Hekima zako za Kimbingu ni NURU ni ombi langu kwa Mungu anijalie mke mwema na kusudio langu kupitia kwa Mungu ni kuijenga familia yangu yote katika misingi mitakatifu sana ya kiroho na kusudio langu ni kukiona kizazi changu kikiurithi ufalme wa Mungu, Mungu naomba utujalie HATMA iliyo njema maishani mwetu. Amen!
Hakika Mungu akutunze kwa ajili ya Nchi yangu na kwaajili yangu Baba Christopher wewe umefanyika taa ya Nchi yangu Tanzania, Hekima yako yapita viwango, naomba uniombee mwanao Sarah Faida usinisahau uingiapo kwa maombi Baba. 🤲🙏
Nimekua mlimani Leo ni siku ya pili,dhamira yangu ni kuomba toba Kwa ajili yangu kama Mama,binti na mke,lakini sikua najua kifungu chochote cha kusimamia toba yangu zaidi ya Ezra 8:21...Leo kukutana na hili somo naamini liliandaliwa Kwa ajili yangu....holy spirit connect,thank you Jesus for your mercy and Grace!
Mmh hii ngoja niitafutie bundle, muda! Nikae kwa kutulia? Japo nilikuwepo live na CD nilinunua ila acha niirudie! Baba huwa anasema sikiliza na kusikiliza
Amina nimebarikiwa kujua nafasi ya mwanamke na nipo kujifinza zaidi nafasi amvayo Mungu ameweka kwa mwanamke. Amina mbarikiwe nyote Mwalimu mtumishi wa Mungu Mama na wanakamati wote Mungu aendelee kuwarumia katika viwango vya juu kwa utukufu wa jina lake.
Aasnte kwa neno. Mungu ana makusudi na maisha yetu wote Mungu tupe neema ya kukufahamu ili ututumie kwa kadri ya makusudi yako. Makusudi yako yaonekane kuanzia familua hadi Taifa na ulimwenguni pote jina lako litukuzwe na wake kwa waume na vizazi vyao. HALELUYA 🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana, haya mahubiri yananigusa na kunijenga na kunibariki pia " mwanamke tunaye muona kwa macho ni tofauti na yule aliyeumbwa na Mungu"
Naomba Mungu anijaalie mwanaume niliyempata tuweze kufikia lengo letu la kufunga ndoa ...na Mungu azidi kuzidishia baraka katika familia yetu tumjuwe zaidi🙏🙏🙏🙏
Ee mungu naomba utusaide tujue uumbaji wako na kusudi kwa wanawake na wanaume ili tusikinzane bali tuishi katika umoja kama kristo alivyo kusudia . Amen❤
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunakupenda sana maana umefanyika baraka kwetu Mungu akubariki pia akupe maisha marefu Baba hekima yako ni kubwa mno ili somo limenibariki sana
ASANTE KWA SOMO NZURI..LINANISUKUMA TENA KUWAFUNZA WANAWAKE KWAMBA WANA JUKUMU KUBWA. KUMBE TUMBO ZA WAKE NI AJABU SANA. INACHUKUA AINA 'A AINA YA WATU. AAA UFUNUO MUKUBWA SANA. MUNGU AKUBARIKI TENA SANA BABA MUTUMISHI
Amina Amina baba Mungu anisaidie nijijue mimi kama mwanamke ni nani na nibebe uhalisia wangu wa mwanamkee nisimame na familia yangu atakayonipa Mw Mungu kama mwanamke.
Hekima zako za Kimbingu ni NURU ni ombi langu kwa Mungu anijalie mke mwema na kusudio langu kupitia kwa Mungu ni kuijenga familia yangu yote katika misingi mitakatifu sana ya kiroho na kusudio langu ni kukiona kizazi changu kikiurithi ufalme wa Mungu, Mungu naomba utujalie HATMA iliyo njema maishani mwetu. Amen!
📞🙏🙏🙏
Hongera
ameni
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Amina baba ubarikiwe kwa somo zuri
Hakika Mungu akutunze kwa ajili ya Nchi yangu na kwaajili yangu Baba Christopher wewe umefanyika taa ya Nchi yangu Tanzania, Hekima yako yapita viwango, naomba uniombee mwanao Sarah Faida usinisahau uingiapo kwa maombi Baba. 🤲🙏
Mwanzo sura ya 1 ni uumbaji wa rohoni na mwanzo 2 ni madhihirisho ya kilichoumbwa sura wa 1, ( kuletwa ktk uhalisia wa kimwili),
GENEOUS, MWAKASEGE KANIFUNZA KITU KIKUBWA SANA
Nimekua mlimani Leo ni siku ya pili,dhamira yangu ni kuomba toba Kwa ajili yangu kama Mama,binti na mke,lakini sikua najua kifungu chochote cha kusimamia toba yangu zaidi ya Ezra 8:21...Leo kukutana na hili somo naamini liliandaliwa Kwa ajili yangu....holy spirit connect,thank you Jesus for your mercy and Grace!
Glory to God ,, hongera winner
Mungu anisadie kupata mme sahihi na nikawe mke mwema kama biblia inavyonitaka kuwa
mwnamke ni huyu .........ona mwenyewe studio.th-cam.com/users/videoyDEi2QjgRGA/edit
Mwanamke ni Kanisa kibiblia
Mmh hii ngoja niitafutie bundle, muda! Nikae kwa kutulia? Japo nilikuwepo live na CD nilinunua ila acha niirudie!
Baba huwa anasema sikiliza na kusikiliza
Ya lini hii
Mbega vyiza👇th-cam.com/video/_o6nCTmOdjQ/w-d-xo.html
MUNGU akupe afyaa bora ..Ili uweze kutupatia ujumbe kupitiaa wee. .amen amen ❤️🙏
Ni Mungu na sio mungu ndugu.
@@dreambig6093 ooh thanks alot it was typing error nimerekebishaa be be blessed 🙏❤️💙
Asante sana Mwl. kwa kurejesha tena hili somo. Kuna siku nililitafuta hapa TH-cam ila sikuliona. Asante sana, somo hili linanibariki sana
Amina nimebarikiwa kujua nafasi ya mwanamke na nipo kujifinza zaidi nafasi amvayo Mungu ameweka kwa mwanamke. Amina mbarikiwe nyote Mwalimu mtumishi wa Mungu Mama na wanakamati wote Mungu aendelee kuwarumia katika viwango vya juu kwa utukufu wa jina lake.
Yesu nipe ufahamu wa kusimama kama mwanamke
Aasnte kwa neno. Mungu ana makusudi na maisha yetu wote Mungu tupe neema ya kukufahamu ili ututumie kwa kadri ya makusudi yako. Makusudi yako yaonekane kuanzia familua hadi Taifa na ulimwenguni pote jina lako litukuzwe na wake kwa waume na vizazi vyao. HALELUYA 🙏
Amen
Amen ..Amen...,painful truth very unfortunate to men who don't understand the values in a woman.
Mimi ninamchumba tayari hata ivyo namuomba sana MUNGU anisaidie niweze kuwa nae kama ni kweli ni sahihi kwangu na ni mpango wa MUNGU...
Mungu azidi kukutumia, zaidi sana,akupe.maisha🙏🙏🙏👏👏
Marefu,
Amen, asante Mtumishi kwa ujumbe huu.
Ubarikiwe mtumishi
Naomba Mungu anipe mkee mwema
Amen
Umenifundisha. Kitu ambacho nillkuwa sikijui asante Sana nimeipata mwanga mkubwa sana
Amen,kila siku nafarijika ninaposikia neno la Mungu kwa kutumia kinywa chako
Mungu azidi kukubariki
Ameen, ubarikiwe Sana Kwa ujumbe mtumishi
MUNGU akibariki mtumishi, najua MUNGU anakitumia kwa viwango vya juu sana....
Mungu akubariki sana mtumishi..Huwa nafarijika sana kusikiliza mahubiri yako, Mung akulinde
Asante sana Mwl. Mwakasege kwa kurudisha hili somo tena. Kati ya masomo ambayo nilikua najikuta nasikiliza tena na tena na tena bila kuchoka 🙏🙏
Mchungaj mungu akubaliki Santa naomba uniombee maisha yangu no magum Sana naitwa renad thomas
Mwalimu nashukuru kwa mafundisho yako naposikia mafundisho yako nafarijika Sana ubarikiwe
Ubarikiwe baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Hallelujah hallelujah hallelujah Asante Yesu coz ni somo nililokuwa narihitaji sna
Mungu akubariki sana kwa somo hili limenifungua sehemu kubwa sana🙏🙏🙏
Amenii
Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa hakika. Mwalimu MUNGU wa Mbinguni akubariki sana
Mungu huweka nadhiri za wateule wake toka tumboni mwa mama zao.
Amen
Mzee Mungu akubariki wewe ni mwalimu kabisa ubarikiwe
Am blessed much Barikiwa teacher wangu
Mungu afanye uwe mwalimu wangu na mungu akuongeze miaka zaid
Amen
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana, haya mahubiri yananigusa na kunijenga na kunibariki pia " mwanamke tunaye muona kwa macho ni tofauti na yule aliyeumbwa na Mungu"
Ubarikiwe sana, fundisho nzuri sana
Ee MUNGU wangu nakuomba unibari mimi na uzao wangu amen
Asante sana mtumishi Mungu azidi kukubali san
Muñgù aķuĺiñde
Amen
Live long Mwl Christopher Mwakasege.
Ukisikiliza hili somo vzr ndo utaelewa kwann wanasema kufanikiwa kwa mwanaume kuna mwanamke nya yake, na kinyume chake pia!
Wanawake tujitambue
Mimi ninamchumba tayari hata ivyo namuomba sana MUNGU anisaidie niweze kuwa nae kama ni kweli ni sahihi kwangu na ni mpango wa MUNGU...
Asante Mwl mwakasege
Amen
Kwakweli umeliongeza ujuzi katika hihi somo, Mwenyezi mungu atubariki pamojo naweye, Donatien DRC goma.
Amen
Asante Mtumishi 👏👏👏
Naomba Mungu anijaalie mwanaume niliyempata tuweze kufikia lengo letu la kufunga ndoa ...na Mungu azidi kuzidishia baraka katika familia yetu tumjuwe zaidi🙏🙏🙏🙏
Barikiwa sana baba
Ee mungu naomba utusaide tujue uumbaji wako na kusudi kwa wanawake na wanaume ili tusikinzane bali tuishi katika umoja kama kristo alivyo kusudia . Amen❤
Amen
Ameeen
Nimebarikiwa sanah
Mungu alikuwa anasema na Adamu na shetani alikuwa anasema na mwanamke. Hivyo kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani.
Mungu aendelee kuwa nanyi ee watumishi wake!♥️
Asante mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu
Ubarikiwe Mwalimu Mwakasege,, Hakika kila atakayesikia. Somo hili kuna vitu atajifunza. Mungu akupe Maisha marefu ili umtumikie zaidi na zaid
Amen Amen Amen
Amina Amina 🙏
Amen
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunakupenda sana maana umefanyika baraka kwetu Mungu akubariki pia akupe maisha marefu Baba hekima yako ni kubwa mno ili somo limenibariki sana
Ee Mungu ninakushukuru kwa ajili mtumishi wako naomba unipe neema ya kusikiliza na kuyafanyia kazi mafundisho yako kupitia mwalimu
UBARIKIWE MTUMISHI.
Eeeeh Bwana nakuomba unikumbuke kila hitaji la moyo wangu kwako
Asante sana MWALIMU kwa mafundisho Haya MUNGU anisaidie kuyaishi mafundisho Haya IN JESUS NAME (Zaburi 32:8, Isaya 55:6-11)
Nabarikiwa sana na mafunzo yako mwalimu. Mungu wa mbiguni azidi kukutunza.
ASANTE KWA SOMO NZURI..LINANISUKUMA TENA KUWAFUNZA WANAWAKE KWAMBA WANA JUKUMU KUBWA. KUMBE TUMBO ZA WAKE NI AJABU SANA. INACHUKUA AINA 'A AINA YA WATU. AAA UFUNUO MUKUBWA SANA. MUNGU AKUBARIKI TENA SANA BABA MUTUMISHI
Kupitia mtumishi wa mungu tumbo langu likawe la watoto wenye baraka
Ameen 🙏
Hallelujah 🧎♀️🙌🙌
Be blessed more Man of GOD .
Amen
God Bless You Pastor👏🏾
⁰
@@colinehelmas6210 r ww
@@agnesuwarugira4746 111
Nakufuata MUCHUNGAJI
Baba,, hakika UMENENA ...naomba uniweke katika maomb yako kama mwanao
Amina mtumishi Mungu ,na Mungu was mbinguni azidi kukutunza ila aebdelee kukutumia amina
Amen
Asante
nasikiliza
Amen mtumishi wa Bwana Mungu aendelee kukutumia kulisha kondoo zake
Ni masomo ya kujenga sana. Mungu azidi kukibariki kipawa chake ndani yako Mwalimu.
Amen
Amen
Shukrani kwa mafundisho mimi nipo. Congo Mungu. Akubriki
Naomba Mungu anipe mume bora atakaye dumisha amani katika familia yetu
Amina Amina baba Mungu anisaidie nijijue mimi kama mwanamke ni nani na nibebe uhalisia wangu wa mwanamkee nisimame na familia yangu atakayonipa Mw Mungu kama mwanamke.
Ameen
🙏🙏🙏
Asante sana mwalimu , nimeelewa hili fundisho kuhusu Mwanamke
Asante mwl kwa somo zuri naomba mungu anipe mme mwema
Ameen
Asante yesu ninaamini utaniponya Mimi pamoja na Uzao. Wangu
Mungu naomba unijaliye kujuwa nilivyo na kutambua neno na kunipatie mume mwema mwenye kumjuwa mungu ilituliee watt wetu hekima Amen
Roho Mtakatifu azidi kukutumia