Hatimaye ESMA PLATNUMZ aolewa, Familia ya DIAMOND yasema NDOA ya ZUCHU ndio inafuata,wasikilize hapa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.พ. 2024
- #diamondplatnumz #zuchu #esmaplatnumz
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de... - บันเทิง
Allah amfanyie wepesi ❤❤
Awww Zuhura aolewe she deserves it ❤❤
Leo wsmekaaakama waislamu yani wapo vizuri hongereni
Jembe kama Jembe Masha’Allah Tabaraka’Allah
WOW penda sana 🥰 Esma tumeungana kwenye group Letu Ramadan Nzur na Barack ❤❤❤❤ mungu awape maisha marefu na afiya njema ishallaah Allah
Allah aijaalie iwe yakheri na baraka ❤❤❤
Mashallah Mashallah ndoa Ni Jambo La Ghery na Ikawe Ghery yenu
Uislam kazi ndoa kama unabadili nguo za kabatini, leo kijora kesho gauni kazi kweli kweli
Allah awape wepesi na diamond na zuhura iimaliza ya ESMA tuu na ijumaa ya Leo Allah alete wepesi andoshe uzito wote uliokuwepo lnshallah ❤❤❤
Mimi binafsi nawaombea kheri kila siku AMEN ingawa mimi ni mkristo lakini nawaombea kwa imani yangu hata kama sio imani yao momi nawaombea iwe ndoa kweli kweli.
Tatizo masharti
In Shaa Allah Allah atajalia diamond na zuchu watimize na Yao yarraby❤
Kuolewa pia nyota,mashaAllah..
Nguo za heshima zina haiba na heshima kwa Mwanamke. Tizama vipi walivyo pendezi.
Zivaliwe siku zote sio ya ndoa tu
Ndoa nikama rizki zinginetu ikikushinda achana nayooo focus namengine jameniii hakuna fundi wandoaaaa acheni makasiriko
👌👌👌👌👌
Kabisa ❤
Wanadamu hawana jema. Ukizini watasema, ukiolewa jambo la kheri utasema. Weye uliyesema mmezini halafu ndio mnaowana ilitaka je? Aendelee kuzini au?
👌👌👌
Hao ndo watu 😂 ishi vile ujuavyo
Hao ndiyo binadamu mwaya wana rangi nyingi kama kinyonga😂😂na ni nani ambae huwa hazini kisha anaolewa,wengi tu huwa tunayapitia hayo
Yani hawana jema kabsaaa wallah
Sio hawana wema kuna vitu vengn mua mnangalia na upand wapili?hii ni ndoa yangapi kwa Esma? Zaid hata ya nne? Kwaio itakua kazi kuolewa na kuachana na kuolewa tena mwisho wake lini?fikiri kbl ujaropoka
Mabruki esma naic❤❤mashallah
Juma lokole .. Hana akili kweli eti hatimae nimepata pakufuturu..😂😂😂😂😂
Juma jamani!!!!! Yaani mpaka nasikia Raha!!! Nakuombea mema ESMA
Alhamdhulillah ila sio vyema kichwa nywele aonesha bana
Hmmmm zuchu ikiwa kuolewa na D "UCHAWI UPO!" Hata kuingia WCB ni UCHAWI wa Khadija Kopa.
Jamani esma ongera ila ukatulie na ndoa Yako achana na mambo ya usichana jamani ukadumu maswala ya kuachika sio mazurii ni aibu kwa mwanamke tuliza akili mambo ya mitandaoni achana nayo fokasi na mmeo tu mungu ailinde ndoa Yako awaepushe na mabaya yote
Jamaniii utani wa mashaaa na Djumaa😂😂😂😂😊😊
Hongera Sana
Ramadan imewadia
Queendarling kapendeza ❤
Hii familiya ikipoa Labda mitandao ifungwe .Wanavijimambo Kila kukicha
Hongera kwao ❤❤❤❤
Yaaani ktk vifijo cha juma ndio kinasikika kigelegele kama jike
Mashallah mashallah
Choko ndo anaanza kupiga vigele vigele,na anaanzisha nyimbo za harusi,sijui ni kitu gan wasafi wananufaika na machoko,maana wameyajaza pale.
Ww ni mkamilifu?
Elfu mabrook esma❤❤
Queen darling ❤❤😂😂mume anae anatamba nae. Haya bana
Ndoa haitangazwi,huyo zuchu haolewi hapo
Mashallah ❤❤
Mashallah ❤❤❤❤❤
Ngoja ramadhani iishe utasikia wameachana
🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Aaallah awadumishe
ndoa sawa kudumu njo nasubili tu sijui kuna jini gani
Jamani hiyo ni ibada tukufu kwann mnazungumza maneno machafu
Wahuni wamejaa ata heshima hakuna
MashaAllah ndoa ya3
Ya nne😂
Allah aidumishe ndowa yake
Allah awadumishe
@Musangwe oficial....sky naomba ufatilie hio community ambayo inapigana pila protection yoyote na inakusanya kijiji
Kizuchu kimependeza
Ramadhan mwezi ujao
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Esko we ongoza maombi, sisi tumuombee esma ilhali we una 🎤
Yani drama tu anajifanya kama hawajuwani vile full kuona aibu😂😂😂 jamani bongo ipo juu
Tunawaombea wa baraka,
NASIKIA SAUTI YA JUMA HAPO NA MASHA LOVE, KHAAAA!!!! ESMA NDOA ZINA TOSHA JAMANI 🤣🤣🤣🤣
Maskini zuchu bado ni mpira wa zoezi kwa mondi😂😂😂😂😂😂😂😂
Dadaangu ongora sana
Juma nini lkn
Kufunga ndoa tu bahati unayo lakini sasa kudumu njo kuko kasheshe kubwa mmmm . Bada ya siku mtaanza sikiya vijembe sisi macho yetu tu
Mitandaoni 😂😂
Ameolewa na Mmakonde....unacheza na mjomba msumari weweeee mkitoka moja kwa moja hadi Mtwara akalime korosho😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😅😅😅😅😊😊😊
Wanaume wanauthubutu...,hii movie au??
Atulie sasa ameolewa sana 😂😂😂😂😂 kila mwaka dada haji manara
🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Mke uji huyo 😂😂
Kujidai dini yenye haki ushubwada mtupu kila siku kuolewa kuachika n swala l Kawaida, mwez mtukufu umekarbia after apo yupo kwnye kuzini, kila mtu amini anachokiona kipo sawa tukutane mbele uko
Dini inaruhusu uolewe kila ukiachika au kuachwa na sio kuzini miaka kumi ndio kuowana na hiyo ndio haki kama haikuhusu usiikosoe ama silimu usome uijue vizuri
Ndoa ya nne utulie sasa😂😂😂😂
Wasani bwana ndoa zao zinadumu mbili
Ndoa ninayoiomba ni ya diamond na zuchu tu, hizi zingine za kujirudia rudia hazina mvuto 😂😂😂
Hhhhhhh wounafiki tuuuu diamonde ana olewa n'a aliyah😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hilo lichoko juma linaboa hapo
Juma twasubiria yakwako inshallah 😂😂😂😂
Juma sikuwezi🤣🤣🤣🤣
Kituo kinachofata chakulelea watt diamond haoi Leo wala kesho
subutuuu aowe mondi freemason wamuuwe sekunde
Hii ndoa haina utilivu fujo hakuna nidhamu ya uislamu mmepeleka huyo baradhuli Mauzinde wa Dar domo limeregea kama merenda wa mgagani. Haipendezi fujo kama mko Kariakoo ovyooo kama mpo Kariakoo Sokoni. Weye utaowa au utaolewa
Wanao oza ndo wataanza vidomo domo
Anapo sowema Haifa zogooooo.
Hapo anasikika juma lokole
Ikiisha Ramadhani wanaachana tu hao😂
😂😂😂😂 za kufungia hizo
Choko ni choko tu
Makelele mengiii tumsikie yeye tu hata aibu haoni 😂😂
Jamani juma lini na wewe utaowa?watu waje kufuturu kwako pia ramadhani hii inshallah
Nimechoka hapo zuchu kaambiw tupishe Wana familia tupige picha
Jembe ni Jembe manager wa Hamo??
Meneja wa yule kijana aliyeimba mapopo popopoo, sijui unaimbwa hivyo kuimba siwezi
😂😂😂hivi huyu Esma bado anasema ana sehemu za siri???
🙄🙄🙄🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
MUNGU amdumishe kwa ndoa yao
UISLAM NI DINI YA AJABU SANA WAO KUOA NA KUACHA NI JAMBO LA KAWAIDA SANA,UYO KAOLEWA SABABU MWEZI WAO KUFUNGWA SHETANI UMEKARIBIA ,BAADA YA HAPO ANAACHWA TENA
😂😂😂😂juma na zuchu sauti nazisikia zakishambenga😂
angetakiwa kuolewa na Haji manara
Unasema haina mbwembwe, subiri wakifanya pati reception ndio utaijua hii familia kila kitu Chao ni michango, watachangisha tuu watu
Michango inakuhusu nini wewe ?
Unategemea utaletewa kadi ya mchango 😂😂
@@rereshap9416 hii familia ya diamond kila birthday ya kila mwanafamilia wanachangisha kwao na valentines day. Michango kwao ni miradi
Lokole poor poor😢😊
Juma lokole anaita mwanaume mwenzake jembe? Kweli siyo riziki
Juma eti Queen zingatia tumbo 😅linani
itakuwa mimba pengine
@@sabihaibrahim143ndy ana mimba. Amechoka kabisa
@@sikudhanimohammad7692 ohoo mtihani
Huyu anaolewa mara ngapi hahahaha
si anaachwa anaolewa bora lakini kuliko kuzini tu zinaa ni uchafu
HII NI KWELI AU ???? MBONA MAKELELE HIVII??????
Juma lokole anatamani aolewe yeye
Kesho tu atachoka kimya kimya😂😂😂hakuna wakuoa ama wakuolewa kwa nyumba ie ni Kiki za ndoa tu
Waislam wape ndoa na ubwabwa umewamaliza😂😂😂
Unapenda uzinifu ww....y uitaje dini hapo ??? Ndoa ni ibada,ni riziki kuna wanaozitaka na wanakosa wengine huenda Kwa waganga ila wapii hakuna mwanamke anayependa kuolewa na kuachika vingine hakuna namna uteseke ukae tu haya nyie na dini yenu ya mwili mmoja halafu tunashangaa mtu akifa hamzikwi pamoja khaaaaaa si mzikwe wote sasa
Wanafi hakuna zuchu wala nini ni tanasha tu
Naona kasoma msahafu mzima 😂n vp mtu anasoma na watu wanafanya zogo hivyo ilikuwa iwe wakae kimya
Hapo namsikia t jumalokolee
Bd ya lokole lin anaolewa 😂😂😂rafik yake kaolewa yeye anasubir nn?
ataowa ni mwanaume yulee
😂😂😂😂😂😂😂 anaolewa kila siku angetumia akili apate mtu wa kumkula tu jo umarufu na utajiri imemuingia akilini haezi akaishi kwa ndoa
Kabisa 😅😅😅
Esma kama manala mtu na kaka yake
Punguzaaa ukali wa maneno
Wame zini alfuharusi😂😂😂
mzinifu aolewe na mzinifu mwenziye ndo hukumu yake
Ukizini tu hautakiwi kufunga ndoa?? Je wewe uliolewa ukiwa bikra na mumeo na yeye alikua bikra hivyo hivyo au ndo umeamua kutoa yako ya moyoni kwa esma
@@bigbro-my6xj akiingiza dini usikasirike ila kuzini ndo mufunge ndoa sio vizuri na mashekh wengine wanasema haifai ila ipo fatuwa inatumika waowane kuliko kuzini kwa iyo usikasirikiye maneno ya Mungu
@@sabihaibrahim143 sawa ni vyema wameoana
Mwaka wa pili huu wanasema hivyo hivyo ndoa ya Zuchu na mondi inakuja soon🙄wafanye kweli waache longo longo siku hazigandi
Huyo Esma kila siku anaolewa!!! Hebu watuache! Kiki zao zinaboa
Naww holewa
Mim nishaolewa@@marcelinenyassa1246
Lokole ni gay ataolea😅
Why wear another culture clothes??😂
Miezi sita mingi
Hapana usiseme hivyo tuwaombee tu
Kweli si vyema kusema ivo waliyadhu bilalah
Juma lokole kama mc😅😅