RC MAKONDA AWATUMBUWA WATUMISHI 10 HAWANA KAZI"HAWA WATU WASHITAKIWE NA LEO MILIONI 52 ZILETWE HAPA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 มิ.ย. 2024
  • #AdilTV

ความคิดเห็น • 28

  • @abdialijamaa1643
    @abdialijamaa1643 6 ชั่วโมงที่ผ่านมา +2

    this is what we call leadership.

  • @user-fg5fp8lr3c
    @user-fg5fp8lr3c วันที่ผ่านมา

    Makonda hasiwarundi. Tunakupenda kwahuduma. Thanks blo gujobu

  • @sabrinaandrew4245
    @sabrinaandrew4245 17 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwenyezi mungu nakuomba umpe umri mrefu Mh poul makonda.🙌🙏🥰

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 2 วันที่ผ่านมา

    Maskini pole sana Mama Mheshimiwa Makonda saidia hawa Wanyonge wanaonewa asante

  • @user-lc6tu6wi4c
    @user-lc6tu6wi4c 3 วันที่ผ่านมา +1

    Piga kazi Mzee nakukubali sana

  • @jaqqayzaabdi9473
    @jaqqayzaabdi9473 2 วันที่ผ่านมา

    I am Kenyan but I really agree with Makonda for his work as the next president of Tanzania mark.my word

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 3 วันที่ผ่านมา +2

    Mheshimiwa pia tafadhali tazama Hawa waendesha pikipiki,,, wanaharibu sura la JiJi. Hata wakisimamishwa na askari wa njiani (Police Traffic) hawasimami kamwe😢

  • @user-wy4fv9vd7w
    @user-wy4fv9vd7w วันที่ผ่านมา

    kwa kweli makonda mungu akutunze

  • @valerianguma4641
    @valerianguma4641 3 วันที่ผ่านมา +2

    Many citizens on Tz who are financially ok seems to be above the law. Wuuyi !!!!

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 3 วันที่ผ่านมา

      Exactlyyy Well said 😅

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Makonda oyeee!!! 😂😂😂nafurahi hadi nalia.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mwizi hawezi kumkamata mwizi mwenzake wanasaidiana katika wizi hasa Watendaji wa Serikali

  • @ThobiasMasabire
    @ThobiasMasabire 3 วันที่ผ่านมา +1

    Tumbua kaka makonda ukimaliza huko njoo Tena dar

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo1030 3 วันที่ผ่านมา

    Makonda Pole maana una kazi na hao watu da ! Kuna shida kubwa hiyo nchi

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 3 วันที่ผ่านมา

    Wtumishi wa serekli wanabembelezwa hawachomwi kwa MAKONDA wanatumbuliwa MAMA SAMIA kazi iendelee

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 3 วันที่ผ่านมา

    Corruption has brought down chamaa cha CCM in Arusha

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2q 3 วันที่ผ่านมา

    Huyo mkurugezi jipu afai mla rushwa huyo pigeni chini

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 3 วันที่ผ่านมา

    But, where were they before you MH. Makonda? TLS

  • @mohamedali7544
    @mohamedali7544 3 วันที่ผ่านมา

    Wanahujumu chamaa cha CCM

  • @uwezashehemba5367
    @uwezashehemba5367 3 วันที่ผ่านมา

    Makond nakuku bari

  • @GerysonMsukwa
    @GerysonMsukwa 3 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa makonda kazi yako ni njema watanzania tupo pamoja na wewe

  • @miletuskgmiletus1563
    @miletuskgmiletus1563 3 วันที่ผ่านมา

    TLS walikuwa wapiiii?

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2q 3 วันที่ผ่านมา

    Huyo mkurugezi nafasi hiyo inaonekana kapewa hidaya tu sio kosa lake mtoto wa wazee huyo

  • @user-fw6xu8gn2q
    @user-fw6xu8gn2q 3 วันที่ผ่านมา

    Unataka boda asimame atoe rushwa au umfanyaje fala wewe!

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 2 วันที่ผ่านมา

    SUPANA MCHANA KWEUPE 😂

  • @GerysonMsukwa
    @GerysonMsukwa 3 วันที่ผ่านมา

    Mheshimiwa makonda MUNGU amekupa hekima usiogope MUNGU yupo pamoja na wewe

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 3 วันที่ผ่านมา

    Vibaka wanachomwa