*Ukute toka naaza kuckiliza na Kuangalia hd Nimemaliza NALIA nimemkumbuka wangu mama toka ALIPO TULEA WATT WAKE hd Kufikia cku ya mwisho kuvuta PUMZ YAKE😭😭ALLAH MREHEMU MAMA YANGU NA MAMA WA WEZANGU🤲* Mashallah NASHEED NZURI❤️💯 *Allah awahidi washiriki wote awape SIHA WAHNAN🤲*
Kaka yng nimependa nasheed zako sana? Mashaallah allah akulipe kwa mafunzo yako manzur kwenye nasheed hii nakukubar sana kaka afaizu maisha marefu allah akubatik🥰🥰🙏💅🌹🌹❤❤
Axant kak afaaizu kwa huu waxia kwan umeniguxa xan hii nasheed ina nichm moyo kwakwel inaujumbe ulio kamilika nakuombea kwa allah akuzidixhe khery. Allahu umma amiin
MashaAllah nasheed nzr sn imebeba ujumbe mzuri sn ss wanafunzi wenzako watunguu tunakupa hongera sn kwa kaz yakuelimisha Jamii yaraab yaliza ukiona🥺🥺🤲🤲naam sahiih ujumbe 🙏alhamdulillah tunawapongeza walim wetu kutufunza dini yahaki na yakweli zingatia tuchukue elimu maneno swadact
Asalamuallekum inauzunusa😢😢😢 sana mungu alazeroho yake maalipema na waislamu wote waliyo tangulia mbele zahaki na ambao tupooduniani atupe mwisho mwema allahuma amin
INNALILLAHY wainna ilayhi raajiun..Allah akujalie kaburi lako kua miongon mwa mabustani ya peponi .😭😭😭...daima ulinipa nasaha na Allah ndo ametukadiria yote...baada ya kumaliza maongezi yetu ya simu na kuniombea dua nfanye vzur kweny university exam ...hukuumwa..mda mfupi nambiwa hupo tena duniani....😭😭😭..the hard time ever to observe...Allah mbora wetu
SUBHANALLAH WASIYA NI MZITO SANAA TUWASII WATOTO WETU MANENO MAZURI NA MALEZI BORA SWADAKTHA KWA MANENO MAZURI SWALA NI MUHIMU KWA MWANADAMU FIDUNIYA WALL AKHERA
*Ukute toka naaza kuckiliza na Kuangalia hd Nimemaliza NALIA nimemkumbuka wangu mama toka ALIPO TULEA WATT WAKE hd Kufikia cku ya mwisho kuvuta PUMZ YAKE😭😭ALLAH MREHEMU MAMA YANGU NA MAMA WA WEZANGU🤲*
Mashallah NASHEED NZURI❤️💯 *Allah awahidi washiriki wote awape SIHA WAHNAN🤲*
Kaka yng nimependa nasheed zako sana? Mashaallah allah akulipe kwa mafunzo yako manzur kwenye nasheed hii nakukubar sana kaka afaizu maisha marefu allah akubatik🥰🥰🙏💅🌹🌹❤❤
❤❤❤ nasheed n nzuri xn Ina mafundish mazuri mung akujaalie uish kweny nasheed
ma shaa allah zinavutia naam abdul 😇😇😇 💝💓💓🙏🙏🙏😭
masha allah 😇😇😇😭😭😭💖💖💘💋
Axant kak afaaizu kwa huu waxia kwan umeniguxa xan hii nasheed ina nichm moyo kwakwel inaujumbe ulio kamilika nakuombea kwa allah akuzidixhe khery. Allahu umma amiin
MashaAllah nasheed nzr sn imebeba ujumbe mzuri sn ss wanafunzi wenzako watunguu tunakupa hongera sn kwa kaz yakuelimisha Jamii yaraab yaliza ukiona🥺🥺🤲🤲naam sahiih ujumbe 🙏alhamdulillah tunawapongeza walim wetu kutufunza dini yahaki na yakweli zingatia tuchukue elimu maneno swadact
MashaAllah hongereni sana sana ALLAH atujaalie mwisho mwema Amiyn
Mashallah Baraka Allah 👏👏 Allah akubariki 🙏🙏
Asalamuallekum inauzunusa😢😢😢 sana mungu alazeroho yake maalipema na waislamu wote waliyo tangulia mbele zahaki na ambao tupooduniani atupe mwisho mwema allahuma amin
MashaAllah Iko.n Mafunzo mengi n mazr MashaAllah Tabaraka ALLAH ❤❤❤❤❤
Wosia mzur my bro Allah akujaalie🤲🤲 na akuongzee maan umnikumbush mbal can😭😭
INNALILLAHY wainna ilayhi raajiun..Allah akujalie kaburi lako kua miongon mwa mabustani ya peponi .😭😭😭...daima ulinipa nasaha na Allah ndo ametukadiria yote...baada ya kumaliza maongezi yetu ya simu na kuniombea dua nfanye vzur kweny university exam ...hukuumwa..mda mfupi nambiwa hupo tena duniani....😭😭😭..the hard time ever to observe...Allah mbora wetu
Kwani hii nashdi ilikuwa ya kwl? au huyu mkaka sas ni marehem?
Afaiz Allah akuweke uzidi kutukosoa na kutuburudisha
Yupo hai
hajafa uyu amejibu kulingana na hii vedio
pole
it good [I LOVE IT]
A,alaikum,😭😭😭😭😭😭😭😭😭ahsante sana kk Afaiz,in sha Allah,mungu atakulipa Kwa juhud zako,Amiin
Dhamira yako nimeipata kk,ahsante
Yani Kenya watusubiri tu maana sio kwa nasheed hizi nzuri
Allah atupe shifaa inshallah mung yupo nas
Alhamdulilah? Nmeipenda iy nasheed mwan wa molar
Asante. Nasheed ipo vizur.. Zaid nmependa mashair yamepangika. Vizur zaid.... Maashaallah.. ..schoki..kuisikiliza.
Mashallah
Mashallah Mashallah, unafanya Sana uzuri kwenye kazi zako
Tunaomb nashid uliopafom Jana kwny tamasha la salim
Allah aklipe mema n mtt wk allahumma jaalin husnul khatima
Maashallah afaaizu nasheed zako ni nzuri sana
Mashaallah fungu kubwa mutapat kwa allah .allah awalipe kheir pamoja na wazazi wenu
Wosia mzuri unachoma moyo kaka Ang💓💓💓💓💓
kweli kuwa na father raha sana ,ukikosa una unumia tena sana . mashaallah. inalilahi waina ilhi rajun😭😭😭
tulivu imetulia 🤗sante brother afaizu ni UJUMBE usio na shaka ndani yake 👌
Mashaa Allah tabaraka Allah Allah awazidishie mna nasheed znye mafunzo
😭😭😭😭 naipenda hiií inaujumbe mzur sana mashllh
Mashaallah ela inauma sana Allah atupe khatima njema amiin
Ahsante sana broo afaiz mungu akupe umri mref amii
MAASHA ALLAH: NASHED ZIMEPATA WATALAM: ZINAVUTIA,, HAZICHOSHI ATA KUZIRUDIA TENA NA TENA: ZENYE UJUMBE MZTO.
ALLAH AKULIPENI KWA KUFIKISHA.
Maash allah
@@Ashuumusa mashaallah kazi nzur na yeny mafunz mazur
Masha Allah Hafiz mungu akukuzie kipaji chako
MUNGU akuli pe
Daaaah! Jmny Allah akupe kila la kheri
Masha Allah Allah akuzidishie kheri ktk ujumbe wako amiin
Masha Allah ❤napenda sana na penda moungou
Mashallah kazi nzur kaka🙏 Allah akuongoze na akujaalie mafanikio mema ufike pale unapopahitaji katk kuelimisha umma wa kiisalami❤🙏
Mashallah kazi nzur Allah akubark kaka afaidh
Subhanallah Subhanallah ujumbe mzur...Allah akupe umr mrefu weny husn lkhatma kaka
Mimi sichoki kukuombea ALLAH akujazi kher. Hicho ni kisa kili nifika Mimi na mamangu alipo agaa duniani .
😭 hakika huu niusia mzitu unaliza mashallah Allah awalipe kwa ukumbusho mzuri
Masha Allah Allah akuongoze mwayaaaa❤❤
Mashaallah
Ujumbe mzuri😥
Congregation akhuy
Masha allah hakika ujumbe ni mzito na wenye maana kubwa sn
Allah akibar
157 2lee vyema watto we2 masha ALLAH affaizu luheta🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂😂😂
Mashaallah allah akufanyie wepesi inshaallah
Kaka unafanya vzuri sana allah akuzaidishie
❤❤❤ Napenda sana
Mashallah qaswida nzuri 😍😍😍😘😘
Waumini wa kislam tuchukue mazingatio kwakila hatua ni ujumbe mzuri sn mashaAllah
Ma Shaa Allah kaka afaaizu luheta Allah akujaalie mazuri in shaa Allah
🤲🤲🤲🤲🤲tuzidi kuomba msamaha kila kukicha
Maisha safar n njia 2naypita kilchop mbl anakijua allah pekee yarabi tupe mwisho mwema
Inalillahi wainailaihi rajuuni ewe Allah hakika wewe ndo mlipaji
SUBHANALLAH WASIYA NI MZITO SANAA TUWASII WATOTO WETU MANENO MAZURI NA MALEZI BORA SWADAKTHA KWA MANENO MAZURI SWALA NI MUHIMU KWA MWANADAMU FIDUNIYA WALL AKHERA
Dah kweli ipo vzr Sana
Mhhhhh. Isay... Takbiiir... Ni mawaidha.tosha. haya!!!
Allah akuzidishie kila la kheli
Il va au paradis ça fait pleurer à tout le monde,😇😇😇😇😇😇😇😭😭😭😭😭😭
😪 MashaAllah ❤ Ujumbe mzr san Hongera broo
MashaAllah kaka mungu aku weke wema
Mashallah Allah akujaze shifaa
Mashaala nasheed ipo vzr na inafunza jamii
Mashaallah. Ujumbe mzur
Ma Sha Allah akhy Allah akujalie wallahi
Mashaallah nzuri sanaaa inapendeza
I don't know what the impressing word that I could say to you brother Afaiz wah wah masha Allah
Jamn wag sichoki kukuskilz htkma nipo n hudhun nikiskia2 nasheed zko fulah hulejea ukwel Allah akulind uzid kutptia ujumbe
Mashaallah nimeipenda hii
Allah aitukuze media hii
Ma sha Allah ujumbe mzuri sana
Masha allah nzuli nimeipenda
Mashaaallah Mashaaallah Mungu awafanyie wepes ktk Iman yako
Mashaallah best all nasheed are better
Maashaallah, Allah akufishe mbali zaid ambako unataka ktk kufikia kheri
Allah akjaze kher kw Kaz nzur
Masha Allah mzee wa hatareeee
Mashaallah nasheed imetulia
Masha Allah❤
MASHA ALLAH....... wosia kama mzee Luqman ipo vyemaaa nasheed
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH
Umenikumbusha mbali aisee
Ujumbe umefika kaka Mashaa Allah
Eu amo mais este meu irmão.que ALLAH lhe dà facilidade de saber mais
Niseme tu masha Allah lkn iyo picha ilinitysha nikajuwa waumwa jamoni masha Allah kwawingi
Mashallah your are the greatest Allah akubariq 😍
Alf Mashallah alf mashallah hasbiyallah alf mashallah hasbiyallah alf mashallah hasbiyallah alf mashallah afaiz Allah akubarik
Masha Allah Allah atakulipen kwa juhudi zenu inshallah
Affaiz ❤🔥🔥🔥.....Masha Allah🔥❤🌹
This anasheed make me cry
Maasha Allah Nasheed nzuri
Mwenye group LA anashidi anitumielink
mashaallah Allah akujaalie kila la kher ujumbe mzuri
Mashaallah nasheed ina ujumbe mzito sana
Masha Allah
Fantastic
MashaAllah very emotional 🥺❤
Mashaallah Allah akuzidishie
Mungu akubariki
Mashaallah mashaallah good job💯
Mashaallah usia tosha,🥰
Your. The best
Nakupenda tena sanaaaaaa
mashaallah Allah nimsaidie
Mashallha I love it so much ❤💗💝💖🌹
Mashaallah
Wasia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭