KALENDA ZA KICHAWI AMBAZO HUTUMIKA KULIANGUSHA KANISA NA WACHUNGAJI|USHINDI NI KRISTO|MCH.KATEKELA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 13 มี.ค. 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
M-pesa Lipa Namba.5634017
AirtelMoney Lipa No.3878783
Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
#ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV
Siku nikienda masumbwe lazima nifike kwa uyu mwamba barikiwa sana mtumish
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe saana tunapenda mahubiri yako.Tunaendelea kufahamu ulinwengu wa roho namna una oparate.Mungu akulunde mtumishi wa Mungu.
Amen and amen feeling blessed and learning a lot from kenya-Nairobi
Mtumishi wa Mungu, inqhitajika ufanye semina na wachungaji...
Urakoze cane imana ikongere inkomezi
Very deep teaching servant of God ,,am blessed
Ubarikiwe na MUNGU wambinguni Kwa baraka za mbinguni naduniani Mtumishi wa MUNGU hallelujah
Utukufu kwa YESU KRISTO
Mungu atusaidie sana.
Napenda mahubiri yako sana sana nabarikiwa kutoka kenya
Samweli Mwema Muri yupo?
Ohh YESU tusaidie tunapoyasikia haya.UBARIKIWE Mchungaji
Barikiwa sana mtumishi,unatusaidia Sana kujua madhabahu ya kuzimu inavyofanya kazi
Amen amen amen amen mtumishi mungu akubaliki akukumbuke akumbuke na watoto wako na muke wako
Ubalikiwe Sana mtumishi wa Bwana kwa ujumbe wako
Waaaaa mungu atusaidie kwa kweli maana Dunia imeharibika sana bwana tusaidie barikiwa mtumishi wa mungu
Amen and amen,, feeling blessed from kenya
Ubarikiwe sana kwa kazi ya mungu unayofanya,umetujuza mengi ambayo hatukujua!.
Amen, mbarikiwe na asante kwa neno😊🙏
Nimeipenda sana mtumishi kwa mahubir yko
Amina ubarikiwe san mtumishi kwa neno zuri nashukuru nimepata kitu ubarikiwe san
Mungu azidi kukutumia katika viwango vya juu sana.
Endelea kusema ukweli Baba Mtumishi wala usichoke!! Kuna watumishi wengi wa Mungu wanaogopa kusema maneno unayosema wewe lakini kwa sababu umeneemeshwa sana na Yesu jamani ongea! Umekuwa wa baraka sana kwangu kibinafsi na kwa nchi yangu 🇰🇪. Barikiwa sana na ulindwe kwa Roho Mtakatifu na damu ya Yesu, Amen.
Promover kindly post full teachings kindly in Jesus Name
Mungu akubariki sana tunatazama
Ubarikiwe Sana Mchungaji
Bwana asifiwe hapo kwa tiktok ukweli KENYA kuna boy alikuwa kwa tiktok ,amefariki kwa ajali 😢 YESU TUSAIDIE
Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana baba 🙏 🙏 🙏
Amen mtumishi.
MUNGU akubariki sana Mchungaji kwayote uliyoyaongea ..AMEN
Asante mch tengeneza kns
Ooh kumbe ndio wanakufa sana
Amen ubarikiwe
Asante sana
Mungu atusaidie
Mungu akubariki sana
Amen
Amen Amen Ameeeeeeeeeeeeen
Barikiwa sana
Ubarikiwe mtumishi
Mungu tusaidie
Amen amen ameeeen
Ukweli kanisa linatafutwa sana, nasi hukumu zetu ni za mwilini MUNGU atusaidie.
Yani nikweli kabisa ulivonena mtumishi wa Mungu,hakika ukimjua Mungu utamtolea kwa kupenda sikwa surutisho ndio maana Ibrahim n mfano wa waliowahi kutikisa mbingu kwa sadaka yake
Kwanini, upeleke Njiwa?? Na Kazi ya Njiwa Ninini??
Ameeni
AMEEEN
Ni kweli Hata juzi Mkenya shoga alietrendi sana kwa Jina Brian Chira,aliuwawa.
Oh yes
Mchungaji bwangu ni mzee wa kanisa anazini na kuzaa na mwana make nje ya ndoa mara nyingi
Hii ni ukwei kabisa ata kenya ni ivo
Samahani mtumishi nina swali
Uliza
Ameni
Jamani Yesu nisaidie kukutumikia
Mtumishi nakushukuru sana kwa kutufunilia Mambo ya tick tock Mungu atusaidie
Mtumishi unanena mambo mazito sana.
Kikweli mhubiri haya mnaonena yanafanyika ,ila mbona siku hizi kanisani mtu akikutwa na dzambi hawamufwatilie.vtufanye nini?
❤❤❤❤❤❤
🇹🇿🙏🙏
Hao watu sana siku hizi ambao watakuwa tiyari kumshauri huyo mzee wa kanisa muda wote huo wanatokea wapi? Mfano kanisa dogo.
Hii ya tiktok nayo ina ukweli wake
Tafadhali nisaidie na namba ya katekela
Basi jamani huyu na awe Asikofu mkuu w Tanzania na dunia nzima kabisa kabisa
Kwa sababu anaongea tu mambo ya uchawi uchawi?hana Neno anafundisha kazi za shetan
Usipojua adui Yako anamtumia silaha gani Naina nguvu kiasi gani huwezi kupigana nae@@chrismassawe2939
Mh ili la viewers wengi wanakufa imenishtua kifo cha BRIAN CHIRA
Amieli Barikiwa mtumishi
Mtumishi sijui unachohubiri ,kwakuwa unaweka chuki ya kiimani kionyesha Uislam ni ushetani,nadhanibkwakuwa Ulikuwa Freemason hujaacha umekuwa Freemason wa hadharani kupitia madhabahu ya Kanisa yaani unafundisha kuwa kila muislamu Ana majini? Mimi nilikuwa mjinga kama wewe hapo nilipokuwa nje ya Uislamu niliaminishwa hivyo lakini sivyo kabisa uislam ni dini safi haina association na majini ninapenda Uidlamu 💯
Kuna baadhi ya wahubiri/watenda kazi wa Mungu unadi upande walionao na kuuchafua au kupaka tope dhehebu au dini nyingine! Mtu asikie na kuamua wapi anaona ndipo Kuna Mungu
Bado upo gizani
Tulia wewe bado unaumwa
Wajinga ndio waliwao😊
Mungu atusaidie sana
Amen
Amen