Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ธ.ค. 2023

ความคิดเห็น • 134

  • @HeriethChristopher
    @HeriethChristopher 2 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏

  • @MariamShabani-eb3oh
    @MariamShabani-eb3oh 6 วันที่ผ่านมา

    Jazakallahu khayra

  • @MaridadiRashidilikwesoLikweso
    @MaridadiRashidilikwesoLikweso 24 วันที่ผ่านมา +1

    asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 6 หลายเดือนก่อน +4

    Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲

  • @AshuraZuberi
    @AshuraZuberi 3 หลายเดือนก่อน +1

    Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe

  • @AminaMohamed-td2bi
    @AminaMohamed-td2bi 8 วันที่ผ่านมา

    Ndomn nakupenda sana sheikh.ukomsafi sana wamaneno.

    • @AminaMohamed-td2bi
      @AminaMohamed-td2bi 7 วันที่ผ่านมา

      Naje kama hukumjua aliekufanyia kijicho.tibayake Nini.

  • @hawashabani7896
    @hawashabani7896 6 หลายเดือนก่อน +16

    Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi

    • @ahmadaali4605
      @ahmadaali4605 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa

    • @user-nf8ku2bi9i
      @user-nf8ku2bi9i 6 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida

  • @arafaayubu
    @arafaayubu 6 หลายเดือนก่อน +2

    Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri.
    Allah akupe ujira duniani na aakhera.
    Allahumma Amiin

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed 6 หลายเดือนก่อน +2

    SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.

  • @MaryAmaiza-th2fo
    @MaryAmaiza-th2fo 6 หลายเดือนก่อน +22

    Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.

    • @josephndambo3714
      @josephndambo3714 5 หลายเดือนก่อน +3

      mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana

    • @rania-xw1vk
      @rania-xw1vk 5 หลายเดือนก่อน

      Karibu katika dini yetu​@@josephndambo3714

    • @MaryAmaiza-th2fo
      @MaryAmaiza-th2fo 5 หลายเดือนก่อน

      @@josephndambo3714 nikweli kaka

    • @imanmohamed2215
      @imanmohamed2215 5 หลายเดือนก่อน

      Karibu katika dini yetu

    • @mwamvitaibrahim8594
      @mwamvitaibrahim8594 5 หลายเดือนก่อน +1

      Takbir….Allahuwa Akbar

  • @user-kd9et9hd7y
    @user-kd9et9hd7y 28 วันที่ผ่านมา +1

    Allah Akbar

  • @RamadhanCongera
    @RamadhanCongera 2 หลายเดือนก่อน

    Ahsante chekhe allah akukinge nahao

  • @user-wq8lp4th2b
    @user-wq8lp4th2b 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maa shaa Allah ❤❤

  • @aishamohamed4823
    @aishamohamed4823 3 หลายเดือนก่อน

    Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 6 หลายเดือนก่อน +3

    Allahu Akbar.

  • @user-hj7io6qy9n
    @user-hj7io6qy9n 4 หลายเดือนก่อน

    Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 6 หลายเดือนก่อน +3

    Allah akbar

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran Sana Shekh wetu.

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Tabaraka llah

  • @user-ok8uh3hh3w
    @user-ok8uh3hh3w 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaa Allahu karibu kigoma.

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 6 หลายเดือนก่อน +2

    Ma shaa Allaah

  • @salmaassed
    @salmaassed 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @user-jk6xk7id3q
    @user-jk6xk7id3q 6 หลายเดือนก่อน

    Jazakallau kheira

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 6 หลายเดือนก่อน +3

    MashaAllah ❤ shukraan sheikh

  • @drmussa1220
    @drmussa1220 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hasbun Allah wa nimal wakeel )
    Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲

  • @SwaumuJuma-bc9se
    @SwaumuJuma-bc9se 6 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah

  • @user-qq3gf9xn2c
    @user-qq3gf9xn2c 5 หลายเดือนก่อน

    Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah

  • @user-ou2og1ze9d
    @user-ou2og1ze9d 4 หลายเดือนก่อน

    Shekhe hongera sana Allah akubarik

  • @nuruabdi7806
    @nuruabdi7806 6 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows

  • @user-mr1hk2ed2w
    @user-mr1hk2ed2w 6 หลายเดือนก่อน +1

    Shukran Sheikh

  • @user-uw4cw2uc3u
    @user-uw4cw2uc3u 5 หลายเดือนก่อน

    Jazakallaukher

  • @user-ec8ig8nn2y
    @user-ec8ig8nn2y 6 หลายเดือนก่อน +1

    Allah atuhifadhi

  • @user-mt4sd6cj5y
    @user-mt4sd6cj5y 6 หลายเดือนก่อน +4

    Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.

    • @sebarua
      @sebarua 6 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah

    • @AishaNIYONKURU-xd2qb
      @AishaNIYONKURU-xd2qb 3 หลายเดือนก่อน

      Aminiii

  • @user-yr8ib5ni7c
    @user-yr8ib5ni7c 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaa Allah

  • @twalibutwaha1632
    @twalibutwaha1632 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo

  • @user-il8un5ft9e
    @user-il8un5ft9e 6 หลายเดือนก่อน

    Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤

  • @majomasliman7856
    @majomasliman7856 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani

  • @ArseneKyallo
    @ArseneKyallo 6 หลายเดือนก่อน

    Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa4192 6 หลายเดือนก่อน

    Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 6 หลายเดือนก่อน +1

    Leo nimepata somo kubwa sanaaaa

  • @swabiaa1489
    @swabiaa1489 6 หลายเดือนก่อน

    Allah akuhifadh ❤

  • @asianramadhani8315
    @asianramadhani8315 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana shekhe

  • @user-dc2nv3lu9l
    @user-dc2nv3lu9l 6 หลายเดือนก่อน

    Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez 6 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.

  • @DaxMarioo-rq9rs
    @DaxMarioo-rq9rs 6 หลายเดือนก่อน

    Ni kweri ostazi wangu

  • @user-rx9lq6kw4v
    @user-rx9lq6kw4v 6 หลายเดือนก่อน +3

    Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje

  • @user-hy8yp9qt2o
    @user-hy8yp9qt2o 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashaallah
    Allah
    Awe
    Pamoj
    Naw
    Inshallah
    Shekh
    Wang

  • @HileHile-ns9xv
    @HileHile-ns9xv 6 หลายเดือนก่อน

    Tabaraka Allah

  • @SmilingCherryBlossoms-ce8md
    @SmilingCherryBlossoms-ce8md 6 หลายเดือนก่อน

    Maashallaah

  • @user-gx9hg3dp1e
    @user-gx9hg3dp1e 6 หลายเดือนก่อน +2

    Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️

  • @josphinengugi4978
    @josphinengugi4978 10 วันที่ผ่านมา

    Mimi naulisa nakama yule alikuwa anakusitukia anakwambia maneno alikufa nifanye aji Mimi ni mkenya

  • @asmahasanirashid5059
    @asmahasanirashid5059 6 หลายเดือนก่อน

    Maashallh maashallh

  • @abdilahally6340
    @abdilahally6340 6 หลายเดือนก่อน

    Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e 6 หลายเดือนก่อน +1

    A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @estheretori3855
    @estheretori3855 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?

  • @mamuumuu4999
    @mamuumuu4999 5 หลายเดือนก่อน

    Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma

  • @MuniraYahaya-y9n
    @MuniraYahaya-y9n 12 วันที่ผ่านมา

    Yaalabi tuepushe na mitihani yakuchukiwa

  • @ftimaramadan4748
    @ftimaramadan4748 6 หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 6 หลายเดือนก่อน +2

    ALLAHU AKBAR

  • @KIMOCHA1
    @KIMOCHA1 2 หลายเดือนก่อน

    Allahuma Ameeen

  • @user-le7lh1ou2d
    @user-le7lh1ou2d 6 หลายเดือนก่อน

    Dah Atari sana

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 5 หลายเดือนก่อน

    Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 6 หลายเดือนก่อน

    Mashallah 🙏🤲☝️

    • @LeilaShah-ib4td
      @LeilaShah-ib4td 6 หลายเดือนก่อน

      Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh

  • @HassanLastman-hh9sw
    @HassanLastman-hh9sw 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote

  • @JohnMalengua-jh6ps
    @JohnMalengua-jh6ps 5 หลายเดือนก่อน

    Je tufanyeje kujilinda na hayo yote

  • @user-ol3pb6gt9e
    @user-ol3pb6gt9e 6 หลายเดือนก่อน +3

    A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho

  • @SamiraBhazizane
    @SamiraBhazizane 6 หลายเดือนก่อน +3

    Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje

    • @smadon5638
      @smadon5638 6 หลายเดือนก่อน +1

      Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mswalie mtume mara nying

  • @naswiharashid7166
    @naswiharashid7166 6 หลายเดือนก่อน

    Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza

  • @MwanajumaSaria
    @MwanajumaSaria หลายเดือนก่อน

    Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani
    ili nisaidike

  • @hawaamabrouck2456
    @hawaamabrouck2456 4 หลายเดือนก่อน

    Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o 6 หลายเดือนก่อน

    Nina maongezi yangu kidogoo

  • @JonathanKebaso-yk8le
    @JonathanKebaso-yk8le 6 หลายเดือนก่อน

    Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏

  • @user-pk2km5nj3f
    @user-pk2km5nj3f 4 หลายเดือนก่อน

    Ukimpiga gongo je haifai

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 6 หลายเดือนก่อน

    Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 6 หลายเดือนก่อน

    Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani

    • @hamisimtusi1796
      @hamisimtusi1796 4 หลายเดือนก่อน

      Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah

  • @user-yl2ju4oc9c
    @user-yl2ju4oc9c 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli

  • @casualteenfashions8790
    @casualteenfashions8790 5 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.

  • @TwaliathAndrea-dm3dy
    @TwaliathAndrea-dm3dy 3 หลายเดือนก่อน

    Haohao

  • @khadijamohammed7811
    @khadijamohammed7811 3 หลายเดือนก่อน

    Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 6 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu

  • @ahmedmuhiddin5107
    @ahmedmuhiddin5107 6 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo

  • @princessryan5676
    @princessryan5676 6 หลายเดือนก่อน

    A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?

  • @bihayisefu8810
    @bihayisefu8810 หลายเดือนก่อน

    Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?

  • @user-zn4bo2vk8l
    @user-zn4bo2vk8l 4 หลายเดือนก่อน

    Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe

  • @zitoncombo1317
    @zitoncombo1317 6 หลายเดือนก่อน

    Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?

  • @fabssaleh7273
    @fabssaleh7273 6 หลายเดือนก่อน

    BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU.
    JE ikiwa si Waislamu?

  • @kharifasanto3383
    @kharifasanto3383 3 หลายเดือนก่อน +1

    Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga

    • @Ahmed26171
      @Ahmed26171 2 หลายเดือนก่อน

      Pole ndugu Yangu...

  • @user-hi7ry5bc9t
    @user-hi7ry5bc9t 6 หลายเดือนก่อน +1

    Assalaam Alaikum
    Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?

  • @user-do8hi3oo1d
    @user-do8hi3oo1d 6 หลายเดือนก่อน

    Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?

  • @user-kp7gj9xq4b
    @user-kp7gj9xq4b 5 หลายเดือนก่อน

    Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee

  • @mwajumaally3383
    @mwajumaally3383 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako

  • @angle3600
    @angle3600 6 หลายเดือนก่อน

    Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi

  • @user-wr6uz1rx1o
    @user-wr6uz1rx1o 6 หลายเดือนก่อน

    Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 6 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 6 หลายเดือนก่อน

    Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww

  • @aminasaid6555
    @aminasaid6555 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh

    • @smadon5638
      @smadon5638 6 หลายเดือนก่อน

      Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani

  • @emmanuelmudachi6508
    @emmanuelmudachi6508 5 หลายเดือนก่อน

    Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa.
    Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote.
    Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda.
    Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi.
    Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.

    • @imanmohamed2215
      @imanmohamed2215 5 หลายเดือนก่อน

      Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin

    • @TwaliathAndrea-dm3dy
      @TwaliathAndrea-dm3dy 3 หลายเดือนก่อน

      Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph 6 หลายเดือนก่อน

    Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh

    • @mwajumaissa2358
      @mwajumaissa2358 6 หลายเดือนก่อน

      Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa