Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
MUNGU abariki kizazi chako Mtumishi wa Mungu
Ndiyo MAANA UNA moyo WA huruma mtumishi WA Mungu akubariki mnooo, mpaka ushangae
Mama yangu Mwenyezi Mungu amrehemu alisubiri kwny kimya cha masikini Asante mchungaji kw mafundisho mazuri Ubarikiwe kila iitwapo leo na Bwana Yesu aliye hai 🙏
Nimejifunza neno kubwa sana, kuendelea kudumu na kusubiri katika kimya na umasikini.
Mungu akubariki mtumishi,kupitia ushuhuda huu Mungu nakuomba uwainue ndugu zangu kiuchumi ambao mama yetu alitupigania ili tuweze kumsaidia wote.Amen
Niguse namimi mtumishi ni mjane hua nakufuatilia sana mtumishi shuhuda zako zinanipa nguvu mnoo
Pastor ure blessed for wisdom there many mama,s during nyerere and mkapa era wanawake wa Kaz mungu awabark Sana walilima au kupika pombe mtoto asome
Mungu akubariki mchungaji kwa mafundisho manzuri
😭😭🥹MUNGU ZIDI KUMUINUA MTUMISHI WAKO HUYU ELIONA🤲🙏🙏MUNGU USIMPITE KATIKA NDOTO ZAKE🙏🙏NINAOMBA NAKUOMBA AMEN
Mungu mueke mahala pema peponi mama angu kumbe nina mwenzangu aliyeishi maisha yangu mch. Kimaro ayo maisha yako nimeyaishi ila mimi bado cjatoka niombee nimemkumbuka mama angu angu
Endelea kuamini utafanikiwa pia. Nakuombea
Mungu azidi kukuiniua mtumishi wamungu
Jina la BWANA lizidi kubarikiwa milele na milele, amina.
Mungu akubariki sana mtumishi. Kiukweli hua unanitoa mahali moja kwenda pengine
Barikiwa Mch Eliona. 🙏🏽🕊️🕊️💖💖💖🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen,ni imani ya hali ya juu
Mungu akupe maisha marefu Mchungaji Kimaro
Asante mpendwa unanitia nguvu mana nina mapito makubwa
Hongera sana mchungaji Kimaro tunamshukuru Mungu Kwa upendo wako Mungu amekuwezesha
Mungu atusaidie kutenda mema hapa duniani!
Ameeen baba mchungaji ubarikiwe na kuinuliwa zaidi,na ubarikiwe kila iitwapo leo
Mungu nakushukuru kwa ajili ya mchungaji Eliona
Aameni mtumishi
Nimejifunza nikiona mtu anauza unanunua Kwa sababu kumsaidia asante sana mchungaji Kimaro
Mungu apewe sifa...Bwana yuko pamoja na wewe
Una moyo wa tofauti Naomb mungu anisaidie nije kusaidia mayatima na wanaoteseka
Mungu akubariki sana Mchungaji unatutia sana moyo🙏🙏
Amina mchugaji kimaro uzidi barikiwa baba🙏
😭😭😭😭😭 Mungu yupo jamani acha kabisa huu ushuhuda umenikumbusha hallow
Ubarikiwe sana baba mungu akupe miaka mingi yakuyaishi haya mema tuzidi kujifunza
Mungu ni mkuu sana
Bwana akubariki mtumishi wa mungu na azidi kukuinua
Naomba na Mimi niwe na roho nzuri
Mama yangu alisubiri kwenye kimya pumzika kwa hamani mama mafundisho mazuri sana mtumishi 😢😢
😢😢 Umenivusha hapa nilipo,Barikiwa sana
Barikiwa sana mchungaji
Ubarikiwe pastor,nazidi kujifunza sana kwako.
Amen thank you Dr. Eliona Nasi tuna subiri kimya😔
Baraka ya mungu iwe nawe❤❤❤❤
😭😭😭naamini ipo siku na mimi Mungu atatuinua kwa viwango vingine🙏
Napenda Sana kukusikiliza, MUNGU akupe maisha marefu yenye baraka tele
Ubarikiwe sana pastor wangu
Ameni
Inspiring. Mungu akubariki sana pastor.
Hakika Mungu akutunze Mtumishi
Hongera Kwa kulea watoto
Mumgu akubariki mtumishi
Ameen
Mtumishi umepanda mbegu iliyo njema😢 Mungu wa mbinguni akubariki sana
Tunabarikiwa mno na mafundisho yako mchungaji 🙏🙏
🤲🏿
Mungu wangu murehe mama yangu huko mpe furaha ya milele
Dah asante sàaana
Barikiw mtumishi
Nguvu ya Mungu haipimiki kwa wakati wake aupendao yeye
Mungu azidi kukutumia
Amina
Bba mungu akuweke sana
Amen 🙏
Kuuza ni njia yakuomba
Ni kweli
Numefurahi sana leo maana ni muda sijakusikia baba
Amina Baba mchungaji
Ubarikiwe sana mtumishi
🙏🙏🙏🙏
Ndiyo maana itakiwa tuwe subiri kwemye maisha haya
I do respect you 🎉🎉
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
❤❤
Asante sana 😮
Mungu mwema sana
Mtumishi hii ni uharisia wa wstsnzanis we
Hivi ni lazima kutangaza kuwa unawasaidia?
Ruwa ko Mndumiii
😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hahhahahaha nimecheka kwa furaha
Mungu akubariki mtumishi kwa kutokukata tamaa pamoja na kupewa majani ya kahawa ulisonga mbele
Amina