Mfahamu Mkurugenzi Mpya Wa Usalama Wa Taifa. Mabadiliko Yanamaanisha Nini?
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2023
- Rais Samia Suluhu Hassan leo Agosti 28,2023, amemuapisha Balozi Iddi Ali Siwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa, akichukua nafasi ya Said Hussein Massoro aliyeteuliwa kuwa Balozi.
Hii ikiwa ni takribani miezi nane toka Rais Samia amteue Said Massoro aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu na Mkurugenzi wa Shughuli za Ndani wa idara hiyo nyeti kuwa Mkurugenzi Mkuu Januari 3, 2023.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Mtu mwema sana mr siwa Mungu amlinde vema na afya njema
Nakuombea kwa Mwenyezi Mungu mh Balozi Iddy Ally Siwa akuongoze katika majukumu yako ya kuiongoza Idara ya usalama wa Taifa letu,,Namuomba Mwenyezi Mungu akujalie afya njema ya roho na Mwili katika majukumu yako mazito ,makubwa na ya muhimu kwa ajili ya nchi yetu.
Mmmhhhh sijui
Nawasalimia kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿
He! Yuko kwenye utumishi wa umma tangu mwaka 1977? Huyu atakuwa Ni mzee Sana aliyepitiliza umri wa kisheria wa utumishi wa umma. Atakuwa Kesha vuka miaka 65. Ni Bora apumzike.
Maombi ya mchungaji mbarikiwa yamejibiwa.
mh!
Maombi ya Mbarikiwa yamejibiwa kivipi?? Kwani Masoro amefukuzwa kazi??? Mtu amepewa Ubalozi kaenda kula Bata nje ya Nchi harafu unasema maombi yamejibiwa we vipi????
✌️👊👍。
Huyu Mungu tumpe maua yake
Kumbe mwamba alitumwa vitani?? Basi ni mtu bomba sana 😂😂😂
Aya
Teua tengua teua tengua teua tengua teua tengua
Naombeni remote
Hakuna cha maana Wananchi amkeni
Aliye macho haamshwi
Kuna watu ni wajinga sana Huyu Mzee ana busara sana amekuwa mtumishi wa umma kitambo tena ni mzarendo na mchapa kazi mungu akulinde baba.
Huyu Jamani hajavuka miaka kweli???
Kuvuka miaka ni ishara ya uzoefu ambao nchi inauhitaji.
Labda huyu atamshauli mh raisi juu ya bandari yetu
Jinga ww
Ni wale wale
kuripoti mojakwamoja kwa rais 😅😅😅mnahisi babadiliko yako sawa kwa masilahi ya taifa au 😅😅😅😅 koment hapo chini nijue mawazo yemu
Hamna lolote
Mwisilamu tena
😂😂😅😅😅
Ulitaka amteue nan?
Akuteue wewe nilitaka
Kuteua akuna udini