RAIS WA ZANZIBAR AELEZA MAENDELEO YA PEMBA YAENDE SAWASAWA NA YA UNGUJA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ธ.ค. 2020
- fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infirnging non - profit education, or personal use tips the balance in favor of fair use all credit for copyright material used in video goes to the respected owner, Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#HabariZaUhakika #Zinjibartv
Follow Zinjibartv
Facebook | Zinjibartv
INSTAGRAM |@Zinjibar_tv_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 773 878 523
+255 773 071 409
+255 715 418 849
Zinjibartv Journalists
cc: Abdallah Pandu
cc: Safia Hussein
cc: Maryam Kidiko
cc: Swaleh Watamaama
Camera Department"
Muarabu Mmadi
Ali Rajab
Rajab ahmada
Editors:
Ali Hassira
Mohammed Abeid
Ramla Haji
Abdillahi Said
Dereva
Yussuf Khanmis
Ali Mohammed
Video Zingine:
Angalia hapa - MTOTO WA TURKY AJITOSA KUMRITHI BABAYAKE UBUNGE
- HIZI NDIO TEGO ZA KICHAWI, SHEIKH SALUM MARDHIYA
• MTOTO WA TURKY AJITOSA...
• HIZI NDIO TEZO ZA KICH...
Tunakwenda vizuri. KAZI IENDELEE. Kisiwa cha Pemba kwa ukweli kinahitaji kupewa kipaumbele ambacho Mhe. Rais anakizungumzia ili kilingane na kile cha Zanzibar. Tofauti za kiitikadi zisiwe kubwa kuliko Zanzibar. Siasa isiyo na tija iwekwe pembeni.
Allah akuwezeshe kwa kila hali Mh. Na akuepushe na mahasid wanopenda ubaguzi na kuwadharau wapemba insha-allah. Ww kweli Rais, bila umoja na haki hakuna mafanikio
Masha Allah khr, Allah akufnyie wps. Ila mwnzo yani Pemba panaonekna sio ktuu munakumbka kutngeza unguja tuu
Naanza kuona kukubalika kwa Dr. HUSSEIN MWINYI Kwenye nyoyo Na sura za Wazanzibari...Mungu Amuongoze kuitimiza azma njema
.....
FREE UAMSHO ZANZIBAR
Mashallah Allah baarik
Mbona kuna washenzi wamevamia hii channel hawana adabu
Alllah ajaalie inshallah
Safi sana,rais maono ya watu
Amani NA maendeleo hayapatikani Ila watu kufuata maamrisho ya Allah NA kuacha makatazo yake.
The best president
Mimi naomba kueleweshwa tu kidogo maana ya uchaguzi wa amani kwa mifano yai ambayo imejitokeza kupitia uchaguzi huo.
Maneno makali snaaa
Raisi Mwinyi nazidi kukubali siku hadi siku,yoote hayo ni malezi mazur ya wazee wako.Mungu awape umri mrefu waje kushuhudia mafanikio waliyotarajia.
Subiri 2024 tu hapo utakuja kutueleza unafikiri hayo anasema kama anasema yeeeye kumbe ni recode anarudiya rudiya tuu tuongee 2024/2025
Mm aikubaliana na haya maneno yake mpaka uchaguzi wa 2025 nione kweli hauna kasoro za kukuaudia maana ccm wote jora moja ilifika uchaguzi hugeuka baada kuwa Mussa huwa maafiraoum
Kuna ubaguzi mkubwa sanaaaaa kati ya pemba na unguja
Wenzetu munatubaguwa sana wapemba
Ndiyo Mzee hata bandari tunataka.
Ufisadi no
Ikiwa hamutofanya mabadiliko serekali iwe serekali n chama kiwe chama n mamlaka y makomo w 2 apewe makomo y kwnza haina hajakuwepo serekali y kitaifa number 2 ipo juu zaidi y number 1 tunataka mamlaka kamili zanzibar tunataka Mashekhe wetu Allah anatusubiri kila mtu atahukumiwa alichokichuma in sha Allah
Wewe mgonjwa wanzanzibari wanataka maendeleo ya maisha yao sio huo ujinga unaosema. Mamlaka kamili ni maendeleo ya wanzanzibari sio bendera.
@@husseinmkanga7794 unaweza kunambia bwana wako anaekufira anakumiliki mamlaka yko y juu maendeleo gani unaetegemea kupata kwani zanzibar ilikua haina maendeleo yaani ww hufanyi maendeleo kama ujamuomba basha wako anaekufira nikulize zanzibar nchi or mkoa???
Na izo wizara azigawe nyengine ziweko Pemba sio zote Unguja
Sawasawa ndo la umuhimu hilo nasi jengine
Tupo tayar kuwekeza pemba ikiwa tutaona serikali yako inarudisha mali za wakfu kwa walio andikiwa kwani hata hizo mali za wakfu ni miongoni mwa uwekezaji wa raia wazawa.
Usiwekeze ngoja wageni waje wawekeze wanzanzibari wawe watumwa mjinga mkubwa.
@@husseinmkanga7794 hongera sana ... majibu yko tuu!!!!! yashanitosheleza kujua upeo wa akili yko.. D>0.
Kuondosha tofauti sawa kabisa, lakini cha kushangaza kuna watu wanashindwa kutofautisha baina ya mikusanyiko ya kiserikali na ya kichama, sasa muda wa kampeni umeisha bado wameng'ang'ania sare za chama, na ndio maana tunaambiwa siku ya uchaguzi watu wasiende na sare za vyama.
Hongera sana Rais wetu mpendwa Allah atakulinda na kila shari na mahasid na atakupa nguvu ili uweze kutimiza azma yako ya kutuletea maendeleo inshAAllah
Wewe vaa nguo zozote unazotaka. Nguo ni sare za chama sio za uchaguzi.
Sasa wee mtangazaji kwann waingilia kati hotuba Ushamba huo kijana
Tumesikia maneno chanya, Sasa tunataka tuone kwa vitendo
Kutenda kosa sio kosa kosa kurejea kosa
Kutenda kosa ni kosa na kurejea kosa ni kosa la pili
Wale wabaguzi wasipewe nafasi hongera raisi tokea tisiini na tano mpaka leo cjackia maneno mazuri ndo mwanzo mwaka huu
Ebwana ee usihanithi watu apoo wewe baba nipigie ushaapishwa wee endeleya tuu na uzushi wako tuonane 2025 tuone n utaleta sarakasi gani mpuuzi wa kuzaliwa
Uchaguzi wa amani haukuwepo tukubali tusidanganyane tufanyw Sasa uchaguzi ujao uwe w amani kweli na utulivu
Nyinyi ndio mlianza kupiga watu mapanga msikitini mkilipiziwa mnalalamika.amani iwe kweli amani mkianza fujo mtapewa fujo.
FREE UAMSHO ZANZIBAR