Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Zuchu anatakiwa kujitambua aache kujichanganya na brand za wambea kwa kuchambana!! She needs to control her emotions sio kila kitu lazima ujibu!! Ukimya nao ni jibu tosha!!
@@m___ck799 kuachana au kuachwa ni kawaida kwenye maisha ya mahusiano sema tu kwa sababu yeye ni star ndo maan mnasema kuwa mnamuonea huruma...lakini kuna watu ambao siyo mastar wanaachwa vbaya
Am not zuchuz fan but i really feel for her. She should forcus on her carrier.. N in anycase there was no need to tell us they hve broken up. She could hve done it silently. Keeping quit will not make u a laser zuchu. B u n stand firm bby girl. Its not healthy atoool. Pray n do what God chose u to do.. period
She couldn’t keep the breakup for herself coz it’s part of the showbiz in order to keep on trends Btw have never believed the relationship btwn zuchu & diamond I guess it’s business
Huyu mange anajikuta mkali wakati kuna mcongo alimtukana akamuacha wazi akujibu ata neno moja asitake kumuonea zuu kisa ajui kuchamabana kama anamtaka mondi aseme❤aseme ufala wake mrs wig
Zuchu una heshima sana Wacha kujibijana na hako ka mzee mange, mdomo yake ni chafu na hana aibu kwa wazee wale vijana, so endelea na mambo zako na usimpe your time kumjibu.
Zuchu ndio atanyoosha mikono nakama hataki maneno asiendelee kumjibu mange maana habari zote zazuchu zinatoka kwawatu wake wakaribu hivyo mange Ataendelea kumdhalilisha akae kimya
Zuchu usishindane na huyo mpumbavu, Mange Huna adabu kushinda na very innocent person. Daimond you know exactly what your doing. Remember it will come back to you.
Mange, I don't know you, but will you please leave the queen alone? What's your problem talking every time about someone who does not have your time.Zuchu is a brave girl. With Diamond or without him, we love Zuchu ❤️ ❤❤❤Leave her alone.
I love zuchu ila Mange yupo sahihi zuchu chukua atua utakuja mkumbuka . Zuchu is talented, smart fanta kaz utampata mtu sahihi daimond will nevet merry you ...ana missrespect
😂😂 mkomavu zuchu kaingia shimo la tewa ..mange akomeshwi ata kwa matusi 😂😂 zuchu ataishia tu kunyamaza na na brand yake wcb ndio kashapotea kama hajashikwa chuchu hana mapya kwa hii dunia
Mm binafsi siamini kama wameachana naona kama ni title ya wimbo tu 😂😂😂😂 coz juzi wametoka harusini kwa Esma na watu wao wakasema inayofata ni Dai na Zu
Wanawake tusijisahau ukiona mwenzio kanyolewa na wewe tia maji Kwakweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzio so mange kimambi i don’t like her for real anaishi marekani lakini Kama Yupo kwa mtogole no way 🙅♂️
Yan huyu dada Poa mshamba halafu ana sura mbaya cjui akitaka kuumbwa nani huyu maana bora nyani mzur kuliko huyu dada anafanana na jina lake la mange mshamba sana huyu dem
Nashangaa watu kumtusi zuchu bila kuchekecha kwanza 😂, hao ni wasanii wapo kazini ili muendelee kuwafatilia na kazi zao za mziki/shoo 😂😂😂 mnazdhani wameachana?
Tuna juwa kawa izikiki tena sakitoto kabisa kesho utasikiya zuchu katowa video sasa ndonini Achan nahuu ujinga yani kutwa unapambana navitu vyakijinga sijuwi zuchu Hoo mangi sijuwi zari Akuna kitu Apo nikiki tu
Hongera ❤❤❤❤dada Mange❤❤❤🇰🇪
Huyu Mange hana content!!
❤❤❤ daa wachana na mange wewe songa siku hizi hakuna mabishano ni kusonga na kuacha wambea nyuma yetu
Zuuuh wangu achana na huyo kahabaaaa😂😂kuwa mpole mamaaaaa nakupenda sana❤️❤️❤️❤️🆒
Zuchu anatakiwa kujitambua aache kujichanganya na brand za wambea kwa kuchambana!! She needs to control her emotions sio kila kitu lazima ujibu!! Ukimya nao ni jibu tosha!!
Wew unamshauri Zuchu kama nani?
Anamshauri kama mke mwenzake😂😂😂@@Khalidniya380
@@Khalidniya380😂😂 somo wake
😅😅😅
Hasimuache zuchu pambe tu dai wmekutana ukubwani😂😂😂
Mungu akulinde Zuchu...Everyone attacks you with no reason 🥺 yaan utafkr wewe ndo msanii mwenye makosa peke yako
Point hapa..ni tunamwonea huruma Zuchu maana tunajuwa kitakavyoishia...kwahiyo it's all tough love!
@@m___ck799 kuachana au kuachwa ni kawaida kwenye maisha ya mahusiano sema tu kwa sababu yeye ni star ndo maan mnasema kuwa mnamuonea huruma...lakini kuna watu ambao siyo mastar wanaachwa vbaya
Am not zuchuz fan but i really feel for her. She should forcus on her carrier.. N in anycase there was no need to tell us they hve broken up. She could hve done it silently. Keeping quit will not make u a laser zuchu. B u n stand firm bby girl. Its not healthy atoool. Pray n do what God chose u to do.. period
She couldn’t keep the breakup for herself coz it’s part of the showbiz in order to keep on trends
Btw have never believed the relationship btwn zuchu & diamond I guess it’s business
Hapa anayefaidika na hii bifu ni mange aisee ina masilahi makubwa kwa upande wake yaaan
Huyu mange anajikuta mkali wakati kuna mcongo alimtukana akamuacha wazi akujibu ata neno moja asitake kumuonea zuu kisa ajui kuchamabana kama anamtaka mondi aseme❤aseme ufala wake mrs wig
Mi ingekuwa Zuchu singeweza jibizana na mtu yoyote online..ingefika time wangeacha tu.
She is talented na most people wanateseka
Jamani mange kiboko uyu dada kashindikana jamani hila mimi nampenda ivyo ivyo dada yangu wataifa ❤❤❤❤
😂😂😂😂🙌🙌🙌
Mimi nampenda sana mange❤❤❤❤ Mungu akuweke 🤲🙏🥰🥰🥰
Ila Mange balaaa Yani moto fire 🔥
Huyu mtu mzima hakuwi
Lakin mange jaman yaaan haez sikia kitu akanyamaza aah 😂😂😂😂😂
Zuchu una heshima sana Wacha kujibijana na hako ka mzee mange, mdomo yake ni chafu na hana aibu kwa wazee wale vijana, so endelea na mambo zako na usimpe your time kumjibu.
Mange kimambi🔥🔥🔥🔥🔥
@Ni kiki zao believe me next ni ndoa yao trust me ,!! Bongo la surprise inaa kujaa tusii malize maneno,waja 😊
Life is good let me enjoy 🤣🤣😭
Hii vita bado ni mbichiiii😂😂😂
Wanachemsha game! Kapenda
Mimi niko upande wa dada wataifa😂
Zuchu kaingia simo hayazoweya kuchambana ,ange yy nwalimu wa haya
😂😂😂😂😂hii vita vya nuclear akhi😂😂
Madenu wenye sura mbaya wanapenda maneno sana..chunguza hii kitu
Mwambieni mangi aende Kwa dada nono Australia hapewe doze yake😂😂😂
Zuchu Ali Fanya kosa kuingia penzini na mondi ,chapa hailali kama kweri wame achana naofia zuchu kushuka kimuziki
Hawezi shukaa
Talanta anayo, she'll make it.
Zuchu our favourite ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️.
Mange kimambi for life 😂😂😂😂😂🙆🏾🙆🏾🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂🫶🫶
😂huwa anatupea breaking news
Mange achana n'a zuu wetu ,koma kufuatilia
Ila mange....🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
😂😂mange jamani
Zuchu atanyoosha mikono
Mange ana njaa hajui cha kusema la kuongea anajiona kakamilika
Zuchu ndio atanyoosha mikono nakama hataki maneno asiendelee kumjibu mange maana habari zote zazuchu zinatoka kwawatu wake wakaribu hivyo mange
Ataendelea kumdhalilisha akae kimya
👌🏾
Kweli kabisa mange si wa kujibishana nae
Kalikoroga huyo mzanzibar asubiri bomu jengine tena😂bora angeka kimya kwa mume zipi bc wakuchana nae player wadunia😢duh
Wigi linawasha😂😂😂😂
Zuchu usishindane na huyo mpumbavu, Mange Huna adabu kushinda na very innocent person. Daimond you know exactly what your doing. Remember it will come back to you.
Ni safari ya mjini tu!
Zuchu mtoto mdogo mumeanza kumuonea wivu
Mange anasikia WIVU she can see Zuuh anapendwa na a rich man 😂😂😂
Mange, I don't know you, but will you please leave the queen alone? What's your problem talking every time about someone who does not have your time.Zuchu is a brave girl. With Diamond or without him, we love Zuchu ❤️ ❤❤❤Leave her alone.
Queen ni Zari tu❤
@@hopechidera Zari ameingia aje hapa na ni queen wa nani huyo bikizeee wenu😏
@@vickynyakio7346huku ni tz😅
Kujibizana kwanye mitantao nikujfunjea heshima zuchu anyamazi tu
Msigombane we love you both, girls show love and support.
I love zuchu ila Mange yupo sahihi zuchu chukua atua utakuja mkumbuka . Zuchu is talented, smart fanta kaz utampata mtu sahihi daimond will nevet merry you ...ana missrespect
KHADIJA KOPA akadhikiri uchi sasa kwa WAGANGA!!! Maana kamaliza waganga wooote.....
Basi naona mnakua wote
Eti kinganga
Mange na zuchu Zuchu mzuri
Kweli
Aliye karibu na zuhura amstopishe mana atakuwa dipressed by manne mana huyu amwache kina kigogo
😂😂 mkomavu zuchu kaingia shimo la tewa ..mange akomeshwi ata kwa matusi 😂😂 zuchu ataishia tu kunyamaza na na brand yake wcb ndio kashapotea kama hajashikwa chuchu hana mapya kwa hii dunia
Mange wivu unamutesa sana
Bhahahhahahahha sasa tunawasaidiaje
Mange endeleaaa kushusha mabomu
Zuchu ka kimya na usimjibu huyo kizee mange I think you are better than that
😂😂huyu mange MtataBora zuchu amuache atamuumbua mengi..lkn wenyew ndio wanatoa Siri zao mange anajuajee ...
Zuchu must stop having conversations with such cheap people
Zuchu ni Brand kubwa angeacha kumpa content yule mpumbavu wakati hana kitu chochote cha maana,,
Cheap?😂😂😂😂
She needs to be answered! Coz mange wants to be bought so let her answer her back
True
@@EzekielTv49true nadhani hajajua ukubwa wake
Mmm dada wa taifa
Wanaomkubali zuchu like hapa ❤❤
Napenda vita ya mange na zuchu kwa sababu wanafanana japo mange kapanda juu alafu mange anapenda zuchu akijibu ndo huwa anapata mori wakujibishana
Asante mange
Mange ni mshenzi sana, Malaya wa marekani alafu anajifanya yeye ni malaika, anajua ya watu sana na ya kwake ni mengi, mchawi mkubwa
Zuchu ndo ajielewi😅😅
Lakin mwapend umbea wake😅😅😅😅
Kwa hamorappa😂😂😂😂
zuchu will raise her hands!!!
Bora nishinde njaa ila sio kukosa bando🤣
Yan Tz bila kiki haiwezekan km anataka kutoa video siatoe tu
zuchu amuwezi dada wataifa
MANGE Kimambi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mange ni wa moto sana💣😅🤣🤣
Ila mange sio mzm et bi tuksi😂😂😂😂😂 na zuchu wanamkosi na mange😂😂
Zuchu kaa kimya focus na kazi yake kukaa kimya ni dharau tosha kwake....
Hata wakirudiana inakuhusu nn ww!? Hapo ulipo wamtaka Diamond akikutongoza utamkubali bila shida...yaani umezoea kutukwana na kila mtu
Mm binafsi siamini kama wameachana naona kama ni title ya wimbo tu 😂😂😂😂 coz juzi wametoka harusini kwa Esma na watu wao wakasema inayofata ni Dai na Zu
mange anajua kunyosha zuchu itabidi zuchu anyoshe mkono
Zuchu ww achana na juyo we unaheshimika kwa nn unamjibisha mtukama huyo utajishushia hadhi yako
Kimavi ndio anapangia watu maisha wacha zuchu apambane naye 😂😂😂😂😂
Mage yupo sahihii japo mm ni team WCB ila zuchu kiranga komaaaa dam yake na Simba haziendani Kwa mtazamo wango 😂😂😂
Sns tumechoka nahuu ujinga sasa yani imekuwa kama kero sasa yani kiki zakitoto unazihunga mkono kama akuna stor zengine kaheni kimya
Wanawake tusijisahau ukiona mwenzio kanyolewa na wewe tia maji Kwakweli adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzio so mange kimambi i don’t like her for real anaishi marekani lakini Kama Yupo kwa mtogole no way 🙅♂️
Zuchu huyo mange ungelimtungia story pia ukaimwaga hapo!! Alafu ukanyamaza!!! Ukamuacha akidodoreka kama bisi
Mange analana yakutukanana khaaa zuchue Dior mongeaaji usimjibu iyo mange
Mange ni malaya mjinga sijui a natafutanga kwa mahusiano ya watu weh
Lakini mange bwana😂
Mange unayatoa wapi haya ya chini ya kapet lakin 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Zuchu heri ukae kimya Mange hutamuwez umbea ndio kazi yake
Yan huyu dada Poa mshamba halafu ana sura mbaya cjui akitaka kuumbwa nani huyu maana bora nyani mzur kuliko huyu dada anafanana na jina lake la mange mshamba sana huyu dem
Anajiita dada wa taifa nani mdaganji huko marekani, mange shame on you
Mbona madancer walienda kwenye baby shower ya dancer mwenzao Karen 😂😂😂😂 mange hapa katuvurugia mafail
Nikweli ilikuwa baby shower ya karen na sio dorice.anawalisha watu matango pori tuu😏😏
@@aminahamad5573 shenz zake mxiiiew
Mimi ningekuwa zuchu ningenyamaza TU
🤣🤣🤣ati utaishia kwa hamorapa haki Mangi wewe
❤dada mange hongera umeshida kwamaneno na Kila kitu wewe ni number
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣pole zuch
𝔻𝕦𝕦𝕦𝕙 𝕫𝕦𝕔𝕙𝕦 𝕞𝕪𝕒𝕞𝕒𝕫𝕒 𝕕𝕒𝕕𝕒😂😂😂
Nashangaa watu kumtusi zuchu bila kuchekecha kwanza 😂, hao ni wasanii wapo kazini ili muendelee kuwafatilia na kazi zao za mziki/shoo 😂😂😂 mnazdhani wameachana?
Zuchu acha Majibishano
Zuchu huwa anaona watu wanakaaa kimya huyo mange akiwaandama mbona yeye kutwa anamjibu, let her lower herself
Nampenda anavyo fokiria mangi na anajua kucheza kadi zake hiyo yote ni mchezo wapesa app ifanye kazi na yeye ndio anashinda😂😂😂😂
Zuchu wetu usimjibu mange 😅😅😅
Ni uongo dorice hana mimba na babyshower ilikuwa ya karen yule dancer wa zuchu ndio ako na mimba
Mange anapewa umbea na watu wa ndani
ZUCHUUUUU enjoy my QUEEN ❤️❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Tuna juwa kawa izikiki tena sakitoto kabisa kesho utasikiya zuchu katowa video sasa ndonini Achan nahuu ujinga yani kutwa unapambana navitu vyakijinga sijuwi zuchu Hoo mangi sijuwi zari Akuna kitu Apo nikiki tu
Mbinu pekee ya kumshinda mange, labda afe wakusanyike wot
Viyai vimekauka kau????