NJIA 5 ZA KUWA MWENYE AKILI ZAIDI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Kila mtu anazaliwa na akili ambayo ikitunzwa kwa usahihi itakuwa rafiki au adui wa mwenye akili yake. Ungana na Ezden Jumanne tuchambue mambo matano yanayoweza kukuongezea sana uwezo wa akili yako. Unaweza pia tumia njia hizi kwa mwanao au wanao.
.
Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
Instagram: @ezdenjumanne
Twitter: @ezdenjumanne
Facebook: Ezden Jumanne
Phone: (+255)759 191 076
Website: tinyurl.com/voi...
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
www.youtube.co....
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
tinyurl.com/mat...
.
.
#Akili #Zaidi #Mafanikio
Ubarikiwe Ezden natamani niwe hata na nusu akili ulionayo maana unifundisha mazuri sana
Hongera Sana.
Vipi kuhusu nguvu ya akili hilo somo tutalipata ?
Nyie huyu jamaa ni genius 🙏
Vizuri sana
Asante my kaka kwaelimu nzuri sana 💙"""💙""""💙"""""::
::;:::""""::::::::"""::::::""
Shukran bro Allah barik,❤️
Asante nitaanza kusoma ili niwe vizur maana mm n mama wa nyumbani ninamuda zaid
Bro nakubali sana
Kuna story nliisoma mama wa nyumbani aliyekuwa hajui kusoma kabsa akaja kuwa mwandishi bora sana wa vitabu huko uingereza. Usichelewe kuanza na ukianza weka ratba uwe na muda maalum wa kusoma kla siku. Hutoamini matokeo yake..
Napenda unavofanya mentorship...Hakika unaupga mwng...Nataman nitembee zaid na zaid katka viatu vyako kaka!
Karibu sana . nashukuru sana
Wa kwanza
Ningefurahi zaidi kusikia umekuwa wa kwanza kufanyia kazi niliyofundisha. Utatisha zaidi
Asante kwa elimu nzuri
karibu
Mungu akubariki ezden
Kaka nakupata na nakufatiliaaa sana
Hongera kaka tunapenda sana na tunafuatilia unachokifanya
Safi sana kaka mungu akubariki
Yes....brother....👍
Usikute ezden utaishi miaka 50 kwli 😂😂😂😂😂
Pamoja sana kaka'
Ooo wow nashukuru
ME NAFIKIRI LA IBADA NALO NI CHANZO PIA MOJA WAPO
each one teach one🙌
Big up brother nimeelewa sana leo
Assalamu a'laykum warahmatullah wabarakatuh so amazing and interesting
Uko vizuri. Asante.
Ni ipi njia ya kustrengthen akili tafadhali kuondoa udhaifu wa kusahau sahau????Nliiskiza mahali pengine ile sikuelewa vizuri huyo mwalimu alikuwa muhindi so anameza maneno zingine
Very well said, each one teach one
Asante
Ooooh I thought mm ndio wa kwanza kumbe kuna jamaa mbele duh!!
Ningefurahi zaidi kusikia umekuwa wa kwanza kufanyia kazi niliyofundisha. Utatisha zaidi
Mungu akubariki sana bro
Asante sana mwalim 💪
Asante kwa SoMo zuri
Nacomment kabla sijamaliza kuangalia video Mana huwa sikosi point kwako brother.
Appreciate 😇 🔥
😇😇😇
Nakubali
Nataka namba zako za simu
Soma description zipo hapo
😍🇹🇿🤝
Wewe wacha hizo akili ni neema kubwa na siri ya ke anaijua mola muumbaji nipe jibu dawa gani inatibu UJINGA? Ili uwe na akili au watoto wenye akili nikujiifadhi na zinaa tu utatoa mbegu zilizo safi kamilika kwisha
Jitambue
God bless your ezden umenifanya maisha yangu ikachengi
Sasa ulitumwa usikilize kama una juwa nikitu Cha mungu 😂😂😂
Asante