Jastin Asifiwe & Wana wa Asafu - Bwana Ninayo Furaha (Official Live Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ส.ค. 2024
- Jastin Asifiwe & Wana wa Asafu - Bwana Ninayo Furaha (Official Live Video)
#bwananinayofuraha #wanawaasafu #jastinasifiwe
Video Production: @directordixon and the team
Audio Capturing and Mixing: Mitchell Mike Jr
Sound System: Sound Solution
Venue: Ufufuo na Uzima Ubungo Cathedral
----------------------------
Musicians
----------------------------
MD: @imaniericshoo
Drummer: @zablonlameck5586
Second Key: Joel
Lead Guitar: Dan Father
Bassist: Michael
Aux: Victor Chambi
Percussion: @mrmagnificent
---------------------------
Special Thanks
---------------------------
Bishop Dr Josephat Gwajima
Bishop Baraka Thomas Tegge
Rudisha Media
Wana wa Asafu
Chuma Hunoa Chuma
---------------------------
Lyrics
---------------------------
Bwana ninayo furaha
Kwa yote uliyonitenda
Bwana ninayo furaha
Ninasema asante Bwana - เพลง
Very Powerful song for JESUS
Glory to God Powerful Man of God
@@jastinasifiwe4877 Powerful
Huu sio wimbo tu Bali ni nguvu za mungu ,may God of heaven bless you good people I love you
Ee BWANA mbariki mtumishi wako, Jastine Asifiwe, Amina
Hongera sana justin kwa hatua hii hakika ni maombi yangu kwa Mungu ya kwamba aendelee kukuinua viwango hata viwango Amina
Mungu akuinue zaidi mtumishi
Very very powerful,am from TikTok
Bwana ninayo furaha kwa yote uliyonitendea ninasema Asante.. Nabarikiwa sana.. mbarikiwe pia
Bwana Ninayofuraha kwa yote Umenitendea Bwanaa ...Ninasema Asante 🎉
Wimbo wenye nguvu ya MUNGU. ubarikiwe sana brother Asifiwe kurekodi wimbo huu. Nimekuwa nikiutafuta sana. Uzidi kufanikiwa sana katika utumishi huu.
Amen amen
Ufufuo Nyegezi -Mwanza Tunasema Asante tunakupenda@J Asifiwe, mtoto wa Baba Yetu.
Amen amen 🙏
Aiii broo uinuliwe mnoo umekuwa baraka kwangu all the time it's ma prayer MUNGU akuweke mnoo ilikuabisha ulimwengu wa giza
Amen amen
Bwana ninayo furaha Ninasema Asante Bwana 🙏❤
❤❤❤🎉🎉🎉Hongera sana Kenya🇰🇪 Tunabarikiwa
AM LATE BUT MUNGU AZIDI KUKUONGEZA, NA WATU WOTE WAJIBARIKIE KWA HUDUMA YAKO KAKA BE BLESSED NA BARIKIWA MIMI KWANZA MAANA NAKUPENDA KAKA RESPECT KWA KWELI MUNGU ANA KIFAA
Huyu ndiye Jastin wa ndani hakika
Hongera Mungu akuongezee mafuta yake ya kiungu upaeeee juu sana
Hallelujah hakika ninayofura Kwa yote uliyonitendea
Wimbo mtamu sana, nimeusikiliza tena na tena na tena. Jastin ubarikiwe, kundi lote la wana wa Asafu libarikiwe.
Ubarikiwe sana kaka
Halleluyah Nabarikiwa na wewe jasusi la mbinguni❤❤
Bwana ninayo furaha
Majeshi majeshii
Hakika Bwana sina manen mengi zaidi ya kusema Asante Mungu akabariki wa wimbo wa majira
I love the energy ya huyu dada yuko mbele
Jastine has God's anointing...and the Team🙌🙌
Tanzania is highly Blessed
Bwana Ninayo Furaha kwa Yote uliyonitendea😢😢
Huu umekuwa wimbo wangu wa imani mara zote...hata kama mambo hayajakaa sawa when i sing this song...napata nguvu ya kuendelea mbele💪💪..and i have come here to testify 🙌🙌
Ameen Jina la Bwana litukuzwe
Napenda sana
Umeniongezea imani sana
Hallelujah 🙌 hakika Bwana ninayo furaha kwa yote Umenitendea 2023& 2024🙏
Bwana ninayo furaha Kwa yote ulio nitendea ,,libarikiwe jina la Bwana
Amen
Nabarikiwa na huduma yako Mungu akuinue katika viwango vya juu
Wimbo uko na nguvu kubwa ya Mungu na Nafurahi kuiona ibada ndani ya wimbo huu...
Ninayo fraha kwa yote uliyonitendea Bwana 😢🙏
🔥🔥🔥🔥
YESU akubariki mtumishi wa MUNGU Jastin wimbo mzuri mnooooo
Ninani aliye andika wimbo huyo🎉🎉jamani nyimbo hiyo inanibariki sana
God bless you Jastin🙌Wewe ni baraka kwa kizazi hiki...Mungu akuongeze
Blessed More Kamanda 🤝
Oooh Halleluuuyah God bless you Man of God
Bwana Ninayo Furaha............ Ninasema Asante Sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kwa Yesu raha sana,,nmebarikiwa sana
Barikiwa
Hongera Sana, Kazi ni njema, Nasema asanteee Yesu😊
Baraka tele ....sifa zote kwa Bwana Yesu 🎉
Kweli Bwana ametupa furaha,hatuna budi kusema Asante Yesu.❤❤❤
Hongera Sana Mtu wa Mungu,Kerubi
Nimebarikiwa kupitia huu wimbo
Bwana ninayo furaha kwa yote...you have done for me,I am truly grateful ❤
Ninasema Ahsante Bwana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉🥳🥳🥳
Bwana ninayofuraha sanaaaaaa
Be blessed kijnaa
Hongera sana Jastin, nakuona mbali sana kwenye tansia ya uimbaji, hongera mno, karibu nchi ya ahadi Tabora
Ninayo furaha kwa kulinda nchi yetu Ya Tanzania na kulibda viongozi wetu wa nchi.
Bwana Bwana Bwanaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ninabarikiwa na kutiwa nguvu jamani Mungu akutumie zaidi hakika Si wewe Bali Kristo aliyendani yako
Ubarikiwe na Yesu kwa wimbo huu mzuri wa Shukrani kwa Mungu 🔥🔥🔥
Furaha ninayo kwakwer
BWANA ninayo furaha
Ninasema Asante Bwana Kwa yote uliyonitendea!! Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu Kwa huduma nzuri, Mungu azidi kuwainua ktk viwango vya juu zaidi!!
Hongera sana ndugu yangu kwa hatua hii kubwa sana. Mungu Azidi kukuinua kaka. Huduma yako ni kubwa sana.
My brother asaante saana
Ubarikiwe sana Minister Mruma ku- appreciate utumishi wa wengine.
@@jastinasifiwe4877Karibu sana kanisa la PHM Mkwawa-Iringa
Nawakubari sana hapa Ufufuo na uzima
God bless you
@@faithchuwa9693😊
Favorite song, since 2023 to this year 🎉 ..Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥
Ninasemaaaaaaaa.......Asante Bwanaaa....
Ninasema Asante Baba
Ninasema Asante Baba,
🔥 🔥 🔥
Am waiting... from powerful man of GOD
Saf kaka
🔥🔥 Mwalimu Justine Asifiwe, Mungu azidi kukuinua
🔥🔥🙏🙏🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Unalitendea Vyema kusudi lako hapa duniani Mungu akutunze pastor Jastin ,na wana wa asafu pia Ni Njema sana !
Kazi nzuri ❤Mmpendeza pia
Bwana Mimi ninayo furaha sanaaaa🙌🙌🙌🙌🔥🔥
Ndugu Yangu 🙌🙌🙌🙌🔥
Kaz nzur wana wa Mungu 9c song hatuna budi kumshukuru Bwana kwa yote aliyotutendea
Am so blessed from Mombasa Kenya
Mungu azidi kukutumia mwanangu endelea kumtumikia Mungu kwa nguvu nakwa ujasili.
Mbarikiwe saana ❤❤❤
Notification on
Nimebarikiwa sana na uhu wimbo Jastin Asifiwe Mungu akutumie zaidi katika viwango vya juu zaid
Tuko live.. waiting!
Hongera Sana Pastor Jastin Asifiwe
Asante kwa yote Bwana
simply the best
BWANA amefanya mambo mengi mazuri na hiyo ndiyo furaha yetu 🎉
Plz Brother Asifiwe, My prayer for u is dont change and never vanish. Please fly fly fly fly fly higher to the dimensions of Gid and deep unto him daily, hourly, monthly, yearly I mean the rest of your remaining days.
Amen amen 🙌🙏
Ninasema asante Bwana ❤❤😢umenilinda na magonjwa umeilinda family yangu nakushukulu Kwa mengi sana oooh halleluya asnte asante Bwana anlsnte Bwana❤Mungu akubariki mtumishi wa Mungu nimejikuta mpaka 😢😢 nimejikuta nimwenye fraha ya ajabu mnoo baada ya kusikia huu wimbo thanks my dear God
Haleuya
Ninakuona Mbali minister I'm so proud of you ubarikiwe sana ukawe heri
🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌
BWANA Ninayo furaha kwa yote uliyonitendea, nasema asante. Past Jastine and his team 🔥🔥😊😊
Bwaaana ninasema
Yesu akutunze na kukuinua Mtu wa Mungu
Ubarikiwe sana kwa mwimbo mzuri wakumshukuru Mungu....🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Hallelujah.
Nina ushuhuda. Hakika ninayo furaha Bwana ya kusema ahsante. Nilikuwa nikifanya kazi bila mkataba na posho lilikuwa too small nikamuomba Mungu anisaidie nipate mkabata niweze kupata salary nzuri. Huyu Mungu kanijibu kwa namna ya tofauti sana, yaani kuna mahali nimeitwa kufanya kazi with full contract with a very good salary pamoja na full scholarship ya kusoma bachelor degree mwezi November.
Muda mwingine unaeza ukawa unaomba ukahisi maombi hayajibiwi ila God anakuhifadhia maombi yako akupe kitu kikubwa. Imagine i asked God for a contract and nimepata na scholarship ya kusoma bachelor degree
Bwana ninayo furah ya kusema ahsante kwa yote uliyonitendea🙏🙏
Oooooh Glory to God
🔥🔥
Bwana ninayo furaha ninasema Asante Bwana..🙏🙏🙏👏
Be blessed much Man of God
Hongereni sana
Kazi yako ni njema Mungu akytumie zaidi
AMEEEEEN AMEEEN
❤❤
🎉🎉
❤
Awesome performance, Go higher Asifiwe Justine
Waiting 🎉🎉🎉
I'm blessed 🙌🙌💫
Bwana ninayo Furaha kwa yote uliyonitendea ninasema Asante Baba❤ favourite song ubarikiwe justine Asifiwe