SIMULIZI YAKUTISHA NA KUSISIMUA - MZANZIBAR ALIE HUSISHWA NA AL-SHABAB "AKAPATA KIPIGO"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2021
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
cc: Masoud Maganga
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Ktv online ,anzisheni arambee ya michango wekeni namba za cm kwajili ya michango kumuwezesha makame .aweze kuishi vzuvi
Subuhanallah daa mtihani Sana Allah atawalipa . Mmepata tabu Sana mitihani Duniani watu wanaroho mbaya poleni Sana Kaka polekwakujitolea kuhadisia
Aliekuwa akiisuburi kwa ham mpaka ikamtoka like tujuane
Pole kaka
👍
Pamoja
duh yan nimefatilia simulizi hii mwanzo mwisho kikweli inasikitisha sana ila allah atawapa subra na faraja wakat walienda kutafta riziki za halali, pia hongereni ktv kwa kweli nyinyi ni wa pekee na mnafanya vitu vikubwa. naungana na songoro nami natamani mke wake angepata kuja nae znz ili aifaidi tunu ya amani tulonayo znz
Inauma Sana kumbe si Muda mlefu Allah awatilie wepesi Omba Mungu Kaka yangu amka usiku mlilie Mungu mstakie yaliyokukuta
Pole Brotherdaaah nimefatilia kwa Makin mwanzo paka hapa
Duh!! Nilitaman mke wake angekua nae!! Sad ending
Hii story itengenezewe movie jamani...!! Inasikitisha mnooo!!
Pole Sana Ndugu
Pole sana kaka yetu Allah yupo pamoja nawe
Subhannallah jamani kweli umepata mitihani pole Sana daaaah inauma Sana kwakweli
Pole sana
Allah amfanyie wepesi inshallah
Ungeeka namba ya simu ya Mzee makame watu wenyeimani zao wakamsaidia chochote.
Pole kaka
Kweli tulikuwa tunasubiri kwa hamu mungu azidi kuwalinda
Eka number ya simu tumchangie
Duh, pole kaka
Sijawahi kufatilia story mwanzo mpaka mwisho lakini hii imenigusa.
Nimeisubr Hama
Munatuweka Sana ata utamu unatoka
Pole sana kwhy bd haijaisha 😥
Hiii mara hiii mumetuweka sab kweli kweli dah!!!!
Kuna watu unakuta wanatetea magaidi kisa wanasema maneno ya vitabu vya mungu na kuzani niwatu wema tuwe makini Sana nchi inahitaji amani ili watu waweze kuishi vyema waovu wote tuwanike kwa manufaa ya taifa letu hii story itufundishe nchi ikichafukwa hawangalii dini yamtu Wala kbila lake
Story nzur sana ila munaichelewesha
Poleni Sana Kaka Alhamdullah mumefika salama
Tatizo huyo ndugu yetu mwari alimponza wamsumbiji hawaoleki
Wanachelewesha SANAA 🤣
hivi bado inaendelea tu? nyie na t.v. yenu jipangeni bana
Msumbiji ni mbwa washenz hawafai kiukweli serikali yetu ifuatilie watu wetu kule wanateswa
Baadhi ya nchi watu weusi roho mbaya mbona wazungu hawana tabia kama hiyo watu wanatoka Morroco, Libya na nchi nyengine waingia ulaya wanapokelewa na kuhifadhiwa fresh bila ya matatizo watu wa Msumbiji wanawapiga Watanzania wao wakija Tanzania Wanaishi fresh bila ya matatizo hii vipi mbona hatufaham
Hii story imeishaje jamani mbona mmeruacha njiani?
Mnachelewa kutoa story mpaka tunasahau tunafikia wapi ila tumewasamehe .
Tz ni nchi nzuri na ya amaan hivyo amaan iliyopo inaelekea kutoweka kwa kurubuniwa na mataifa yasoipenda Tz na baadhi ya watu wasojielewa, wasoitakua mema Tz (vibaraka).
Vibaraka huihujumu Tz kupitia Siasa, Dini/tamaduni, michezo ,burudan, na starehe baadhi hazina maadili ya UchaMungu.
Sera ya kupambana na Ugaidi ukiifuatilia kwa kina inalenga kuudhohofisha Uislam na Waislam.
Ukifuatilia historia ya Osama hadi kuitwa gaidi na kuuliwa ilikuwa ni kudai haki na hata hayo mafunzo yasemekanayo mafunzo ya ugaidi aliyapata hukohuko kwa Wamagharibi wanajifanya ni watetezi wa amani kumbe waharibifu wa amani duniani!
Zaidi ya yote pole sana kwa mkasa/mikasa ulokumbana nayo, zidi kumtegemea na kumuabudu Allah.
Dunia ni mapito na starehe za Muda, Akhera ndo yetu marejeo.
Mnazingua kweli mpaka tunasahau
Kwani hii story amuiendelezi tena
Leo ndio tapata ucngz af takula vzur.
Binafsi Nina mtu wetu kauliwa huko
Huu niupuzi mnaboa kbsa
Tatzo letu wazanzibar kwa kupenda chini ni balaa yan kila utapokwenda unataman kuoa tu
Chini ndio kila k2 tumekuja kw hugo tutarudi kw huko ..
pole sana makame jamaa yangu mimi ni miongoni mwa watu walioshi msumbiji miaka mingi nilikua mocimboa da praia ila sikupata msukosuko wa aina yoyote ile isipokua baada machafuko kutokea nilirudi tanzania kwaa amani japo kua nilipoteza kila kitu basi pole sana nimitihani waja tumeumbiwa ila yote yatapita kwa uwezo mungu
Na ss wabara tunapenda kizini zini .ndio maana atutaki kuoa .
Kwani alozuuya uchumi wa ZANZIBAR nani...si metunyanganya kila kitu.. kama tungekuwa huru.. .huyu kijana asnngekwenda kuhangaika huko.. tuwachiyeni tuchimbe mafuta yetu..
Acha siasa mbovu ndg yng zitakueka pabaya hili cio jambo lakuingza uzanzbary .
Huyo mkewe Sasa vp mbona hajamueleza tena
Ameeleza kuhusu mke, amesema Yupo Msumbiji aliamua kumuacha Talaka moja ila bado anamtaka.
Allah yuko na wewe