Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...! Mungu akubariki 🙏🙏
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin. Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
per this interview... the guy seems to be extremely nice... it would be a privilege to work with or even under him... kiufupi ni mtu muzuri!.. God bless him.
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
Glory to God 👏 Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
God's plan hyo. Nmegundua Duniani huwezi kukua bila kupitia shida ya kihistoria ili upikwe uive uweze kuishi kwa hofu ya mungu. Mungu anamaksudi na kila uhai na kila kichwa amekipa kipimo chake bro. Pole sana
Brother Mohamed Dewij you are Man of God 🙏 Mungu azidi kukupigania, una hofu ya Mungu pia una Roho ya upendo ndani Yako.....! Nimejifunza mengi kupitia wewe, let me change my life...!
Mungu akubariki 🙏🙏
Nchi ilielekea pabaya sana,ni aibu kubwa sana,pole Mh Mo Dewji,poleni Watanzania waliopitia dhahama hizo,Mungu awape amani tena
Mo Dewji pole ndugu yangu,. Umeongea point sana na umeongea vizuri nashukuru umeelezea huu mkasa maana kunawazushi walizua habari mbaya. Thanks sana
Mimi Mch EmmanuelMtafya Niko Tunduma,namshukuru sana Mungu kumuokoa mo Dowji ,Nimesikiliza ushuhuda wake nimeogopa lakini ashukuliwe Mungu pekee.
Hii,.ni maisha tunaoishi.,mshukru mwenyezi Mungu amekutoa kwa hatari ya maishani.,siyo wote wanabahti kama hiyo., So it's a miracle.
Tumekopa gari kutoka kwako gari moja tu nimetoka kwenye udereva wa mabasi Sasa namalizia Deni lako niwe huru Asante Sana bro
Mungu akuongezee maisha marefu Mo. Leo ndo naiona simulizi yako japo muda mrefu ulishapita imeniumiza sana, mtegemee mungu yeye ni kilikitu kwako
M.mungu akunusuru haya na mengine.😭😭 baba yangu Humaid Abdullah Humaid mkazi wa Itigi mjini mkoa wa Singida ni marehemu Allah mjaalie makazi mema huko aliko ampe pepo ameen.Alipofariki baada ya week tu walifukua kaburi lake na sijui nini walichofanya Allah ndio anajua zaid😭😭 lkn wakazi wa Singida na Manyoni na Itigi walishirikiana kwa pamoja kwa kumuombea dua marehemu kwa yale alietendewa.Watu wa singida ni watu wema sana.
Huyu jamaa ni humble Sana, anamwita Salim boss
Kuitwa boc sioboc wewe unaeitwa boc. Ndoboc hataumuingizie buku nihela
Pole kabisa. Bado na sikiya uchungu ndani ya sauti yako. Pole tena Bingwa.
Mwenyezi Mungu Subhannahu Wata'ala atakulipia leo hapa Duniani na Kesho Akheyra, Aamiin.
Namwomba Allah Subhannahu Wata'ala akuepushe na balaa nyinginezo, Aamiin.
Pole sana .Mungu ndiyo mwanzo wetu na mwisho wakila amtegemeae
Mo kwakweli unabusala kubwa na mungu yupamojanae pole sana moyoni naumia kiukweli hao wa2 wabaya mungu awaangamize
Mungu Ni mwema Sana, wakati wowote, pole MO
Ata Mimi nakupenda moo maana kuna siku uliongea kitu Cha iman ukagusa moyo wangu.
Pole sana Mungu akongezeye heli!
Mungu Ni Mwema Mo Dewji
Duh pole sana mo mshukuru Mungu pia hawakukuharibu
Baada ya yote uliyoyapitia bado unaishi Mungu akupe maisha marefu
Pole sana Kaka...inauma Sanaa wanadamu wengine kucheza na Amani yako hivyo!..unaombewa na wengi Sanaa!...na utaishi Maisha marefu Sanaa!
Pole sana kaka nikuomba bila kukoma
Daah so sad.. lkn Mungu ni mkubwa siku zote, humlipa mtu kulingna na nia yke. Una nia nzr na watanzania, Mungu amejaalia ukatoka salama salmin
Pole sana kaka yetu mo dewji kwa matatizo yaliyo kupata
pole sana ndugu hua kwa imani yetu tunaamini roho haitoki ila kwa idhini ya Allah
Aisee nomaah nimependa Moh alivyojibu jamaa ni smart enough
Alie ckia neno boc Kutoka kwa mo agonge like zake hapa
Pole sana ndugu yetu, kwakweli tuliuzunika sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ila baada ya yote tuseme Alhamdulilah Allah ni muweza wa kila kitu. 🙏
Saumu Hassan mambo
Polemo
Singida ilove you mkuu wetu kama wewe mnyaturu gonga like hapa
unyaturu nyuma utanzania mbele
MO Mungu ni mkubwa Sana. Mungu akubariki sana
Mungu anakupenda kwa mazuri yako wabaya hawata weza mbele yake allah
Kabisa tajili umeongea neno mashallha watanzani kwenye matatizo pammoja
Kwa kweli tulikuwa tunakuombea Sana Sana sana hasa Mimi nilikuwa nawaza juu ya mzunguko wa pesa ulivyo Tz halafu watu wanakuja kutupunguzia mabosi wetu. Sisi tunaomba kila siku Mungu Atushushie mabosi wawe wengi kwenye nchi yetu halafu watu wanakuja kuwasumbuasumbua dah!!! Ilinipa tabu Sana lakini tunamshukur Mungu wamekuacha huru mwenyezi Mungu azidi kukulinda siku zote.
Pole sana mo deuji allah amekulinda hakika ulimtengemea alllah ndiyo kakuokoa
Pore sana mo mungu azidi kukurinda hakika tupo pamoja
Pole sana
mungu yu pamoja na wewe mkuu
Pole sana hakika mwenyezi mungu ni mwema
MASHALLAH mashallah Allah akuzidishie iman mwanzo hadi mwisho wa dunia
Umeongea sifa ya watanzania cc hatubaguwani hatuangalii rangi mwalimu nyerere ametuachia Hilo tunajivunia.
Pole Sana dua zako ni funguo ya Kila mlango upitao hata uwe na rok ngum mungu anafungua
Allah pekee anatosha
pole sana mo dewji
Pole sana kwa hayo yote. Inatisha kanisa ila keep up, keep doing it brother. Peace.
mahojiano mazuri allah akuhifadhi mo dewji
Pole sana kaka ulipitia wakati mgumu sana Allah karim
Very interested pole Sana bro mungu yu pamoja nawe siku zote
Mkurugenzi wa Metl Mo Dewji Pole sana kaka Kwa yaliyokukuta lakn you a wisdom bro Allah blessed you
You have a wisdom bro
Long life mo dewj
Pole sana Mo!! Nilisali sana nilijisikia vby wakati wote mungu mkubwa! Aliruhusu uwe hai!
Mimi chadema nami pia ni yanga ila nililia na kuomba sana
Pole sana mungu bado anataka uishi 😗😗
Pole sana Shehe wangu Mohamed Dowji,alhamdulillah
Alhamdulillah uko salama. We were so sad when you were kiddnaped. We prayed to Allah for your safety ALHAMDULILLAH. Allah akuhifadhi wewe na sisi sote. Amiin
Pole sana Mohammed Gullam Dewji
Muombe Mwenyezi Mungu lisikutokee tena
Mo pole sana kwa matatizo iliyokukuta lakn mungu bado yupo pamoja nawe tunamshukuru mungu kwa kutenda wema wako mungu
Kumbe mo ni mnyaturu, nilikuwa we ni mzungu wa mataifa ya nje, hongera kwa kumtumaini mungu kwenye shida hiyo uloipata mashaalah
Ni Mzur ET
Ukiangalia Nywele,,, na Sura Yake,,,,, utasema muarabu Au Muhindi,,, Allah kamulindaa kwa Moyo wake Mzurii Ana Roho Nzuri,,, Allah Azidi kumtunza Daima
Najua dua zetu Mungu aliziskia
God does his miracles in mysterious ways. He’ll keep you long enough to tell fairytales and roaring stories. Pole sana kwa yaliyo kukuta
Mashallah. Mungu akustir usiyaone tenants ktk Maisha yako pole sana Bro
i was cryn the whole time..pole sana MO alhmdullah kwa kutoka salama
Pole sana mama kwa viliyo ulivyoliyaa🙄
Alhmdulillah
Pole kwa hayo yote uliyopitia
@
Mambovp
Mungu akulinde daima pole Sana dewgi
mungu atatenda makuu
mungu yupp
FAITH, FAITH, FAITH 7:35 - 7:40 Very powerful!
Eee Mungu nipe unyenyekevu zaidi ya huu, Imani yangu nisiiache, ukinipa mafanikio maishani mwangu.
Pole sana mzee mo je? Ulivyokuwa unataka kujisaidia hulikuwa unafanyaje mzee
😅😅😅
Pole kweli ilituumiza sana. Lakini Mungu mwema
Mwenyenzi mungu akurinde sana
Pole sana inauma sana ila Mungu ni mwema anajua wema wako kwa watu usichoke kutenda mema
Mm mmoja wapo ambaye umenisaidia Sana nashukuru Sana siku umetekwa niliumia Sana bro pole sana
Itakusaidia kuwakumbuka wanyonge, pole sana. Allah ashukuriwe
16:18 - 16:30 Your good deeds will forever follow you, nimejifunza. Let's have good intentions, God will spare our lives, what a humble soul Mo. May God keep you longer.
hghgghhghghhggggggggģggģggģggggggggggggggggggģgggggggggggggģgģģggggggggggggggģggggģgģgggggggģggģggggģģggggģgggģggggggggģgģggggg hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhh hhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjhhh hhhhhhhhhh hhhhjhhhh hhhhhhhhhhhhggģgggggggģgggggggggggggggģggggggggggg
gggggggggggggggģggghhh
Santeeeh!!
@@arcusiusngonyani8639😊😊😊😊😊
😊
Poresana
Inasikitisha sana pia inahuzunisha 😢 😭! Pole sana Boss Mo, 1 ❤️
Pole bos wetu
Dah eti kuna kundi linaitwa wasiojulikana hadi leo hawafaahamiki
Ktk matatizo lzm umtangulize mungu na hicho ndo kilicho kusaidia boss ukatoka salama
Polesana mtani wangu
mungu akupe rehema nyingi kaka
Allah akulinde kijana wety
Allah atakuhifadh kila wakati mngu ni mkubwa🙏
per this interview... the guy seems to be extremely nice... it would be a privilege to work with or even under him... kiufupi ni mtu muzuri!.. God bless him.
Pole mo kwa mitihani Allah atakulipi ixhaallah
@@abdallahaji294 .kitoi
@@abdallahaji294 alishalmlipia. Kulikuwa na uongozi wa hovyo sana awamu ile.
@@abdallahaji294 p
@@abdallahaji294 Llllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalllllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaallllllllllàaàààaàaaaaàaaaaaaààaàaàaaàaalll
ll
L
Kila jambo linasababu kutokea katika maisha yetu hapa duniani,jambo lamsingi ni kumshukuru mungu umzima,nothing last forever
Acha kutetea udhaifu ni wasiyo julikana
Hakika inauma sana
Enzi za magu na kina makonda si mchezo,unafanyiziwa halafu unasifu mwenyewe,ikizidi huna njia zaidi ya kuwasifu waliokudhalilisha kuwa wamefanya kazi kubwa sana na juhudi
Glory to God 👏
Binafsi na Mungu yupo na sisi watanzania ni watu wenye amain na upendo huweziona inchi yoyote ila hapa Africa.. Mungu anatupenda sana Watanzania!!
Mungu hawezi kushindwa lolote pole kwa yote yaliyokupata
Dah pole sana boss m.mungu akulinde leo na kesho inshaallah
Walipo Kuja kuniona Mara ya kwanza wamesujudu. Allah Akbar❤️🙏
M/Mungu aendelee kukutunza.Be blessed.
MZM
Inauma Sana, pole mno Mungu wetu ni mwaminifu
Inauma sana pole sana lauchungu alisauliki lakini muombe mungu tuu
Allah karim wallah
Pole sana boss Dah hyo lzm ikufanye uwe mchamungu tumejifunza kitu kutoka ktk hili tukio
Aisee pole sana Jamaal yetu
Pole sana mr. Mo
God's plan hyo. Nmegundua Duniani huwezi kukua bila kupitia shida ya kihistoria ili upikwe uive uweze kuishi kwa hofu ya mungu. Mungu anamaksudi na kila uhai na kila kichwa amekipa kipimo chake bro. Pole sana
Salim you're bright ,thumb up brother!
Subhanallah naumia kwa kweli Allah asiwasamehe awachome moto wa jahanamu milele
So cool and clam speaking
media za bongo baada zikave stories kama hizi ziko busy zina cover umbea
God can't leave u if u are praying him
Story yenye mguso.. Pole sana Brother kwa masaibu mazito
VASCO MBISSE mimi
Pole sana brother
Apunguze urushi kama walivyowazulumu muuza zahabu mamilion ya Dola na hii bado
Asee 😢 pole xna kaka Boss
Pole mungu ajalie tunakupanda❤️❤️❤️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🙏🇹🇿😭😭
Pole sana. Uko wapi mm ninashida na mtaji tu ndugu yangu moo. Niliibiwa
Mwenyemungu mkubwa inshaallah izo nichangamoto