiliMkonge 9 วันที่ผ่านมา

    pumzik kwa amani

  • @wanjorowanjoro
    @wanjorowanjoro 18 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭💔

  • @faridabilly379
    @faridabilly379 14 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭

  • @JaseMwamilanga
    @JaseMwamilanga 14 วันที่ผ่านมา

    Poeren wanafamiry

  • @MaryKwamboka-x7x
    @MaryKwamboka-x7x 19 วันที่ผ่านมา

    Rip

  • @MosesLeverie
    @MosesLeverie 16 วันที่ผ่านมา

    😢😂😢😂😢😂

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r 18 วันที่ผ่านมา

    Poleni sana mungu awatie nguvu

  • @MadamOrida
    @MadamOrida 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢

  • @loveness.official5346
    @loveness.official5346 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢

  • @janetmlulla374
    @janetmlulla374 19 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢

  • @cartasjefer-sd4lp
    @cartasjefer-sd4lp 18 วันที่ผ่านมา

    😢😢😢😢