#PART1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- #PART1: SABINA -"MIMI SIYO KICHAA -NILIKUWA BILIONEA -MUME KANIDUHULUMU MALI na KUOA MKE MWINGINE"..
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Pole sana historia yako inaniumiza mwanamke mwenzio M Mungu atakulipia hapa hapa duniani
Pole sana asee, sijui kama utanikumbuka
Pole Sana ndugu yangu. Mimi bora nitafute yangu sitaki kutegemea vya mume wangu naogopa isinitokee km hii.
Asante Global TV kwa interview nzuri, punguza mziki kwa background tafathali. Thank you.
Huyu data hajawai sahau anarudia hivyo hivyo hajawah sema kakutwa na Mali pia anatoa kichwan hasom popote ukwel inauma
Pole dada MwenyeziMungu akulinde
Pole Sabina nitafute nikubust best
Ndio maana sasa hivi hakuna anayetaka kuoa au kuolewa
Nilitaka nijenge na mwanaume wangu lakin kwa hili acha nipambane mwenyewe
Usilogwe
Never try
Kwa usalama wa afya Yako ya akili na mwili pia .Mimi nilijenga mabanda ya kuku na ngombe huu mwaka wa tatu nimakatazwa hata kufanya huo mradi ulogarimu mamilion ya pesa 😢 nimeacha yanateketea na mchwa Bora ningefungua duka wanaume
Ptuuuuuuuu
Sijengi na mwanaume.....yaani sijaribu
Herbon fatilia vizurclip zote kaka mkweli tena anahofu ya MUNGU
Global@Kolumba🫶🏻🫶🏻🫶🏻Nawaombea kheri mzidi kuyaweka bayana vitu km hivi vitasaidia sana jamii .
Kweri kabisa
Wanaume
Presenter hongera, jitahidi kujiandaa kabla ya kukutana na mteja wako,ujue nini kinatakiwa kijulikane kutoka kwake.😮
Ila kweli wanawake wanasahau kwao wanajenga kwa waume tu sasa kama mmekuwa mabilionea mume hatak kuinua familia bora umwache
Pole
Dada pole sana ila kumbuka sisi binadamu ni watunzaji wazuri wa kumbukumbu, mm nakumbuka apo awali ulivyokua ukiomba kuonana na mkuu wa mkoa makonda kuna chombo cha habar ulifanyanacho mahojiano maelezo ya kule na kuku kuna utofauti kidogo, kule ulisema mwanaume alikukuta na mali ndo mkanza kuziendeleza, jitaidi kua mkweli na kunyosha maelezo usifiche ata matatizo yako na ww yaliyosababisha mpaka mkafika kwenye mgogoro huo
Kweli kabisa. Alisema kuwa mwanaume alimkuta na mali kwahiyo amemdhulu,nashangaa Leo kabadilisha maelezo. Mhm! Bora huyo mwanaume ajitokeze azungumze
Huyu alikuwa mwalimu mjueeee subili yawakute kujifanya wajuwaji
Ndo anaruhusa ya kutembea na mke wa mtu kisa mwalimu
@@marymanoni5536Kwani waalimu wanashida gani hadi yawakute.😂😂😂😂 Wanao utafundishia sebuleni kwako
Wewe nimpambambaji pambana utakua sawa
part 2 iko wapi
Background voice kubwa kuliko sauti ya muulizaji maswali
kweli kabisa, hakuna haja ya sauti kubwa kwenye background music.
Sijengi nae kwanza nikimkuta tu haeleweki siongei nae tena apite hivi unakuja kujenga na likunguru likutoe macho pole mwaya😢
Cha msingi mite aongelee kesi tu si story asaidike.chanzo ni maradhi.asaidiwe magar yataoza hamna mwenye uchungu zaid yake.
Kwel
Aongeele kesi tu
Kabisa aongelee kesi zake saba
Kwel ahongelee kes zake zote
Mmmmmmh........why kila kitu kiwe na majina yako wewe?
Inaonyesha ni mwanamke unaependa umiliki.
May be hapo ndipo tatizo lililoanzia
Alie tengenez cheni Bandia nae aliandaliw cheni Bandia
Huyu bwana kama hajitokez tumuone hana haki
Fatilia millard ayo sabina mkwel kabisa ww ndo unakurupuka
Sabina uwe unaongea hapo mbele kana ulivyosema JAMBO TV kama ulivyosema
@@WilliamVenance-f2j afu nyie ndugu wa mume mnagubu kweri nenda kwa kk yako tapeli ww
Kila kitu kilkuwa na majina yako.....
mwanaume kawa shetani, yani mmetafuta wote leo hii humtaki mwanamke basi gawaneni mali kila mtu aende zake. ila unataka jasho lake ukale na mwanamke wa ndoto zako,
@@ombeniMassawe hata wanawake wapo wanao kuwa mashetani. sija sema "wanaume mashetani" nime sema "mwanaume kawa shetani" niki manisha huyu mwanaume kwenye hii case yao kawa shetani. hata kama mwanamke ana makosa alimfanya nini, wagawane mali, mali walichuma wote, hata kama alibaki nyumbani kulea watoto, hiyo ni kazi kubwa tena isiyo heshimika.
soma na sikiliza kuelewa, sio kusikiliza au kusoma ili ujibu.siku njema.
😅
ķwel
Neva trust men jmn 😅
Mwanammke ukiolewa suala la kusema “kwenu” linakuwa limeisha. Nashangaa huyu anaongelea kufanya kitu kwao kivipi!?
Wewe ndo tukushangae cha ajabu nini hapo
@@HawaAhmed-yj8wo mwanammke akishaolewa hana kwao. Wewe hujaolewa bado dungaembe haya mambo huwezi kuelewa.
@@Hamy1109 yaani ndo unazidi kushangaza kuliko mwanzoni 😂😂😂😂😂😂 hakuna mambo hayo dunia hii
@@Hamy1109 wewe umeutoa wapi huo ujinga😂😂😂Dunia kweli inawatu waajabu sana
Sabina uwe unaongea hapo mbele kana ulivyosema JAMBO TV kama ulivyosema