Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 23

  • @MwanzalimaLeonard
    @MwanzalimaLeonard 4 วันที่ผ่านมา

    Ni mwanga mzur wenye kutoa hamasa!

  • @IgnassSwa-gd9iy
    @IgnassSwa-gd9iy 8 วันที่ผ่านมา +2

    Erick shigongo baba angu nakuomba no yako...naomba Sana baba angu usipuuze

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 11 วันที่ผ่านมา +3

    Hongera sana, Mh. E. Shigongo

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 13 วันที่ผ่านมา +2

    Eric Shingongo. One of the the best Author ever known

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 5 วันที่ผ่านมา

    Ujumbe umenibariki😢😢 naanza leo kutokuwa na matumizi yasiyo na lazima

  • @user-rw4qn6zh6n
    @user-rw4qn6zh6n 13 วันที่ผ่านมา +2

    Very correct yaani ukiwa mwaminifu bas wew ni tajr tyr

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 9 วันที่ผ่านมา

    Yaani nisoma magareti yako Kila siku, uko good sana

  • @eddahhawa7471
    @eddahhawa7471 13 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana🫶🙏

  • @user-hv6qw2zw2y
    @user-hv6qw2zw2y 13 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sana kiongozi

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 10 วันที่ผ่านมา

    Yaani huwa unibariki sana❤❤❤God bless you

  • @rodamakalwe57
    @rodamakalwe57 13 วันที่ผ่านมา +2

    Nataman sana nipate hata namba yako

  • @user-kl5ji9ue2q
    @user-kl5ji9ue2q 10 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mkuu Sana 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 9 วันที่ผ่านมา

    Ahsante Eric
    Be blessed

  • @RynoFiree
    @RynoFiree 12 วันที่ผ่านมา

    Inspired speech Mungu akubariki Sana kaka Shigongo

  • @Thisislilian
    @Thisislilian 11 วันที่ผ่านมา

    This is so powerful

  • @Magdalena-tz7uk
    @Magdalena-tz7uk 11 วันที่ผ่านมา

    Shukran 🙏 kwamafunzo mazuri

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 11 วันที่ผ่านมา

    Fact sana ,ahsante

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee 13 วันที่ผ่านมา +2

    Moja kati ya kitu wazazi wa kiafrika wanacho sahau kabisaa ni kutozingatia vipawa na talent za watoto wao. tunapoteza watu wakubwa wengi sana kwa kutokutambua nini ni bora na mtoto anaweza kufanya. kipaji ni kitu mtu anachoweza kufanya bila ugumu(kwa urahisi) .
    kuna watoto wengi hawawezi hata kuongea, ila kuna watoto wanaweza kusimama hata mbele ya kanisa au msikiti mzima na kuongea bila woga wala kusita sita. huo ni mfano wa kimoja tu kati ya vingi wazazi na walezi wasivyo viona. Kuna mtoto anakimbia kila sehemu akitumwa hata iwe karibu kiasi gani ataenda anakimbia na atarudi ana kimbia hata liwe jua kali la saa saba. lakini hakuna anae zingatia hayo. kila mtu ana focus na Sayansi tuuu, kumbe kuna utajiri mkubwa ambao kila mtu Mungu amempa kupitia kipaji.
    KIPAJI NI ZAWDI KUU NA YA THAMANI MNO AMBAYO MTU HUPEWA NA MUNGU . KIPAJI

  • @user-oc2zp6cg3z
    @user-oc2zp6cg3z 13 วันที่ผ่านมา

    Great advise Wiseman👊

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 13 วันที่ผ่านมา

    Asante sana

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e 8 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @user-wn2su2fj9d
    @user-wn2su2fj9d 10 วันที่ผ่านมา

    Kongole