Dini ya kweli ni dini inayojali wagonjwa , wasiojiweza , mayatima , wajane na wenye matatizo mbalimbali !
Alhamdulilah dini zote zinajali wagonjwa mayatima na wasiojiweza ila kwa Waislam huwa mara nyingi huwa hawapendi sana kuonesha.
HD machoz yamenitoka jmn😭mbarikiwe sn Tena sn mungu atawalipa inshaallh 😢
Yote tumshukuru mungu wanaopata msaada na wasiopata wote tumtegemee allah
Allah atawalipa wote mlojitoa kumsaidia huyu mama na mumewe na familiar yake
Dunia hii bhana wagonjwa ni wengi wenye uwezo wapo lakin daa Tajiri anakufa na utajiri wake maskini anakufa na umaskini wake na wapo wanaokufa kwa kukosa msaada sitasahau nilipokosa pesa ya matibabu ya kansa ya shavu stage ya kwanza na mgonjwa akateseka mpaka kufa
Acha kabisa ndugu. Tuombe Mungu atuepushe NA hya majanga..natumshukuru sn MUNGU
Great blue skies (peter & paul) I’m impressed sana
mungu awabariki na kuwafanikisha
Ameen inshallah mungu awazidishie na nyie Millard ayo mnafany kzii nzrii Sana'a
Allah awajaliee nyote mlio jitolea kusaidia huyo mginjwa
Amiin
Mashaa Allah Allah awape Barka na nyie mlotowa misaada yote hiyo Allah atusimamishe katika njia ya haki sote Amiin YAARABIY Allah atampa takhif YAARABIY
mungu wetu atalipa kwa kila anayejitolea nampenda Sana huyu doctor anajua kumpa faraja mgonjwa, dini ya kweli ni dini inayomjali mgonjwa
Mungu awabariki saana na awarudishie mlipotoa
Allah Kareem
Ameen inshallah
Mungu awabariki sana
Mungu ibariki Tanzania wabarki watanzania kwa umoja mlio nao utapona baba twakuombea
Allah is great 👍🏻
Allah will bless you more and more
Insha Allah Ameen
Maombi pia. Kuna neema izidiyo kwa watumishi wa Mungu mfano tb joshua
Mwenyezi mungu awazidishie pale mlipo punguza..
Mbarikiwe
Mbarikiwe katika biashara yenu
Ata mimi nawaombey barak tele kwa Mungu
Allah amponye .....hii ndo mitihan ya dunia na hakuna ajuaye kesho yake ukiwa tajir usimdharau maskin ukiwa mzima cyo ujanja wako ni neema ya MUUMBA wetu
Mungu atamuaaf
Dactory umenibariki sana.
Mungu awabariki kwa msaada wenu
asanteni jamani mungu nimwema jamani mubalikiwe sana😍😍😍😍😘😘😍😍😍😍😘😍
God bless you
doctor taira kautaja uislamu Alafu akazuga dini ya kweli uislamu
Angalau video haina dislike nimefurahi sanaaa👍😊
Amin 👏👏
Sawa doctor kwa mawazo yako ulipo sema Dini ya kweli ni pale unapo jali ya watu ume sema kweli lakini mimi yangu haya.
Kuwa na Dini watu wengi wana jinasibihisha na dini lakini jee wana imani na dini yao au yake huo ndio mtihani.
Kutowa kuna hitaji imani na sio lazima uwe mkriso au muisla.
Mimi nilivyo mfaham doctor kama ana ulizia mko wapi waislam na ndugu yenu huyu ana teseka?
Subhanallaah mimi kila niki fatilia hii natokwa na Machozi.
Namuomba Allaah subhanahu wataala awajalie kila la kheri na awafanyi wepesi na muzidi kumsaidia huyu mama na mumewe.
Namuomba Allaah subhanahu wataala mlipe ujira makubwa mama huyu kwa kumuuguza mumewe.
Aamin Aamin yarab alamin.
Siri ya mafanikio ni kutoa na sadaka za kweli ni kusaidia wasiojiweza ni kwel kabisa docter mbarikiwe sana mjaojitoa
Ndio maana huwa nasema mbinguni wataenda watu sio kwa dini bali matendo mazuri. Uwe mkristo au muislam unaswali swala 5 lakini humjali jirani au ndugu yako na umepewa Mali kamwe huwezi ona mbingu. Hiyo ni hesabu rahisi kujua
Huu uislam na ukristo ninini subiri ufe utajuwa dini ya kweli kwani ni dini ipi inazuia msisaidiane wee daktari hujielewi
@@ilovejesus9303 je mitume walitumwa kwa dini ipii ikiwa ni matendo haya shetani nae ana matendo
@@ilovejesus9303 pauro ana maneno yake katika wakorinto wa pili mstari 7 aliye lala katika kiristo amepotea
@@ilovejesus9303 na mtu akipotea mahali pake pabaya sasa jiandae kwa mambo mawili maana nyumba ni mbili hamna ya tatu pepo na moto sasa kazi keako
Allah atawalipa kwa kila mwenye kutoa mchango wake wa hali na mali na ALLAH TUNAKUOMBA UMPONYE NDUGU YETU MZEE WETU SALIM na umpe nguvu mama yetu mlezi mke wa mzee salim Ameen nafarijika sana ninapoona umoja huu namuomba Allah nami niweze kuwa miongoni mwa watoa msaada kwa uwezo wangu Amiin