Hahahaha maguful part2 Mungu mlinde uyu ndugu yetu Pengine myaka ijayo hakipata Kiti kikubwa haweze kutuvusha #live Na uwonevu Wa vigogo kwa watu Tusio jiweza kifeza na kuongea Na tusiyo jiweza kisheria
ivi uyu Makonda ni nani na ana nini? Wenezi wamepita wengi tu lakini uyu jamaa izi kalama kazipata wapi? Watu,eananchi wameweka imani nae kiasi iki tumpe tu ukuu wake wakimungu alio pewa na mungu
Wananchi wanaimani na makonda kwa anavoshuhulika na na kero zawananchi alafu msigwa anasema makonda kiini macho anafanya yasiyomuhusu anatowa maamuzi yasiyo sasa wewe bwana msigwa angaliya watu walivomkubali unaempinga
Katoaje kienyeji braza ivi wew unajua taratibu za kupima ardhi kweli.kuna gharama ya kupima ardhi kulingana na ukubwa na unatakiwa ulipe ndio uje upimiwe bibi kalipa ila wao sasa watu wa ardhi ndio hawataki kupima na hela ya kurasimisha ardhi umetoa.
Kaka makonda wewe ndo Magufuli wapili from Sweden 🇸🇪
Hahahaha maguful part2
Mungu mlinde uyu ndugu yetu
Pengine myaka ijayo hakipata
Kiti kikubwa haweze kutuvusha #live
Na uwonevu Wa vigogo kwa watu
Tusio jiweza kifeza na kuongea
Na tusiyo jiweza kisheria
Hii nchi ni kama sinema viongozi wa hovyo sana hawa
Piga kazi kaka na Mungu akusaidie
Makonda kiongozi kweli.. Sio wamatata
Viongozi wengine wanaona madalaka kama ya family zao sio kuwaudimia wananchi WACHAWI hawa
Hawa wakurugenzi hovyo sana
,,
,makonda kuna mjane mayatima watano wamezulumi mirathi yao taas
Jamani fukuza hao mara mojA wamemdhurumu huyo bibi
Hahaha😂😂 kudadadeki nchi imeishaa
Makonda hii sio kazi yakisiasa ungefanya kisasa ingekushinda siku nyingi,Mungu anakuongoza anakulinda kwasababu siasa imevuka,ni mambo yakiroho
Kabisa Kaka
,wamezulumi na taasisi ya kidini ya Ansar suna mjane na watoto
Mungu akulinde
Wamrudishie pesa yake na kupima wakapime kwa pesa zao...warushiiii
Wazee wengine wezi
ivi uyu Makonda ni nani na ana nini? Wenezi wamepita wengi tu lakini uyu jamaa izi kalama kazipata wapi? Watu,eananchi wameweka imani nae kiasi iki tumpe tu ukuu wake wakimungu alio pewa na mungu
Ameen🙏
Vizuri sana
Mungu kamchagua
❤❤
Inauma sana 🙉🙉🙉
Wananchi wanaimani na makonda kwa anavoshuhulika na na kero zawananchi alafu msigwa anasema makonda kiini macho anafanya yasiyomuhusu anatowa maamuzi yasiyo sasa wewe bwana msigwa angaliya watu walivomkubali unaempinga
Tungejuaje wabibi awa wanatoa pesa nakwanini watoe pesa ivyo kienyeji?
Katoaje kienyeji braza ivi wew unajua taratibu za kupima ardhi kweli.kuna gharama ya kupima ardhi kulingana na ukubwa na unatakiwa ulipe ndio uje upimiwe bibi kalipa ila wao sasa watu wa ardhi ndio hawataki kupima na hela ya kurasimisha ardhi umetoa.
@@geraldadolf4928NADHANI KESHAFAHAMU 😂😂😂😂
@@geraldadolf4928NADHANI KESHA FAHAMU 😂😂😂😂😂😂