CHE CHE ZA MCH HANANJA KWA WACHUNGAJI WANAO GAWA PESA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 123

  • @vero57
    @vero57 ปีที่แล้ว +10

    Huyu mchungaji anasema kweli kabisa baba, 👏👏👍

  • @JaphetPeter-sc3pe
    @JaphetPeter-sc3pe ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubariki Baba HANANJA

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 ปีที่แล้ว +3

    Msema ukweli bb Hananja Mungu skuweke

  • @mwanatalenttv
    @mwanatalenttv ปีที่แล้ว +12

    Sikupingi na nakufaitilia sana Mr mkweli

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 ปีที่แล้ว +7

    Mchungaji unagusa sana moyo ya watu

  • @mako331
    @mako331 ปีที่แล้ว +3

    Yani kama tungemuulewa huyu Mzee, upuzi mwingi uliopo makanisani ungeisha

  • @muyajuma6278
    @muyajuma6278 ปีที่แล้ว +3

    Nakukubali sana mchunguji😂😂

  • @solutionprovider7155
    @solutionprovider7155 ปีที่แล้ว +17

    Mzee komando wa mawazo ya Yesu Kristo, ubarikiwe sana

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 ปีที่แล้ว +4

    Mtume Paulo aliomba washirika wa mwombee ili apewe usemi.Hukumu imeweka tayari kwa wenye mizaha.Mizaha imezidi

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 ปีที่แล้ว +9

    Ni kweli anawapa watu maarufu na kuna watu hawana hata kitu hawapewi .Nilichojifunza Geor davie anatoa kwa kujionyesha.Kuna watu nawafahamu wametuma maombi ya kuomba msaada ili walipe madeni na kupata mtaji lakini hajawawapa kitu.Kinachotia uchungu mtu anapigiwa simu kutoka ofisi ya Geordavi anaambiwa njoo uchukue majibu ya maombi yako ya msaada ulioomba,Mtu anakopa nauli anajua anakwenda kupokea fedha anapewa barua imewekwa kwenye bahasha ndani unaambiwa samahani sasa hivi tuko kwenye ujenzi misaada imesitishwa!

    • @michaelbengesi9838
      @michaelbengesi9838 ปีที่แล้ว

      Nabii la uwongo hilo

    • @honorascusmatembe2987
      @honorascusmatembe2987 ปีที่แล้ว +1

      Tafuta hela acha kua omba omba munapenda sana vya bure

    • @kassimrajabu56
      @kassimrajabu56 ปีที่แล้ว

      @@michaelbengesi9838 hahahahaahhaha😂😂😂

    • @exsaverymogela6671
      @exsaverymogela6671 11 หลายเดือนก่อน

      Tafuta pesa punguza maneno Kila mutu na wito wake

    • @JANECKYPOINT
      @JANECKYPOINT 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 ปีที่แล้ว +1

    Wale mlikuwa mnamuandama mtangazaji wetu eti habadirishi nguo mko wapi mumpe maua yake amedamshi Sana Sikuhizi 👏👏

    • @kiulajoseph9194
      @kiulajoseph9194 ปีที่แล้ว

      Hahhahja😄😄😄 nguo Tena alikuwa habadili Eti eee😄😄😄

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 ปีที่แล้ว +8

    Hawapi wanyonge kanisani kwake anawapa Hata wasio na shida anakusanya pesa za waumini anawapa MATAJIRI

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว +3

      Sio za sadaka zile ni pesa za haramu hawa kutwaa wako marekani huko wanajambo wanafanya wanapewa hizo pesa naamini ni za kufadhili ushoga wanatumiliwa sana hawa akuu Wa makanisa kutwaa wako marekani kutwa wakirudi wanamapesa kwa mapolo

    • @angeldejoice3202
      @angeldejoice3202 ปีที่แล้ว

      We u shawahi kupewa?

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 ปีที่แล้ว +1

      @@angeldejoice3202 za nini miye bora kulala njaa hakuna sadaka umaskini huu kwa kila wiki amiliki mapesa kama vile nani asiyejua kama makanisa yanafadhiliwa na wamarekani na hao viongozi ndo wanaotumika na kulipwa sasa kuweni makini na zawadi wanazozileta makanisani

  • @jacklineyaa717
    @jacklineyaa717 ปีที่แล้ว +3

    😂😂😂😂kingereza kidogo,infact na off course

  • @elishaskazoza8268
    @elishaskazoza8268 ปีที่แล้ว

    Mchungaji nakufatilia sana,ila hi ndo comment yangu ya Kwanza,sio Siri wachungaji wote na hao wanaojiita manabii na mitume wanafaa wajifunze kwako natamani siku moja nikuone mchungaji,ubarikiwe sana

  • @NelsonNorman-hm9vi
    @NelsonNorman-hm9vi ปีที่แล้ว +5

    Amani ya Mungu iwe juu yetu

  • @salimakida95
    @salimakida95 10 หลายเดือนก่อน

    Tumekuelewa vizuri mchungaji ,lakini manyumbu hayaelewi..unauziwa apple la upako

  • @ntirampebaloys8949
    @ntirampebaloys8949 ปีที่แล้ว

    Yani unachekesha mda mwingine baba Mungu akubaliki unaongea ukweli tupu.

  • @RichardStephen-xc7yc
    @RichardStephen-xc7yc ปีที่แล้ว +1

    Anawapa matajiri maskini anawakwapua pesa zao.hakuna kitu hapo

  • @josephsilupya6013
    @josephsilupya6013 ปีที่แล้ว

    M JAMBO MZEE MTUMISHI NIKUSHAURI TU UWEMAKINI SANA NA HAO WATANGAZAJI NA KUJIHEPUSHA SANA NA MASWALA LA KUWAONGELEYA WATUMISHI WENGINE USIJE KUCHAFUKA BURE

  • @anjelamdelwa7642
    @anjelamdelwa7642 2 หลายเดือนก่อน

    Nimekufuatiya san bab wanadam wa leo tunapend san miujiza kuliko kusoma neno la mung tueleweshe bab tupone ukitak kumuona mchungaji utoe pesa je yesu alikuw anaonewa kwa pesa

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 ปีที่แล้ว

    Jamani na wewe si ugawe da au una Unionen Ainu nenda kwa Baba Arusha Atakusaidia acheni wivu kwa mtu yeyete sio wanaojulikNa wewe dada acha unafiki

  • @JamesSteven-vd7vw
    @JamesSteven-vd7vw ปีที่แล้ว

    nilikuwa simuelewi huyu mchungaji mwanzoni ila mbona kama vile anaongea point joo devi anawapa pesa watu maarufu maarufu tu au mtu kumsifia tu anatoa wakati hapo kanisani kuna watu wamekuja kumtumikia mungu kile hawana pakula mchana duh kweli

  • @happybayona-mi6bq
    @happybayona-mi6bq ปีที่แล้ว +1

    Bora wakuite,mvuta,bangi,ila unaongea kweli

  • @glorytogod2806
    @glorytogod2806 ปีที่แล้ว +2

    Yetu macho, asante mzee hananja

  • @rogersiddy
    @rogersiddy ปีที่แล้ว +1

    Yaan km ulikuwa na mawazoni mwangu huyu anaejiita NABII JOE DAVID anawatafuta watu maarufu ili wakamtangaze si kingine

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 ปีที่แล้ว

    Mimi kanigaia millio20.000

  • @NelsonNorman-hm9vi
    @NelsonNorman-hm9vi ปีที่แล้ว +2

    Ni wachache wataweza kuelewa ila wengi wao watakuona umechanganyikiwa au kama unavyo sema ni bang

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 ปีที่แล้ว +3

    Unafurahisha saana mzee na hizo of cause zako!🤣🤣🤣🤣

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndio watu mnafaa kuwafanyia interview kila kukicha. Uyo anaejiita nabii na mkali wenu walijuania wapi hadi kufikia kupeana magari. Nyie ebu fungue macho

  • @simonlomayani5743
    @simonlomayani5743 ปีที่แล้ว +3

    Hananja ako sawa kabisa

  • @bashirukajembe4165
    @bashirukajembe4165 ปีที่แล้ว +1

    Mm nimuislamu lakuni huyu mzee ufalme wa MUNGU atauwona kulingana naukwli wake ulio toka moyoni baba ww siomiongoni mwawa nafiki kabisa

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 ปีที่แล้ว +18

    Huyu mzee wetu yupo makini sana,was good if you can become Muslim,you are confident as Muslim,MashaAllah.

    • @daudimichael7338
      @daudimichael7338 ปีที่แล้ว +4

      Hicho kichwa kweli kweli, kinajua Uislam ni dini ya Muhammad, wala siyo ya Mungu, vinginevyo angeshasilimu siku nyingi

    • @sellyraps2057
      @sellyraps2057 ปีที่แล้ว +4

      Nyinyi waislamu mnafikiria nyinyi ndio mnajua dini. Nimeishi na waislamu matendo yao hayalingani na vile wanaomba. Kumbuka imani yako na matendo ndiyo inakupeleka dmbinguni sio kanisa.

    • @zubedarichard2311
      @zubedarichard2311 ปีที่แล้ว

      @@daudimichael7338 Nyie mm ni muislamu ila sjajua kuwa mm muislam ni dini ya mtume😂🤸🙌

    • @lusekelokatoto1432
      @lusekelokatoto1432 ปีที่แล้ว

      Wewe Malaika Israeli!!!!Unaua

    • @davidmnyela2459
      @davidmnyela2459 ปีที่แล้ว

      Kama wewe ni muislamu tambua una tiketi ya kuingia kuzimu na upo katika hasara kubwa
      Quraan 19:71
      71. Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia(kuzimu). Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 71
      Sababu waislamu mmemkataa Yesu.
      lakini ukiwa Kwa Yesu ni faida kubwa
      1 Yohana 5:5
      5 Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu?
      Galatia 3:29
      Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 ปีที่แล้ว +2

    Msaada uanzie ndani ni kweli kabisa

  • @aligomatumla2930
    @aligomatumla2930 ปีที่แล้ว

    USHINDI💪 mshua

  • @marianajoseph1892
    @marianajoseph1892 ปีที่แล้ว

    Heri kutoa kuliko kupokea.

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 ปีที่แล้ว +2

    Siku moja manzige na hananja wakutane

  • @leonardmakwela3407
    @leonardmakwela3407 ปีที่แล้ว +1

    Ukweli utabaki kuwa ukweli tu !
    Huyu mchungaji ni wa matengenezo ya kanisa !
    ( Reformation)!
    Sijui walichomfukuzia huyu ndugu kwa kweli

  • @allymwashambwa5920
    @allymwashambwa5920 ปีที่แล้ว +1

    This man is good

  • @stellah3844
    @stellah3844 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mchungaji angepewa kipindi cha radio anafaa sana

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 ปีที่แล้ว

    Bible inajieleza wazi every body can read hakuna kificho cha lugha wala nini mpaka bible ya kinyakyusa ipo neno la Mungu halifichwi na Lugha!
    neno lingefichwa nani angesimama na kuelezea wakati haelewi lugha?? lazima kuwa mpole upokee tu kinachoongelewa
    kila kitu kizuri lazima kiwe na challenge kwa sababu kiko wazi!
    kila goti litapigwa nakukiri kuwa YESU ni Bwana💪💪

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 ปีที่แล้ว

    Halima Tambwe muslim are the once who always looking for Miracles utawakuta kwa mwamposa mara kwa kuhani musa mara kwa Geo dave they are not confident at all!!

  • @donatienkamate1370
    @donatienkamate1370 ปีที่แล้ว +2

    Huyu Nabii wenu mkuu anatafuta kiki mitandaoni siya kwa mungu

  • @floramongi1410
    @floramongi1410 ปีที่แล้ว +1

    Yaani mchungaji hananja nimecheka mpaka basi

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 ปีที่แล้ว +2

    Makekwanzanchekeeeeeeee

  • @mkanotimmass4691
    @mkanotimmass4691 ปีที่แล้ว

    Blessed mchungaji familia zimefarakana kutikana na hawa wachungaji wanaoibuka kila kukicha ,watoto wametengana na wazazi kisa imani zisizorasmi,baba tunaamini siku moja watu watafunguka akili,na hayo maono yamekua ni mitaji katika kutisha familia za watu na kujinufaisha watu..Tunaomba Mungu aendelee kukulinda ili kuendelea kifungua vichwa watu.

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 ปีที่แล้ว +2

    Amen

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 ปีที่แล้ว

    Wewe Gali umepokea. Ila. Kama. Una. Pinga Tena. Watu kama. Ww waspew

  • @ibrahimurichard377
    @ibrahimurichard377 ปีที่แล้ว

    mtangazaji unasema anahubiri Arusha kama sikosei yaani hujui hata mtu unaemfanya topic kwa undani,ivi nyie huu uandishi wa habari mnajifunzia waoi,au mkishajua kushika mic mnajiona mshakuwa waandishi wa habari

  • @geofreymkwelele3588
    @geofreymkwelele3588 ปีที่แล้ว +1

    Bibilia imekaa nyumbani kwake

  • @elihaikamrema1693
    @elihaikamrema1693 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki
    Tufundishe ili watu wa Mungu wapone

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 ปีที่แล้ว

    Wengine wanaambiwa ujenzi unaendelea misaada imesitishwa kesho unasikia mtu kapewa gari,milioni 5,bajaji nk, ndo najifunza anapenda kusifiwa!

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi ปีที่แล้ว

    😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂kamanda msela huyu!!!!

  • @furahinielisonguomrema4009
    @furahinielisonguomrema4009 ปีที่แล้ว

    Hao Wana maombi sikuizi ndio wamekuwa wanasalimiana wenyew kwenye kanisa kwao ukikutana nao utasikia bwana yesu asifiwe mama flani wewe unaacha hapo utasikia habari

  • @obadiajumamkaria2568
    @obadiajumamkaria2568 ปีที่แล้ว +2

    Mchungaji wewe una mawazo yakipekee ubarikiwe

  • @dantluway1040
    @dantluway1040 11 หลายเดือนก่อน

    😄😄😄😄

  • @Enemyofallah-y4u
    @Enemyofallah-y4u ปีที่แล้ว +1

    Amen maubiri ya kweli

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono ปีที่แล้ว

    Mchungaji Hananja apewe ulinzi KWA hili

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono ปีที่แล้ว

    Mzee upewe ulinzi

  • @euphrasiantawatawa1510
    @euphrasiantawatawa1510 ปีที่แล้ว

    We'll said mchungaji Hananja,makanisa mengi sasa hivi yameingiliwa na misingi ya kidunia

  • @godwingodwin2564
    @godwingodwin2564 ปีที่แล้ว

    Karibu sana BCIC MBEZI BEACH JOGOO

  • @amashamahenge3308
    @amashamahenge3308 ปีที่แล้ว

    Lakn bola anaetoa kuliko anaejilimbikiza

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 ปีที่แล้ว

    HAHAHAHA hatalisana huondoukweli

  • @theophilwhiteheart1997
    @theophilwhiteheart1997 ปีที่แล้ว +1

    Fact baba😇🤗

  • @bajakisonzo4935
    @bajakisonzo4935 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂😂😂❤❤

  • @achirafisaid4322
    @achirafisaid4322 ปีที่แล้ว +1

    Lay nakutafuta sijuwi namna yakukupata

    • @macknonkibona2401
      @macknonkibona2401 ปีที่แล้ว

      Kaka huyu hana kanisa na ni atuliii sehemu moja.
      Wengi anatugusa sana.

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 ปีที่แล้ว

    Rurururu kama fisi nimecheka kwa sauti 😆😆😆😆

  • @Makakulaya
    @Makakulaya ปีที่แล้ว +1

    Nabii muchawi wahovyo

  • @saimonisichimata8559
    @saimonisichimata8559 ปีที่แล้ว

    Kkk za kiroho🤣🤣🤣🤣😃

  • @JoelMutiembingi-eu1ke
    @JoelMutiembingi-eu1ke ปีที่แล้ว

    Ukweli usiogope kabisa mwana wa MUNGU sema

  • @aminafideli8132
    @aminafideli8132 ปีที่แล้ว

    Amina baba yangu mungo akulinde

  • @cafejohn3582
    @cafejohn3582 ปีที่แล้ว

    Jamani huyu mzee kipoko😂😂😂😂😂

  • @josephatlaurent-sz9pf
    @josephatlaurent-sz9pf ปีที่แล้ว

    .mambo mengine si za kawaida pastor Hananja

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว

    Anampatia Shusho 😢milionni kumi😢😢

  • @frankmombo7535
    @frankmombo7535 ปีที่แล้ว

    Hahaha dah! Mchungaji we kiboko kwel

  • @omendavicent7731
    @omendavicent7731 ปีที่แล้ว

    Pastor you're quite right

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 ปีที่แล้ว

    Asante baba

  • @Thebeast_tz
    @Thebeast_tz ปีที่แล้ว

    😆😆😆😆

  • @respiciusmushobozi4767
    @respiciusmushobozi4767 ปีที่แล้ว

    ✋✋✋✋✋✋✋🖖🖖🖖🖖🖖🖖

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 ปีที่แล้ว

    Jesus was servant

  • @yeslord2276
    @yeslord2276 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 ปีที่แล้ว

    Very well

  • @furryinjasuper2242
    @furryinjasuper2242 ปีที่แล้ว

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @danielnangonga4256
    @danielnangonga4256 ปีที่แล้ว

    Geordavie akasome mathayo 6😂

  • @samwesupa6906
    @samwesupa6906 ปีที่แล้ว

    😅😅😅😅😅

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 ปีที่แล้ว

    😂😂😂

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 ปีที่แล้ว

    Baba GeorDavie anajulikana All ofThe Worl (Dunia nzima yaani)

  • @evelema6146
    @evelema6146 ปีที่แล้ว

    Hakuna dini ya kweli hata moja. wote tumedanganywa na wazungu.dini ni biashara ya mtu binafsi Mungu hahusiki hapo .kristo wa kweli ni mweusi na Hana uhusiano wowote na Yesu .watu weusi ndio Wana halisi wa Israeli.( Taifa halisi teule la Mungu)biblia imechakachuliwa kwa mujibu wa Yeremia 8:8. kwa haya na mengine mengi mfuatilie Imani mcimbwa TH-cam utaijua kweli yote iliyofichwa na wazungu

  • @seifchui4246
    @seifchui4246 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akuweke uzidi kuwaelimisha

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 ปีที่แล้ว

    Huyo ni pedezee cyo nabii ni tapel

    • @imanipetro3658
      @imanipetro3658 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki Mzee wetu

    • @nicholauskilosa5336
      @nicholauskilosa5336 ปีที่แล้ว

      @@imanipetro3658 nabii wamchongo,Yeye na zumaridi ni kitu kimoja

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw ปีที่แล้ว

      ​@@nicholauskilosa5336 zumaridiiiiiii Nicolaus anakusema hukuuuuuuuuuuuuuu😂