Wananchi ifike hatua mnapoona matukio kama hayo mmevamiwa Inabidi muumgane ili muweze kuwapiga mawe au Marungu kama vile walivyofanya wa Masai Zanzibar na muhakikishe mgambo mmoja anatolewa meno 6 Basi Iyo itakuwa dawa nzuri sana.
Sasa mtendaji inakuaje mnamvamia nyummba za watu kwaajili ya michango ndio shelia, wanavunja wenyewe shelia kisha wanawageuzia kesi pumbavu zenu wenyekiti, alafu hata hawa migambo wanatumika vibaya alafu niwezi wakitumwa na polisi au hao wenyekiti wanakua kama wamepata chansi ya kuwaibia wananchi.
Hawa Watendaji na team zao wanawaumiza sana wananchi, kwenye viwanja, nyumba, michango, nk. Ndiyo sababu hatuiamini tena CCM. CCM na wafanya kazi utawaka wao wame Fanya wananchi kuichukia Serikali inayoongozwa na CCM. CCM imejaa usanii, ufisadi, uumizaji wananchi, tuwapende kwa lipi???!! Tulifurahia uongozi wa Kizalendo wa Baba wa Taifa tu. Hawa wengine ni wakimbiza pesa na maumivu kwa wananchi.
Nawaomba viongozi wa Tanzania akiwemo raisi wetu mama Samia suluhu Hassan amuongezee bw makonda walinzi pia amrudishe kazini bwana ally hapi nimchapa kazi mzuri nakama hamjui nimchapa kazi hebu angalieni mikutano yake
Makonda muombe mama Samia amrudishe Ally happy wanaonyanyasa wanyonge watakoma
Makonda hawa viongozi wa chini wanahalibu sana chama cha CCM Wallaah
Viongozi wa Tanzania kishawalamba zurma mbaya sana Mungu apendi mtazalilika sana. Mungu atawahukumu msipojilekebisha
Kunahaja ya kumpa lengai olesabaya cheo wachangamane na makonda
Hats Mimi naipenda ccm Ila watendaji wake wengi wezi
Wapao kama haoooo asikari kilakona wapooi virushwa vidogo vidogooo havina mbeleeee walaaaa miguuuu
Wananchi ifike hatua mnapoona matukio kama hayo mmevamiwa Inabidi muumgane ili muweze kuwapiga mawe au Marungu kama vile walivyofanya wa Masai Zanzibar na muhakikishe mgambo mmoja anatolewa meno 6 Basi Iyo itakuwa dawa nzuri sana.
Sasa hizi zama tutakwenda vizuri
Mimi naomba makonda 2025 awe waziri mkuu nasabaya awe mkuu wamajeshi Tanzania ally hapy awe waziri wamambo yandani ya nchi
Nchi itanyooka mfano wa rula
Makonda apo umefanya lamaana
Mambooto motooo motoooooo
hao watendaji hawajui sheria ni wahuni tu.
Tupateje Namba yako utusaidie Makonda
Dah ccm inahitaji kuwashughulikia watu hao
❤❤❤ ww unafaa kuwa raisi❤❤❤❤
Kazi ipo tanzania jamani
Wanazinguuuu haooo sanaaaaa fujuzaaaa kazi
Waendeee wakaweee ukorokoroni hukoooo mtaaani kwenye makampuniiii mengineeee
Polisi mara nyingi sana hunea wanyonge
Kazi ya Polisi ni kuwalinda Wananchi na Mali yao
Ally Hapi apewe nafasi pia
Sasa mtendaji inakuaje mnamvamia nyummba za watu kwaajili ya michango ndio shelia, wanavunja wenyewe shelia kisha wanawageuzia kesi pumbavu zenu wenyekiti, alafu hata hawa migambo wanatumika vibaya alafu niwezi wakitumwa na polisi au hao wenyekiti wanakua kama wamepata chansi ya kuwaibia wananchi.
Hawa Watendaji na team zao wanawaumiza sana wananchi, kwenye viwanja, nyumba, michango, nk. Ndiyo sababu hatuiamini tena CCM. CCM na wafanya kazi utawaka wao wame Fanya wananchi kuichukia Serikali inayoongozwa na CCM. CCM imejaa usanii, ufisadi, uumizaji wananchi, tuwapende kwa lipi???!! Tulifurahia uongozi wa Kizalendo wa Baba wa Taifa tu. Hawa wengine ni wakimbiza pesa na maumivu kwa wananchi.
Nawaomba viongozi wa Tanzania akiwemo raisi wetu mama Samia suluhu Hassan amuongezee bw makonda walinzi pia amrudishe kazini bwana ally hapi nimchapa kazi mzuri nakama hamjui nimchapa kazi hebu angalieni mikutano yake
Makambako mmefikiwa
Ungo mtupu polisi muone aibu
Kirefu cha PT ni piga tu.
Kama Kuna uwezekano watumbue watoke mapema sio wazuri kabisa
Makonda ange mpata Ally Happy watendaji wa serekari wangenyooka
Sana kwakweli ALI HAPI ni Jembe