ONA MSAFARA WA DKT MWINYI ULIVYO SIMAMISHWA NA WANANCHI -“JANA” NITACHUKUWA HATUA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2021
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Nakukubali
Nakukubali raisi wangu
Allah akuhifadh Dr hussein, wewe ni muadilifu sana
Masha Allah hongera rais mwinyi Allah akuzidishie iman na kujalizaid sehemu muhimu za waisilamu
Ishaallah kheri mungu akujaaliye
Maahallah wewe ndiyo rais wawatanzania allah akuhifadhi amiin
Safi sana Daktarii....Unafanya tuamini kama hatukuwa na raisi kabla
Abeid Aman Karume
Hongera raisi wetu mpendwa kwakuwa na utu na chembe ya huruma kwakuwathamini nakuwajali wazanzibar bado tunathamini kuwepo kwako namchango wako
Pemba nako kuna watu barabara kuu chake to mkoani mbovu
Wallah raisi wetu nakuonelea huduma
Mheshimiwa sisi wahanga wa master life tunaomba utupe hizo haki zetu japo hicho kilichopatikana, familia zetu zinaangamia.
All the way from 001county mambasa kwani municipality zote zipo na hizo tabia🤔🇰🇪🇰🇪
Mwenye kutowa hasemi
Kafanya hivo ili wengine wapate muamko ili watu wapate kuja kwa wengi na mungu anajuwa nia yake sawa
Anza na wizara ya elimu mheshimiwa rsis
Ni kuranda randa tu hakuna kipya
Kila tukiangalia klipu za dokt mwinyi ni unguja tu je pemba hakuna matatizo
Jamaa walimu waangalieni cie waliotusomesha twajiskia aibu walimu wafa viongozi
Tumbuaaa😀😀
Utafanya???? Fanya tu maamuzi na weka watu ndani
Mushakuwa munaboa. Na habari zenu fupi fupi. Ekeni habari tuione mwanzo mwisho. Munapunguza waangaliaji
MMUNG AKUSIMAMIE KTK HARAKATI ZAKO RAISI WETU ILA HII NCHI INA VICHWA VIGUMU SANA NIWEZI SANA NA WANACHOYO MMUNG AKUSIMAMIE RAISI WETU KWA HAKIKA NA UKAZE SANA
Allah akuzidishie subra ya dhati moyon mwako
Huyu mwanamke mzanzibari jamani au ndio hao walioletwa kupiga kura znz
Ni wale waliokuja na majahaz kutoka Oman
Wenda uliza tena
Kama huna tena zana za kutumbulia majipu niambie mimi na ukinipa mm kwanza naanza na muhasibu mkuu wa zanzibar 😎
Kwa kuwa kakufanya nini?
🙄🤔
@@hajihassan5433 mpaka kasema hv kunakitukafanyiwa either usumbufu was huduma n.k
Naona kashika iwe mwisho lkn huu mwisho haulikani mpaka lini watu washakula hela baade wanaambiwa iwe mwisho
Wwe mwenyeo mwinzi unataka kuchukuliwa hatuwa
Ndio Haida ya kuzulumu zulma haidumu
Wende shinda kihalali kila kitu chende kaa sawa
Nilichokiona kwa rais huyu nimaneno makali ilakuchukua hatua mgumu au muoga, maneno makali vitendo hakuna
Ameingia madarakani kwa zulma
Allah ndiye menye kujuwa haya