'Nilishtuka na mwili kufa ganzi nilipohukumiwa kunyongwa'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ส.ค. 2024
  • Akiwa na umri wa miaka 18 tu, Rose Yona Malle alikutana na mtihani mkubwa katika maisha yake baada ya kukamatwa mwaka 2012 na miaka kadhaa baadaye kuhukumiwa kunyongwa.
    Rose Malle, 29, kwa sasa ni mkurugenzi mkuu wa taasisi ya @tanzaniaexprisonersfoundation ambayo inasaidia bure wafungwa kisaikolojia baada ya kumaliza vifungo vyao.
    Je kosa la Rose lilikuwa nini mpaka kuhukumiwa kifo?, na alitokaje gerezani?
    Tazama
    #bbcswahili #waridiwabbc #tanzania
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

ความคิดเห็น • 97

  • @rosemarymsekela1774
    @rosemarymsekela1774 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana Wajina..kwel hakuna neno ngumu linalomshinda Mungu..Sifa na Utukufu ni kwa Mungu...nimeumia na nimefurahi pia❤❤

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 28 วันที่ผ่านมา +3

    Sheria mbovu za Tanzania

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 หลายเดือนก่อน +3

    Pole saana Rose. Ila hii kesi kuna kitu nyuma ya pazia. Ila MUNGU hamtupi kiumbe wake.

  • @rajabkondo6395
    @rajabkondo6395 หลายเดือนก่อน +5

    Nikiwa mtafiti Muhimbili faculty of medicine miaka ya 1990s nilifika Dodoma kikaza katika gereza la kitaifa Isanga. Kipindi hiki Maalim Seif Sharif Hamad alikuwa kizuizini Isanga. Hili ni gereza kwa ajili ya wafungwa waliohukumiwa kunywangwa hadi kufa. Kule ndani kunatisha. Niliona mengi mengi sana. Pole sana kwa dada Rose Male na hongera dada Martha Saranga wa BBC kwa hojaji hili tukio

  • @kalundehassan9121
    @kalundehassan9121 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu akusimamie utimize ndoto zako za kusupport wafungwa🙏. Story yako inasisimua, hakika wewe ni Shujaa👏👏👏👏

  • @FloraNgoma
    @FloraNgoma หลายเดือนก่อน +3

    Dada Rose POLE sana, Ulikuwa faraja kwa wafungwa wenzako kwa kuwahubiria Injili wengine walimjua MUNGU na kudumu katika IMANI kazi njema sana uliifanya Rose.

  • @jojianaskibura3190
    @jojianaskibura3190 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu uliyemtumikia ukiwa gerezani usimwache (BwanaYesu). Ushuhuda wako unasisimua na Mungu alikupa kibali cha waziri mkuu kukusikiliza. Maombi yana nguvu ya kufanya lolote alipendalo Mungu.
    HONGERA SANA.

  • @rose_Winchester86
    @rose_Winchester86 หลายเดือนก่อน +7

    Inabidi alipwe fidia kwa kufungwa kimakosa

  • @mr.johnmerari6678
    @mr.johnmerari6678 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana Dada... lakini hiyo love story imekuwa inspiring ❤

  • @petermalley6078
    @petermalley6078 หลายเดือนก่อน +2

    Pole san,😢 nimeamini wengi walio fungwa sio wote ni wahalifu,Majaliwa mungu ambariki

  • @jadetoto
    @jadetoto หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana Waziri Mkuu Majaliwa wewe ni mwema

  • @frankneman2937
    @frankneman2937 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana Dada! Ila kuna namna ya vyombo vyetu vya sheria kujitafakari hasa kwenye vitu kama ivi! Inasikitisha sana aisee

  • @janetsemahimbo8083
    @janetsemahimbo8083 หลายเดือนก่อน +2

    Ama kweli hakuna hakimu wa kweli hapa duniani. Hakimu wa kweli ni MUNGU pekee.

  • @annkim2690
    @annkim2690 28 วันที่ผ่านมา +1

    Usiombe siku ya uovu ikipagwa kuzimu ni Mungu aingilie kati

  • @sylvestermgale6699
    @sylvestermgale6699 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli ni simulizi ya huzuni sana kwa huyu binti,kimsingi tunazidi kujifunza kwamba Mungu anabaki kuwa Mungu hata kama hajajibu vile tunataka iwe. Pole sana dada!

  • @joycekiyao2735
    @joycekiyao2735 หลายเดือนก่อน +2

    Daah pole Sana , ila Kila kitu kinakusudi japo si rahisi kupitia magumu ili kufikia Hilo kusudi.

  • @agentx4359
    @agentx4359 27 วันที่ผ่านมา

    So sad. Pole sana Rose. Mungu akusimamie katika malengo yako

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 หลายเดือนก่อน +1

    Isikie tuu hii hadithi, isikukute. Huyu ndio anajua maana halisi ya uhuru na dhuluma zinazosababishwa na taarifa potofu wanazopewa wenzetu wa usalama. Mungu ana kitu amekiandaa kwako.

  • @user-pj4jw7jd6e
    @user-pj4jw7jd6e หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana rafk yngu rose❤

  • @user-bo1cn3dw6o
    @user-bo1cn3dw6o หลายเดือนก่อน

    Pole dada na hongera Kwanza mshukuru mungu

  • @seciliashirima3593
    @seciliashirima3593 หลายเดือนก่อน

    Nimeangalia huku nalia, Pole Dada Rose 🌹. Unatia moyo pia. 🙏🙏

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 หลายเดือนก่อน +3

    Mbona maswali yanapanda kabla mtu hajamaliza kuelezea vitu zaidi.

  • @MusondoliRobert-ve4wz
    @MusondoliRobert-ve4wz หลายเดือนก่อน

    Pole sana history yako inatowa machozi pole sana

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mungu ni mwema siku zote

  • @mumbogojoseph6672
    @mumbogojoseph6672 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana dada

  • @user-rr4vt6vd6i
    @user-rr4vt6vd6i หลายเดือนก่อน +1

    Huyu dada amedhulumika sana. Maana yapo mengi ya kutafutwa na kujilikana ukweli uko wapi. 😢

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada rose

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j หลายเดือนก่อน +1

    Jaji aliemuhukumu alimdhulumuu na kwa umri wake mdogo na kosa lkee la kwanzaa

  • @user-rz5ze5me1y
    @user-rz5ze5me1y หลายเดือนก่อน +13

    Hivi kwanini wasipewe fidia kurejesha muda aliopoteza kukaa magereza kwa makosa ya polisi na mahakama kushindwa kufanya upelelezi kwa namna ifaayo.

    • @taturamadhan5940
      @taturamadhan5940 หลายเดือนก่อน +1

      Wanaharakati wanapaswa kulipigania hilo watusaidie maaaaana hii balaa

    • @margrethemanuel7501
      @margrethemanuel7501 หลายเดือนก่อน +1

      Wanatakiwa kuishtaki serikali kwa hilo na kulipwa ila inategemea unaijuaje sheria, hata km huijui sheria tafuta lawyer mzur akusaidie..

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana mdogo wangu❤

  • @ilhamswai2442
    @ilhamswai2442 หลายเดือนก่อน +1

    Acheni Mungu aitwe Mungu

  • @joycekarondo2472
    @joycekarondo2472 หลายเดือนก่อน

    Pole sana dada, Mtangazaji aweke namba tumuwezeshe kwa chochote.

  • @lydiakamwaga8065
    @lydiakamwaga8065 หลายเดือนก่อน

    Pole na hongera Sana Rose

  • @user-ic2cb9gm2j
    @user-ic2cb9gm2j หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu Allah akupe afya na umri

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน +1

    Umekufa ganzi bure hakuna binaadam anaeweza kuondosha uhai wa mtu mwingine, ni Mungu pekee.

    • @Venas-uh3wz
      @Venas-uh3wz หลายเดือนก่อน +1

      Kwa hiyo angenyongwa, ni Mungu alipanga?? Ukiongea tumia akili wewe.

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b หลายเดือนก่อน

    What a story

  • @vickylayda6336
    @vickylayda6336 หลายเดือนก่อน

    Hongera Mungu yup mwema kilo wakati

  • @joycejackson2
    @joycejackson2 หลายเดือนก่อน +4

    Alaf ni muiraq jmn😢

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 หลายเดือนก่อน

      Ww Joyce aca nianze Kwanza na ww mbona ww mwenyew unafanana na warabu ivi kweli ww sio mu Iraq?😅😅😅

    • @joycejackson2
      @joycejackson2 หลายเดือนก่อน

      @@sammarley1413 Asaitaa😂

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน

    Pole sana rosser😢😢😢😢

  • @JullyKim-ri1no
    @JullyKim-ri1no 5 วันที่ผ่านมา

    I know wafungwa wengi mno awani hatia ni kesi za kusingiziwa ....ila ya huyu dada nina mashaka nayo...unless apeana full story ya hiyo siku aliyo bebwa na mwendesha pikipiki

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

    Nimefuatilia comment zote sikuona aliposifiwa Waziri Mkuu kwa kujali matatizo ya watu. Kwa kweli dunia ni mitihani na mengine usimhukumu mwenzako subiri yakukute!

  • @ibinbarack9303
    @ibinbarack9303 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @shedrackpiniel6800
    @shedrackpiniel6800 หลายเดือนก่อน

    No comment 😭😭😭 Tanzania yangu naona aibu kuwa mtanzania

    • @ce-08
      @ce-08 หลายเดือนก่อน

      Hamia Kenya

    • @devothasimbi6495
      @devothasimbi6495 หลายเดือนก่อน

      Tanzanie haitaweza kuwa Yako tambua Tanzanie ni nchi,inakupasa useme Tanzanie ni yetu .

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 หลายเดือนก่อน

      ​@@devothasimbi6495ninchi yenye police cafu sana sijaona mfano wake

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 หลายเดือนก่อน

    Kweli mungu yupo mtumaini mungu kila jambo😢😢😢😢

  • @saeedmagoda9651
    @saeedmagoda9651 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mtangazaji hamna kitu kabsaa story anaioeleka mbele anarudisha nyuma kifupi hii taaluma hana kabsaa

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji anakimbiza sana story. Unaenda resi sana mengine tutakosa kuyasikia

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

      Hiki ni kipindi ujuwe, kina muda maalum.

  • @user-lb8lq7um5x
    @user-lb8lq7um5x หลายเดือนก่อน +1

    FUNGUA KANISA MAMAAA UTOE USHUHUDA UKOO🎉

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 หลายเดือนก่อน

      Amekuwa muislam

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 หลายเดือนก่อน

    Nimeangalia hii kutoka Oman. Huyu dada ameniliza saana. Jinc nilivyofatilia nahic km hii kesi ni kumbikiwa. Walijua kua sio yeye ila walimkandamiza dada wa watu. MUNGU atakulipia dear.

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 หลายเดือนก่อน

    Asilimia kubwa ya watu waliofungwa ni wale wasio na makosa 😢😢

  • @OlyUpowerfuljesus
    @OlyUpowerfuljesus หลายเดือนก่อน

    Yaani mi nalia tu hii Dunia watu wamepitia magumu lkn vile vile nimejifunza kumtumaini hata nyakati za giza

  • @user-rr4vt6vd6i
    @user-rr4vt6vd6i หลายเดือนก่อน

    Huu ni uzembe wa Police. Vipi mtoto mdogo auwe nae kenda chuo hana ushahidi ya uhalifu wowote la kuwa na damu maana kuuwa angedondokezwa na damu wala hawakutaka kumsachi silaha na hiyo bida boda.ilikuwa wapi? ya kustaajabisha umfunge mtoto miaka 6 bila ushahidi kamili. hamna???;hiyo ni dhulma tosha. Looo!!

  • @hanskessy9413
    @hanskessy9413 หลายเดือนก่อน

    Faith talk prosper where your planted

  • @FloraNgoma
    @FloraNgoma หลายเดือนก่อน

    Rose MUNGU ALIKUWA AMEKUITIA HILI UNALOLIFANYA KWA SASA, sio lile lilokuwa ndoto yako ya mwanzo. Linatokea BAYA ILI LIJE JEMA. MUNGU alijua utaweza wewe kufanya kazi hiyo yake ukiwa Gerezani.

  • @willymauki7426
    @willymauki7426 หลายเดือนก่อน

    Hii ni wazi wapo watu wengi gerezani wasio na hatua,

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 หลายเดือนก่อน

    Hio ndio shida za nchi ambazo zinakosa uwedi wakifatilia ukweli wamatokeo na kubahtisha

  • @sammarley1413
    @sammarley1413 หลายเดือนก่อน

    Nikawaida sana vitu kama hivi katika nchi ya tanzania hakuna kitengo kibovu kilionawa nawajinga kama police ya tz niujinga nauonevu kwenda mbele

  • @khadijanurdin3163
    @khadijanurdin3163 หลายเดือนก่อน

    Hyo ndio TZ na polisi wake,shutuma tu utasema ndo huyo mtuhumiwa ndoa amethibitika,na hawanaga aibu hata kidogo

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda หลายเดือนก่อน

    Sasa alipata kibali cha kukubaliwa kuolewa. Aliamua kufata dini ya mumewe? Au vipi?

  • @user-kj2xh6bt5y
    @user-kj2xh6bt5y หลายเดือนก่อน

    Shemm.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 หลายเดือนก่อน

    Tz ndio channel ya vichekesho kule mbinguni usisaau hii

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 หลายเดือนก่อน

    Kuna masuala jamini hata mkiwa wandishi wa habari chunguzeni nini cha kuuliza mengine ni traumatize jamani dada pole sana na waandishi wa habari wajinga

  • @irenebenny4292
    @irenebenny4292 หลายเดือนก่อน

    Ila police wanaudhi unamkamata mtu kama jambazi bila warrant bila ushahidi nk

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 หลายเดือนก่อน

    Yaan unakutwa huna kosa na hulipwi

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda หลายเดือนก่อน

    Mtangazaji mpk anataka kulia

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 หลายเดือนก่อน

    Magufuli

  • @JELSONMAUKI
    @JELSONMAUKI หลายเดือนก่อน

    Inaonekana upelelezi wa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🇹🇿 ni low level sana. Sijui ni elimu jamani 😭😭😭😭😭😭😭😪😪😪😪😪😪😪

    • @Kristina-fb4jq
      @Kristina-fb4jq หลายเดือนก่อน

      Yaani mi Ndo nashangaa yaani❤binti mdogo ambae yuko chuo awezaje kumkaba na kumuua mkaka, nasikiliza still, didn’t she have a lawyer?

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 หลายเดือนก่อน

      Hakuna police mbovu ulimwengu huu kama police yetu tz uonevu naujinga tu

  • @bonifacemyula5372
    @bonifacemyula5372 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu atabaki kuwa Mungu

  • @user-rr4vt6vd6i
    @user-rr4vt6vd6i หลายเดือนก่อน

    Mbona mmeifuta??

  • @user-pj5fp2xx3d
    @user-pj5fp2xx3d หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji una chuki na baba yako maana ulivyomuuliza rose kuhusu baba ulionekana unabadilika tofauti na ulivyouuliza maswali mengine

    • @OscarVenance
      @OscarVenance หลายเดือนก่อน +1

      Eeh eeh😂😂😂😂

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂​@@OscarVenance

    • @zackysambo5800
      @zackysambo5800 28 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda หลายเดือนก่อน

    Sasa hajatuambia alifungwa kwa sababu gani?

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 หลายเดือนก่อน

      Amesema hapo alipanda bodaboda aliposhuka baadae mtu wa bodaboda akavamiwa na kujeruhiwa hatimaye kufa .na ikajulikana mtu wa mwisho kumbeba ni Rose

  • @111dudi
    @111dudi หลายเดือนก่อน

    Mungu amhifadhi muheshimiwa Majaliwa, ambae alitumwa na mungu kukutana na Rose. Mungu alitaka haki ipande juu ya dhulma.Rose anastahili fidia, na serikali ichunguze wapi uchunguzi ulikwenda vibaya mpaka kumutupia makosa Rose, na wahusika wahukumiwe

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 หลายเดือนก่อน

      Tuweke story balance, ametoka kwa huruma ya Waziri Mkuu. Lakini kuna mazingira kibinaadam kukwepa lawama ni ngumu sana. Ndio maana Waislam tunaishia kusema Mungu ndie ajuwae. Na aliyeuwawa ana watu pia, hivi kwa mfano unakodi bodaboda unashuka eneo ambalo halieleweki dakika 2 baadae dereva boda boda anauwawa, unaachwa je bila tuhuma? Kama utasimamisha chombo eneo linaloeleweka huwezi kutuhumiwa.

    • @111dudi
      @111dudi หลายเดือนก่อน

      @@hajihassan5433 Kwanini amuue dereva wa boda boda?

  • @rosemarymsekela1774
    @rosemarymsekela1774 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Wajina..kwel hakuna neno ngumu linalomshinda Mungu..Sifa na Utukufu ni kwa Mungu...nimeumia na nimefurahi pia❤❤

  • @FaridaKaduguda
    @FaridaKaduguda หลายเดือนก่อน

    Sasa alipata kibali cha kukubaliwa kuolewa. Aliamua kufata dini ya mumewe? Au vipi?