Ni kweli anawapa watu maarufu na kuna watu hawana hata kitu hawapewi .Nilichojifunza Geor davie anatoa kwa kujionyesha.Kuna watu nawafahamu wametuma maombi ya kuomba msaada ili walipe madeni na kupata mtaji lakini hajawawapa kitu.Kinachotia uchungu mtu anapigiwa simu kutoka ofisi ya Geordavi anaambiwa njoo uchukue majibu ya maombi yako ya msaada ulioomba,Mtu anakopa nauli anajua anakwenda kupokea fedha anapewa barua imewekwa kwenye bahasha ndani unaambiwa samahani sasa hivi tuko kwenye ujenzi misaada imesitishwa!
Sio za sadaka zile ni pesa za haramu hawa kutwaa wako marekani huko wanajambo wanafanya wanapewa hizo pesa naamini ni za kufadhili ushoga wanatumiliwa sana hawa akuu Wa makanisa kutwaa wako marekani kutwa wakirudi wanamapesa kwa mapolo
@@angeldejoice3202 za nini miye bora kulala njaa hakuna sadaka umaskini huu kwa kila wiki amiliki mapesa kama vile nani asiyejua kama makanisa yanafadhiliwa na wamarekani na hao viongozi ndo wanaotumika na kulipwa sasa kuweni makini na zawadi wanazozileta makanisani
Mchungaji nakufatilia sana,ila hi ndo comment yangu ya Kwanza,sio Siri wachungaji wote na hao wanaojiita manabii na mitume wanafaa wajifunze kwako natamani siku moja nikuone mchungaji,ubarikiwe sana
M JAMBO MZEE MTUMISHI NIKUSHAURI TU UWEMAKINI SANA NA HAO WATANGAZAJI NA KUJIHEPUSHA SANA NA MASWALA LA KUWAONGELEYA WATUMISHI WENGINE USIJE KUCHAFUKA BURE
Nimekufuatiya san bab wanadam wa leo tunapend san miujiza kuliko kusoma neno la mung tueleweshe bab tupone ukitak kumuona mchungaji utoe pesa je yesu alikuw anaonewa kwa pesa
nilikuwa simuelewi huyu mchungaji mwanzoni ila mbona kama vile anaongea point joo devi anawapa pesa watu maarufu maarufu tu au mtu kumsifia tu anatoa wakati hapo kanisani kuna watu wamekuja kumtumikia mungu kile hawana pakula mchana duh kweli
Hawa ndio watu mnafaa kuwafanyia interview kila kukicha. Uyo anaejiita nabii na mkali wenu walijuania wapi hadi kufikia kupeana magari. Nyie ebu fungue macho
Nyinyi waislamu mnafikiria nyinyi ndio mnajua dini. Nimeishi na waislamu matendo yao hayalingani na vile wanaomba. Kumbuka imani yako na matendo ndiyo inakupeleka dmbinguni sio kanisa.
Kama wewe ni muislamu tambua una tiketi ya kuingia kuzimu na upo katika hasara kubwa Quraan 19:71 71. Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia(kuzimu). Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 71 Sababu waislamu mmemkataa Yesu. lakini ukiwa Kwa Yesu ni faida kubwa 1 Yohana 5:5 5 Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu? Galatia 3:29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Bible inajieleza wazi every body can read hakuna kificho cha lugha wala nini mpaka bible ya kinyakyusa ipo neno la Mungu halifichwi na Lugha! neno lingefichwa nani angesimama na kuelezea wakati haelewi lugha?? lazima kuwa mpole upokee tu kinachoongelewa kila kitu kizuri lazima kiwe na challenge kwa sababu kiko wazi! kila goti litapigwa nakukiri kuwa YESU ni Bwana💪💪
Halima Tambwe muslim are the once who always looking for Miracles utawakuta kwa mwamposa mara kwa kuhani musa mara kwa Geo dave they are not confident at all!!
Blessed mchungaji familia zimefarakana kutikana na hawa wachungaji wanaoibuka kila kukicha ,watoto wametengana na wazazi kisa imani zisizorasmi,baba tunaamini siku moja watu watafunguka akili,na hayo maono yamekua ni mitaji katika kutisha familia za watu na kujinufaisha watu..Tunaomba Mungu aendelee kukulinda ili kuendelea kifungua vichwa watu.
mtangazaji unasema anahubiri Arusha kama sikosei yaani hujui hata mtu unaemfanya topic kwa undani,ivi nyie huu uandishi wa habari mnajifunzia waoi,au mkishajua kushika mic mnajiona mshakuwa waandishi wa habari
Hao Wana maombi sikuizi ndio wamekuwa wanasalimiana wenyew kwenye kanisa kwao ukikutana nao utasikia bwana yesu asifiwe mama flani wewe unaacha hapo utasikia habari
Hakuna dini ya kweli hata moja. wote tumedanganywa na wazungu.dini ni biashara ya mtu binafsi Mungu hahusiki hapo .kristo wa kweli ni mweusi na Hana uhusiano wowote na Yesu .watu weusi ndio Wana halisi wa Israeli.( Taifa halisi teule la Mungu)biblia imechakachuliwa kwa mujibu wa Yeremia 8:8. kwa haya na mengine mengi mfuatilie Imani mcimbwa TH-cam utaijua kweli yote iliyofichwa na wazungu
Huyu mchungaji anasema kweli kabisa baba, 👏👏👍
Mungu akubariki Baba HANANJA
Msema ukweli bb Hananja Mungu skuweke
Sikupingi na nakufaitilia sana Mr mkweli
Mchungaji unagusa sana moyo ya watu
Yani kama tungemuulewa huyu Mzee, upuzi mwingi uliopo makanisani ungeisha
Nakukubali sana mchunguji😂😂
Mzee komando wa mawazo ya Yesu Kristo, ubarikiwe sana
Mtume Paulo aliomba washirika wa mwombee ili apewe usemi.Hukumu imeweka tayari kwa wenye mizaha.Mizaha imezidi
Ni kweli anawapa watu maarufu na kuna watu hawana hata kitu hawapewi .Nilichojifunza Geor davie anatoa kwa kujionyesha.Kuna watu nawafahamu wametuma maombi ya kuomba msaada ili walipe madeni na kupata mtaji lakini hajawawapa kitu.Kinachotia uchungu mtu anapigiwa simu kutoka ofisi ya Geordavi anaambiwa njoo uchukue majibu ya maombi yako ya msaada ulioomba,Mtu anakopa nauli anajua anakwenda kupokea fedha anapewa barua imewekwa kwenye bahasha ndani unaambiwa samahani sasa hivi tuko kwenye ujenzi misaada imesitishwa!
Nabii la uwongo hilo
Tafuta hela acha kua omba omba munapenda sana vya bure
@@michaelbengesi9838 hahahahaahhaha😂😂😂
Tafuta pesa punguza maneno Kila mutu na wito wake
😂😂😂
Wale mlikuwa mnamuandama mtangazaji wetu eti habadirishi nguo mko wapi mumpe maua yake amedamshi Sana Sikuhizi 👏👏
Hahhahja😄😄😄 nguo Tena alikuwa habadili Eti eee😄😄😄
Hawapi wanyonge kanisani kwake anawapa Hata wasio na shida anakusanya pesa za waumini anawapa MATAJIRI
Sio za sadaka zile ni pesa za haramu hawa kutwaa wako marekani huko wanajambo wanafanya wanapewa hizo pesa naamini ni za kufadhili ushoga wanatumiliwa sana hawa akuu Wa makanisa kutwaa wako marekani kutwa wakirudi wanamapesa kwa mapolo
We u shawahi kupewa?
@@angeldejoice3202 za nini miye bora kulala njaa hakuna sadaka umaskini huu kwa kila wiki amiliki mapesa kama vile nani asiyejua kama makanisa yanafadhiliwa na wamarekani na hao viongozi ndo wanaotumika na kulipwa sasa kuweni makini na zawadi wanazozileta makanisani
😂😂😂😂kingereza kidogo,infact na off course
Mchungaji nakufatilia sana,ila hi ndo comment yangu ya Kwanza,sio Siri wachungaji wote na hao wanaojiita manabii na mitume wanafaa wajifunze kwako natamani siku moja nikuone mchungaji,ubarikiwe sana
Amani ya Mungu iwe juu yetu
Tumekuelewa vizuri mchungaji ,lakini manyumbu hayaelewi..unauziwa apple la upako
Yani unachekesha mda mwingine baba Mungu akubaliki unaongea ukweli tupu.
Anawapa matajiri maskini anawakwapua pesa zao.hakuna kitu hapo
M JAMBO MZEE MTUMISHI NIKUSHAURI TU UWEMAKINI SANA NA HAO WATANGAZAJI NA KUJIHEPUSHA SANA NA MASWALA LA KUWAONGELEYA WATUMISHI WENGINE USIJE KUCHAFUKA BURE
Nimekufuatiya san bab wanadam wa leo tunapend san miujiza kuliko kusoma neno la mung tueleweshe bab tupone ukitak kumuona mchungaji utoe pesa je yesu alikuw anaonewa kwa pesa
Jamani na wewe si ugawe da au una Unionen Ainu nenda kwa Baba Arusha Atakusaidia acheni wivu kwa mtu yeyete sio wanaojulikNa wewe dada acha unafiki
nilikuwa simuelewi huyu mchungaji mwanzoni ila mbona kama vile anaongea point joo devi anawapa pesa watu maarufu maarufu tu au mtu kumsifia tu anatoa wakati hapo kanisani kuna watu wamekuja kumtumikia mungu kile hawana pakula mchana duh kweli
Bora wakuite,mvuta,bangi,ila unaongea kweli
Yetu macho, asante mzee hananja
Yaan km ulikuwa na mawazoni mwangu huyu anaejiita NABII JOE DAVID anawatafuta watu maarufu ili wakamtangaze si kingine
Mimi kanigaia millio20.000
Ni wachache wataweza kuelewa ila wengi wao watakuona umechanganyikiwa au kama unavyo sema ni bang
Ww ni mtumishi wa Yesu
Unafurahisha saana mzee na hizo of cause zako!🤣🤣🤣🤣
Hawa ndio watu mnafaa kuwafanyia interview kila kukicha. Uyo anaejiita nabii na mkali wenu walijuania wapi hadi kufikia kupeana magari. Nyie ebu fungue macho
Hananja ako sawa kabisa
Mm nimuislamu lakuni huyu mzee ufalme wa MUNGU atauwona kulingana naukwli wake ulio toka moyoni baba ww siomiongoni mwawa nafiki kabisa
Huyu mzee wetu yupo makini sana,was good if you can become Muslim,you are confident as Muslim,MashaAllah.
Hicho kichwa kweli kweli, kinajua Uislam ni dini ya Muhammad, wala siyo ya Mungu, vinginevyo angeshasilimu siku nyingi
Nyinyi waislamu mnafikiria nyinyi ndio mnajua dini. Nimeishi na waislamu matendo yao hayalingani na vile wanaomba. Kumbuka imani yako na matendo ndiyo inakupeleka dmbinguni sio kanisa.
@@daudimichael7338 Nyie mm ni muislamu ila sjajua kuwa mm muislam ni dini ya mtume😂🤸🙌
Wewe Malaika Israeli!!!!Unaua
Kama wewe ni muislamu tambua una tiketi ya kuingia kuzimu na upo katika hasara kubwa
Quraan 19:71
71. Wala hapana yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia(kuzimu). Hiyo ni hukumu ya Mola wako Mlezi ambayo lazima itimizwe. 71
Sababu waislamu mmemkataa Yesu.
lakini ukiwa Kwa Yesu ni faida kubwa
1 Yohana 5:5
5 Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu?
Galatia 3:29
Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Msaada uanzie ndani ni kweli kabisa
USHINDI💪 mshua
Heri kutoa kuliko kupokea.
Siku moja manzige na hananja wakutane
Ukweli utabaki kuwa ukweli tu !
Huyu mchungaji ni wa matengenezo ya kanisa !
( Reformation)!
Sijui walichomfukuzia huyu ndugu kwa kweli
Barikiwa
This man is good
Huyu mchungaji angepewa kipindi cha radio anafaa sana
Bible inajieleza wazi every body can read hakuna kificho cha lugha wala nini mpaka bible ya kinyakyusa ipo neno la Mungu halifichwi na Lugha!
neno lingefichwa nani angesimama na kuelezea wakati haelewi lugha?? lazima kuwa mpole upokee tu kinachoongelewa
kila kitu kizuri lazima kiwe na challenge kwa sababu kiko wazi!
kila goti litapigwa nakukiri kuwa YESU ni Bwana💪💪
Halima Tambwe muslim are the once who always looking for Miracles utawakuta kwa mwamposa mara kwa kuhani musa mara kwa Geo dave they are not confident at all!!
Huyu Nabii wenu mkuu anatafuta kiki mitandaoni siya kwa mungu
Fact
Yaani mchungaji hananja nimecheka mpaka basi
Makekwanzanchekeeeeeeee
Blessed mchungaji familia zimefarakana kutikana na hawa wachungaji wanaoibuka kila kukicha ,watoto wametengana na wazazi kisa imani zisizorasmi,baba tunaamini siku moja watu watafunguka akili,na hayo maono yamekua ni mitaji katika kutisha familia za watu na kujinufaisha watu..Tunaomba Mungu aendelee kukulinda ili kuendelea kifungua vichwa watu.
Amen
Wewe Gali umepokea. Ila. Kama. Una. Pinga Tena. Watu kama. Ww waspew
mtangazaji unasema anahubiri Arusha kama sikosei yaani hujui hata mtu unaemfanya topic kwa undani,ivi nyie huu uandishi wa habari mnajifunzia waoi,au mkishajua kushika mic mnajiona mshakuwa waandishi wa habari
Bibilia imekaa nyumbani kwake
Mungu akubariki
Tufundishe ili watu wa Mungu wapone
Wengine wanaambiwa ujenzi unaendelea misaada imesitishwa kesho unasikia mtu kapewa gari,milioni 5,bajaji nk, ndo najifunza anapenda kusifiwa!
😆😆😆😆😆😂😂😂😂😂😂kamanda msela huyu!!!!
Hao Wana maombi sikuizi ndio wamekuwa wanasalimiana wenyew kwenye kanisa kwao ukikutana nao utasikia bwana yesu asifiwe mama flani wewe unaacha hapo utasikia habari
Mchungaji wewe una mawazo yakipekee ubarikiwe
😄😄😄😄
Amen maubiri ya kweli
Mchungaji Hananja apewe ulinzi KWA hili
Mzee upewe ulinzi
We'll said mchungaji Hananja,makanisa mengi sasa hivi yameingiliwa na misingi ya kidunia
Karibu sana BCIC MBEZI BEACH JOGOO
Lakn bola anaetoa kuliko anaejilimbikiza
HAHAHAHA hatalisana huondoukweli
Fact baba😇🤗
😂😂😂😂😂😂❤❤
Lay nakutafuta sijuwi namna yakukupata
Kaka huyu hana kanisa na ni atuliii sehemu moja.
Wengi anatugusa sana.
Rurururu kama fisi nimecheka kwa sauti 😆😆😆😆
Nabii muchawi wahovyo
Kkk za kiroho🤣🤣🤣🤣😃
Ukweli usiogope kabisa mwana wa MUNGU sema
Amina baba yangu mungo akulinde
Jamani huyu mzee kipoko😂😂😂😂😂
.mambo mengine si za kawaida pastor Hananja
Anampatia Shusho 😢milionni kumi😢😢
Hahaha dah! Mchungaji we kiboko kwel
Pastor you're quite right
Asante baba
😆😆😆😆
✋✋✋✋✋✋✋🖖🖖🖖🖖🖖🖖
Jesus was servant
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Very well
🤣🤣🤣🤣🤣
Geordavie akasome mathayo 6😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂
Baba GeorDavie anajulikana All ofThe Worl (Dunia nzima yaani)
Hakuna dini ya kweli hata moja. wote tumedanganywa na wazungu.dini ni biashara ya mtu binafsi Mungu hahusiki hapo .kristo wa kweli ni mweusi na Hana uhusiano wowote na Yesu .watu weusi ndio Wana halisi wa Israeli.( Taifa halisi teule la Mungu)biblia imechakachuliwa kwa mujibu wa Yeremia 8:8. kwa haya na mengine mengi mfuatilie Imani mcimbwa TH-cam utaijua kweli yote iliyofichwa na wazungu
Mungu akuweke uzidi kuwaelimisha
Huyo ni pedezee cyo nabii ni tapel
Mungu akubariki Mzee wetu
@@imanipetro3658 nabii wamchongo,Yeye na zumaridi ni kitu kimoja
@@nicholauskilosa5336 zumaridiiiiiii Nicolaus anakusema hukuuuuuuuuuuuuuu😂