Shuhudia vitu vinavyosababisha saratani ya koo 'kunywa pombe, Tumbaku'

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ส.ค. 2022
  • Daktari bingwa wa magonjwa ya uzazi na wanawake kutoka hospitali ya Salaaman iliyopo Temeke, Abdul Mkeyenge ameeleza vitu vinavyosababisha saratani ya koo ikiwa ni pamoja na unywaji pombe kupita kiasi na utumiaji wa tumbaku.

ความคิดเห็น • 2

  • @user-vl8xb8ej8e
    @user-vl8xb8ej8e หลายเดือนก่อน

    Eka namba za kazi Dr

  • @swaleheboli7465
    @swaleheboli7465 6 หลายเดือนก่อน

    Nipatie namba Yako doctor