MASANJA MBELE YA MANABII KIBOKO YA WACHAWI ATOA UNABII MZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 มิ.ย. 2024
  • TANGAZA NASI MASANJA TV:
    SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
    👇 👇
    / @masanjatvgospel
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 191

  • @aderanderwa7623
    @aderanderwa7623 หลายเดือนก่อน +31

    YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 21 วันที่ผ่านมา +3

      kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya

    • @JosephKingwere
      @JosephKingwere 16 วันที่ผ่านมา +4

      Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana

    • @EngelLameck-nz5nk
      @EngelLameck-nz5nk 11 วันที่ผ่านมา +1

      Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa

    • @focusernest5610
      @focusernest5610 11 วันที่ผ่านมา

      Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni​@@EngelLameck-nz5nk

    • @GodfridMbele-sb1ks
      @GodfridMbele-sb1ks 2 วันที่ผ่านมา +1

      Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa

  • @AtuganileGodson
    @AtuganileGodson 28 วันที่ผ่านมา +16

    Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 21 วันที่ผ่านมา +1

      naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao

    • @atuganileagrey5041
      @atuganileagrey5041 21 วันที่ผ่านมา

      Yaan Mungu aturehemu

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 28 วันที่ผ่านมา +14

    Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,

    • @user-nx5og4cz7b
      @user-nx5og4cz7b 22 วันที่ผ่านมา

      Kwishaa iyo

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 17 วันที่ผ่านมา +1

      Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh
      Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 16 วันที่ผ่านมา +1

      Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo

    • @user-zw7ln4iy3g
      @user-zw7ln4iy3g 3 วันที่ผ่านมา +1

      mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram 27 วันที่ผ่านมา +12

    Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu

    • @selegioelias9076
      @selegioelias9076 23 วันที่ผ่านมา

      Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn หลายเดือนก่อน +10

    Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba

  • @chrispinkyaruzi1110
    @chrispinkyaruzi1110 24 วันที่ผ่านมา +8

    Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.

  • @nicksonlyimo1562
    @nicksonlyimo1562 29 วันที่ผ่านมา +4

    Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .

  • @SifaelaYoram
    @SifaelaYoram 27 วันที่ผ่านมา +9

    Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San

  • @eliasselemani1963
    @eliasselemani1963 หลายเดือนก่อน +15

    AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI

    • @eliasselemani1963
      @eliasselemani1963 หลายเดือนก่อน +6

      MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 28 วันที่ผ่านมา

      @@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao

    • @Joyceisaka
      @Joyceisaka 24 วันที่ผ่านมา +2

      Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa

    • @marrynaftali7969
      @marrynaftali7969 22 วันที่ผ่านมา +1

      Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno

    • @MonicaBeni
      @MonicaBeni 21 วันที่ผ่านมา

      Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?

  • @user-qg5sc7ie3q
    @user-qg5sc7ie3q 27 วันที่ผ่านมา +7

    Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 24 วันที่ผ่านมา

      @@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!

    • @user-wc6yw1or4n
      @user-wc6yw1or4n 24 วันที่ผ่านมา

      kweli namtafuta MUNGU kibinasfi

  • @thestkim6625
    @thestkim6625 23 วันที่ผ่านมา +4

    Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢

    • @PeterMahona-zd3oz
      @PeterMahona-zd3oz 21 วันที่ผ่านมา +1

      ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 24 วันที่ผ่านมา +1

    I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 หลายเดือนก่อน +3

    Hahaha 😂😂😂😂😂
    Masanjaaaaaaaaaa
    Eti Jana ulikuwa wapi?
    Nimecheka Hadi basi

  • @MAONYOTVTANZANIA
    @MAONYOTVTANZANIA หลายเดือนก่อน +4

    Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote

  • @manaseliberatus1347
    @manaseliberatus1347 หลายเดือนก่อน +6

    TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU

  • @PaskariaSuwi
    @PaskariaSuwi 14 วันที่ผ่านมา +1

    Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho
    Wana wa Ibilisi wamejikusanya

  • @AyubuHeshima
    @AyubuHeshima หลายเดือนก่อน +8

    Ninaona wahuni watupu tu.

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 27 วันที่ผ่านมา +1

      Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda5631 27 วันที่ผ่านมา +2

    Pole sana masanja

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w หลายเดือนก่อน +3

    Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 หลายเดือนก่อน

      Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!

  • @roseriwa6951
    @roseriwa6951 17 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi

  • @user-vk6so5bb7u
    @user-vk6so5bb7u 10 วันที่ผ่านมา +1

    Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢

  • @kipkemoicheruiyot4315
    @kipkemoicheruiyot4315 17 วันที่ผ่านมา

    Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน +8

    Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 หลายเดือนก่อน +2

    Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu utusaidie

  • @dainamichael5624
    @dainamichael5624 4 วันที่ผ่านมา

    Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...

  • @DennisFandi
    @DennisFandi 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe

  • @SamooTz-pi5ok
    @SamooTz-pi5ok 24 วันที่ผ่านมา +1

    Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏

  • @peterrichard9644
    @peterrichard9644 25 วันที่ผ่านมา +1

    Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke

  • @FabiolaTemba-kz2sq
    @FabiolaTemba-kz2sq 4 วันที่ผ่านมา

    Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂

  • @merabKitundu
    @merabKitundu หลายเดือนก่อน +3

    Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu

  • @KatRobert
    @KatRobert 12 วันที่ผ่านมา +1

    Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅

  • @josephgnzunda5631
    @josephgnzunda5631 27 วันที่ผ่านมา +2

    Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 22 วันที่ผ่านมา +1

    OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 26 วันที่ผ่านมา

    Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn,
    Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed

  • @user-up8uq3ih2i
    @user-up8uq3ih2i 27 วันที่ผ่านมา +1

    Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu

  • @Kelvinchristopher072
    @Kelvinchristopher072 หลายเดือนก่อน +5

    Stendi ya kuzimu.

  • @ednakawau9842
    @ednakawau9842 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe masanja ni wale wale

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni

  • @prchMichael
    @prchMichael 21 วันที่ผ่านมา

    Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @user-im7vi2yf2d
    @user-im7vi2yf2d หลายเดือนก่อน +3

    Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 28 วันที่ผ่านมา +1

    Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini

  • @january_Tattoo
    @january_Tattoo 4 วันที่ผ่านมา

    Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma

  • @lusungungimbudzi4265
    @lusungungimbudzi4265 19 วันที่ผ่านมา

    We Jamaa bwana Commed all the time

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetz หลายเดือนก่อน +2

    Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani

  • @FamtamAli-vl2wx
    @FamtamAli-vl2wx 14 วันที่ผ่านมา

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢

  • @JacksonMbites
    @JacksonMbites 3 วันที่ผ่านมา

    Genge la Sarakasi ya Kiroho

  • @samuelakanga5586
    @samuelakanga5586 21 วันที่ผ่านมา

    1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
    16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
    '2 Timotheo 3:1-16'

  • @IsraelLekumok
    @IsraelLekumok 3 วันที่ผ่านมา

    Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 27 วันที่ผ่านมา

    Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie

  • @ellymunisi8749
    @ellymunisi8749 18 วันที่ผ่านมา

    Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli

  • @giftmusa6543
    @giftmusa6543 4 วันที่ผ่านมา

    Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?

  • @agnesmbula5261
    @agnesmbula5261 26 วันที่ผ่านมา +1

    May God open Ur children's eyes....the church of God is lost

  • @hosannakamwela9286
    @hosannakamwela9286 21 วันที่ผ่านมา

    MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba

  • @HellenLemilya
    @HellenLemilya 28 วันที่ผ่านมา +1

    Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 28 วันที่ผ่านมา +2

    Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?

  • @klmhardware2993
    @klmhardware2993 4 วันที่ผ่านมา

    Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢

  • @fredrickmikera5998
    @fredrickmikera5998 19 วันที่ผ่านมา

    Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana

  • @user-xl5xi1uq9z
    @user-xl5xi1uq9z 18 วันที่ผ่านมา

    Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie

  • @user-kz5en5tq2z
    @user-kz5en5tq2z 27 วันที่ผ่านมา +2

    Vipofu wana wa majoka

  • @ombendaud5938
    @ombendaud5938 28 วันที่ผ่านมา +2

    Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu

  • @merabKitundu
    @merabKitundu หลายเดือนก่อน +2

    Kweli mbinguni ni mbali

  • @nangukidasu8040
    @nangukidasu8040 3 วันที่ผ่านมา

    Unafiki wa kubembeleza pesa

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s 24 วันที่ผ่านมา

    Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....

  • @Pendopasilika
    @Pendopasilika หลายเดือนก่อน +3

    Dunia imeisha

  • @patrobamalema8631
    @patrobamalema8631 7 วันที่ผ่านมา

    KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃

  • @user-nx5og4cz7b
    @user-nx5og4cz7b 22 วันที่ผ่านมา

    Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.

  • @fredrickmikera5998
    @fredrickmikera5998 19 วันที่ผ่านมา

    Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli

  • @annambembela6661
    @annambembela6661 22 วันที่ผ่านมา

    Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame

  • @user-go9ec5jn6l
    @user-go9ec5jn6l 25 วันที่ผ่านมา +1

    Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae

  • @FabiolaTemba-kz2sq
    @FabiolaTemba-kz2sq 4 วันที่ผ่านมา

    Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 27 วันที่ผ่านมา

    wazee wa kazi kazi

  • @IssaPara-bt9hg
    @IssaPara-bt9hg หลายเดือนก่อน

    Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana

  • @user-qw8tm3jz2u
    @user-qw8tm3jz2u 28 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii

  • @VenanceMsoka
    @VenanceMsoka วันที่ผ่านมา

    alafu ni mwingizaji😅😅😅

  • @raymondwilliam3042
    @raymondwilliam3042 หลายเดือนก่อน +1

    Bodyguard sasa 😂

  • @mercycharlesmsiagi1756
    @mercycharlesmsiagi1756 27 วันที่ผ่านมา +3

    Waganga walio vua kaniki wakavaa suti

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 27 วันที่ผ่านมา +1

      Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana

  • @edouardnsengiyumva1145
    @edouardnsengiyumva1145 5 วันที่ผ่านมา

    Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi

  • @KabestarMusic-l2o
    @KabestarMusic-l2o 9 วันที่ผ่านมา

    Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba

  • @jubilethfestourio450
    @jubilethfestourio450 17 วันที่ผ่านมา

    Wateule muwe macho hizi nisiku za mwisho

  • @JohnMakweba-fj4rt
    @JohnMakweba-fj4rt 11 วันที่ผ่านมา

    Can i prophesize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn5727 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mtatubu kwa lazima

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka 17 วันที่ผ่านมา

    Uyu malisa naendaga kwake ila simwelew naendaga tuu kufanyq uduma

  • @AnnaMsami-f5p
    @AnnaMsami-f5p 14 วันที่ผ่านมา

    Mmh! Mungu nipe macho nione manabii wakweli maana bila wewe mimi sitaweza kuwatambua, naona hapa kuna alama nyingi za ??????

  • @VeronicaMungure
    @VeronicaMungure 24 วันที่ผ่านมา

    Amen

  • @eliakefas9300
    @eliakefas9300 3 วันที่ผ่านมา

    Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!

  • @jacklinejohn5727
    @jacklinejohn5727 23 วันที่ผ่านมา

    Mtatubu kwa lazima huyu mrili alitaka kuniteka ati nimtumie laki saba aniombe hm sina hata dululu

  • @ushindimbwilo1398
    @ushindimbwilo1398 29 วันที่ผ่านมา +1

    Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo

  • @Mwakibinga_wisdom
    @Mwakibinga_wisdom หลายเดือนก่อน +5

    Duuuh 🙄
    Nimeduwaaaaa

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 หลายเดือนก่อน +2

      Umeona ee shida

    • @deborahmchona5584
      @deborahmchona5584 หลายเดือนก่อน +3

      Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 หลายเดือนก่อน +2

      Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.

    • @sophiaommy8343
      @sophiaommy8343 หลายเดือนก่อน

      ​@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana

    • @AtuganileGodson
      @AtuganileGodson 28 วันที่ผ่านมา +4

      Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂
      Mungu atusamehe sana

  • @AgnessChambo-mx6rd
    @AgnessChambo-mx6rd 19 วันที่ผ่านมา

    Jamani sisemi sana ila
    Mungu atufungue macho zama hizi yatosha

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 25 วันที่ผ่านมา +1

    Acheni mizaha ni Mungu gani huyo mnamwabudu?mbwembwe tupu

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 15 วันที่ผ่านมา

    dah watu wanajali pesa kuliko mungu siku za mwisho hizi jamani kueni macho

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 12 วันที่ผ่านมา

    Duh! Tumevamiwa.yaani Hawa sorcerer's wamekutana wote Leo.

  • @TheofiloKihongosi
    @TheofiloKihongosi 23 วันที่ผ่านมา

    Pole myawe kweugenda

  • @user-sz6qc5fh3q
    @user-sz6qc5fh3q 15 วันที่ผ่านมา

    Mashetani wamekutana kupanga uharibifu

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini 2 วันที่ผ่านมา

    Uuuuuwiiiii😮

  • @Rumbakweka
    @Rumbakweka 17 วันที่ผ่านมา

    Masanga ndo simwamini kabisa uyu ni komedian sio mchungj

  • @dorahkaruma9299
    @dorahkaruma9299 18 วันที่ผ่านมา

    Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂