3 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ก.ค. 2024
- Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 3 || Tarehe 05 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Please make this go viral, we need more people to watch and learn this profound message.
Please like, subscribe and share.
Copy this link and send it to groups and individuals. Its a timely message for God’s people🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Tanzania hakuna mwalimu wa Neno la Mungu kwa viwango vya juu kama Mwakasege Kwel Mungu ana vyombo
Utukufu kwa Mungu
Kabisa huyu ni Mungu aliye juu Bwana wa mabwana anamtumia kabisaa👏💯🙏
Kweli kbsa
MUNGU azidi kukuwekea wakfu mwalimu na timu yako ya huduma ya mana mbarikiwe sana
Mungu akubariki na kukupa miaka mingi hapa duniani
Ubarikiwe Sana mwalimu Mwakasege, Mungu akutunze wewe na Timu nzima ya huduma ya mana, mzidi kutuhudumia ili tuyaishi mapenzi ya Mungu hapa Duniani, tupate Baraka na mwisho tuurithi uzima wa milele. Amina.
Mungu mbariki mtumishi wako na huduma mzima ya mana
Amen ubalikiwe Mwl Mungu akutumze.
Mungu akubariki sana Kwa mafundisho haya mazuri yaliyojaa uweza wa Mungu.
Roho mtakatifu badilisha mfumo katika maisha yangu
Ameen damu ya YESU ikasimame kwenye udhamini wa maisha yangu mifumo ikabdadilishwe
Hili ndilo Neno la ukweli, kuchagua kusuka au kunyoa,ufalme wa mungu utatekwa na wenye nguvu
Mtumishi Mungu anakutumia vema, tunapata shauku ya kumjua BWANA kwa urefu upana kimo na kina, inuliwa juu zaidi baba
Ameen
Mungu akubariki Mwl, SoMo Zuri sana
Mabadiliko yafanyike sasa kabla YESU hajaja kulichukua kanisa lake
Aminaa mtumishi wa mungu ubarikiwe kwa neno
Damu ya yesu ipite kwenye mwili wangu inisafishe na kuniosha na kuwa safi
Ubarikiwe baba unahubiri injiri iliyo ya kweli
Yani somo la Leo mwalimu umenigusa Yani nikama ulikua unanizungumzia Mimi hakika MUNGU wetu anatenda ninashuhuda kubwa mno juu ya somo la Leo
Nakubariki Bwana umenifundisha leo sadaka ya mbegu najua unaenda kunipeleka viwango vingine. Kwa sadaka hiyo juu ya biashara yangu ya duka la dawa Mana mpenyo ulikuwa mgumu Ila now uwe mdhamini wangu Bwana.
Nimebarikiwa sana mwalimu mungu akulinde sana
Asante Yesu kwa somo zuri
Hongera sana Mtumishi tunakupata vizuri
Ameeeeniii
Ameeeeen Mungu ikumbuke sadaka yangu ya mbegu ukaipe kibali ikazae
Ameni!
Mungu akubariki sana, ombi langu naomba mruhusu tuweze kudownload video hiz ili iwe rahisi kuendelea kusikiliza mara kwa mara
Amen
Plz turuhusuni kudownload haya masomo tunataman kujifunza kila siku siku moja haitoshi kuelewa kila kitu
Mwl,Shalom nauliza nihali kuwa na mabaunsa muhubili wa injili? Linanisumbua Sana akilini
Ni sawa kabisaa hata mimi ilinisumbua sana ni muhimu mnoo..(protocol)
Wacha kuwaza mambo ya mabaunsa. Fikiria namna ya kupata nguvu za kiroho na sio ubaunsa maana hata wewe kama mwananchi waweza kuweka mabaunsa wakakuzunguka hapo nyuma.
BWANA YESU ASIFIWE...
Technical team ya semina naomba mruhusu hii video tuwe na uwezo wa kudownload Kwa TH-cam without purchase recommendations😢🙇🏾♂️
Na mm nimejarbu kumbe na ww imekata
Kwakwel wafanye marekebisho tupate kuidanilody
MUNGU wangu nakuomba kumbuka sadaka zangu na ujibu maombi yangu kupitia madhabahu yako matakatifu MUNGU nakuomba