YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢
Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari. 16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki; '2 Timotheo 3:1-16'
Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli
Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie
Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂
YESU KRISTO ATUREHEMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO WATEULE TUWE MACHO MWENYE KUJITAKASA AZIDI KUJITAKASA MWENYE KUDHULUMU AZIDI KUDHULUMU KUDHULUMU HIZI NI NYAKATI ZA MWISHO
kwelimpendwa nichangamoto. MUNGU anisaidie atusaidie maigizo kama. haya
Mimi nilivyo muona uyo kiboko ya wachawi mhmhmh nimeshangaa sana daaaah hapo kuna namuna jmn 😢 Yesu chrsto atusaidie sana
Unapotea sana Kaka Angu masanja hebu mwambie Mungu akupe amacho uone kuhusu hao watumish unao wasifia unako enda sio kabisa
Watu wako after maokoto macho ya rohoni hayaoni@@EngelLameck-nz5nk
Hawa ni mawakala wa shetani wote hawa
Kabisa.Mungu anachezewa kiasinhiki??inatia uchungu sana
naumia Sana mungu wamemfanya. kama babuyao
Yaan Mungu aturehemu
Nilidhani Masanja yuko upande Wa Nuru,kumbe na yeye ni walewale yuko upande wa giza😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 Ni ha ta lii sana,
Kwishaa iyo
Hivi nyie mnapataga shida sana kuwatambua hawa eh
Basi mwenzenu hata kwa mavazi tu nawaelewaga
Kwenye madhabahu unalet comedy 😢😢Mungu atusaidie atupe macho ya kiroho, nyakat za mwisho kutakuw na manabii wa uongo
mwanangu mmoja alishanigomea huyu alishachukuliwa kitambo walivyoona anakiu ya mafanikio wakatumia njia hiyo kumchukua 😢😢 leo ndo nimemkoma masanja
Nasikitika nahisi uchungu usioelekeza,,, Mungu turehemu
Yaani we achatu nasikia hasra ya Bwana nikuwa saga wote hawa
Dunia imekwisha Kazi mnayo ngoja Mbarikiwa awajibu Mapepo ni mengi kwenye iyo ya Mazaba
Masanja, geuka haraka! umepotea mdogo wangu! Huyo siyo nabii ni mchawi kama wachawi wengine, ni vizuri umuombe Yesu akufungue macho! ila nilichogundua watu wanakupenda. Hebu angalia coments za watu.
Mazingaombwe
Masanja usidanganyike ,we binafsi Mtafute Mungu ataonekana ,achana na watu ,kama uliitwa kweli nadhani ulikua peke yako na siku ya hukumu utasimama peke yako na YESU Ili akuhukumu na hao huta waona ,Mungu hanaga wengi wape Bali ni jitahidi uingie ,nakushauri mtumikie Mungu kwa utakatifu, haki ,na unyenyekevu utavuka tuu, manabii wa uongo ni wengi Sana na kuwatambua ni vigumu Matayo 24 yote utaona ,Acha kuwasifu watu waache Mungu ndio ataamua hatima Yao kama ni wa kweli au usanii ,( ukitaka kujua maisha ya mitume we soma Biblia tuu utaona walivyoishi na walivyofanya na walivyo enenda kama kweli maisha Yao yanalinganishwa na mitume wa kweli ,) Kristo ni yeye yule Jana Leo na hata Milele hakuna wokovu wa kisasa Wala mwenendo wa kisasa Wala utakatifu wa kisasa ,jihadhari Sana nafsi yako , wengi watapoteza wengi .
Bible verse,, ,, hivyo husema, Amka wewe usinziaye ufufuke katika wafu na kristo atakuangazia,,,,,,waefeso 5:14,,,,,,, wapendwa tuamke wewe unayeona haya matukio amka hizi ni nyakati za hatari San
AFADHALI KUISHI TU HUKU KIJIJINI
MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA
@@eliasselemani1963 ha ha haaaaaa! Unamaanisha kjjn ndy kukosalamaaa!!!!??? Hkuna bhana sasahv vyombo vya hbr vmefny dunia iwe mtaa nenda kjjn sasahv mchngj wa hapohapo kjjn wat hawamjui jina ila nabii wa uongo wa Dar wanamjua na vikorokoro vyke wanavyo had chumban kwao
Kabisa kaka angu huku dar ni hatar mweee ni hurumaa
Umeona eeeh,Mjini Mambo mengi mno
Hahahahaha ndugu yangu umifurahisha sana... Afadhali kuishi tu kijijini !!! Umewaza nn kamanda wangu?
Yaan mmeona Kwa Yesu ndo pakufichia ushetani wenu
@@user-qg5sc7ie3q yaàan acha tu!
kweli namtafuta MUNGU kibinasfi
Daaah pesa inatutenganisha na mungu kabisaaa😢😢😢😢
ndiyohivyo ilawapo. watakao. Simama tu namungu atatushidia
I LOVE JESUS SO MUCH.❤..AMENITOA MBALI SANA🙏
Hahaha 😂😂😂😂😂
Masanjaaaaaaaaaa
Eti Jana ulikuwa wapi?
Nimecheka Hadi basi
Mihuni ya dunia hii , utani wa wahuni wajitambia mapesa ya uchawi wao , katskela anawajua wote
TIMU IMEKAMILIKA MKUU, UKITOKA KWA KIBOKO YA WACHAWI UNAKUTANA NA NABII MUUWAJI, MADHABAHUNI HAPAPANDISHWAGI KILA MTU
@@manaseliberatus1347 kaz tunayo!
Naomba unipe mwisho mwema Mungu wangu
Hakika YESU yupo mlangoni tuweni macho
Wana wa Ibilisi wamejikusanya
Ninaona wahuni watupu tu.
Uhuni sio dhambi mbona,, kwani uhuni mining?
Pole sana masanja
Usanii mpaka kwa kutumia Jina la Mungu,mmmmm Mungu tuhurume
Sasahv Mungu c kawa k.m anko tuu tna ht kw anko mdada haend na visuruali ila madhabahuni bnt anasogelea na mavaz ya uchi bila haibu, jamaniii" M/ KE KUVAA SURUALI HT KM N Y SUT NI KUWA UCHI, ni roho ya yezeberi makanisani!
Mungu wetu sijui kawa mpole....why! Inauma sana
😂😂😂 pamoja na upako wote lakini bado kuna bodyguard inaonyesha mu waoga kiasi
Hapo hata kipofu mwenyeakili timamu hadanganywi,,iweje sisi tulopewa macho tudanganyike???,,Dear guys mwenyekusali sali sanaaaa pia mwenye kufwata hao mashetani endelea but majibu unayo😢😢😢
Ghaai huku ni wapi , may the light of the Holy scripture sound absolute truth till the end of the edge😢
Kwani ma wewe masanja umekuwa mtu wa swaga namna hiyo hee mbona kuzimu mtajaa sana
Jana ulikuwa wapi afu ukapotezea nimefrahi sana😂😂😂
Mungu utusaidie
Feel free church.... Jina lenyewe linajitambulisha...
Hakuna nabii jamani tusidanganyane, nabii ni mtu anaeweza kuiona kesho? Sio kwa kuhisi mtu anaiona picha nzima ya kitu au tukio litakalotokea, anaweza kukuelezea kila kitu bila kuacha hata chembe
Matapeli wamekutana jmn hii dunia tunaenda wap 🙏
Ngoja ninyamaze maana na imagine kina Paulo huko mbinguni wanatamani washuke
Masanja mkeo ana kuzalilisha Yaan haja tulia kabsaaa jmn 😂😂😂😂 Sijawai kuona mke wa mtumish wa Mungu mwenye wenge kama uyu jmn 😂😂😂😂
Itatufaa nn kupatata yote Kisha tukose mbingu
Hizo nguo zao zinatisha kwanza😅😅😅
Nuru yako imezimaje ghafula kihivo wazazi wako wakiroho bado wanailinda imani
OLE WA NCHI NA BAHARI POLENI KUMBE YESU ALISHATUAMBIA KAMA SIKU HAZITAFUPISHWA HAKUNA MTU ATASALIA
Yaani Masanja umeweka Ukomedi wako hadi knsn,
Umeambiwa nyumba ya Bwana itakuwa nyumba ya Sala, si nyumba ya kufanyia comed
Haaa vituko ,Masanja rudi kwa yesu
Stendi ya kuzimu.
Hatari sana
Kweli Mungu anazihakiwa sana
@@Kelvinchristopher072 duuuu
Kumbe masanja ni wale wale
Ulikuwa ujui ni wale wale
Hakika ni walewale
Mbona makondeko umezeeka hivyo tubu kabula haijawa jioni
Wanasema wameitwa kumbe ndo wapuuzi kwanini mnalitumia jina la YESU kupoteza watu na kujitwalia heshima wewe ni nan watu wakupigie magoti acheni upuuzi jaman 😭😭😭😭😭😭😭😭
Mbarikiwa ndo ameitiwa kazi ya kuwanyoosha hawa watu
Ha ha haaaaaaaaaaaa!
Makundi ya wachawi Tanzania ndugu zanguni watanzania ndio hawa tuweni makini
Nashukuru mungu 😂 mmenza kujichanganya na kujikusanya ili tuwajuwe😂😂😂 kumbe mpaka wewe ni mfanya biashara sio ujatumwa unajituma
We Jamaa bwana Commed all the time
Mbona mmeweke kakipande kadogo jamani
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢😭😭😭😭 kweli hii ni Feremason kabisa yani Mungu tusaidie Walahi 😢😢😢😢
Genge la Sarakasi ya Kiroho
1 Lakini ufahamu neno hili, ya kuwa siku za mwisho kutakuwako nyakati za hatari.
16 Kila andiko, lenye pumzi ya Mungu, lafaa kwa mafundisho, na kwa kuwaonya watu makosa yao, na kwa kuwaongoza, na kwa kuwaadibisha katika haki;
'2 Timotheo 3:1-16'
Mimi. Sikubalihani. Na. Hawa. Mbaka. Yesu. Arudi
Can i prophesey 😢😅😅😅 Go deeper Papaaa😂😂😂😂 Haki Mungu wangu weq Tuhurumie
Leo wameturihixishia timu yao yakishetani ngoja niwashitakie kwa Mungu na wapotelee mbali kwa njia 7 wote waangamie Kama hawatatbu na kumuubiri Yesu wa kweli
Yaani hivi watu wanaoenda kanisan kwa masanja kichwani zmo kweli?
May God open Ur children's eyes....the church of God is lost
MUNGU anadharirishwa hivi, jamani. Dunia iko pabaya wamemfanya Mungu kama mjomba
Wahuni mmejikusanya kutapeli watu , serikali tuache kuwatafuta vibaka wengine tofauti na hawa waliojitokeza
Hovyoooooooooooooooooooooooo.upumbavu gani huoooo. YESU GANI HUYO UNAYEMWINGELEA.?
Daaaa kanisa limeva😢😢miwa😢
Yaani watu wanatambulishwa na vyeo vyao vya kuzimu ila wahumini hawaelewi.inaumiza sana
Watu wapiga magoti na kumfuta viatu masanja hii sio sawa ni kama wanakuabudu ,sio sawa achana na giza toka 😢,manabii wa uongo walitabiliwa wakati wa mwisho wa dunia au kuja kwa Yesu kristo,ndo sasa tunaona, Yesu tusaidie
Vipofu wana wa majoka
Mmmmhhh hivi ni vipande 30 tuuuuu
Kweli mbinguni ni mbali
Unafiki wa kubembeleza pesa
Kuna mwizi anaetumia silaha anaitwa jambazi..kuna mwizi anaetumia siasa anaitwa fisadi..halafu kuna wezi wanotumia jina la mungu....
Dunia imeisha
KIBOKO YA WACHAWI ANAWAADABISHA WACHAWI BARABARAAAA 😄😄😄😄🏃🏃🏃🏃🏃
Milioni 40 inamuhamisha kwa yesu kbs mi sikujuwa kama muunganiko ni mkubwa hivi kt ma masanja na hawa pesa bibilia itamtenga mtu na mungu nimeamini.
Mathayo 24:24,siku za mwisho watatokea manabii wa uongo na wakristo wengi wa uongo.someni ufunuo kama hamjajaliwa kuelewa tuulizeni ili tueadaidie tuko ktk dk za mwisho kabisa Yesu yupo karibu kurudi na shetani amewafumba macho watu wasijue ukweli
Mungu wangu nin hiki jamani duuh Dunia shuka nisimame
Yan masanja nae,,atapotea anaanza kuweka ujinga nae
@@user-go9ec5jn6l sio atapotea!!!!
Mke wa masanja ana shida gan? Mbona hajapoa anahangaika sana kama mtu anamtekenya
wazee wa kazi kazi
Mungu awape nguvu wachungaji wote mungu awalinde Sana
@@IssaPara-bt9hg mh
😂😂😂😂😂 kwahiyo ukigusa viatu vya Masanja umemgusa Nabii
alafu ni mwingizaji😅😅😅
Bodyguard sasa 😂
Waganga walio vua kaniki wakavaa suti
Haaaaaa ndugu yangu umenichekesha sana
Mungu okowa loho ambazo zimepoteya hizi
Mtu anaabudiwa kama mngu mngu jizihilishe wakuone baba
Wateule muwe macho hizi nisiku za mwisho
Can i prophesize 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mtatubu kwa lazima
Uyu malisa naendaga kwake ila simwelew naendaga tuu kufanyq uduma
Mmh! Mungu nipe macho nione manabii wakweli maana bila wewe mimi sitaweza kuwatambua, naona hapa kuna alama nyingi za ??????
Amen
Kama Kuna siku umenishangaza masanja ni leo, nilidhani tupo kwenye boti kumbe duuuh!
Mtatubu kwa lazima huyu mrili alitaka kuniteka ati nimtumie laki saba aniombe hm sina hata dululu
Masanja mpka hapo hakuna kitu hapo
Duuuh 🙄
Nimeduwaaaaa
Umeona ee shida
Mungu wangu mpka mi sielewi wanatu changanya kuna niliokua mawaamini pia naanza kupoteza imani kwao sasa Mungu tusaidie tu hiz ni zama za mwisho kwa kweli
Achana nao ucje ukafa kabisa tukakukosa.
@@deborahmchona5584mbona Kama Kuna Rolinga tenaa aiseee nimejikuta naumia sana
Utajua tu.Wamejipanga na wapo vizuri.Mungu hatajwi ila sifa za watu.😂😂😂
Mungu atusamehe sana
Jamani sisemi sana ila
Mungu atufungue macho zama hizi yatosha
Acheni mizaha ni Mungu gani huyo mnamwabudu?mbwembwe tupu
dah watu wanajali pesa kuliko mungu siku za mwisho hizi jamani kueni macho
Duh! Tumevamiwa.yaani Hawa sorcerer's wamekutana wote Leo.
Pole myawe kweugenda
Mashetani wamekutana kupanga uharibifu
Uuuuuwiiiii😮
Masanga ndo simwamini kabisa uyu ni komedian sio mchungj
Kuna kiboko ya wachawi na huyo sijui IPM siku nikiwa sijafanya dhambi kama iliyosababisha leo kujaziwa kadi la kliniki 😂. Nitakwenda makanisani kwao kuwaombea waokoke na kuwaongoza sala ya toba 😂😂😂