Jastin Asifiwe - Yesu Unipendaye | Tenzi
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ย. 2022
- Yesu unipendaye ni wimbo wa tenzi namba 26,ambao umegusa watu wengi,ni matumaini yangu wimbo huu utaendelea kugusa watu wengi na kuwafungua katika jina la Yesu Kristo.
Music Director; Iman Shoo
seond ;Msuya
Third keys; Joel
Bass guitar; Evans
Solo guitar; Joseph kumenya
Drums; Zablon
video production; @directordixon
Audio capture; Baraka Ngowi
Audio Mixing; Festo
Venue; Haddy Pro
Back vocal
Hellen Mafie
Amina
Charis Bupe
Hope Reo
Prisca
Msama Kosan - เพลง
Hakika lusifa anajuta kuasi Mbinguni maana Kuna wanaofanya vizuri zaidi yake na Mungu anazidi kutukuzwa,Mungu akunue akutunze na akuinue zaidi Kazi yako ni Njema.
ni kweli atajuta!!!
I'm sure you
Huu Ni wimbo wangu no 1 huwa naona upendo wa Mungu ndani yake sana--- nimetafuta Sana hii turn kwa muda mrefu- naupenda.
Usiache kushare habari hizi njema, waalike ndugu jamaa na marafiki tumwabudu Mungu pamoja! Usisahau kuSubscribe, kulike, comment na kushare, Mungu akubariki sana!
Amina🤝
Amen
💯
Amen nimebarikiwa
Mtumishi
Ameeen Kaka...
Kazi hii ni kubwa mnoo💥
Mungu wangu nifiche na watu wetu ubavuni mwako..tusionekane na Yule muovu😢😢😢😢
YESU UNIPENDAYE
[1]
Yesu unipendaye kwako nakimbilia,
Ni wewe utoshaye mwovu akinijia.
Yafiche ubavuni mwako maisha yangu;
Nifishe bandarini, wokoe moyo wangu.
[2]
Ngome nyingine sina; nategemea kwako,
Usinitupe Bwana, nipe neema yako,
Ninakuamania, kuniweshesha;
Shari wanikingia, vitani wanitosha.
[3]
Nakutaka mpaji, vyote napata kwako;
Niwapo muhitaji, utanijazi vyako;
Nao waangukao wanyonge wape nguvu;
Poza wauguao, uongoze vipofu.
[4]
Bwana umeniosha moyo kwa damu yako;
Neema ya kutosha yapatikana kwako;
Kwako Bwana naona kisima cha uzima;
Mwangu moyoni, Bwana, bubujika daima
Barikiwa sana @peacendush1408
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🙌🏻🙌🏻Mentor
Mungu ainue kazi hii iliyotukukaaa
Ubarikiwe mno Baba. Neema hii ni kubwa Mno na kububujika Kisimani baba. Wewe ni baraka.
Heaven's mission on the earth👐😢😢...Yesuuuuuu😭😭😭😭😭😭😭👐
Mr Jastin napenda vocals zako be blessed my brother
Mungu akuinue zaidi Kwa huduma iliyotukuka, zaidi azidishe unyenyekevu ndani Yako, mbarikiwe sana, ooooh hallelujah!
Huu wimbo unakupeleka Kwa comfort zone ya uwepo wa Mungu
God bless you man of God 😊
Congratulation kaka una toa mpaka nyonyo zetu zina punguza speed Mungu akubariki
Yesu uliyenipenda upeo🔥🔥😭😭😭
Kaka honger sanaa wimbo mzur xanaaaaah una juwaa tena unajuwaa sanaaa mungu akubaliki xanaaa akufikishe pale una taman ufike
Nakuona mbali mdogowangu
Ameeeen mtumishi wa Mungu
U Mwimbo Unanibariki sana Mungu akubariki sana Mtumishi kwa haya ya Mafunuo
Haleluya, hongera sana Kaka kwa wimbo mzuri, Mungu azidi kukuinua zaidi. Ameee
This song is what I needed tonight
Hongera sana mwana wa Mungu 👏👏👏
Glory to God 🙌
This Song is Someting Straight From Heaven Brother,So Powerfull Song
Nakupenda kaka mungu akuinue zaidi .utukufu kwa yesu
Ubarikiwe sana mtu wa mbinguni,
Hongera kazi njema 🔥🔥🙏🙏🙏
This song😭😭 very powerful
Aiseee dunia umtukuze MUNGU kupitia wewe cha kukupa nikukuombea baraka toka kwa MUNGU akuinue 👏👏👏👏👏❤
May Almighty God strengthen your paths 🙏🙏
😭😭😭 Tunanyenyekea kurudisha utukufu
Huo wimbo umembariki moyo wangu na umeinua imani yangu..more grace my brother
Habakuki 2;1~2 Mungu ndo mkalishaji wa njozi hizi! Mungu akupe ibada zaidi ndani ya moyo wako! We love u! Kazi nzr Sana Mtumishi!🙏
Nice song
Naku penda sana my brother mungu aku bebe juuuu
Hongera kwa kazi ya mbinguni 👏👏👏👏👏👏🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Hakika vitani wanitosha Yesu
Born to worship Jehovah; so is your name. Bwana akushike mkono, akupe hatua nyingi zaidi. Hongera sana. 👏👏👏
Mungu azidi kukufanikisha na kukuinua Zaid huduma Yako ni njema wew sio mtu wa kawaida unakitu kikubwa ndan💪Mungu akuinue zaid
Wewe upungue YESU aongezekee kaka, kazi yako no njema tena sana. You're inspiring me alot, May our LORD JESUS Bestow up on you all His blessings abundantly. 🙏🙏🙌
Mungu akubariki sana, Minister Jastin Asifiwe🎤🎹🎸🥁🤝.
Mwana wa Mungu barikiwa na ujae na kuongezeka
Amen,ninabarikiwa Sana na wimbo huu
YESU UNIPENDAYE. kwako nimekimbilia.
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU aliye hai,,na Uinuliwe sana kwa viwango vya mbinguni mpaka ushangae....
Mungu akubariki mtumishi wa Bwana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
So powerful👏🏽👏🏽👏🏽
Bwana umeniosha 😭🙏🙏 Mwana wa MUNGU this is very powerful 🔥🔥🔥🔥
Kabla leo haijaisha tutakua tumevuka 1.2k mark my words
May God bless you ....you have anointing Mungu azidi kukupak mafuta zaidi
Very powerful😭😭 Mungu akubaliki Jastin
Great worshipper ...may the Lord hide you under His wings...for His glory keep worshiping Him.
Powerful 🙏🙏🙏
Ubarikiwe bro
You are real blessed Jastin,May the Lord protect you for generation.
Powerful powerful powerful 🙌🏼😭
Ni wewe utoshae Yesu maishani mwangu😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Hallelujah JESUS 🙌😭🙏
Ooh Lord let your living water flow over by my soul..😭😭.
Blessed you are couch Justin. 🙌
Yes,it's powerful annointed song
Bravo kijana wa Mungu
Glory to Yhwh
Kaih jesus is lord jesus is lord mamamamamamana
Ubarikiwe sana sana
Mtumishi wa Mungu....hakika unyenyekevu utakufikisha mbali.Yesu akutunze uzidi kukiinua kitiche cha enzi.
Wanyonge wape nguvu 🙏🙌🙌
Just power and power and power🙏🙏🙏
You bless blessed blesssss blesssss and Over bless me Justine, may lord continue used this Smart Heaven man🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mno kazi ni njema inamguso wa pekee 💥💥💥🙏🙏🙏🙏
Nabarikiwa sana na wimbo huu❤
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 Kazi yenu ni njema saana keep the fire burning 🔥 in
Yesu unipendaye 🙌
Let the presence of Lord be with you Servant of Lord and the name of the Might God stand Forever.
Wimbo mzuri.Amina
Very powerful. May God continue to use you and lift you up. 🇰🇪
Ubarikiwe mtu wa Mungu
Ni wewe utoshae bwana ✋
Jaman wewe kaka Mungu akubariki
Amen amen..what a powerful message here....keep going brother
Mungu Azidi kukuinua kaka Justin
That's awesome my brother ... 🙏🙏 May God's favor be upon you.
Song🔥✅, Leader✅, Back vocal✅, Music✅,
AMENI BARIKIWA SANA JASTIN
Tumsifu yesu kristo
YESU UNIPENDAE
So powerful song my brother 🙌🙌😭😭😭
Yesu unipendayeee 🔥🔥🔥🔥🔥 hongera sana Ndugu yangu
Moto Sana hiii
Powerfull
Yes Lord🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
nkiwa mkubwa takua kama wewe 🙇🙇
Mungu akutunze sana Mtumishi
Strong and powerfull
True worship . Barikiwa Justin
Mungu pamoja nasi
Yesu unipendae
Mungu akuinue zaidi,Kazi yako ni njema.
🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️
be blessed 😇
Mungu akubariki
Amen, groly to God
Nabarikiwa sana my Brother
Anointing 🤲🤲🙏
Asante sana mtumisji🎹
halleluyah 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌