ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Good starting
Nice one
Mungu tunusuru waja wako
Doctar me koo linatoa harufu
Mnapatikanaje naomba maelekezo
Mpoo wap
mnapatikanaje
Mpooo wapiii
Mnakwaza sana. Mnatoa elimu hamsemi tunawapataje. Why? Basi mtujibu kuwa hampatikani, sio mkae kimya tu kama vile watu wanauliza mazimwi. Chaaa!
Hamtoi no alafu tunapataje msaada
Naomba numba ya simu ya huyu Doctor. Na yuko wapi. Naomba sana.
Doctor tujibu bas sms zetu mbona unatupotezea me ninamda mrefu koo linaniwasha na makoozi kila mda je nayo nidalili
naomba namba mm ninaumwa koo huu mwaka wa nne koo linaniuma sana
Mnapatkana wapi
Tuelekezeni wenzenu tunateseka
Yah..where can we find you
Mimi koo inawasha nilienda hospitali nmeambiwa nina tezi .
Hata mm nina umwa mumy na washaa koo n
Sasa doctor mbona hujibu sms zangu.
muna patikana wapi
Mko wp. Tupeni namba
Unapatikana wap mbona hautupi namba tutakupataje
Ukowap mm pia naumwa
Dokta Mimi naumwa unapatikana wapi
doctor unapatikana wapi
Mnapatikana wapi docter
Kairuki
kwani wangonjwa wengi wa ugonjwa wasalatani wengi uwawanakufa
Inaweza ikakata ulimi
mnapatikana wapi
Anapatikana mhimbili ni dactari wa masikio pua pamoja na koo.. wapo jengo la sewahaji
Mnapatikana wap
Mnapstikani wapi
Mimi Koo langu linatoa uchafu tembe za yellow tembe nyengine xiko ndani naziezi kuzitoa zinanuka na koo limefura nifanyeje
Jamani siwakweli mana mmeshawauliza wanapatikanawapi hawajibu hamuwezi kujiongeza mlionawapi mtu anajitangaza pasipo namba yasimu ama yanyumba???niwaongo mafunzoyao sikweli wanaokopa serekalihao ...shauriyenu
mnapatikana wapu
Mimi ninamiaka mingi sana nafika kama miaka 16 nakohoa tu
Kapime ujue shida nini
Sasa jamani mlikua wapi nyie madakitari mbona watu wanakufa kumbe mmpo na upsresheni zinafanyika...
Mm mama anaumwa minyama imeota kwenye koo yaani anateseka sana
No jaman
Songwe moja hiyo jibu sms sasa ili tupone.
Yupo muhimbili sikilizeni maelezo kwa makini
Good starting
Nice one
Mungu tunusuru waja wako
Doctar me koo linatoa harufu
Mnapatikanaje naomba maelekezo
Mpoo wap
mnapatikanaje
Mpooo wapiii
Mnakwaza sana. Mnatoa elimu hamsemi tunawapataje. Why? Basi mtujibu kuwa hampatikani, sio mkae kimya tu kama vile watu wanauliza mazimwi. Chaaa!
Hamtoi no alafu tunapataje msaada
Naomba numba ya simu ya huyu Doctor. Na yuko wapi. Naomba sana.
Doctor tujibu bas sms zetu mbona unatupotezea me ninamda mrefu koo linaniwasha na makoozi kila mda je nayo nidalili
naomba namba mm ninaumwa koo huu mwaka wa nne koo linaniuma sana
Mnapatkana wapi
Tuelekezeni wenzenu tunateseka
Yah..where can we find you
Mimi koo inawasha nilienda hospitali nmeambiwa nina tezi .
Hata mm nina umwa mumy na washaa koo n
Sasa doctor mbona hujibu sms zangu.
muna patikana wapi
Mko wp. Tupeni namba
Unapatikana wap mbona hautupi namba tutakupataje
Ukowap mm pia naumwa
Dokta Mimi naumwa unapatikana wapi
doctor unapatikana wapi
Mnapatikana wapi docter
Kairuki
kwani wangonjwa wengi wa ugonjwa wasalatani wengi uwawanakufa
Inaweza ikakata ulimi
mnapatikana wapi
Anapatikana mhimbili ni dactari wa masikio pua pamoja na koo.. wapo jengo la sewahaji
Mnapatikana wap
Mnapstikani wapi
Mimi Koo langu linatoa uchafu tembe za yellow tembe nyengine xiko ndani naziezi kuzitoa zinanuka na koo limefura nifanyeje
Jamani siwakweli mana mmeshawauliza wanapatikanawapi hawajibu hamuwezi kujiongeza mlionawapi mtu anajitangaza pasipo namba yasimu ama yanyumba???niwaongo mafunzoyao sikweli wanaokopa serekalihao ...shauriyenu
mnapatikana wapu
Mimi ninamiaka mingi sana nafika kama miaka 16 nakohoa tu
Kapime ujue shida nini
Sasa jamani mlikua wapi nyie madakitari mbona watu wanakufa kumbe mmpo na upsresheni zinafanyika...
Mm mama anaumwa minyama imeota kwenye koo yaani anateseka sana
No jaman
Songwe moja hiyo jibu sms sasa ili tupone.
Yupo muhimbili sikilizeni maelezo kwa makini