THE CLASSIC H BABA 2 : MPENZ BUBU NI KWELI/NILIKATAA 20M AZAM/HAKUNA MSANII ALIEPITIA SHIDA KUNZIDI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 มิ.ย. 2024
- Sehemu ya pili ya mahojiano na mkali H baba ambapo anatueleza namna ambavyo alivyokua na kipaji cha juu cha soka,shida alizopitia katika maisha yake na mengine mengi.
Damme H Baba noma 😂 paka kwenye shida ypo ahah
camera ya mezani ipo karibu sana irudi nyuma
NA WATU WA MWANZA MPUNGUZE SIFA NYIE SIO WAHAYA...HASA UYO H NA EDU BOI
Tukiwa Chumbani Laaala lalaaaaa😢
Hamna kitu huyu haa
Interview poa sana
The vlassic ya leo mbovu
Daaah hapa mmetukosea sana . Katika wasanii ambao hatuna cha kujifunza kwao ni huyo aisee. Yan hapo 80% ya stori hakutakua na ukwel.. muongo muongo sana huyo
Humjui H. Baba wewe unapenda watu wa kufake fake
Kabisa hamjui nadhani alipaswa asikikize interview kwanza amjue hii game haikujengwa na mtu mmoja tu