DOCTA ALIE SHIRIKI OPARATION YA MAIKO AFIKA MSIBANI, AELEZA DK ZA MWISHO ZA MARCO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 404

  • @barakaabel482
    @barakaabel482 2 หลายเดือนก่อน +82

    Dr. Umetoa maelezo vizuri.....ukweli ni kwamba Madaktari mnatibu ila mponyaji ni Mungu....Tunamuombea pumziko la amani mbinguni....

    • @flavianajohn5250
      @flavianajohn5250 2 หลายเดือนก่อน +2

      Yani hizo dalili mpaka nimeogopa MUNGU naomba unitetee🙏🙏🙏

    • @JackyTarimo
      @JackyTarimo 2 หลายเดือนก่อน

      Ameeen

    • @annahulilo6719
      @annahulilo6719 2 หลายเดือนก่อน +1

      Amina🙏

  • @janetkemunto2065
    @janetkemunto2065 2 หลายเดือนก่อน +35

    Well explained Doctor .Thank you for trying your best,and indeed your team tried. Pole kutoka Kenya

  • @MohammedMusa-c2d
    @MohammedMusa-c2d 2 หลายเดือนก่อน +6

    What a wonderful doctor thank you for that information may God bless you.. Rispah from Kenya

  • @esthermbute2154
    @esthermbute2154 2 หลายเดือนก่อน +20

    Asante daktari kwa maelezo mazuri. Mungu aipe familia faraja. Ata baada ya upasuaji bado hangeishi mda mrefu sababu survival rate ni 5 years after elective aortic aneurysm repair. Tuachie mungu sababu inakaa shidaa ameishi nayo kwa mda mrefu bila yeye kufahamu.

    • @dolphinemouya3813
      @dolphinemouya3813 2 หลายเดือนก่อน

      True

    • @harrietnelima3145
      @harrietnelima3145 2 หลายเดือนก่อน +1

      I went through his last song and I can say he has been in pain and God answered his prayer to take him to rest

    • @benignusgavile6394
      @benignusgavile6394 2 หลายเดือนก่อน

      Hatari sana

    • @Emma_SND
      @Emma_SND 2 หลายเดือนก่อน

      There is Divine Healing

  • @mercye.4277
    @mercye.4277 2 หลายเดือนก่อน +31

    Asante saana saana Doctor. Natamani saana sana madactari...wangekuwq wanafunza hivi kila msiba. Asante saaana sana

    • @Baruti-vb7wy
      @Baruti-vb7wy 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mnisamehe Madoctori Maana Niliwachamba Sana 🙏🙏

    • @hildakitur7075
      @hildakitur7075 หลายเดือนก่อน

      Pole Marco, nenda salama

  • @AnnMbithe-i8t
    @AnnMbithe-i8t หลายเดือนก่อน +4

    Thank you Doc for good explanation.may God comfort the family 😢

  • @AmosSniper
    @AmosSniper 2 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi nipo hai leo kw uhodari wa madaktar wa Tasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete... Shukrani zangu za dhat kabusa kwa Daktar Angelo na Nyangasa +dokta Shabani

  • @euginelk_97
    @euginelk_97 หลายเดือนก่อน +1

    Well explained and articulate points. The Doctor has said it all. Pumzika pema mtumishi wa mungu.

  • @angelinnamkingi2219
    @angelinnamkingi2219 2 หลายเดือนก่อน +7

    Asante sana Dr.kwa ufafanuzi,sio kosa lenu Bali MUNGU amejitwalia Cha kwake.Mbarikiwe sana wauguzi na madaktari wote.

  • @soaringhigh9604
    @soaringhigh9604 หลายเดือนก่อน +1

    Asante Sana Doctor n Doctors for the great work you all did directed by our greatest God,, ni siku ya Marco ilifika ya kumrudia Mungu wake,,, family members jipeni moyoni, bro Marco rip

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 หลายเดือนก่อน +2

    We proud of u dr in our nation for your transparency. That's all patient hakuna mgonjwa anayekufa mtu anamuangalia kwa kweli.hivi ndivyo ilitakiwa mtu wa afya awe anatoa maelezo kwa famila umati kama huu hasa kwa case za emergency na wale wajawazito

  • @Nangaikalumekenge
    @Nangaikalumekenge หลายเดือนก่อน +1

    Shukrani za dhati daktari kwa ufafanuzi wa kina. Mungu akubariki kwa kupigania uhai wa wengine.

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 หลายเดือนก่อน +4

    Dr hongera sana kwa kutuelimisha kwa kwel umetuelimisha na pia mlihangaika na mtanzania mwenzetu polen mnoo mungu awatie nguvu

  • @everylineatieno1408
    @everylineatieno1408 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dr. Asante kwa hayo maelezo

  • @peninakundi6843
    @peninakundi6843 2 หลายเดือนก่อน +8

    Asante doctor kwa maelezo hayo ya kimantiki kabisa na tutaendelea kuiamini JKCI hao wapotoshaji kama kina munis wapuuzwe.

    • @faidhamyovela179
      @faidhamyovela179 2 หลายเดือนก่อน

      Yani lile libaba linalaaan ya matakon kwake limeniboa sana 😢

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 หลายเดือนก่อน

    Asa te sana Doctor,Mungu akupe upendo huo zaidi,alilopanga Mungu binadam hawezi kuzuia,Mungu alimtaka Marko,tunazidi kumshukuru Mungu kwa maamuzi yake,Pumzika kwa amani Marko

  • @MelissaOkoth
    @MelissaOkoth 2 หลายเดือนก่อน +3

    You have explained this Doc
    Pole to the family, let God help you on healing journey.

  • @anneferguson1158
    @anneferguson1158 หลายเดือนก่อน +1

    Acute aneurysm . Thank you, Dr., for clearing the air. We should all learn from that. RIP Marco.

  • @josephsika8704
    @josephsika8704 2 หลายเดือนก่อน +15

    The doctor is very awesome

  • @edithmwasulama7005
    @edithmwasulama7005 2 หลายเดือนก่อน

    Pole Doctor
    We understanding
    Your there to serve
    Na furaha yenu nikuona watu wamepona
    Mungu awatunze kwa namna mnamsaidia Mungu kuponya Afya zetu

  • @bishopfrederickchingwaba5337
    @bishopfrederickchingwaba5337 2 หลายเดือนก่อน +6

    Poleni sana Ndugu zetu. Mungu Awafariji kwa faraja Yake kuu. Tuyapokee Mapenzi ya Mungu. Tunawaombea sana kwa Mungu Awatie nguvu kipindi hiki kigumu kwenu!

  • @lollitahsharon72
    @lollitahsharon72 2 หลายเดือนก่อน +6

    Thats a good thing explaining to everyone and people, thank you Doctor 🙏.You guys tried your best and God did His part🙏🙏

  • @patrickoyaro5982
    @patrickoyaro5982 หลายเดือนก่อน

    Thank you Doc for the explanation. May the Lord confort the family and friends.

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 2 หลายเดือนก่อน +13

    Dokta, kwa heshima kubwa sana. Ngoja nirudie kusikiliza

  • @AncyMerci-un2nu
    @AncyMerci-un2nu 2 หลายเดือนก่อน +17

    Pole sana Mungu amuweke Ndugu yetu Marcos pahali pema peponi 😭🇨🇩

  • @rosequenti8431
    @rosequenti8431 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa kweli nimeshuhudia anayosema kwa sababu ninaye mtoto anayeugua ugonjwa wa moyo tangu 2013 pale Mater Hospital Nairobi. Ni jambo ngumu kupitia hizo operesheni mara tatu, hata huu mwaka 2024.
    Ni mungu tu, anayeweza. Asante madaktari kwa kujaribu Mungu ndiye huponya, awafariji familia na ailaze roho ya Marcos mahali pema🙏

  • @Marjeby
    @Marjeby 2 หลายเดือนก่อน +15

    Ahsante sana Daktari mungu awabariki sana but hizo jitihada zilizofanyika kwa mgonjwa huyo ziwe zinafanyika kwa wagonjwa wote sio kwa yule anayejuana na flani

    • @akidajulius1581
      @akidajulius1581 2 หลายเดือนก่อน +3

      Kila sehemu ukiwa na ndugu lazima utofauti wa huduma iwe tofauti na wasio na ndugu eneo hilo,hata ungekuwa niww utafanya hivyo lazima utatumia akili yako mpaka mwisho kumpania nduguyo katika sekta yoyote utayo kuwepo, hilo nikawaida kabisa, R I P Maco

  • @MercyHamis
    @MercyHamis 2 หลายเดือนก่อน +20

    Dàah cku zake ziliisha tu jmn mbna madoct waljitahd kadri wawezavyo Mungu ampokee 😓🙏🙏

    • @happybalama3591
      @happybalama3591 2 หลายเดือนก่อน +1

      Hii ndio njia yake ya kuondoka

  • @BlandinaKahuru-ur5el
    @BlandinaKahuru-ur5el 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naelewa daktari Mwenyezi Mungu awatunze. Amina

  • @agnesnyambura8928
    @agnesnyambura8928 2 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you doc for very informative information

  • @NgamuLomayani
    @NgamuLomayani 2 หลายเดือนก่อน +18

    Mungu abaki kuwa mungu ulimwimbia na watu wakapona mungu akupe pumziko la milele markos amina

    • @AgnesMloya
      @AgnesMloya 2 หลายเดือนก่อน

      Kazi ya Mungu haina makosa

    • @constntinemabina5067
      @constntinemabina5067 2 หลายเดือนก่อน

      Msiwe na mawazo ya hivo wote tunaimani na mungu but ata binadamu tuliumbwa kwa mfano wake kwa maana ya kuwa na amarifa ya kujikinga na majanga panapowezekqna

    • @constntinemabina5067
      @constntinemabina5067 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa mfano hawa watoto wanaotekwa nayo tumwachie mungu????

  • @nimehifadhiwa....1867
    @nimehifadhiwa....1867 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana.Thanks Doc for the explanation .May he rest in peace...may the Lord grant the family peace.

  • @LyandeKasilo
    @LyandeKasilo หลายเดือนก่อน +1

    Mm ni mmoja ambaye nishakutana Dr. Nyangasa kiukweli mungu ambariki sana na madaktari wote wa jakaya kikwete...nilipompeleka bibi yangu jakaya kikwete...kiukweli tumuachie mungu ndomuweza wa yote ...

  • @AdamMohamed-u4p
    @AdamMohamed-u4p 2 หลายเดือนก่อน +3

    Doctor kaongea vzr sawa ila ukweli tz kupasua kifua cha mtu bado sana kiukweli sisi bado wazungu wametuzidi mbali ila yote kwa yote kazi ya mungu

    • @levinamboya-jn5oe
      @levinamboya-jn5oe 2 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli lkn hata baba yangu mdogo alipasuliwa jakaya kikwete, na akatoboa, mpaka Sasa yuko safi japo Sasa hawezi safiri safiri, Wala kazi ngumu hawezi ili operation ya huo mishipa mkubwa alifanyiwa hapa

  • @HildaMjema
    @HildaMjema 2 หลายเดือนก่อน +7

    Yaani tusomeshe Mungu tusaidie yaaani huyu Dr. kwa maelezo tuu yaani Dr. bingwa vibarikiwe vizazi vyote na hichi kilichomzaa Dr. huyu yaani ameelezea hata kama ni mwanafunzi anaelewa nini amefundishwa Mungu tunakuomba endelea kuwatunza na kuwabariki Dr wote duniani wenye wanaojitoa kupambania uhai wa mtu mpaka dakika ya mwisho

  • @rosemoventures314
    @rosemoventures314 2 หลายเดือนก่อน +4

    Well explained daktari,fare thee well Marcos

  • @Mrkigoma
    @Mrkigoma 2 หลายเดือนก่อน +7

    Achichichichi😢😢😢 dah aiseeeh mipango ya mungu

  • @jacklineloyani2688
    @jacklineloyani2688 2 หลายเดือนก่อน +1

    Doctor Mungu akubariki Kwa muda wako na kwenda kuungana na familia ya marehemu

  • @masyaganyerere4493
    @masyaganyerere4493 2 หลายเดือนก่อน

    Prof. Nyagoryo
    Cardiologist kwenye ubora wako. Ubarikiwe sana kwa maelezo mazuri

  • @LucyMpangala-s4e
    @LucyMpangala-s4e 2 หลายเดือนก่อน +20

    Hongereni sana madaktari kazi kubwa mmeifanya ya kumpigania kifo ni mipango ya Mungu

    • @Tracey.
      @Tracey. 2 หลายเดือนก่อน +1

      Pardon my long comment!!!
      After watching this reassuring and quite organized funeral service. Naomba tu niulize if those politicians who tend to capitalize funerals or final send off meetings as a platform to big up themselves and to propel their political agendas ultimately diluting the focus and respect for the deceased and their hurting family/loved ones kama wana utu? Especially 🇰🇪 wale wote wenye hii tabia mbaya. Please borrow a page from ndugu zetu wa 🇹🇿 on humility and humanity(utu wapendwa, nawasii utu jamani).
      Firstly, take notes from this exemplary and well thought out funeral service program. Hebu jamani tuwape HONGERA 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾to the planning committee and all the participants for consistently displaying utaratibu with profound orderly attitude of respect, compassion and encouragement.
      Secondly, it’s quite impressive how Dr. Harun Elmada Nyagori (Consultant Physician-Cardiologist and professor) humbly utilized a somber day and painful experience positively as an opportunity to provide comfort and public health promotion. Not only did this physician leader use his “airtime” to clear some negative allegations surfacing all over and particularly in social media surrounding the demise of Marco Joseph Bukulu’s but also, Dr. Nyagori provided a wonderful overview and teaching moment on an integral health issue of concern. Cardiac issues specifically high blood pressure AKA “the silent killer” has claimed many black lives over the years. This can mostly be attributed lack of or inadequate routine exercise and knowledge gap in maintenance of our optimum health and well being. We need more of this pertinent information and discussions in our social circles. May God continue to provide strength and fortitude to the family and friends perpetually as we all cling to the blessed hope of resurrection morning. Blessings🙏🏾

    • @AdamMohamed-u4p
      @AdamMohamed-u4p 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kifo sio mipango ya mungu Bali ni nature ya kiumbe chochote

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@AdamMohamed-u4pImani Yako inaonekana ni ndogo sana

    • @edithmwasulama7005
      @edithmwasulama7005 2 หลายเดือนก่อน

      Kwako wewe
      Cc wengine ni Mungu
      Maana ni agadir
      Hakika ahadi

    • @Florence-q7r
      @Florence-q7r 2 หลายเดือนก่อน

      @@AdamMohamed-u4p😂😂 kwani wewe unakaa ulimwengu gani??

  • @naomimwahosi8177
    @naomimwahosi8177 2 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa elimu dr 🙏🏻

  • @LucyCornery
    @LucyCornery 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kiukweli madaktari mlipigania sana uhai wa Marco ...hakika siku ya mwanadam ikifika ata daktari hawezi kupinga .. ni Mungu tu apewe sifa😭🙌 na roho ya marehem ilale mahala pema peponi ......Amen and Amen🙏🙏🙏

  • @emmaculatemuduya-zp3qv
    @emmaculatemuduya-zp3qv 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ohhhhh rip marco ata madaktari walijaribu lakini kweli mungu alikupenda.pumuzika kwa amani

  • @dorissmrosso7420
    @dorissmrosso7420 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kikubwa alimkumbuka mungu dk za mwisho akaomba. Ni neema ya pekee . Atuna budi kumshukuru mungu.

  • @dorismoraa9456
    @dorismoraa9456 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana daktari Mungu awabariki sana

  • @japhetkahindi4791
    @japhetkahindi4791 2 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana Dr

  • @asheryzoya8736
    @asheryzoya8736 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ampokee vyema mtumishi wamungu Marco mahala pema amen

  • @josephchimbunga4886
    @josephchimbunga4886 2 หลายเดือนก่อน +7

    Ukimsikiliza dokta vizuri, nahisi waliona hawamuwezì ndo maana walitaka wampeleke India.

  • @amazing_grace5392
    @amazing_grace5392 2 หลายเดือนก่อน +6

    Mungu awabariki madaktari wote, kazi yenu ni kubwa

  • @ConsolataAnyango-h9w
    @ConsolataAnyango-h9w 2 หลายเดือนก่อน

    Be blessed doctor you did your part you tried your best but above all everything was planned 🙏 my condolences to the entire family.

  • @gracemairusya2950
    @gracemairusya2950 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera profu.ikiwa hivi ufafanuzi kwa viongozi wakubwa ingependeza ufafanunuzi huu isingekuwa kuhoji sana

    • @rahellusesa3631
      @rahellusesa3631 2 หลายเดือนก่อน

      Kaz yenu mliifanya vyema madaktar wetu, ilibaki nafas ya MUNGU hapo

  • @KopiscoIsaya
    @KopiscoIsaya 2 หลายเดือนก่อน

    Doctor congratulations your explanation it's very clear,Mungu akubariki na tunakupa pole Kwa waliyo toa MANENO mabaya kwako,upo Makini sana,tumeridhika na maelezo Yako.

  • @deborahmollel3170
    @deborahmollel3170 หลายเดือนก่อน

    Doctor we mwalimu mzuri sana tumeelewa kuliko masomo mengine

  • @godfreyseverin8917
    @godfreyseverin8917 2 หลายเดือนก่อน +2

    Maelezo ni mazuri sana doctor.. asanteni kwa mapambano

  • @EmmanuelOdero-g4w
    @EmmanuelOdero-g4w หลายเดือนก่อน

    Poleni sana familia wote ya markos

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 2 หลายเดือนก่อน

    Apumzike kwa amani marko kazi ameifanya na Neema ya Mungu haijampungukia hata amepatana na Kristo pamoja ametutangulia tunaowivu juu yake kazi ya Mungukafanya na njiayake nyeupe

  • @IddaItuga-o9d
    @IddaItuga-o9d 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana dokta Kwa maelezo mazuri

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 หลายเดือนก่อน +8

    Safi sana doctor

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 2 หลายเดือนก่อน +3

    Umeeleweka sana Dr

  • @RamadhanJulius-cb4mi
    @RamadhanJulius-cb4mi 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mtu anatatuzo lamoyo kama mliona kupelea India shida itakua presha kwenye ndege na kunahatar yakutokufika na anaweza kufa kwa presha wakati ndege inapopaa au kutua .swali langu sasa hivi kunakitu kinatia na kuongeza presha zaidi kama kitendo chakumwambia tunakupasua lakini uwezekano wakupona ni 13%tu hata iweje ilikua nilazima afe

    • @muttae2
      @muttae2 หลายเดือนก่อน

      Swali Konki.

    • @husnamrosso5326
      @husnamrosso5326 20 วันที่ผ่านมา

      😢😢

  • @ruthCharles-sk9if
    @ruthCharles-sk9if 2 หลายเดือนก่อน

    You did your part as doctors but Mungu ndie muamuzi wa maisha yetu

  • @shadrackopondo2314
    @shadrackopondo2314 2 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu ndie huponya, daktari ni kutibu asanteni sana. Kwa ufupi siku ilikuwa imefika

  • @IddaItuga-o9d
    @IddaItuga-o9d 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu awabariki Kwa kazi nzito na ya lawama mungu ndo kila kitu

  • @LeonardGeorge-kz9cs
    @LeonardGeorge-kz9cs หลายเดือนก่อน

    tuifarij family hiyo mungu awalinde❤

  • @Emmyayo-z9s
    @Emmyayo-z9s 2 หลายเดือนก่อน +8

    Jaman poleni cn familiar Mungu awape furaha na uvumilivu

  • @SalapionMujungu
    @SalapionMujungu หลายเดือนก่อน

    Mungu amlaze Mahalia pema

  • @fraviusfulgence7346
    @fraviusfulgence7346 หลายเดือนก่อน

    Dactar anatibu Mungu anaponya

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 2 หลายเดือนก่อน +1

    Siku zake ziliisha Mwenyezi Mungu amrehemu

  • @MagdalenaNnko
    @MagdalenaNnko 2 หลายเดือนก่อน

    Madaktari mlipambana Mungu amlaze maharishi pema.Maelezo yapo vizuri sana na udaktari wako upo vemaz.Mungu awabariki

  • @faithkaganda-k3s
    @faithkaganda-k3s 2 หลายเดือนก่อน +7

    Aiseee dada enjoy pole mmeo kapitia hali ngumu sana jmn hzo damu hyo operation masaa 8 yakafanyika 16 daah😢😢Marco😭😭R.I.P

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj 2 หลายเดือนก่อน +15

    Upo sahihi,sio munish tapeli.uchonganish na serikali

    • @CarolineLyimo
      @CarolineLyimo 2 หลายเดือนก่อน

      Munisi fala sana badala amuombee anachunguza madaktari

  • @ViolethiMbwilo
    @ViolethiMbwilo หลายเดือนก่อน

    Mmmh Mungu ampokee

  • @rhodalameck5722
    @rhodalameck5722 2 หลายเดือนก่อน

    Ni mipango ya Mungu ,Mungu awabariki madaktari

  • @MariamuKashonele
    @MariamuKashonele 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongeren kwakumupingsnia kijana wetu irakwampango wamungu hamna nana mungu ampuzise kwaamani sana

  • @SarahNamegabe
    @SarahNamegabe หลายเดือนก่อน

    pole sana wandugu zabron single Mungu awatiye nguvu jamani

  • @JumaSadiki-x2d
    @JumaSadiki-x2d 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutangulie kaka mbele ya nyuma yetu pole shemeji yangu mungu atakutia nguvu

  • @DaudLeonard-o6u
    @DaudLeonard-o6u 2 หลายเดือนก่อน

    Daaaah kweli tumeumia Sana'a lakini MUNGU afanyike kuwa faraja kwenu amina

  • @RamadhanJulius-cb4mi
    @RamadhanJulius-cb4mi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi naona tatizo hapo lilianzia pale mlipomwambia kua hata mkimfanyia operation uwezekano wakupona ni 13%

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mmmm, daktari kama daktari yote kwa yote Mungu kampenda zaidi

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ngoja niwaambie kitu.duniani kote mgonjwa akishaondoka kwenye ot oparation table salaama madactari hapo wamefanya kazi kuwa inaitwa op was success akifa hata masaa 4 baadaye hiyo sio tena op problem inageuka kuwa post op complications.Mungu atusaidie kupima afya zetu japo mimi mwenyewe naogopa

  • @chumamasaka
    @chumamasaka 2 หลายเดือนก่อน +1

    Umeeleza vizuri sana ubarikiwe

  • @LuckySteven-y1y
    @LuckySteven-y1y 2 หลายเดือนก่อน

    Hakika hii inatoa faraja kubwa sana kwa wafiwa kweli dactari mkuu ni Yesu tu 😢😢😢 Hongera sana Dr. Kwakweli msiba yote dactari hata mmoja ajitokeze tu kufafanua hivi jmn

  • @emmyphilibert1906
    @emmyphilibert1906 2 หลายเดือนก่อน +4

    Hata operation za kawaida watu wengine hawaamki . Siku za mwanadamu zikifika Mungu akiruhusu hakuna anayeweza kubadili

  • @jacklynechesang5267
    @jacklynechesang5267 2 หลายเดือนก่อน

    Good explanation

  • @AdolphShirima-z1v
    @AdolphShirima-z1v 2 หลายเดือนก่อน

    No comment,apumzike kwa amani

  • @LambertNandi-kf3ww
    @LambertNandi-kf3ww 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu alikuwa amemhitaji zaidi. Mapenzi yake yatimizwe

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 2 หลายเดือนก่อน +2

    Well spoken dr

  • @MarthaKapufi
    @MarthaKapufi หลายเดือนก่อน

    Polen sana mungu atawatia nguvu katika kipindi hiki kigumu

  • @NemuelOmbokaOmwenga
    @NemuelOmbokaOmwenga 2 หลายเดือนก่อน

    Poleni wanafamilia wote na Mungu awape nguvu, kutoka kitabu cha psalm 150 :6 Mungu anasema tushkuru tulio hai

  • @BarakaWicklifu
    @BarakaWicklifu 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze doctor

  • @JOSEPHPETERMACHOTA
    @JOSEPHPETERMACHOTA 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kweli mimi siwamini hawa Madactari

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani,Madaktari wanatibu.mponyaji ni Mungu.Pia tuamini Mungu ana uwezo wa kuzuia au kuruhusu.Tukubali mapenzi ya Mungu.Pengine kanyakuliwa.na wakosaji tumebaki? Mungu tufundishe kuhesabu siku zetu.

  • @FaithMwende-lg2qk
    @FaithMwende-lg2qk 2 หลายเดือนก่อน

    Doctor umeeleza tukaelewa,mungu amuweke mahali pema

  • @CarolineLyimo
    @CarolineLyimo 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dah bsi bwana tumuachie Mungu ngachoka jaman

  • @KuchumaAlfredMakesi
    @KuchumaAlfredMakesi 2 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe dr kwa kupambania uhai wa Marco vile vile kushiriki mazishi ya mpendwa wetu

  • @christophermsekena616
    @christophermsekena616 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kuna madaktari wanatibu na kuna Mungu aponyaye... hongereni sana madaktari

  • @modestamashoke9038
    @modestamashoke9038 2 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa elimu hii

  • @veronicabwamukuru1265
    @veronicabwamukuru1265 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana doctor yaani mmefanya palipo penu ila huduma hii iendelee na kwa wengine pia

  • @UpendoEzekiel
    @UpendoEzekiel หลายเดือนก่อน

    Mungu amlaze mahali pema peponi

  • @BahatAri
    @BahatAri 2 หลายเดือนก่อน +4

    Duuh e mwenezi mungu tusaidie 🙏