NATHUBUTU KUSEMA NDIYO MAANA MUNGU ALITENDA MUUJIZA WA KUKUOKOA MAISHA YAKO KWANI SI RAHISI KUPONA KWA KUPIGWA RISASI 16 NA KUPOTEZA DAMU NYINGI HALAFU UKAPONA!!!
Raisi wa ajabu yuko nchi gani ? Lisu acha kupotosha watanzania harafu kwanini unawasifia viongozi walio maliza mda wao wakati wako madarakani bado uliwasema vibaya tukueleweje? Tuachie nchi yetu yenye amani
nafikiri huyu nitaahira kabisa hivi mamlaka hazipo zinamwacha antukanaamlaka tundu lissu Ni Mani katika nchi hii mpaka aachwa atukane anavyotaka kweli mwalimu angekuwepo huyu mpuuzi angeozea jela
Katunge Nyanda Hakuna Tusi hata moja hapo Ila Tundu Kakosoa tuu Ninyi huwa mnakurupuka na kumpeleka Tundu Lissu Mahakamani kwa kusema katukana Huwa hamtafakali alichoongea Ndio maana Kesi Zenu zote mnazomshitaki Tundu Lissu huwa mnashindwa TUNDU LISSU KASEMA RAIS ANATAKIWA KUPINGWA NA WOTE WENYE AKILI Ila mii naona watu kama ninyi mnaokurupuka bila kuchambua aongeacho MTU hamuwezi kupinga
Mjinga wewe. Kama kuandika tu kwa ufasaha ni shida kwako, utakuwa na akili na ufahamu wa kuelewa anachokisema Tundu Lissu kweli? Nenda darasani kwanza ukanifunze kuandika!
Tundu usifikiri utambabaisha Rais John Pombe Magufuli. Tumepewa na Mungu atalindwa na Mungu, ataongozwa na Mungu hivyo fanya ufanyavyo watanzania tutamuunga mkono na malengo ya kutimiza utekelezaji wa ilani hauzuiliki. Mambo sawa sawa , Mungu akiwa enzini Mambo Ni sawa, sawa!!!
MII NAPENDEKEZA WATANZANIA TUSIKURUPUKE TUWE TUNATAFAKARI MAMBO HUKU KUKURUPUKA KWA AJILI YA UPENZI WA CHAMA FULANI KUTAJASABABISHA TAIFA LETU KWENDA MRAMA IPO SIKU TUU
Asante kaka lisu uko vzr sana
sanaaaaa lissu tumekumiss
vizuri sana
NATHUBUTU KUSEMA NDIYO MAANA MUNGU ALITENDA MUUJIZA WA KUKUOKOA MAISHA YAKO KWANI SI RAHISI KUPONA KWA KUPIGWA RISASI 16 NA KUPOTEZA DAMU NYINGI HALAFU UKAPONA!!!
"Genius"
Wee Tundu Lisu ndiyo wa ajabu
Kweri kabisa kamanda
👊✌️👍.
Asnt lisu kusema ukweli ni Leo taifa inaangamia wanauza bandari tulia anasema mkataba unawapa nafas hyo
We we achana na magu ule ulikuwa mwamba yule huwezi kumfikia
Aachane nae vipi na wakati hii clip ni ya miaka ile, Hamnazo kweli
Umeona mbali,umeenda mbali hadi kumsema kiongozi wa nchi, Tutajifunza mengi mikataba.
Hatuna njaa sis kwaiyo si ukalime unataka rais afanyaje au yeye ni mungu piga kazi achana na ujinga wako
Wewe ndo kunguni,,kama upo bado
uliona mbali nduguyangu 😄
Mdomo uliponza kichwa
Huyu ni kiigwa chetu vijana
Magufuli ni chaguo la Mungu Baba Mwenye Enzi
Mungu yupi huyo wa kuzimu?
Kumbe
Labda Mungu wa ukokwenu fsm
Eti ee!?
Unatumia mavi kufikiria wewe.
Do mis sana lisu
uko vzr sana lisu
kumbe mtakatifu basi wewe mbunge waajabu
Mkuu nimekusoma
Raisi wa ajabu yuko nchi gani ? Lisu acha kupotosha watanzania harafu kwanini unawasifia viongozi walio maliza mda wao wakati wako madarakani bado uliwasema vibaya tukueleweje? Tuachie nchi yetu yenye amani
Hii ndo ujue huyu jamaa hafai utawala wa magufuli nani kafa njaa
Huna kumbu kumbu, imeshapita mda mrefu ukanda wa baadhi ya sehemu fulani
Hapa kazi tu asiyefanya kazi asile
Wewe,lisu,huna,lolote,magufuli,alikuwa,mwamba
nafikiri were Ni mwehu haijawahi kutokea
nafikiri huyu nitaahira kabisa hivi mamlaka hazipo zinamwacha antukanaamlaka tundu lissu Ni Mani katika nchi hii mpaka aachwa atukane anavyotaka kweli mwalimu angekuwepo huyu mpuuzi angeozea jela
Katunge Nyanda Hakuna Tusi hata moja hapo Ila Tundu Kakosoa tuu Ninyi huwa mnakurupuka na kumpeleka Tundu Lissu Mahakamani kwa kusema katukana Huwa hamtafakali alichoongea Ndio maana Kesi Zenu zote mnazomshitaki Tundu Lissu huwa mnashindwa TUNDU LISSU KASEMA RAIS ANATAKIWA KUPINGWA NA WOTE WENYE AKILI Ila mii naona watu kama ninyi mnaokurupuka bila kuchambua aongeacho MTU hamuwezi kupinga
Katunge Nyanda We ndiyo taahira
We ni miongonu mwa walewale
Katunge Nyanda acha ushenz upumbavu kwa kakosea wapi
Mjinga wewe. Kama kuandika tu kwa ufasaha ni shida kwako, utakuwa na akili na ufahamu wa kuelewa anachokisema Tundu Lissu kweli? Nenda darasani kwanza ukanifunze kuandika!
Tundu usifikiri utambabaisha Rais John Pombe Magufuli. Tumepewa na Mungu atalindwa na Mungu, ataongozwa na Mungu hivyo fanya ufanyavyo watanzania tutamuunga mkono na malengo ya kutimiza utekelezaji wa ilani hauzuiliki. Mambo sawa sawa , Mungu akiwa enzini Mambo Ni sawa, sawa!!!
Mungu yupi huyo alietuletea raisi wa ajabu
@@bahatikashinje5557 una akili wee ivi uyo lisu unamuona yuko sawa kichan mwak taira uyo
Yako wapi Mungu kawaumbua Lissu Ni mboni ya jicho laMungu
MII NAPENDEKEZA WATANZANIA TUSIKURUPUKE TUWE TUNATAFAKARI MAMBO HUKU KUKURUPUKA KWA AJILI YA UPENZI WA CHAMA FULANI KUTAJASABABISHA TAIFA LETU KWENDA MRAMA IPO SIKU TUU