kweli kabisa mimi mwenyewe najiuriza samia iyo pesa kaipata wapi yakununua pikipiki au ndo iyo pesa inakopwa wakidai wanaikopa kisa kujenga reli ya kisasa
Alafu unapiga isabu ya piki piki mia saba thamani hii umeenda kiwandani ukakuta zinauzwa bei hiyo china ? Yaani wewe ni mwehu sana na ni mbaguzi uliyepitiliza huna tofauti na mangi kimambi
Nakubali San tundu risu mwamba mungu akuongoze
Verry good fazaaa watanzania tunaongozwa kwa kumnyenyekea mtu mungu pekee
Wewe uli anza kampeni mapema mshamba Wewe
kweli kabisa mimi mwenyewe najiuriza samia iyo pesa kaipata wapi yakununua pikipiki au ndo iyo pesa inakopwa wakidai wanaikopa kisa kujenga reli ya kisasa
Acha wewe kumtaja Raisi Kila nara Samia Samia Samia. Mzae na Wewe
Lisu kiongozi mzuri hana kiburi na kejeri mbona ela ya ruzuku amuongelei
Lissu sema na ile hela aliotoaa 150 milioni katika kanisa la kina mboee machame.usiongelee pki pki tu
Huyu nikama sankara mtetezi ila watanzania tumejisahau
Munaumwaa tu
Alafu unapiga isabu ya piki piki mia saba thamani hii umeenda kiwandani ukakuta zinauzwa bei hiyo china ? Yaani wewe ni mwehu sana na ni mbaguzi uliyepitiliza huna tofauti na mangi kimambi
😆😆😆
Sasa hizo pikipiki kazipelek kwake au kawapa raia?
Kawapa mi CCM yake sio raia
🫢🫢
Unatoa taarifa