Haya nime yaona live nikosa kuangalia video zako Kwa siku nahisi kupungukiwa kitu kibwa sana hata usipo post Bora nirudie kuangalia nilio angalia Jana.
Sawa nimekuelewa sana Mheshimiwa, maarifa ya kujijua mwenyewe Kwanza kabla hujaanza kutafuta ulimwengu kukujua. Utendaji Kazi wa kimfumo, swali langu lipo hapa Kwamba Kwanini baadhi ya mifumo inatema baadhi ya watu?? Hata Kama Wana Sifa zinazofanana na hizo???
Mola akubariki sana uko na baraka za wazazi wako mashallah Nawatakia furaha kwa jumla wazazi wako niwatu wema amin naomba jinsi nitawasiliana na wewe by A awadh from lamu Kenya
Hi br Joel, elimu hii ni adimu, umenisaidia sana, kuna mahali nilifanya kosa la kimahusiano na kiongozi wangu, laiti ningekua nimeipata hii, Mungu akubariki br
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Haya nime yaona live nikosa kuangalia video zako Kwa siku nahisi kupungukiwa kitu kibwa sana hata usipo post Bora nirudie kuangalia nilio angalia Jana.
Yeah the same to mee❤🙏
Mm mwenyewe najuta Kwa nn sikuwahi kukujua kiitambo
Big respect br... Joel... asante sana niendelea kujifunza... barikiwa 🙏🙏
Mr Joel ni mtumishi ambaye MUNGU amekutumia kuwafikishia ujumbe taifa lake barikiwa sana
Nahitaji sana kujuwa zaidi mambo ya biashara kwakweli.umwkuwa mwalimu muzurusana kwanghu mimi
Sawa nimekuelewa sana Mheshimiwa, maarifa ya kujijua mwenyewe Kwanza kabla hujaanza kutafuta ulimwengu kukujua.
Utendaji Kazi wa kimfumo, swali langu lipo hapa Kwamba Kwanini baadhi ya mifumo inatema baadhi ya watu?? Hata Kama Wana Sifa zinazofanana na hizo???
Mungu akubariki San
madini yakutosha nayapata mungu akulinde
Mwalimu mzuri wa Maisha❤
Big up San brother.
Wewe nauka mgodi tanzania
Umenisaidia pakubwa mno
Asante kwa maarifa
Bro Yani Unajua Mpaka Bhaaaac,Much Salute And Much Respect.
Ahsante sana🙏
A boy from kigoma town ishi sanaaaaaaa kaka elimu yako inakomboa viumbe wengi
tangia nianze kukusikiliza kaka hii ya leo konk sana bless you
Mfumo wa kiroho nahiji niwekeze zaidi ckujua njinsi unavofanya kazi
Safi xana kaka Joel naendelea kujifunza Kila siku 🙏🙏🙏🙏
See you at the top brother Joel
Mola akubariki sana uko na baraka za wazazi wako mashallah Nawatakia furaha kwa jumla wazazi wako niwatu wema amin naomba jinsi nitawasiliana na wewe by A awadh from lamu Kenya
Ameen Ameen nashukuru sana. +255743 868507
Asante kaka mungu aendelee kukuinua upande viwango vya juu zaidi mana KAZI unayoifanya kwenye jamii kubwa mno mungu akubariki sana
Thanks❤
Sawa kaka
asante kwa ukumbusho kaka yangu, na ongera sana kwa jitihada zako kwa utafiti na ushauri mzuri unaotoa kwa jamii
Asante sana kaka nimejifunza kitu naanza kukifanyia kazi
Amen Ameen
Nakupenda kaka joel umenifaninya niwe mpyaa
All the best my lovely brother
Nimefurahia sana!! Lakin swali langu ni kwa namna gani ntaweza kujenga mahusiano na watu walioshikilia mfumo kwenye fiel yangu
Barikiwa sana mtumwa wa Mungu, huyo aliyekujalia kumiliki hiyo hazina akuzidishie mafunuo jamii ipate kujifunza mengi zaid kupitia wew.
Safi Sana nakukubali bro
Kweli Baba
Ukovizuri sana mwalimu joeli
Brother wewe nidaraja kwa wenyemalengo❤❤❤❤
❤ Asante kaka kwa ushauri wako.
Exactly ✨
Nakukubali kaka hujawahi niangusha
Safi sana kiongozi
Asante bro ila naomba ufafanuzi zaidi ninataaluma lakini mpaka sasa sielewi nimewamis wapi.
I absolutely broo
Ameeen broo somo zuriii sana Mungu akubariki sana broo🙏🙏🙏🙏🙏❤️🔥🔥🔥
Kaka Naomba vitabu
Tuwasiliane 0762 31 21 71
God bless brother joe
Ubarikiwe mtumishi Joel
Naomba mawasiliano na wewe bro
Thanks brother unatupa elimu yenye thamani kubwa sana. Mungu akubariki na kukupa maisha marefu
Bro k
weli wewe ni gn nimekuelewa sana
Ahsante kaka Joel
I just like your speech bro🎉🎉🥀🥀
Asantee sana 🤝
Elimu nzur mungu akuongoze zaid
Thanks brother joel
Hicho kitabu sh ngapi
Bright man
Be blessed for your talent
Be blessed bro
God bless you bro
Shukran boss tuko pamoja sana
❤
Be blessed broo joel
Thanks good bless you
More bless
Hi br Joel, elimu hii ni adimu, umenisaidia sana, kuna mahali nilifanya kosa la kimahusiano na kiongozi wangu, laiti ningekua nimeipata hii, Mungu akubariki br
Hongera kwa kujifunza. Uanze kutumia maarifa uliyoyapata kuanzia sasa
@@joelnanauka asante, nakufuatilia sana, natamani hata kukutana na wewe or even talk directly, thanks, be blessed, C U at the top
Joel nakukumbusha kuhusu research yangu
Mashaallah
Asanye tunaendelea kujifunza
Joel ni dude lenye akili
AMEN
👏🏽👏🏽👏🏽
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Namba nne
Nahitaji hichokitab cha misingi 10 inay tawala dunia
Inteperson relationahip,,,,coz watu ndo wenye vitu.
Naomba kufaham bei ya kitabu je kinapatikana kwa soft copy?
Kwakweli nahisi kufunguka kifikra
🤝
Uhakika kaka
Thanks😊
MAARIFA YATAKAYO KUSAIDIA MAISHANI
1]Jitambue wewe kwanza [kama wewe mwenyewe haujitambui hakuna atakayekutambua.
Swali langu unaweza kujua njia au kanuni zabiashala naukazifuata lakini watokea watu wakakukwamisha zen ukagazabka ikafkia hatua kama umetoka kwenye mfmo wahicho ulikua unafanya je? Ninjia Gani zaidi yakutumia ili usonge mbele mwalimu joeli
Actually nmekuwa nmeiuwa nkufatilia mafundishk yano umekuwa yakinipandisha harua furani .asante sana ubarikiwe 🙏🙏
Kaka naamin pasina kufahamu mfumo(biashara,kilimo na maeneo mengine pia ni ngumu kuishi kuendelea kutegemea jambo ambalo mfumo wake huujui.
ASANTE MENTOR MASTER COACH ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
Big up kaka❤❤❤