NJIA 5 ZA KUWA MWENYE AKILI ZAIDI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Kila mtu anazaliwa na akili ambayo ikitunzwa kwa usahihi itakuwa rafiki au adui wa mwenye akili yake. Ungana na Ezden Jumanne tuchambue mambo matano yanayoweza kukuongezea sana uwezo wa akili yako. Unaweza pia tumia njia hizi kwa mwanao au wanao.
    .
    Tuandikie kwenye comments nini umejifunza katika somo hili na kama kuna mifano inayoendana na somo hili tafadhali tushirikishe na sisi tujifunze toka kwako, Each One Teach One! Karibu sana.
    .
    LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Voice-over Talent/ Content Entreprenuer
    Instagram: @ezdenjumanne
    Twitter: @ezdenjumanne
    Facebook: Ezden Jumanne
    Phone: (+255)759 191 076
    Website: tinyurl.com/voi...
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    JE WAJUA?👇🏽
    www.youtube.co....
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    tinyurl.com/mat...
    .
    .
    #Akili #Zaidi #Mafanikio

ความคิดเห็น • 48

  • @lwidikoluwondo4109
    @lwidikoluwondo4109 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe Ezden natamani niwe hata na nusu akili ulionayo maana unifundisha mazuri sana

  • @johntaino6411
    @johntaino6411 ปีที่แล้ว +4

    Hongera Sana.
    Vipi kuhusu nguvu ya akili hilo somo tutalipata ?

  • @chidimmaka
    @chidimmaka ปีที่แล้ว +2

    Nyie huyu jamaa ni genius 🙏

  • @PerfectBoy-bs8zl
    @PerfectBoy-bs8zl ปีที่แล้ว +1

    Vizuri sana

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 ปีที่แล้ว

    Asante my kaka kwaelimu nzuri sana 💙"""💙""""💙"""""::
    ::;:::""""::::::::"""::::::""

  • @najlaskitchen1572
    @najlaskitchen1572 ปีที่แล้ว +1

    Shukran bro Allah barik,❤️

  • @arafaselemani5033
    @arafaselemani5033 ปีที่แล้ว +3

    Asante nitaanza kusoma ili niwe vizur maana mm n mama wa nyumbani ninamuda zaid

    • @salimumussa5989
      @salimumussa5989 ปีที่แล้ว

      Bro nakubali sana

    • @so-Iam
      @so-Iam ปีที่แล้ว +1

      Kuna story nliisoma mama wa nyumbani aliyekuwa hajui kusoma kabsa akaja kuwa mwandishi bora sana wa vitabu huko uingereza. Usichelewe kuanza na ukianza weka ratba uwe na muda maalum wa kusoma kla siku. Hutoamini matokeo yake..

  • @vianusbahati03
    @vianusbahati03 ปีที่แล้ว +2

    Napenda unavofanya mentorship...Hakika unaupga mwng...Nataman nitembee zaid na zaid katka viatu vyako kaka!

  • @bbs9030
    @bbs9030 ปีที่แล้ว +2

    Wa kwanza

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  ปีที่แล้ว +1

      Ningefurahi zaidi kusikia umekuwa wa kwanza kufanyia kazi niliyofundisha. Utatisha zaidi

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa elimu nzuri

  • @brjmen3020
    @brjmen3020 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki ezden

  • @emtv9675
    @emtv9675 ปีที่แล้ว +1

    Kaka nakupata na nakufatiliaaa sana

  • @ramadhanmazengo2536
    @ramadhanmazengo2536 ปีที่แล้ว

    Hongera kaka tunapenda sana na tunafuatilia unachokifanya

  • @stephen9856
    @stephen9856 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kaka mungu akubariki

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 ปีที่แล้ว +1

    Yes....brother....👍

  • @kelvinally7384
    @kelvinally7384 ปีที่แล้ว

    Usikute ezden utaishi miaka 50 kwli 😂😂😂😂😂

  • @rafikigeorge3204
    @rafikigeorge3204 ปีที่แล้ว +1

    Pamoja sana kaka'

  • @johnbanda6601
    @johnbanda6601 ปีที่แล้ว

    Ooo wow nashukuru

  • @husseinhashim1024
    @husseinhashim1024 ปีที่แล้ว +1

    ME NAFIKIRI LA IBADA NALO NI CHANZO PIA MOJA WAPO

  • @enockkingamkono9955
    @enockkingamkono9955 ปีที่แล้ว +1

    each one teach one🙌

  • @zeriaweightloss259
    @zeriaweightloss259 ปีที่แล้ว

    Big up brother nimeelewa sana leo

  • @nguvuyafikramedia1202
    @nguvuyafikramedia1202 ปีที่แล้ว

    Assalamu a'laykum warahmatullah wabarakatuh so amazing and interesting

  • @theophilishengoma3195
    @theophilishengoma3195 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri. Asante.

  • @stephen-CEO
    @stephen-CEO ปีที่แล้ว +1

    Ni ipi njia ya kustrengthen akili tafadhali kuondoa udhaifu wa kusahau sahau????Nliiskiza mahali pengine ile sikuelewa vizuri huyo mwalimu alikuwa muhindi so anameza maneno zingine

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz ปีที่แล้ว

    Very well said, each one teach one

  • @halimaisaac9144
    @halimaisaac9144 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @allykaranja4398
    @allykaranja4398 ปีที่แล้ว +1

    Ooooh I thought mm ndio wa kwanza kumbe kuna jamaa mbele duh!!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  ปีที่แล้ว +2

      Ningefurahi zaidi kusikia umekuwa wa kwanza kufanyia kazi niliyofundisha. Utatisha zaidi

  • @timamahendo4172
    @timamahendo4172 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana bro

  • @bhoke9729
    @bhoke9729 ปีที่แล้ว

    Asante sana mwalim 💪

  • @kalungu_psychomotive1
    @kalungu_psychomotive1 ปีที่แล้ว

    Asante kwa SoMo zuri

  • @gabrielchristopher1979
    @gabrielchristopher1979 ปีที่แล้ว

    Nacomment kabla sijamaliza kuangalia video Mana huwa sikosi point kwako brother.

  • @alliymohamedalliy6524
    @alliymohamedalliy6524 ปีที่แล้ว

    Appreciate 😇 🔥

  • @dullakanda27
    @dullakanda27 ปีที่แล้ว

    😇😇😇

  • @ladslauspius4845
    @ladslauspius4845 ปีที่แล้ว

    Nakubali

  • @brjmen3020
    @brjmen3020 ปีที่แล้ว +1

    Nataka namba zako za simu

  • @twofivefive906
    @twofivefive906 ปีที่แล้ว

    😍🇹🇿🤝

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma9709 ปีที่แล้ว

    Wewe wacha hizo akili ni neema kubwa na siri ya ke anaijua mola muumbaji nipe jibu dawa gani inatibu UJINGA? Ili uwe na akili au watoto wenye akili nikujiifadhi na zinaa tu utatoa mbegu zilizo safi kamilika kwisha

    • @rukayyawendo1268
      @rukayyawendo1268 ปีที่แล้ว

      Jitambue

    • @erickkyalo2847
      @erickkyalo2847 ปีที่แล้ว

      God bless your ezden umenifanya maisha yangu ikachengi

    • @Mr.Queentz
      @Mr.Queentz 4 หลายเดือนก่อน

      Sasa ulitumwa usikilize kama una juwa nikitu Cha mungu 😂😂😂

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Asante